Nimeanza kuamini kwamba Bora Kununua tu…

Nimeanza kuamini kwamba Bora Kununua tu…

Unadhani Ke wanaojiuza kwenye Badoo, Tango, Instagram, Telegram, Facebook, Twitter na porn sites huishi sayari zingine tofauti na hawa hawa akina Sikudhani wa Ushirombo?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Mkuu acha kabisa yaan tena wala sikumdhania kabisa the way alivyo na the way ana-behave ni different
 
Unatuma iyo buku kisha unamwambia njoo uchukue hela ya kula achomoki unakula kisha una mwambia nenda nakutumia af una block kama mjuzi itabidi umtumie
Mbinu ya kizaman hii masta 😃 , yani mtoto wa mtu umgeuze geuze usiku kucha ama kutwa nzima umwambie nenda ntakutumia? Hayupo dem wa hivo, labda vitoto vya kijjn tena viwanafunzi ! Haya mapaka ya mjini ukimtumia hela laini hii , anaihamisha chap kwa namba yake ingine ama kwa rfk yake usije cancel muamala !
 
Mbinu ya kizaman hii masta 😃 , yani mtoto wa mtu umgeuze geuze usiku kucha ama kutwa nzima umwambie nenda ntakutumia? Hayupo dem wa hivo, labda vitoto vya kijjn tena viwanafunzi ! Haya mapaka ya mjini ukimtumia hela laini hii , anaihamisha chap kwa namba yake ingine ama kwa rfk yake usije cancel muamala !
Anahamisha muhamala chap 🙌🙌🙌
 
Mbinu ya kizaman hii masta 😃 , yani mtoto wa mtu umgeuze geuze usiku kucha ama kutwa nzima umwambie nenda ntakutumia? Hayupo dem wa hivo, labda vitoto vya kijjn tena viwanafunzi ! Haya mapaka ya mjini ukimtumia hela laini hii , anaihamisha chap kwa namba yake ingine ama kwa rfk yake usije cancel muamala !
Hata hiyo ya kuhamisha miamala ni zamani, 😂😂😂😂
Sahivi hakuna wa kumtumia kwa simu, ili akatwe? Utampa mkononi, utake, usitake.
😂😂😂😂😂😂
 
Wakuu, yaan hapa bora kununua tu kuliko kuleteana mambo ya ajabu.

View attachment 3394718
Ndio Leo mtakubali tu Mimi nimepitia yote Aya now mimejichagulia pisi yangu Moja naishi nayo now mwaka na nusu sasa mambo ya upwiru sio kesi zangu Tena maishani nakula nitakavyo wazee wa kataa ndoa mpaka mtaelewa tu kudadeki🤣
 
Jaribu uone kitakachokukuta utakuja kusimulia ila jitahidi sana ufanye mbali na watu wanapokufahamu maana aibu na fedhea utakayoipata sio ndogo
Haaaha unapiga makofi anatulia yeye na anasepa
 
Utashikwa shati na kupigiwa makelele hapo mpaka uchanganyikiwe umekula halafu hutaki kulipa ataondoka na Simu yako akauze
😂😂😂😂😂
Jamaaa alikunjwa shati, anajifanya mbabe, anashangaa kende zimeminywaa, "unatoa hutoi"
Mdada piga kelelee "mwiziiii huyuu" wapangaji wenzie walio vyumba vingine kujaa shazi pale mlangoni.

Mkaka wa watu, afu mtumishi wa serikali, alijawa na aibu, alijuta kabisaa. Lol
😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom