Nimeachwa na mwanaume baada ya kunifungulia duka

Nimeachwa na mwanaume baada ya kunifungulia duka

Kama unamuona online,
Jaribu kumtumia text ya kuonesha tone of appreciation kwamba unamshukuru kwa wema wake na umefikia wapi mpaka sasa ...umshukuru kwa yeye kua part ya maisha yako .

Trust m hata asipojibu ila atatabasamu kimoyo moyo hahahaha

NB : usimtumie text ya mapenz ,just shukuru
I did and he saw it and kept quiet.
 
Shukuru Mungu amekuachia na duka

Kwanini alikuacha?
 
Tatizo mnazingua sometimes ndo mana mnaachwa kimya kimya..Mwanaume anapokufungulia biashara fahamu kuwa ana taka na wewe akili yako ifanye kazi mara 100 ya hapo ilipo,sasa kama wewe umefunguliwa biashara halafu huwazi anavyotaka anaona utamchelewesha TU kwenye safari yake ya u billionare.

Trust me mwanaume anaekufungulia biashara 1.anakusaidia wewe 2. Anakusaidia akiamini siku 1 utakua msaa da kwake sasa we b dada mwanaume wako alikua ana akili za Ferari ila wewe akili zako zikawa za Passo..amekulia taiming kaona mpk uchanganye sio LEO.

ndio mana umeachwa..Trust me mtafute uone mpenzi alienae uone alivyo lazima atakua ni bi shost mmoja ana mawe kinoma YES wanaume wa siku hizi wanataka mwanamke upstairs yuko vzuri napokuja swala la kutafuta shilingi.

Biashara yako imechangamka haijafa kama unavyosema ila umechelewa sana kufika hapo speed aloitegemea sio hyo ulio ionyesha so ukitaka umpate tena sio kwamba hakufatliiii..Piga biashara kwa speed zake kufka mwakani ufungue depot la vinywaji..UTAMUONA AKIRUDI.

mawazo yangu sio sheria
 
Back
Top Bottom