Rabonn
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 5,788
- 11,185
Sure...Alikuwa mume wa mtu;si ndio tuko hivyo tuna huruma sana
Sure...Alikuwa mume wa mtu;si ndio tuko hivyo tuna huruma sana
Gud .kwahiyo kwa kioindi hiki upo una pasha pasha game za mchangani wakat unamngoja a.k.a ndondoKwakweli moyo wangu unaniambia nivute subira huenda atarudi
Kama hujaona tofauti basi pole sana ndugu.. Ila ukiuliza mwanaume kamili hatakuacha bila nasaha.Kama sikosei hiki ndicho kilichomkimbiza huyo ndugu. Huu wehu utakuwa ulianza kabla hajaamua kuanza mbele.
kumbe jibu unalo!!Nilishauliza alinijibu amegundua kuwa hataweza kunioa hivyo tusipotezeane muda.
wengine hatuangalii vya chura wala flat ni kupitisha bulldoser tu.Atakuwa amepata mwenye chura huyo,ila usijali unatakiwa utafute mwingine
Mkuu, kwanza kabisa nikupe pole kwa kuachana na uliyekua ukimpenda,Huyu mwanaume alinifaa kwa hali na mali. Nilikosa ajira akanifungulia duka. Aliniacha mwaka mmoja ukuopita lakini sijaweza kumsahau. Ana akili sana na alikuwa mshauri wangu mkuu.
Ninatamani aje aone maendeleo yangu, duka limepanuka na nimeongeza na container ninauza vinywaji.
Pamoja na yote Mungu azidi kukubariki.
Freyzem you made my day broh [emoji28][emoji28][emoji28]Style mpya ya kutafuta mume hii...!
hii tunaitwa ggBora huyo amekupa na mtaji, wazee wa mkeka tanasema mkeka wako hukuchanika
ha ha ha hawengine hatuangalii vya chura wala flat ni kupitisha bulldoser tu.
Kama unamuona online,
Jaribu kumtumia text ya kuonesha tone of appreciation kwamba unamshukuru kwa wema wake na umefikia wapi mpaka sasa ...umshukuru kwa yeye kua part ya maisha yako .
Trust m hata asipojibu ila atatabasamu kimoyo moyo hahahaha
NB : usimtumie text ya mapenz ,just shukuru
Je mawasiliano yapo? Au ndio hamuonani kbs? Labda alifariki? Maana siku hizi kumaliza mwaka ni shughuli kweli kweli! Hebu fuatilia hayo halafu utupe mrejesho wake!
Possible kbsaaaNI HIVI
Aliumia sana kukuacha, nafsi ilimsuta akaona asikuache bila chochote. Pengine aliona mlipoteza mda mwing mkiwa pamoja naww ukawa mwwminifu kwake. Bila shaka hujawah hata kumkera
Huwa hawasemi...wanasepa kimya kimya tu....hahaaaaa jokingUjue nilikufungulia duka ili usiwe kila kitu waniomba mimi, ila chaajabu hata nilipokufungulia hilo duka bado ratiba zako zakuniomba pesa ziliendelea kama kawaida.
Ndio kama mimi nilivyosepa kimyakimyaHuwa hawasemi...wanasepa kimya kimya tu....hahaaaaa joking
Ukaja semea jf hahaaaaaaNdio kama mimi nilivyosepa kimyakimya