Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,317
- 7,738
Habari zenu,
Kama title inavyosema, nina duka la vinywaji baridi na moto, ila nimeamua kuuza kutokana na kukosa msimamizi na shughuli zangu zimekuwa zinanibana sana.
Hivyo Ninauza
1. Containter (20FT) Pamoja na
2. Crates za beer (TBL 78, SBL 45)
3. Soda (Coca 40, PEPSI 28)
4. PIKIPIKI TVS
5. Tolori la kusukuma
6. Vinywaji vyenye gharama ya 700,000
7. Mkataba wa eneo (Maana nilikodi eneo nikajenga ofisi kwa container)
Price 11,000,000
Eneo ni Goba njia nne (Lalata street) Ni barabarani kabisa.
Interested, call 0768000893, 0658536683
Kama title inavyosema, nina duka la vinywaji baridi na moto, ila nimeamua kuuza kutokana na kukosa msimamizi na shughuli zangu zimekuwa zinanibana sana.
Hivyo Ninauza
1. Containter (20FT) Pamoja na
2. Crates za beer (TBL 78, SBL 45)
3. Soda (Coca 40, PEPSI 28)
4. PIKIPIKI TVS
5. Tolori la kusukuma
6. Vinywaji vyenye gharama ya 700,000
7. Mkataba wa eneo (Maana nilikodi eneo nikajenga ofisi kwa container)
Price 11,000,000
Eneo ni Goba njia nne (Lalata street) Ni barabarani kabisa.
Interested, call 0768000893, 0658536683