Asante kwa matusiOna upuuzi mwrngine wa dunia huu..![]()
Lazima nilalamikeEmbu be thankful kijana.
Acha kulalamika kama mpuuzi.
Ushauri mzuri.Nenda kafanye usajil, utakuwa ukichukua hela ya boom na kumalizia ada na malipo mengine. Utaishi kimkakati hupaswi kuiga watu.
Yani bro shukuru Sana Kwa Mungu umepewa hata hiyo laki Tisa hapo unahitaji kujibana kidogo Tu uongeze ili Ada itimie ...Mimi nimechaguliwa MD Ila nimeambulia Meals na accommodation Tu .....Asa sijui hela serikali waliosema wameongeza Kwa ajili ya mikopo imeenda wapiMajina yawaliopata mkopo yametoka lakini cha ajabu loan board wametoa asilimia chache Sana namm mfukoni nina pesa ya nauli tu, Ada ya chuo ni million moja na Laki moja lakini wao wamenipa Laki tisa na Mia tano tu
na meals and accommodation wamenipa million mbili na tisini elfu na Mia tano
Nifundisheni namna ya kukata rufaa View attachment 1977591
Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
Fuata huu ushauriUnatakiwa kunajibana kwenye
...meals & Accomodatioon, stationary ulipeeee ada ndugu
Kutanua nini
Haupo seriously
Kwani unaenda shule kusoma au kufata watoto wazuri?
Nenda chuo usichanganyiwe tafuta direct cost na kiasi cha laki mbili ya ada utabana MA ujazie ada.Maisha yaendelee.Majina yawaliopata mkopo yametoka lakini cha ajabu loan board wametoa asilimia chache Sana namm mfukoni nina pesa ya nauli tu, Ada ya chuo ni million moja na Laki moja lakini wao wamenipa Laki tisa na Mia tano tu
na meals and accommodation wamenipa million mbili na tisini elfu na Mia tano
Nifundisheni namna ya kukata rufaa View attachment 1977591
Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
Mkuu we nenda chuo tu , nakumbuka mm nilipewa 80% ya ada , ada ilikua 1.5 , laki tatu nilikua nalipa mwenyewe , hiyo laki tatu nilikua naitoa kwenye bumu , na kipindi hicho bumu ilikua buku tano kwa siku , lakini niliishi maisha fresh tu , bila stress yeyote na sikuwahi kuomba pesa yeyote toka home , tena nakumbuka nilijibana hadi nikanunua laptop , yaani niliishi maisha bomba tu , kwan mpaka namaliza chuo sikuwahi kuishiwa pesa aisee , najishangaa hadi namaliza chuo nilikua na akiba ya laki sita ,Majina yawaliopata mkopo yametoka lakini cha ajabu loan board wametoa asilimia chache Sana namm mfukoni nina pesa ya nauli tu, Ada ya chuo ni million moja na Laki moja lakini wao wamenipa Laki tisa na Mia tano tu
na meals and accommodation wamenipa million mbili na tisini elfu na Mia tano
Nifundisheni namna ya kukata rufaa View attachment 1977591
Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
Hizo ni nyingi mkuu.kalipie karo na yale makorokoro mengine ili ujirejiste kwanza chuo.Mengine yatafuata.ishi kistarabu.acha starehe chukua boom kidogo ongezea adaMajina yawaliopata mkopo yametoka lakini cha ajabu loan board wametoa asilimia chache Sana namm mfukoni nina pesa ya nauli tu, Ada ya chuo ni million moja na Laki moja lakini wao wamenipa Laki tisa na Mia tano tu
na meals and accommodation wamenipa million mbili na tisini elfu na Mia tano
Nifundisheni namna ya kukata rufaa View attachment 1977591
Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
Nimeishi hivo kwa kozi iyi iyo 4 years
Ivi kumbe unaweza ishi chuo bila demuMkuu we nenda chuo tu , nakumbuka mm nilipewa 80% ya ada , ada ilikua 1.5 , laki tatu nilikua nalipa mwenyewe , hiyo laki tatu nilikua naitoa kwenye bumu , na kipindi hicho bumu ilikua buku tano kwa siku , lakini niliishi maisha fresh tu , bila stress yeyote na sikuwahi kuomba pesa yeyote toka home , tena nakumbuka nilijibana hadi nikanunua laptop , yaani niliishi maisha bomba tu , kwan mpaka namaliza chuo sikuwahi kuishiwa pesa aisee , najishangaa hadi namaliza chuo nilikua na akiba ya laki sita ,
Sema kilichonisaidia nilikua sio mtu wa anasa na wala nilikua sina dem wala nn , miaka yote niliishi mabibo hostel siku nyingine kama sina pindi asubuhi nilikua napiga shuttle pori mpaka main cumpas , vipind vya asubuh na kurudi jioni ndio nilikua napanda gari aisee .
Chamsing ni kupunguA matumizi yasiyo ya lazima
utaonekana wakuja mzee Sindomaisha yamwanadam broooHaupo seriously
We kama hutaki kusoma kausha, lakn nakuambia kuna wenzako wamekosa hiyo pesa
Wewe mtu asee huna shukrani. Kuna wenzako hawatapata hata 100.Majina yawaliopata mkopo yametoka lakini cha ajabu loan board wametoa asilimia chache Sana namm mfukoni nina pesa ya nauli tu, Ada ya chuo ni million moja na Laki moja lakini wao wamenipa Laki tisa na Mia tano tu
na meals and accommodation wamenipa million mbili na tisini elfu na Mia tano
Nifundisheni namna ya kukata rufaa View attachment 1977591
Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app