Nimechanganyikiwa nisaidieni

Nimechanganyikiwa nisaidieni

Direct cost na Bima ni 150400 bado hostel ni 24000 bado Laki ya kujazilizia ada jumla ni Laki Tano sasa nainyea wapi mfukoni nina sabini tu

Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
Mimi nilisubiri boom ndo nikafanya registration, nikajazia ada, nikalipa direct cost, nikalipa bima, kodi na vijigharama vingine vinavyoibukaga tu. Nikabakiwa na kiasi kidogo sana cha hela . Niliishi kwa kujibana sana had lilipokuja boom la pili ndio mambo yakakaa sawa. Ila nilichelewa kuanza kuingia darasani pia.
 
Yani umtimue mzoefu? Haiwez kutokea

Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
Wa second year ndio wanatolewa nje, njuka mnapewa rum hizo! Ila ukiwa huna hela ya kulipa wenzio watalipia wanachukua magodoro stoo kisha wanaanza life!

Nenda bweni la Jitegemee kuna viongozi mle kaongee nao vizuri watakusaidia!
 
Pamoja na direct cost nitatoa laki Tatu itabaki Laki mbili tu kwenye pesa ya boom
Swali : Je Laki mbili utatumia miezi miwili?

Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
hiyo mbona pochi nene kabisa, kwa siku kula 2000 tu, asubuhi kavu, mchana wali wa buku na usiku wali au ugali wa buku maji ya kunywa kwa mama ntilie una raha gani mbwa wewe(utani) hadi ununue maji dukani. Kwa miezi miwili 120000, hiyo iliyobaki ndiyo vocha na kuhonga mkuu.
 
Mimi nilisubiri boom ndo nikafanya registration, nikajazia ada, nikalipa direct cost, nikalipa bima, kodi na vijigharama vingine vinavyoibukaga tu. Nikabakiwa na kiasi kidogo sana cha hela . Niliishi kwa kujibana sana had lilipokuja boom la pili ndio mambo yakakaa sawa. Ila nilichelewa kuanza kuingia darasani pia.
Bila direct cost hupati usajili na kama hujajisajili hupati boom sasa ulitumia njia gani mpaka loan board wakakupa mkopo mwanafunzi ambae hajasajiliwa

Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
 
hiyo mbona pochi nene kabisa, kwa siku kula 2000 tu, asubuhi kavu, mchana wali wa buku na usiku wali au ugali wa buku maji ya kunywa kwa mama ntilie una raha gani mbwa wewe(utani) hadi ununue maji dukani. Kwa miezi miwili 120000, hiyo iliyobaki ndiyo vocha na kuhonga mkuu.
Duuuh

Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
 
Duuuh

Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
mm nilikua nalipa laki 3 na nusu kujazia ada, other fees na bima 230000 so nilikua sibaki na kitu kabisa kwa boom la Kwanza ila la pili na kuendelea bata tu. Jambo nililofanya nilitafuta demu wa kishua halafu nikawa muwazi kwake hivyo maisha yakawa poa kwa msaada wa bi dada.
 
mm nilikua nalipa laki 3 na nusu kujazia ada, other fees na bima 230000 so nilikua sibaki na kitu kabisa kwa boom la Kwanza ila la pili na kuendelea bata tu. Jambo nililofanya nilitafuta demu wa kishua halafu nikawa muwazi kwake hivyo maisha yakawa poa kwa msaada wa bi dada.
ingawa sikushauri na wewe utumie mbinu hii kwani si salama sana, ww bora ukawa single usijihusishe kwenye mahusiano itakusaidia.
 
mm nilikua nalipa laki 3 na nusu kujazia ada, other fees na bima 230000 so nilikua sibaki na kitu kabisa kwa boom la Kwanza ila la pili na kuendelea bata tu. Jambo nililofanya nilitafuta demu wa kishua halafu nikawa muwazi kwake hivyo maisha yakawa poa kwa msaada wa bi dada.
Akili huna utatunzwaje na mwanamke

Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom