Nimepigwa na butwaa

Nimepigwa na butwaa

Wasalam wakuu.

Katika hali ya kushtukiza na kuchanganya leo hii nimekuta application ya jf kwa simu ya mama..

I don't know ni nani kamwekea hii application au imekuaje kuaje.

Nimeshindwa hata kuifungua ila nime unstaill aiseee....

Yaani imekuaje kuaje wakuu..
Humu ndani humu umakini unatakiwa wa kutosha aiseee

Bado najiuliza kama anatumia jf au laah..
Nimepigwa na butwaa...

Wakuu mjiheshimu kuna watu mna assume ni mtu flani.. nimesema sijajua kama kajiunga au laa
Ni mtandao wa maficho
 
Wasalam wakuu.

Katika hali ya kushtukiza na kuchanganya leo hii nimekuta application ya jf kwa simu ya mama..

I don't know ni nani kamwekea hii application au imekuaje kuaje.

Nimeshindwa hata kuifungua ila nime unstaill aiseee....

Yaani imekuaje kuaje wakuu..
Humu ndani humu umakini unatakiwa wa kutosha aiseee

Bado najiuliza kama anatumia jf au laah..
Nimepigwa na butwaa...

Wakuu mjiheshimu kuna watu mna assume ni mtu flani.. nimesema sijajua kama kajiunga au laa
Kwani wewe ulipojiunga ulimfahamisha? Jamii Forum inazingatia ufaragha wa mtu hivyo mama yako pia anahitaji platform ya faragha. Tena ukute huwa mnajibizana ujinga humu anakuchora tu
 
Pengine mama ako ndio mchepuko wangu humu, jf bana
Au kashaenda kumuimbisha pm maza ake si anapenda mishangazi,, ipo siku jf itazua balaa humu ndani, watabebishana m/flirting mtu na baba au mama, ama dada na kaka, mpk wakajuane tayari mmoja ameshafall kwa mwenzie,.......aibu iliyoje
 
Nilijiuliza sana imekuwaje app iji uninstall yenyewe kumbe ni wewe mpuuzi,Sipendi mchezo na simu yangu alaaaaa!
 
Kwani wewe ulipojiunga ulimfahamisha? Jamii Forum inazingatia ufaragha wa mtu hivyo mama yako pia anahitaji platform ya faragha. Tena ukute huwa mnajibizana ujinga humu anakuchora tu
Ety faragha... Hili neno limekaa kitapeli tapeli sana aiseee
 
Nipo hapa Oliver Tambo International Airport mwenyeji wangu anakaribia....kumbe huku ndio unatumia jina la ajabu kiasi hiki my son?why?
Mama tabadilisha sio mda...
Ila naomba kama ukifika nitumie pesa ya chuo maana boom alitoshi...

Mi chakula cha chuo sikiwezi na unajua hilo
 
Back
Top Bottom