Daisy Llilies
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 1,017
- 2,163
- Thread starter
- #21
Nilishauliza alinijibu amegundua kuwa hataweza kunioa hivyo tusipotezeane muda.Kama ulikuwa na uwezo wakukaa nyumbani kwake ata kwa week mbili why usiende kwake ukamuulize kwa nn kafunga vioo?