Jiwe kuu001
Member
- Dec 25, 2020
- 50
- 25
Huyu dogo anazingua sana
watu tunasoma Ada 4.6M na tulipata Boom2
Acha ubishoo dgo
watu tunasoma Ada 4.6M na tulipata Boom2
Acha ubishoo dgo
Kaka mbona umependelewa Sana hiv umeona Hali za mikopo ya watu mwaka huu au unakejeliMajina yawaliopata mkopo yametoka lakini cha ajabu loan board wametoa asilimia chache Sana namm mfukoni nina pesa ya nauli tu, Ada ya chuo ni million moja na Laki moja lakini wao wamenipa Laki tisa na Mia tano tu
na meals and accommodation wamenipa million mbili na tisini elfu na Mia tano
Nifundisheni namna ya kukata rufaa View attachment 1977591
Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
Usilojua usiku wa gizaKaka mbona umependelewa Sana hiv umeona Hali za mikopo ya watu mwaka huu au unakejeli
Daah basi wewe tafuta mwanaume akutunze.
Sema kweli Kaka cwez jua Hali yako [emoji106][emoji106]
Kwani hauna wazazi wew wakukusupport iyo direct costDirect cost na Bima ni 150400 bado hostel ni 24000 bado Laki ya kujazilizia ada jumla ni Laki Tano sasa nainyea wapi mfukoni nina sabini tu
Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
Ivi kumbe unaweza ishi chuo bila demu [emoji1787] utaonekana wakuja mzee
Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
Nishaur usitukaneKweli ww ni mpuuzi tena naongeza tahira mbumbumbu hujielew inaonekana huridhiki tamaa zimekutawala alaf mshamba kinoma yan majibu yako yanajielezea the way ulivyo na huridhiki na tamaa badilika kijana acha ushamba acha kuiga maisha kasome
Wao wenyewe wanategemea kwanguKwani hauna wazazi wew wakukusupport iyo direct cost
Hizo ni dharau sasa. Mimi sijawahi kupewa mkopo na wala kusomeshwa na mtu. Ada ya chuo ni 1.5 kwa mwaka. Na nilikuwa nakaa nje chumba cha 80,000!
Wewe ulikuwa na pesa mm nanuka sabuni ya kipande mzee babaHizo ni dharau sasa. Mimi sijawahi kupewa mkopo na wala kusomeshwa na mtu. Ada ya chuo ni 1.5 kwa mwaka. Na nilikuwa nakaa nje chumba cha 80,000!
Wewe unapata mpunga wote huo unalia lia......?!
WakwanzaBoom unapata mwaka wa ngapi!!? Ni Mimi first year wa TIA
👎👎
kwani ungepata 100% hiyo hela ya direct cost na bima ungetoa wapi?
Ningekopakwani ungepata 100% hiyo hela ya direct cost na bima ungetoa wapi?
Ni wewe tu na maisha yako uliyochagua , kiukwel katika maisha Mara nyingi hua hakuna anaefatulia maisha ya mtu ni ww tu kujistukia kua kuna mtu anakufuatilia maisha yako kumbe hata hakuna , mbona niliishi tu maisha poa mkuu , mambo mengine hua ni kufuata mkumbo tu .Ivi kumbe unaweza ishi chuo bila demu [emoji1787] utaonekana wakuja mzee
Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
kopa hata sasa utalipa boom ikitoka.
Ivi kama Sina wakumkopa nitumie njia ganikopa hata sasa utalipa boom ikitoka.