The humble Man
Member
- Mar 26, 2023
- 22
- 36
Huyu ni sha-
Ngazi kweli!!!!
Huyu ni sha-
Mzigo wa biashara kama bidhaa auKuna mmoja nilikutana nae siku ya kwanza,nikaomba mzigo akaniambia mpaka anichunguze Bado mapema Sana ndo anipe mzigo,nikamwambia fresh
Kesho akanicheki anataka nimuongezee 10k anataka kwenda kununua mzigo,
Nikamwambia Bado mapema Sana kumpa 10k.
Hajajibu sms mpaka kesho