Nimeachwa na mwanaume baada ya kunifungulia duka

Nimeachwa na mwanaume baada ya kunifungulia duka

Huyu mwanaume alinifaa kwa hali na mali. Nilikosa ajira akanifungulia duka. Aliniacha mwaka mmoja ukuopita lakini sijaweza kumsahau. Ana akili sana na alikuwa mshauri wangu mkuu.

Ninatamani aje aone maendeleo yangu, duka limepanuka na nimeongeza na container ninauza vinywaji.

Pamoja na yote Mungu azidi kukubariki.
Maajabu haya!! Wee ni mwansmke wa kwanza kusikia UNAKIRI fadhila na msaada ulofanyiwa na MAN!!
Mungu akubarikie zaidi na uwakumbuke walau Ndg zake!! (Saudia uzidishiee)
 
At long last l have a seen a lady appreciate an x boyfriend. Naomba ukawe balozi kwa wale wanawake wajinga ambao ukiwagusia mapenzi wanasema wanaume wote baba mmoja mama mmoja.Nakerekaga sana na hiyo kauli basi tu siwezi kubadilisha kitu.
Na hao wanawake wajinga wamo humu pia
 
Wanaume tutafute hela, lasivo tutakosa hata title ya 'mshauri'
 
Huyu mwanaume alinifaa kwa hali na mali. Nilikosa ajira akanifungulia duka. Aliniacha mwaka mmoja ukuopita lakini sijaweza kumsahau. Ana akili sana na alikuwa mshauri wangu mkuu.

Ninatamani aje aone maendeleo yangu, duka limepanuka na nimeongeza na container ninauza vinywaji.

Pamoja na yote Mungu azidi kukubariki.
Ndivyo ilivyo, kuna mdada mmoja alinifaa sana wakati nipo chuoni. She helped me to the maximum, she only requested love from me! Unfortunately that was the thing I couldn't give to her.

Today namshkuru mungu maisha yangu yapo sawa kabisa, I wish I could do something great for her but she is nowhere to be found.

One day ntakwenda nyumbani kwao ili nijue kuhusu yeye! But yeah, still I cannot be with her.....
 
Mashart ya mganga Wetu unapotaka kumtoa mtu msukule km mwanamke unamuachia mtaji alfu u asepa ahisahau kwanza na marafuku kuwasiliana nae hata akipiga au ukaonana nae kwa bahati mbaya haitakiwi yy ni msukule unaotembea haaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
cjakuacha bado napambana,nataka nikupime kama una uwezo wa kuliendelez,tarajia cku yyte nitakuja ko uweke hesabu zako vizur,
 
Alichokifanya hakina tofauti na wale wanajenga mansion wakiwa na wake zao halafu siku ya siku mwanaume anakimbia mansion na kwenda kuishi nyumba ya chumba kimoja.

So huenda kwake ilikuwa salama kukuachia hilo duka kuliko kuendelea kuwa na wewe
Ukweli mtupu
 
Back
Top Bottom