Michu99
Member
- Jul 3, 2021
- 17
- 7
Duh kweli apo ni mtihani
Duh kweli apo ni mtihani
Nenda kafanye usajil, utakuwa ukichukua hela ya boom na kumalizia ada na malipo mengine. Utaishi kimkakati hupaswi kuiga watu.
Yani kama hili limekuchanganya hadi unaomba msaada sijui kama utaweza kukosa sup za kutosha huko
Skia stop whining, kama hauna wa kumkopa nenda chuo, juu kuna mtu alikwambia kaa hosteli kuna Commitment form zinatolewa na chuo wanajazaga watu wasio na ada then boom likitoka utakatwa hiyo laki mbili italipwa ada na uta survive.
usitake maisha expensive kqma hauna uwezo.. maana hata uki appeal hayo majibu hayatorudi kesho jifunze kuwa great-full... always shits zinatokea for some reasons
Yani kama hili limekuchanganya hadi unaomba msaada sijui kama utaweza kukosa sup za kutosha huko
Yeye aende kwa Dean of student wa chuo chake ajieleze mbona rahisi sana hiyo
Duuuh Kuna raha gani sasa ya kuwa chuoHalafu kalamba asilimia 70 anaanza kulia lia aende aishi kimkakati asisahau kununua jug na majani ya chai yale ya kutumbujiza ya vipacket, akiwa anapata na mkate wake huo ni mlo wa usiku , asubuhi anapiga desh anatafuta ugali wa buku na dagaa mchana, kikubwa asimiss lecture, akomae kwenye group awe msaada mambo yatajiset huko huko
Tusaidiane kinawazo kaka you can not know everything... ana zero problem solving skills ndio wasomi wetu hao
Tusiombeane hivyo nduguYaani ataanza na supp, mwaka wa kwanza na mwaka wa pili atacarry na mwaka wa tatu atadiscolify kabisa maana LLB anayoenda kusoma haitaki machejo labda awe anatupima tujue kapata chuo.
Chuo cha ushirika wamesema hakuna utaratibu huoSkia stop whining, kama hauna wa kumkopa nenda chuo, juu kuna mtu alikwambia kaa hosteli kuna Commitment form zinatolewa na chuo wanajazaga watu wasio na ada then boom likitoka utakatwa hiyo laki mbili italipwa ada na uta survive.
usitake maisha expensive kqma hauna uwezo.. maana hata uki appeal hayo majibu hayatorudi kesho jifunze kuwa grateful... always shits zinatokea for some reasons
Huwezi tanua na watoto wazuri wakati laki mbili imekosa unapiga yowe. Nenda kaishi maisha yako achana na kubeba mizigo isiyo yako. Ukijichanganya shauri yako
Mshukuru mungu sana wenzako wana 0% na wamesoma GvtMajina yawaliopata mkopo yametoka lakini cha ajabu loan board wametoa asilimia chache Sana namm mfukoni nina pesa ya nauli tu, Ada ya chuo ni million moja na Laki moja lakini wao wamenipa Laki tisa na Mia tano tu
na meals and accommodation wamenipa million mbili na tisini elfu na Mia tano
Nifundisheni namna ya kukata rufaa View attachment 1977591
Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
Unataka kutanua moshi ,utapata ukimwi Ww
7Boom unapata mwaka wa ngapi!!? Ni Mimi first year wa TIA
Ww dogo ni Boya ,unashauriwa na Watu Vizur unaleta Masihara ,Ovyo sana
Hata wewe ndugu yangu kweli unaweza ishi miezi miwili kwa Laki? Au tunasanifiana tubora umemtolea uvuvu fala huyu, tena nahisi sio mwanafunzi anazengua tu sababu anajua mambo ya mkopo tu,