Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Simba; Uliza swali lolote utakalo, usiwe na wasi wassi kabisa, tunaloweza kujibu tutakujibu, tusilowezq tutasema.

Angalizo, usitegemee majibu yote yatakua kama ulivyofundishwa au ulivyojifundisha wewq kwengine.

Unaona Waislam wana haha hapa. Ingawa mimi ni Muislam mwenzao nawapa elimu ambayo hawajawahi kuisikia, wanaanza jazba. na spana, na ningekua karibu wangeshatoa bakora.
;Simba.
Nani akubali elimu ya kupotoshwa tukubali tu hakuna mazazwa humu kama waamuni wa manabii kiboko ya wachawi tulubali tu humu spana utakula tu tunataka fact unaleta janja janja 😁Majini waongo hata Arsis muongo tu sheytwan wa Kijini😁
 
Yaani wewe umemzidi huyo so Called Arsis 😀alofungwq kwenye chupa miaka 925 alokuwa enzi sijui za Basis hawezi kuelezea japo kama ulivyo elezea 😁na akilelezea havieleweki utata mtupu ni muongo mpotoshaji.
Simba; Au umekasirika kuambiwa Sheikh wako hana elimu ya kutosha?

Atrsis ana elimu kubwa sana, kupita maelezo, iteni wasomi, sio sisi. Hatumuwezi kielimu.

Hivi ndugu yako alijibu maswali alioulizwa?
Simba.
 
Simba; Au umekasirika kuambiwa Sheikh wako hana elimu ya kutosha?

Atrsis ana elimu kubwa sana, kupita maelezo, iteni wasomi, sio sisi. Hatumuwezi kielimu.

Hivi ndugu yako alijibu maswali alioulizwa?
Simba.
mzee kisa cha unguja vipi.tunachoka hapa.
 
My Life Experience

Unknowns Creature ni kweli wana exist ila wana majina mengi sana ambayo kila mtu anapendelea kuita.

Ni kweli kama mtoa mada alivyosema kuhusu ulimwengu zipo sita.

Binadamu hatuna access ya ulimwengu wowete katika hizo sita isipokuwa huu wa kwetu.

Unknowns creature hawana miracle yeyote isipokuwa ni knowledge ambayo wao wanayo ambayo inapatikana katika ulimwengu wao. wao kwa wao pia wanazidiana maarifa na mwenye maarifa mengi ndio mwenye nguvu zaidi.

Natural form yao hai support life kwenye ulimwengu wetu. Ili waweze ku exist kwenye ulimwengu huu wana shape shift ili kuendana na mazingira yetu, Knowledge yao imefanya hiyo kuwezekana isipokuwa ni kwa muda maalum wa masaa 5 tu then wanarudi kwao.

Kuna machotara ambao wanazaa na binadamu ambao hao wanaweza kukaa ulimwengu huu kwa muda mrefu, Chotara haruhisiwi kufika wala kukanyaga ulimwengu wa unknown creature kwasababu miili yao hai support life kwenye ulimwengu wao.

Unknown creature hawezi kuongea lugha yeyote ile ya ulimwengu huu isipokuwa kwa ishara au alama kupitia maandishi ambayo ataandika kwa lugha ya ulimwengu wao then wewe utatafsiri kupitia kitabu ambacho atakuletea yeye mwenyewe. Chotara wa unknown creature anauwezo wa kuongea lugha ya ulimwengu huu tena kwa ufasaha.

Nina mengi ya kuandika ila nitaandika taratibu.
Arsis: Sikusema Ulimwengu nimesema dunia au ardhi, zipo saba pamoja hii tuliopo sasa.

Halafu English, toa hio s kwenye unknown, iweke kwenye creature. lakini ingependezaa zaidi ungeandika "creation badala ya creature.

Dunia zote zina support life zote.
Arsis.
 
Simba; Weka post namba ngapi, utajibiwa.
Simba.
Naomba kuuliza kuna Ukoo utakuta hauna mwenye mafanikio hasa kiuchumi, unatumia nguvu kubwa sana kutafuta ilà huendi mbele, maelewano pia hakuna ,je ni mizimu imekasirika au agano fulani la mabàbu au Mungu ndio kapanga hivyo.

Naomba nihamie ukòo wa simba kama inawezekana..
 
Mimi nipo kwenye Adamu kwanza vipi niende kwa Hawa aliyakuwa hatujahitimisha kuhusu Adam, Twende taratibu tummalize Adam.
Kama maelezeo yangu ni ya kibubusa basi nataraji unifafanulie tena kwa ushahidi maana umesema waislamu sisi ni the most bogus hatuielwei qur an sasa nina maswali kwako
1. Nii aya gani hatuielwei na kivipi? fafanua.
2. Nimetoa aya baqarah 2:30 Unasema maelezo yangu ni yakibubusa lakini mimi nimetumia quran basi naomaba aya inayosema adam sio mtu wa kwanza katika quran.
3.Mimi siwezi leta jazba katika ilmu ndio maana nipo hapa hakuna mahali nimetumia lugha mbaya nadhani katika quote zote nilizo ku-quote,Asante.
Arsis; Kibubusa umesema wewe sio mimi. mimi nimerudia tu hilo neno, rudi ukajikumbushe.

Mimi nilikuahidi nitakuja kukupa darsa ya aya zako ulizoweka.

Adam si tumemaliza, umekiri kua Qur'an haikuelezea? Au umesahau? Ukaja na hadith, hujasema ya nani au ni yako mwenyewe?.

1; hakuna aya niliosema siielewi.
2. Hakuna mahali nimesema maelezo yako ya kibiubusa, usitie maneno yako kwenye maandiko yangu. Y))Tafdhali, niliandika aya nitakuja kukufundisha, hazionh)gelei Adam kua mtu wa kwanza,
3. jazaba unaleta mpaja unasahau maneno ulioandika wewe, unasema yangu. Nakushaauri kanisome tena.
Arsis.
 
Mimi sina akili kuliko Allah ila nimetumia akili ambayo kanipa ALLAH kama alivyosema katika Quran
  • Surah Al-Imran (Sura ya 3), aya ya 190-191:"إِنَّ فِي خَلْقِ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ وَاخْتِلَافِ اللَّيْلِ وَالنَّهَارِ لَآيَاتٍ لِّأُولِي الْأَلْبَابِ"Tafsiri: "Hakika katika uumbaji wa mbingu na ardhi na tofauti ya usiku na mchana kuna ishara kwa wenye akili."
Hivyo, hapo utaona ALLAH katoa mfano wa usiku na mchana kuwa ni ishara kwa wenye akili, Vipi kuhusu Quran yenyewe ndio tuisome kibubusa? jibu ni hapana inabidi tutumie akili katika kuyaelewa mafundisho ya ALLAH, Kama alivyoseema mtukufu wa daraja Rasullullah Muhammad swalahu alaiy wasalam

"مَن لَا عَقْلَ لَهُ لَا دِينَ لَهُ"Tafsiri: "Yeyote ambaye hana akili, hana dini.
Hata hivyo kwakuwa umeahidi kunifundisha nasubiri je wewe umeelewaje aya hizo. Asante.
Akili ni nini kwa mujibu wa Qur'an?
 
Arsis; Ufafanuzi wake ni kua Adam hajatajwa kua ni mtu wa kwanza kwenye Qur'an. Labda kwengine.
Arsis.
Una kichwa kizito..

Mbona katajwa Al baqarah (30-31)
[/QUOTE]

Arsis: Mbona tena unaanza kua mganaga wa kichwa? YTuwe na kauli za kielimu hapa hakijadiliwi kichwa changu wala chako. Labda chngu kizito kwa kua kina mengi sana, Vipi chako, chepesi?

Adam katajwa sehemu nyingi kwenye Qur'an sio hapo tu, hapo hapajasema kua ni mtu wa kwanza, pasome vizuri.

Kwa kukuzidiishia maarifa, anza kusoma aya ya 26 mpoaka ulipofikia au endelea zaidi unaweza kuelewa kitu kipya. Bila kufata tafsiri za watu, zinatofautiana.
Arsis.
 
Dhahiri shahiri boss,hapa tumepigwa
Simba; Umepoigwa au elimu ya Arsis inakuchanganya? Huyo ndio Arsis.

Sijaona mkijibu swali lake la Adam isipokua mmoja tu kakiri kua Qur'an haijaelezea. Vipi wewe unajua ilipoelezea kua ni mtu wa kwanza. Hawa umemtoa wapi? Mimi na ubishi wangu hilo sijalipata mpaka aliponifundisha yeye ;lilipopatikana.

aArsis anasema, adam ni wengi sana. Unakubali hilo au unakataa?
Simba.
 
Arsis; Ndio nimemuona. Watu wengi sana wanamuona. Hata ukimuota ujue umemuona yeye kweli, hawezi Shetani kuja kwa umbo lake kwenye ndoto.
Simba.
Umbo lake unalijuaje kama kuna mahali kwenye Quran wamedescribe anaonekaje??
 
HII SIMULIZI WAKATI INAANZA NILIIPENDA SANA MPAKA PALE ALIPOINGIZWA ARSIS, KWA ZILE SIFA ZA KWENYE SIMULIZI NA KUSEMA ARSIS ATAKUWEPO KUJIBU MASWALI WENGI WAKAWA NA SHAUKU KUTAKA KUULIZA MASWALI WAPATE MAJIBU NA WENGINE WATATATULIWE SHIDA ZAO.

IKAWA KINYUME NA MATARAJIO YA WENGI MPAKA WENGINE WAMEPUUZA UZI WANASOMA KAMA BURUDANI SABABU SO CALLED ARSIS ALIJIBU MASWALI ANAYO YATAKA YEYE AU NI SEME MEPESI KWAKE NA MENGINE ALIJIBU KWA KIFUPI SIO CLEAR YAANI ANAJIBU HUJAELEWA NA HATAKI KUELEZEWA UELEWE HATA MASWALI YALIVYO JIBIWA SIO YA MTU KWENYE ELIMU ALIYO JINASIBU KUFUNGIWA KWENYE CHUPA SIJUI NA MAJINN WAKUBWA JINN SUBIAN TU HAJAJIBU KAJIBU TU MAANA YA SUBIAN NI SABAYIN YAANI HAKUNA UFAFANUZI YAANI HAKUNA ILE ELIMU DEEP UKASHIBA NI KAWAIDA SANA NA NDIVYO WALIVYO WATU WASOJUA HUJIONA WANAJUA WAO BORA KULIKO WENGINE KAMA KUNA MTU ANAAMINI KUNA ARSIS SIJUI UTAPATA ELIMU MAJIBU YA MASWALI YAKO NA MJANJA KUKATAA INBOX KUSEMA WATU WAULIZE HAPA HADHARANI WATU WAJIFUNZE ANAJUA SIO RAHISI MTU AJIANIKE AU KUSEMA AJE NA ID NYINGINE NDO MAANA WALOULIZA KUELEZEWA SHIDA WAMEACHWA WANAELEA NASIKITIKA HAMTOPATA MNACHO KITARAJIA HAPA HAMNA KITU ILA MPAKA UWE NA D 2 😁 NDO UTAELEWA VILE WENGI HAWANA ELIMU YA MAMBO HAYO NDO KABISA MIE BINAFSI NILISHAWAHI KUMUULIZA SIMBA AMUULIZE ARSIS NILIMPA MASWALI AMBAYO ANGEJIBU NINGEJUA ELIMU IPO ILA SIMBA AKASEMA ATAULIZA ILA HANIPI AHADI I KAKA TANGAZO HAKUNA PM KUNA MASWALI NIKAULIZA SIJAJIBIWA NIKAJIBIWA TU NIMEULIZA MENGI KWA PAMOJA NIULIZE MOJA WAKATI INAWEZEKANA KUJIBU MOJA MOJA AENDELEE NA STORY ZA KAMBA NA BABU WA SOMALI ILA ELIMU HAKUNA HAPA NIENDELEE NA MAMBO MENGINE YA UTAFUTAJI MAISHA OVER AND OUT NATEREMKA HAPA BOAT YANGU IMETIA NANGA KUNA WATU KAMA LIDAFO ETUGRUL BEY FAIZA FOXY NAWEZA KUSEMA WANA ELIMU KULIKO SO CALLED SIMBA NA ARSIS WAKE.
NAUUNGA HOJA YAKO 100% ! UNAMFUATA PM ANAKUAMBIA UJE ULIZE KWENYE UZI WAKE NA UKIULIZA ANAKUPOTEZEA KAMA HAJAONA ! KAMA HAWEZI KUPITIA KILA POST YA MTU IWEJE ALAZIMISHE KULIZA HAPA KWENYE UZI WAKE? MIONGONI MWA MASWALI NINYOJIULIZA.
KAMA KWELI UMEAMUA KUJA HAPA KUSAIDIA NA KUTOA ELIMU BASI USIBAGUE WAKUWAJIBU NA HATA TUNAOKUJA PM TUZINGATIWE SYO KILA MTU ANAPENDA KUANIKA MATATIZO YAKE HAPA. ILA WEWE MLEDA STORI NA ARSIS WAKO MKO HAPA KUWAZIHAKI WATU NA MATATIZO YAO!
 
Naam ...

Iko hivi Qur'an Ina Kila kitu ( past, Present, Future)

Ukiona Kuna kitu hujawahi kukiona haimaanish kwamba hakipo

Huyu kasha amiliana na Masheytwan hivyo washamtoa katika njia (kakufuru)

Kwa kuzipinga Aya za Quran i.e mtu wa kwanza sio Adam & Mariam hakua bikra

Inna Lilah wanna ilayhi rajiun (Ndugu yetu huyu ni msiba)
Arsis; Hilo la kwanza nakubaliana na wewe 100%

La pili gunaogelea ni adam kua ni mtu wa kwanza dunini, hili liko wapi kwenye Qur'an? Na hawa mmemtoa wapi?

Hiyo "amiliana na Masheytwan" ndio nini maa yake?

Msiba kweli kwa wasio na elimu na hataki kufundishwa wala kujinza. Waislam hatutakiwi kabisa kua na elimu kipofu. Tunatakiwa tuhoji, tusome tuelewe kila kitu kitukinaishe. Au sivyo?

Tunnajinza kupitia Qur'an, kama hatuelewi kitu tuulize wenye kujua. Nikupe aya, au umekubali hili?
Arsis.
 
NAUUNGA HOJA YAKO 100% ! UNAMFUATA PM ANAKUAMBIA UJE ULIZE KWENYE UZI WAKE NA UKIULIZA ANAKUPOTEZEA KAMA HAJAONA ! KAMA HAWEZI KUPITIA KILA POST YA MTU IWEJE ALAZIMISHE KULIZA HAPA KWENYE UZI WAKE? MIONGONI MWA MASWALI NINYOJIULIZA.
KAMA KWELI UMEAMUA KUJA HAPA KUSAIDIA NA KUTOA ELIMU BASI USIBAGUE WAKUWAJIBU NA HATA TUNAOKUJA PM TUZINGATIWE SYO KILA MTU ANAPENDA KUANIKA MATATIZO YAKE HAPA. ILA WEWE MLEDA STORI NA ARSIS WAKO MKO HAPA KUWAZIHAKI WATU NA MATATIZO YAO!
Simba; Kutumia maandishi makubwa kwenye kuandika ni kufanhya matangazo, kama unaniuliza au kunieleza mimi hauna haja ya kuandika kwa herufi kiubwa ka huyo uliemjibu.

Habaguliwi mtu wala jini hapa. Uliza kwa kutumia herufi ndogo, usomeke vizuri.
Simba.
 
Arsis; Swali zuri sana hili, lina faida kubwa.

Siku hizi Allah ametujaalia elimu ya vipimo, amekwenda hospita na tabibu "takhasus" wa masuala hayo?

Intakiwa yeye na wewe mumewe upime, tatizo linawe kua popote kati yenu.

Kama bado anapata hedhi yake, ni jambo dogo sana hilo. hata kamA HAPATI HEDHI YAKE, Siku hizi kuna tiba inaitwa "invitro fertilization" imewasaidia wengi sana.

Ibada muhimu sana. Soma na dua sana kumuomba Allah, wakati unafanya hayo. Ukisoma dua Kiarabu usitumie neno "Allahuma", Tumia neno Rabbana au Rabbi". Hii ni elimu nyingine.
Arsis.

Tuanzie hapo kwanza.
Simba.
Wote tuko sawa kivipimo. Pia kwa ushauri wako huo sisi sio waislam. Hakuna tiba kwa mujibu wa Arsis ambayo ni mbadala wa hizi za hospitali? Pia tueleze kuhusu hiyo invitro fertilization
 
Simba; Kutumia maandishi makubwa kwenye kuandika ni kufanhya matangazo, kama unaniuliza au kunieleza mimi hauna haja ya kuandika kwa herufi kiubwa ka huyo uliemjibu.

Habaguliwi mtu wala jini hapa. Uliza kwa kutumia herufi ndogo, usomeke vizuri.
Simba.
Niliyeunga hoja yake ameandika herufi kubwa ndyo maana na mm nikandika!
 
Hapana siwezi kasirika sababu elimu zimetofautiana anae sema mwenzie hana elimu yeye ndo hana elimu kabisa mweupeee na mpotoshaji.
Simba; Au umekasirika kuambiwa Sheikh wako hana elimu ya kutosha?

Atrsis ana elimu kubwa sana, kupita maelezo, iteni wasomi, sio sisi. Hatumuwezi kielimu.

Hivi ndugu yako alijibu maswali alioulizwa?
Simba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom