Mission status: fail.
Hapo mkuu umefanya jambo la maana sana ingawa kwenye 10 kuna mmoja yupo ana angalau ila anaharibiwa na wale wengine 9 kwa hio wote wanakua ndio walewale, hii ilishanitokea miaka mingi iliyopita ni story nyingineKuna mmoja aliniomba salio, nikamtumia kwa muamala, ila hakunijulisha kama amepata. Nikamtumia ujumbe, hakujibu. Ikabidi nimpigie, hakupokea simu.
Nikaamua kurudisha muamala, muamala uliporudi tu, ndipo akanitumia ujumbe, asante kwa kurudisha muamala wewe ni katili sana.
Hawa viumbe usiwafikirie sana, hawana huruma na wewe, jijali kwanza na hudumia sehemu ambayo mnasikilizana na kupeana furaha.
Mpaka aombe kwa aliyemtumia meme 😂😂Hebu tuonyeshe meseji za juu pia, mbona kama tayari ulishamuomba mbususu japo ndiyo mmekutana tu 😅😅😂
Hili no Li Malaya na kwa hii style yake litaishia kukazwa nakutemwa
Ulimuuliza ni vitu gani hivyo 4-5 vifanyike ndo atoke?Wewe umegunduaje hapo mkuu kwamba huyu cha wote?
Sio Salama Jabir ni ule mpiraSalama yupi tena?