Nimechanganyikiwa nisaidieni

Nenda kafanye usajil, utakuwa ukichukua hela ya boom na kumalizia ada na malipo mengine. Utaishi kimkakati hupaswi kuiga watu.

Halafu kalamba asilimia 70 anaanza kulia lia aende aishi kimkakati asisahau kununua jug na majani ya chai yale ya kutumbujiza ya vipacket, akiwa anapata na mkate wake huo ni mlo wa usiku , asubuhi anapiga desh anatafuta ugali wa buku na dagaa mchana, kikubwa asimiss lecture, akomae kwenye group awe msaada mambo yatajiset huko huko
 
Ivi kama Sina wakumkopa nitumie njia gani

Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app

Skia stop whining, kama hauna wa kumkopa nenda chuo, juu kuna mtu alikwambia kaa hosteli kuna Commitment form zinatolewa na chuo wanajazaga watu wasio na ada then boom likitoka utakatwa hiyo laki mbili italipwa ada na uta survive.

usitake maisha expensive kqma hauna uwezo.. maana hata uki appeal hayo majibu hayatorudi kesho jifunze kuwa grateful... always shits zinatokea for some reasons
 
Skia stop whining, kama hauna wa kumkopa nenda chuo, juu kuna mtu alikwambia kaa hosteli kuna Commitment form zinatolewa na chuo wanajazaga watu wasio na ada then boom likitoka utakatwa hiyo laki mbili italipwa ada na uta survive.

usitake maisha expensive kqma hauna uwezo.. maana hata uki appeal hayo majibu hayatorudi kesho jifunze kuwa great-full... always shits zinatokea for some reasons

Yeye aende kwa Dean of student wa chuo chake ajieleze mbona rahisi sana hiyo
 
Halafu kalamba asilimia 70 anaanza kulia lia aende aishi kimkakati asisahau kununua jug na majani ya chai yale ya kutumbujiza ya vipacket, akiwa anapata na mkate wake huo ni mlo wa usiku , asubuhi anapiga desh anatafuta ugali wa buku na dagaa mchana, kikubwa asimiss lecture, akomae kwenye group awe msaada mambo yatajiset huko huko
Duuuh Kuna raha gani sasa ya kuwa chuo

Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
 
Skia stop whining, kama hauna wa kumkopa nenda chuo, juu kuna mtu alikwambia kaa hosteli kuna Commitment form zinatolewa na chuo wanajazaga watu wasio na ada then boom likitoka utakatwa hiyo laki mbili italipwa ada na uta survive.

usitake maisha expensive kqma hauna uwezo.. maana hata uki appeal hayo majibu hayatorudi kesho jifunze kuwa grateful... always shits zinatokea for some reasons
Chuo cha ushirika wamesema hakuna utaratibu huo

Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
 
Majina yawaliopata mkopo yametoka lakini cha ajabu loan board wametoa asilimia chache Sana namm mfukoni nina pesa ya nauli tu, Ada ya chuo ni million moja na Laki moja lakini wao wamenipa Laki tisa na Mia tano tu
na meals and accommodation wamenipa million mbili na tisini elfu na Mia tano
Nifundisheni namna ya kukata rufaa View attachment 1977591

Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
Mshukuru mungu sana wenzako wana 0% na wamesoma Gvt
 
Back
Top Bottom