Kweli inasikitisha sana kwaalichofanyiwahuyukijana, hakustahili hayo. Serikali iibane Palestine kwa hili.Ipo siku tutalipa kisasi kwa haya mapua makubwa/waarabu walioko Tanzania
Ipo siku
Kwahiyo hamas kumuua mbongo ni sawa,,,,,kisa wao wanauliwa na IDF???Israel hawaui watu wasio na hatia?
Kuna ma agent wao humu, faidha fox , Ritz Hawa huwa ambii kitu kuhusu HAMAS . Wamekua brain washed to the highest degreeHabari wazalendo wa kitanzania. Video hii nimeipata IG kiukweli nina mixed emotions. Nina hasira na masikitiko makubwa kupita kiasi. Ewe mtanzania mzalendo wa nchi tuweke mbali udini etc ni kitu kilichoniumzia roho mno. Hii video inamuonyesha Joshua Mollel akitekwa na Hamas. All the deniers sijui nawasaidia vipi. Huyu alikuwa ndugu yetu. RIP Joshua. My heart bleeds kwa hii familia
View attachment 2845298
waoHabari wazalendo wa kitanzania. Video hii nimeipata IG kiukweli nina mixed emotions. Nina hasira na masikitiko makubwa kupita kiasi. Ewe mtanzania mzalendo wa nchi tuweke mbali udini etc ni kitu kilichoniumzia roho mno. Hii video inamuonyesha Joshua Mollel akitekwa na Hamas. All the deniers sijui nawasaidia vipi. Huyu alikuwa ndugu yetu. RIP Joshua. My heart bleeds kwa hii familia
View attachment 2845298
Faiza hata na hili huamini???Si mlisema kashikwa mateka?
Hao wanaweza kuwa mazayuni wametengeneza senema hiyo baada ya kumuuwa, wakajidai eti kauliwa na Waarabu.
Hollywood hiyo.
Ila wakifa waarabu sio Hollywood???Si mlisema kashikwa mateka?
Hao wanaweza kuwa mazayuni wametengeneza senema hiyo baada ya kumuuwa, wakajidai eti kauliwa na Waarabu.
Hollywood hiyo.
According to your logicUkute dogo alikuwa front line....apo apo jamaa wakamnasa,kwanza kavaa boxer ya kijeshi....
Anyway vita haicchagui wapi pa kupiga na nani wa kupigwa
Kabisa, chupi itakuwa ilimponza, kiarabu sikijui ila nasikia neno elshabaab yaani ewe kijana!Hatujui mazingira. Ila mi hapa siwalaumu sana Hamas kwa sababu Mollel alikuwa na nguo ya kijeshi iliyopelekea kuingia 18 za vita. Ni bahati mbaya sana kauawa ktk mazingira ambayo hakustahili ila kilichomponza ni hiyo chupi.
Duu inasikitisha mno. Wapo wanapouaga mtu wanasema Allah Akbar wanamaanishaga Nini. Mfano Ile Russian army naijua maana yake ya uraaaonyo: video ina maudhui ya mauaji, angalia kwa tahadhari.
Lengo ni kuelimisha jamii kwamba ugaidi upo, Mtanzania mwenzetu hakuwa na silaha yoyote wala sidhani kama alikuwa anaelewa wanasema nini lakini wakamuua, wakaanza kumkanyaga tumbo na kumpiga risasi tisa.
View attachment 2845359
I assume hujaona video zilizochukuliwa na wao wenyewe Oct 7 ndo maana unanyoropokaNdiyo tatizo linapoanzia, vijana tuache kuiga. Naamini hao magaidi walijua ni mwanajeshi ndiyo maana wakamimina risasi wakijua ni mosad. Ni muhimu vijana wanaoenda huko waelekezwe mazingira.
SawaAcheni ujinga HAMAS wamemuua yule Mtanzania kinyama!
Naona sasa umeanza kuzinduka usingiziniHamas Wanaongoza Serikali ipi? Hamas ni magaidi kama magaidi wengine,huwezi laumu Palestine Kwa vitendo vya magaidi wa Hamas ambao sio tuu wamewaua Vijana Wetu kikatili Bali pia wanawasababishia maafa raia wa Palestine wasio na hatia.
Imeniuma sana Hawa mbwa wa Hamas kuua raia wasio na hatia.
Msimamo wa Serikali yetu ni wazi kupinga mauaji ya watu wasio na hatia ambao inafanywa na Israel na Hawa Hamas.
Achana naye huyoFaiza hata na hili huamini???
Hamas walipomuua joshua na kujirekodi unasema propaganda...
KWELI UDINI NI KANSA...
Umeongea point sana ila mwisho umekuja kuharibu hapa na kuonyesha rangi yako.Mbinu za IDF kuzima Genocide ya Gaza hazitafanikiwa sehemu nyingi wameujua uwongo wao.
Sent using Jamii Forums mobile app