Nimeanza kuamini kwamba Bora Kununua tu…

Nimeanza kuamini kwamba Bora Kununua tu…

Hata siku moja situmi

Sikia kuna manzi mmoja niliruka nae hivi hivi basi chatting za hapa na pale akaanza mambo hayo hayo ya vocha, akanilazimisha sana alikua anataka 5k nikaona 5k kitu gani na ukizingatia mtoto tayari nimemwelewa si nikafanya muamala bila wasi tena alilazimisha anataka salio la kawaida kwa hio nifanye km namuongezea salio kwenye laini yake ya tigo, nikafanya hivyo eeh si unarudi ujumbe umemlipia mkopo wa Niwezeshe mteja mwenye namba hii kiasi cha 5k, ikabidi nivute waya nimpigie kumuuliza ndio umefanya nini? Jibu lake liliniacha hoi sana
😂😂😂😂
 
Weka hapa mbinu za kivita tuone utavyomnunua huyo Malaya Mkuu, inaonekana Mwamba kachemka namna ya kumshawishi Malaya ataje bei atayojiuza nayo.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Unatuma iyo buku kisha unamwambia njoo uchukue hela ya kula achomoki unakula kisha una mwambia nenda nakutumia af una block kama mjuzi itabidi umtumie
 
Weka hapa mbinu za kivita tuone utavyomnunua huyo Malaya Mkuu, inaonekana Mwamba kachemka namna ya kumshawishi Malaya ataje bei atayojiuza nayo.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Sijachemka kabisa mkuu ila huyu kaja naa mbinu mpya ya kivita, yaan meseji ya kwanza tu anataka bando ndio muendelee na mazungumzo mengine

Screenshot_20250705_115357.jpg
 
Bora uendelee kununua taratibu taratibu kuliko kuendelea kusumbuana akili na hawa watu
Sasa wewe gia uliyoingia nayo una -mtreat kama Queen kumbe Paka tu ,,,, !

Mm huwa nina hulka moja, nikimtaman ke, huwa nikichukua namba pale mwanzo huwa namuambia "nataka nikuibe Leo ama weekend, nambie nakuibaje, hapo nataka bargain, nikiona poa nakula mzigo, ikitokea nimetaka tena nitamlipa, mambo ya kuhudumia siwezi, huyo sio mkeo !
 
Hata siku moja situmi

Sikia kuna manzi mmoja niliruka nae hivi hivi basi chatting za hapa na pale akaanza mambo hayo hayo ya vocha, akanilazimisha sana alikua anataka 5k nikaona 5k kitu gani na ukizingatia mtoto tayari nimemwelewa si nikafanya muamala bila wasi tena alilazimisha anataka salio la kawaida kwa hio nifanye km namuongezea salio kwenye laini yake ya tigo, nikafanya hivyo eeh si unarudi ujumbe umemlipia mkopo wa Niwezeshe mteja mwenye namba hii kiasi cha 5k, ikabidi nivute waya nimpigie kumuuliza ndio umefanya nini? Jibu lake liliniacha hoi sana
Unadhani Ke wanaojiuza kwenye Badoo, Tango, Instagram, Telegram, Facebook, Twitter na porn sites huishi sayari zingine tofauti na hawa hawa akina Sikudhani wa Ushirombo?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Back
Top Bottom