Nimeachwa na mwanaume baada ya kunifungulia duka

Nimeachwa na mwanaume baada ya kunifungulia duka

Aisee...hapa natafakari ombi la simu, tena nimeambiwa iwe Samsung Galaxy!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] toa tu baba sasa utafanyaje?!!![emoji1745][emoji1745]

Mie naomba mtaji
 
Inawezekana mkewe yuko sehemu nyingine;ukitaka kuthibitisha hilo nenda pale ulipokuwa unakaa naye wiki nadhani majibu utapata;nasema hivyo kwa sababu hata mimi kuna sehemu nilishakaa zaidi ya mwaka mbali na mke,na wengine wakajua sijaoa.
Mkuu ukila na kipofu usimshike mkono......chama cha wanaume kitakushtaki kwa kutoa siri za ndani.
 
Are you serious? Hivi suala nyeti kama hilo unaliongelea as if ni boksi la biskuti la kumpa tu mtu[emoji134][emoji134][emoji134]
Nipo serious...tena ungekuta wapo pamoja jadi leo,mtoto ni kiunganisho bora sana kwenye mahusiano
 
Huyu mwanaume alinifaa kwa hali na mali. Nilikosa ajira akanifungulia duka. Aliniacha mwaka mmoja ukuopita lakini sijaweza kumsahau. Ana akili sana na alikuwa mshauri wangu mkuu.

Ninatamani aje aone maendeleo yangu, duka limepanuka na nimeongeza na container ninauza vinywaji.

Pamoja na yote Mungu azidi kukubariki.
Amegundua tabia yako siyo nzuri bora ajitoe mapema.
 
Back
Top Bottom