Nimeanza kuamini kwamba Bora Kununua tu…

Nimeanza kuamini kwamba Bora Kununua tu…

Aah kwenye kikao hukuwepo nini,
Sema kama nivocha tu itume mkuu nikama ulimbo huo
Hata siku moja situmi

Sikia kuna manzi mmoja niliruka nae hivi hivi basi chatting za hapa na pale akaanza mambo hayo hayo ya vocha, akanilazimisha sana alikua anataka 5k nikaona 5k kitu gani na ukizingatia mtoto tayari nimemwelewa si nikafanya muamala bila wasi tena alilazimisha anataka salio la kawaida kwa hio nifanye km namuongezea salio kwenye laini yake ya tigo, nikafanya hivyo eeh si unarudi ujumbe umemlipia mkopo wa Niwezeshe mteja mwenye namba hii kiasi cha 5k, ikabidi nivute waya nimpigie kumuuliza ndio umefanya nini? Jibu lake liliniacha hoi sana
 
Mpo busy na kupe, mtakufa masikini wallah. Wanawake wa sasa tumia akili sana kwenda nao sawa, bahati mbaya tunakitaka kipapa, wamesema hawauzi ila hawatoi bure...noma sana!!
Umaskini ulotopea ni Me kuwa mbabe wa kuhonga kila Ke nakati wamezagaa mijini kama bodaboda.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Hata siku moja situmi

Sikia kuna manzi mmoja niliruka nae hivi hivi basi chatting za hapa na pale akaanza mambo hayo hayo ya vocha, akanilazimisha sana alikua anataka 5k nikaona 5k kitu gani na ukizingatia mtoto tayari nimemwelewa si nikafanya muamala bila wasi tena alilazimisha anataka salio la kawaida kwa hio nifanye km namuongezea salio kwenye laini yake ya tigo, nikafanya hivyo eeh si unarudi ujumbe umemlipia mkopo wa Niwezeshe mteja mwenye namba hii kiasi cha 5k, ikabidi nivute waya nimpigie kumuuliza ndio umefanya nini? Jibu lake liliniacha hoi sana
Alisemaje? 😂😂
 
Hata siku moja situmi

Sikia kuna manzi mmoja niliruka nae hivi hivi basi chatting za hapa na pale akaanza mambo hayo hayo ya vocha, akanilazimisha sana alikua anataka 5k nikaona 5k kitu gani na ukizingatia mtoto tayari nimemwelewa si nikafanya muamala bila wasi tena alilazimisha anataka salio la kawaida kwa hio nifanye km namuongezea salio kwenye laini yake ya tigo, nikafanya hivyo eeh si unarudi ujumbe umemlipia mkopo wa Niwezeshe mteja mwenye namba hii kiasi cha 5k, ikabidi nivute waya nimpigie kumuuliza ndio umefanya nini? Jibu lake liliniacha hoi sana
Kawaida hiyo wengine tunawatumia nawanatublock
Hiyo nichangamoto yautafutaji 😁😁
 
Mpo busy na kupe, mtakufa masikini wallah. Wanawake wa sasa tumia akili sana kwenda nao sawa, bahati mbaya tunakitaka kipapa, wamesema hawauzi ila hawatoi bure...noma sana!!
Umaskini ulotopea ni kuwa mbabe wa kuhonga kila Ke nakati zimezagaa mijini kama bodaboda.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Sema nimecheka et nimeunga kwa mawasilian yangu na sio kuonge na wew umalaya 😂😂😂 uyo dada nimempenda naomba mawasiliano
Weka hapa mbinu za kivita tuone utavyomnunua huyo Malaya Mkuu, inaonekana Mwamba kachemka namna ya kumshawishi Malaya ataje bei atayojiuza nayo.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Back
Top Bottom