Nimechanganyikiwa nisaidieni

Nimechanganyikiwa nisaidieni

Hongera sana,,,Umepewa mkopo wa kutosha kabisa.....Unadaiwa ada laki 2 tu. Semester 1 unalipa laki moja then unamalizia nyingne semester 2. Nenda report, mkope mtu laki moja ulipe ada,ukisha sign boom unapokea laki 5 yako shida zote zinaisha
Hio Ushirika una split hio pesa mara mbili! Atalipa laki 5 na hamsini pamoja na bima na depreciation fees semister ya kwanza! Ya pili anamalizia 550,000 tu mwaka umeisha!

Chuo chetu hakina mbwembwe kama mavyuo ya Dar es salaam na mikoa mingine chuo million 3 kasoro yote ya nini!

Ushirika ni mpango mzima!
 
Nina nauli tu je Laki napataje pamoja na direct cost

Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
Kaka, chuo ni kama unavyoripoti shule waconsult wazazi au ndugu wakuchangie changie... maana hata ukifika boom linaweza kuingia baada ya wiki mbili na hapo kati maisha lazima yaendelee...
Ukisha jisajiri mambo yataenda fresh tu, wala usiwaze! Kikubwa utambue pesa haijawahi kutosha so ,ujibane bane mkuu.

Mi ada nadaiwa kama 600k
 
Hio Ushirika una split hio pesa mara mbili! Atalipa laki 5 na hamsini pamoja na bima na depreciation fees semister ya kwanza! Ya pili anamalizia 550,000 tu mwaka umeisha!

Chuo chetu hakina mbwembwe kama mavyuo ya Dar es salaam na mikoa mingine chuo million 3 kasoro yote ya nini!

Ushirika ni mpango mzima!
Sijakuelewa ebu vuta pumzi afu elezea vzr

Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
 
Sijakuelewa ebu vuta pumzi afu elezea vzr

Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
Ada ya 1.1M hio ni kwa mwaka mzima! Ukilipa kwa semister utaigawa mara 2 hio 1.1M itakupa hesabu ya 550,000! Watoto wa mbwa tunalipaga hivyo ila wakishua wanalipaga yote 1.1M na makoroko mengine.

Hii 550,000 ndio utakayolipa semister ya kwanza unapojisajili, kutakuwa na vitu vya ziada kama bima ya afya, depreciation fees (caution money ambayo hairudishwi) na student association fees kitu kama hicho ambazo utaongezea juu ya ile 550,000 ya kwanza. Hesabu itakuja kama kwenye 730,000 hivi kwa vyote!

Ikifika semister ya pili utalipa ile 550,000 ingine! Hii inakuwa peke yake tu bila items zingize sababu unakuwa ushazilipa sem.1!
 
Ada ya 1.1M hio ni kwa mwaka mzima! Ukilipa kwa semister utaigawa mara 2 hio 1.1M itakupa hesabu ya 550,000! Watoto wa mbwa tunalipaga hivyo ila wakishua wanalipaga yote 1.1M na makoroko mengine.

Hii 550,000 ndio utakayolipa semister ya kwanza unapojisajili, kutakuwa na vitu vya ziada kama bima ya afya, depreciation fees (caution money ambayo hairudishwi) na student association fees kitu kama hicho ambazo utaongezea juu ya ile 550,000 ya kwanza. Hesabu itakuja kama kwenye 730,000 hivi kwa vyote!

Ikifika semister ya pili utalipa ile 550,000 ingine! Hii inakuwa peke yake tu bila items zingize sababu unakuwa ushazilipa sem.1!
Kama Sina 240000 ya hostel inakuwaje

Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom