Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 8,069
- 15,754
2022 kuna Ke nilimwomba no hajageuza hata uso vizuri SMS hiyo "Tafadhali niongezee salio" nilimpigia simu kujiridhisha alikubali ni yeye nilimtumia 5000, kesho yake kashaniomba nimlipie kodi ya nyumba muda huo akidai hajiuzi, nilimjibu sina tukachati kidogo tu mara oooh "njaa inaniuma sijala" nikamwambia tukutane nikupe unipe akajibu sawa, nikampatia 10,000 alinunua chipsi kuku, soda pesa ikasha. Alijitetea "kesho ataenda kazini nimvumilie baada ya siku 5 nilimkubalia, siku iliyofatia alikuwa akichati nami kwa kusuasua sana, nilimuuliza kwanini anachelewa kujibu SMS? Alinijibu kuwa "hajisikii vizuri anahisi ana homa", kumuuliza anasubiri nini kwenda hospitalini? Alinijibu "hana pesa, nikamwambia aje geto achukue pesa eti oooh hali yangu ni mbaya sitaweza kuja ila nikienda alipo yeye atasogea distance km 1 nimpe pesa aende hospitalini"Kwa hio na wewe unasema bora kununua tu?
Naunga mkono hoja na mguu Me tununue tu Ke, hakuna kupendwa bila kutanguliza chapaa.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.