loosimingori
JF-Expert Member
- Oct 30, 2017
- 920
- 1,144
hivi kuna mwanaume anaweza kukufanyia hivyo?Shukuru Mungu dada. Wenzie hatuachwi hata na buku ya kumbukumbu
hivi kuna mwanaume anaweza kukufanyia hivyo?Shukuru Mungu dada. Wenzie hatuachwi hata na buku ya kumbukumbu
HahhaahhaahaAu wewe ni mama D wa kwenye Naipenda Jumamosi yangu ? all the best
Ndiohivi kuna mwanaume anaweza kukufanyia hivyo?
hao jamaa wamechezea bahati sana,ningepata hiyo nafasi ucngejuta abadan!Ndio
Apia jamani??hao jamaa wamechezea bahati sana,ningepata hiyo nafasi ucngejuta abadan!
unaamini kiapo kipi?cha dini au cha kimila!Apia jamani??
Cha pesaunaamini kiapo kipi?cha dini au cha kimila!
okay tuma no.ya muamala uone makeke yanguCha pesa
Natuma nioneokay tuma no.ya muamala uone makeke yangu
nipo ready nakusubiriNatuma nione
Sawa.nipo ready nakusubiri
Yawezekana kunakitu alikigundua kwako au yeye mwenyewe anacho ambacho aliona akikuambia hicho kitu utaumia sana na ukizingatia alikupenda mpaka akakuvusha akakupeleka mahali flani pa juu, akaona isiwe taabu ngoja apotee kimya kimya. That man is a real gentleman, i also appreciate him, endelea kumwombea, kunamsemo unasema " If you need something too much let it go, if it comes back it is because it was yours and if it doesn't, it is because it was never meant" so lelax dada zingatia biashara yako aliyokuachia kama ishara ya kumbukumbu yake muhimu kwako.Huyu mwanaume alinifaa kwa hali na mali. Nilikosa ajira akanifungulia duka. Aliniacha mwaka mmoja ukuopita lakini sijaweza kumsahau. Ana akili sana na alikuwa mshauri wangu mkuu.
Ninatamani aje aone maendeleo yangu, duka limepanuka na nimeongeza na container ninauza vinywaji.
Pamoja na yote Mungu azidi kukubariki.
Kwel ubarikiwe san ni wachache wanakumbukag fadhil wngne mkishachan hawasem ata asanteHuyu mwanaume alinifaa kwa hali na mali. Nilikosa ajira akanifungulia duka. Aliniacha mwaka mmoja ukuopita lakini sijaweza kumsahau. Ana akili sana na alikuwa mshauri wangu mkuu.
Ninatamani aje aone maendeleo yangu, duka limepanuka na nimeongeza na container ninauza vinywaji.
Pamoja na yote Mungu azidi kukubariki.
Huyu mwanaume alinifaa kwa hali na mali. Nilikosa ajira akanifungulia duka. Aliniacha mwaka mmoja ukuopita lakini sijaweza kumsahau. Ana akili sana na alikuwa mshauri wangu mkuu.
Ninatamani aje aone maendeleo yangu, duka limepanuka na nimeongeza na container ninauza vinywaji.
Pamoja na yote Mungu azidi kukubariki.