Nimeachwa na mwanaume baada ya kunifungulia duka

Nimeachwa na mwanaume baada ya kunifungulia duka

Wakati wa Jah-kaya raha sana....unahonga tu

Sasa hivi unatamani hata ukavichukue vinyumba,magar,maduka uliyohonga
 
Ujue nilikufungulia duka ili usiwe kila kitu waniomba mimi, ila chaajabu hata nilipokufungulia hilo duka bado ratiba zako zakuniomba pesa ziliendelea kama kawaida.
 
hukumpenda yeye,ila ulipenda mali zake kama ungempenda yeye mngekua na mawasiliano mpaka leo.alivyokufungulia duka ukaona mali ndo kila kitu yeye hukumjali ,hatimae akaona mali si kitu wacha aondoke zake kwa sababu hukumthamini,sasa ndo umegundua mali si kitu kuliko mahusiano yenu ndo maana unalalamika.
la msingi,wanawake wengi mnathamini mali kwa kuona mali ndo kila litu,wakati si kweli.
mahusiano yana thamani sana ila,wanawake sijui nani kawaambia mali ndo ina thamani.mtafute hujashindwa mtafuta ila hutaki tu.
 
Ila nahisi ulipobugi ni pale ulipoendelea kumtegemea kwa bills kama za umeme, DSTV, et al huku yeye aliamini kwa kukupa biashara taratibu utamwacha huru na kujitegemea. Mwanamke mjanja lazima ujitaidi kumpunguzia mwanaume stress za matumizi yako au ya familia. Uwe makini kwenye new relationship..
 
Dah, stor yako kama yangu mwaka 2017...mm nlipata mdada aliyenizidi umri.....advocate fulani hvi.....alinifungulia pub na kuninunulia kiwanja goba...
Mwishowe akantelekeza...
Inaniniuma sana bado nampenda
Hii story yako nahisi tofauti na ya yule.. Embu jaribu kuoanisha kwa ukaribu zaidi..[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Mara nyingi watu kama hao huwa ni Usalama wa Taifa ... Trust me ! .... Huwa hawanaga cha kupoteza ! akimaliza Research zake anasepa ..hiyo inaitwa Tusijuane.com [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Nilikuwa kama mwehu siku za kwanza niliandika WhatsApp message kama zote sasa ninatumia ubongo zaidi nimeacha kumpata mbadala si sasa bado ninampenda
Kama sikosei hiki ndicho kilichomkimbiza huyo ndugu. Huu wehu utakuwa ulianza kabla hajaamua kuanza mbele.
 
Back
Top Bottom