Nimeanza kuamini kwamba Bora Kununua tu…

Nimeanza kuamini kwamba Bora Kununua tu…

huwez kuta mtoto wa kishua au pisi inayojielewa inaomba had vocha bora aseme dau tujue anauza tununue...
Ndio maana nikamwambia ukweli ila alivyo na anachofanya havifananii hata kidogo hapo ndio unashangaa hii inakuaje hii, na kuna wajinga wanatuma kweli sio mimi mimi nimeshtuka
 
Mpo busy na kupe, mtakufa masikini wallah. Wanawake wa sasa tumia akili sana kwenda nao sawa, bahati mbaya tunakitaka kipapa, wamesema hawauzi ila hawatoi bure...noma sana!!
Hawa malaya kuomba omba mimi sioni tatizo, tatizo ni hawa wake za watu nao wanaombaomba sana kama hawa malaya tuu.
Sijui familia zitakuwaje na maadili mema kama mama wa nyumba bado anapiga mizinga mitaani.
 
Back
Top Bottom