Nimeanza kuamini kwamba Bora Kununua tu…

Nimeanza kuamini kwamba Bora Kununua tu…

Hiyo ndio shida ya kutongozana Facebook
Sio Facebook wewe umejuaje km ni FB hio ni namba kavu sio app ya FB messenger

Screenshot_20250705_132205.jpg
 
Sasa wewe gia uliyoingia nayo una -mtreat kama Queen kumbe Paka tu ,,,, !

Mm huwa nina hulka moja, nikimtaman ke, huwa nikichukua namba pale mwanzo huwa namuambia "nataka nikuibe Leo ama weekend, nambie nakuibaje, hapo nataka bargain, nikiona poa nakula mzigo, ikitokea nimetaka tena nitamlipa, mambo ya kuhudumia siwezi, huyo sio mkeo !
Wazo zuri vipi kuhusu kumuudumia mwanamke uliye zaa nae lakini sio mkeo nae uhudumii?
 
Hata hiyo ya kuhamisha miamala ni zamani, 😂😂😂😂
Sahivi hakuna wa kumtumia kwa simu, ili akatwe? Utampa mkononi, utake, usitake.
😂😂😂😂😂😂
Ewaaa makato ya Nini Tena labda amtumie na yakutolea watu wanataka cash vinginevyo ataaibika mtu hapo yaani sio poa🤣
 
Hivi huwa zinanunulika ama wanatoa huduma
Kwa masaa kadhaa unanunua kisha yakiisha unamuacha na bidhaa yake ila ushainunua kwa muda na kuitumia kwa muda, ukitaka kuinunua jumla jumla ndio vile unawafugia na wengine chama la wana unakula na wao wanakula, akili kichwani
 
Back
Top Bottom