Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Arsis; Kwani tukiongea kiheshima kuna tatizo?
Kwani hio binadam ni ajabu kwao? Mama yake yake yeye sio mama yako wewe. kwani wewe umetoka wapi?
Wacheni kua na fikira mbaya mbaya, tufundishane biology hapa tuone wewe umetoka wapi? au hujui?
Simba.
Mbona ni swali rahisi, ungejibu tu. Mambo ya kufundishana biolojia yanatokea wapi sasa?
Hlf kama ni kawaida kwanini aseme ametubu?
 
My Life Experience

Unknowns Creature ni kweli wana exist ila wana majina mengi sana ambayo kila mtu anapendelea kuita.

Ni kweli kama mtoa mada alivyosema kuhusu ulimwengu zipo sita.

Binadamu hatuna access ya ulimwengu wowete katika hizo sita isipokuwa huu wa kwetu.

Unknowns creature hawana miracle yeyote isipokuwa ni knowledge ambayo wao wanayo ambayo inapatikana katika ulimwengu wao. wao kwa wao pia wanazidiana maarifa na mwenye maarifa mengi ndio mwenye nguvu zaidi.

Natural form yao hai support life kwenye ulimwengu wetu. Ili waweze ku exist kwenye ulimwengu huu wana shape shift ili kuendana na mazingira yetu, Knowledge yao imefanya hiyo kuwezekana isipokuwa ni kwa muda maalum wa masaa 5 tu then wanarudi kwao.

Kuna machotara ambao wanazaa na binadamu ambao hao wanaweza kukaa ulimwengu huu kwa muda mrefu, Chotara haruhisiwi kufika wala kukanyaga ulimwengu wa unknown creature kwasababu miili yao hai support life kwenye ulimwengu wao.

Unknown creature hawezi kuongea lugha yeyote ile ya ulimwengu huu isipokuwa kwa ishara au alama kupitia maandishi ambayo ataandika kwa lugha ya ulimwengu wao then wewe utatafsiri kupitia kitabu ambacho atakuletea yeye mwenyewe. Chotara wa unknown creature anauwezo wa kuongea lugha ya ulimwengu huu tena kwa ufasaha.

Nina mengi ya kuandika ila nitaandika taratibu.
Yaani wewe umemzidi huyo so Called Arsis 😀alofungwq kwenye chupa miaka 925 alokuwa enzi sijui za Basis hawezi kuelezea japo kama ulivyo elezea 😁na akilelezea havieleweki utata mtupu ni muongo mpotoshaji.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom