Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Haya ni mambo magumu sana na yenye vita kubwa sana, naomba tuache tu hivyo. Hii dunia ni hatari, mshukuru Mungu kwa maisha yako usipende maisha ya kufikirika ishi uhalisia wa maisha yako na ridhika na chochote upatacho baada ya kazi halali unayofanya.
Arsis: Soma sana, elimu haina mwisho, usiridhike na elimu ulio nayo mpaka wewemukifa yenyewe oinabaki.

Usiridhike na maisha. Kwanini aridhike? kwanini mnapenda kufungana fikira na kuvugtana mashati? Hio kazi ya wachawi.
Simba.
 
Arsis: Huyo sheikh wako hana elimu nzuri hata kidogo, mwambie jana nimejibu arsh ni nini hajaelewa? Hao watumishi aliwaweka yeye?
Nimemuuliza Qareen nin?i hakujibu, nikamwambia asome Qur'an.

Mwambie hakujua na kutoa jibu la jana, kuhusu Arsh atajua kua watumishi ni Qareen?

Hana elimu ya maana huyo, ana elimu ya kupogtisha watu tu. Hao ndio Waislam wanadanganyana kwa kufoka foka, sauti yake sio ya kielimu, utafikiri ana makohozi saa zote kinywani. Hana hata ladha ya kusikilizw. Wewe mama huyo elimu yake ya Qur'an ni ndogo sana.

Hio sauti yake unajua kwanini iko hivyo?
Simba.
Majibu yako yote kwenye hizo Audio kajibu Arsh na Qareen labda kama hujasikiliza yote nae katoa maswali audio ya mwisho,Sauti yake toka mdogo alikuwa anasumbuliwa nyama za pua na akafanyiwa oparesheni na Allergic na feni au moshi wowote haiusiani sauti yake na elimu yake naweza kusema hata wewe hauna elimu wa kawaida sana.
 
Arsis; Usilaumu na usilinganishe Wakristo na Waislam, linganisha Ukristo na Uislam. Wewe fundisha elimu yako, wao wafundishe elimu yao, wote tupate elimu.

Msitafute mshindi. Akishinda mkristo muislam tabatizwa, watasema Aleluya, akishinda Muislam Mkristo atashahadia, watasema Allahu Akbar.

Mbona nyinyi Waislam mna kitabu kizuri sana, kinafundisha kila kitu lakini mnasema Adam mtu wa kwanza. Wapi imeandikwa? Mnasema Adam ana mke anaitwa Hawa, wapi imeandikwa? Mnase Wakristo wapi imeandikwa?

Nataka majibu ya elimu ya vitabu. Kila mtu aone, na yule sheikh anaongea sauti yake inaletwa na yehye ajibu pia.

Waislam mnaharibu Qur'an. Niseme zaidi?
Simba.
Sawa Arsis umeelewaka.
Kuhusu Adamu kuwa mtu wa kwanza hilo halijawekwa wazi katika Qur an moja kwa moja namaanisha Quran haijasema wazi kuwa Adamu ndio binadamu wa kwanza ila kuna kitu kinaitwa dalil tul aqil yaani ishara za kiakili kupitia hiyohiyo quran unaweza ona katika surat baqarah aya ya 30 ( AL BAQARAH 2:30) inasema

"وَإِذْ قَالَ رَبُّكَ لِلْمَلَائِكَةِ إِنِّي جَاعِلٌ فِي الْأَرْضِ خَلِيفَةً ۗ قَالُوا أَتَجْعَلُ فِيهَا مَنْ يُفْسِدُ فِيهَا وَيَسْفِكُ الدِّمَاءَ ۖ وَنَحْنُ نُسَبِّحُ بِحَمْدِكَ وَنُقَدِّسُ لَكَ ۗ قَالَ إِنِّي أَعْلَمُ مَا لَا تَعْلَمُونَ"
"Na Mola wako alipowaambia malaika: 'Mimi ninamteua khalifa katika ardhi,' waliposema: 'Je, utamteua mtu ambaye atatenda ufisadi humo na kumwaga damu, wakati sisi tunakusifu kwa sifa zako na tunakutakasa?' Mungu alisema: 'Mimi ninajua msiyo yajua.' "

Katika aya hii utaona Allah anawaambia malaika kuwa yeye anamteua khalifa katika ardhi hapa unaweza sema adamu kateuliwa na Mola hivyo labda huenda kuna wandamu wengine hawakuteuliwa sasa twende taratibu baada ya mola kumteua adamu aya inaendelea kusema malaika waliambiwa wamsujudie baada ya yeye kufundishwa elimu na mungu kama ilivyokatika SURA YA 2:34 AL BAQARAH

"وَإِذْ قُلْنَا لِلْمَلَائِكَةِ اسْجُدُوا لِآدَمَ فَسَجَدُوا إِلَّا إِبْلِيسَ أَبَى وَاسْتَكْبَرَ وَكَانَ مِنَ الْكَافِرِينَ"
Na tuliposema kwa malaika: 'Jinyenyekeeeni kwa Adam,' walijinyenyekea isipokuwa Iblisi; alikataa na kujikweza na akawa miongoni mwa makafiri."


Mpaka hapa utaona kuwa hakuna viumbe vilivyotajwa isipokuwa ni Malaika, Adamu na Iblis hii kwanza inatupa alert kuwa Huenda adamu ni binadamu wa kwanza.
Ingawaje madai ya kuwa Adam ni binadamu wa kwanza yametolewa na wanazuoni wa tafsir na hadith hilo halina shaka hivyo madai ya kuwa adamu sio binadamu wa kwanza yanaweza kuwa kweli au kinyume chake ningependa kusikia kutoka kwako Arsis nani ni Mwanadamu wa kwanza na ushahidi uko wapi? Asante.
 
Arsis: Soma sana, elimu haina mwisho, usiridhike na elimu ulio nayo mpaka wewemukifa yenyewe oinabaki.

Usiridhike na maisha. Kwanini aridhike? kwanini mnapenda kufungana fikira na kuvugtana mashati? Hio kazi ya wachawi.
Simba.
Kwa kweli bado sijaona Umahiri wa fikra za Arsis katika kujua mambo ya juu sana duniani na nipo tayari kumuuliza maswali mengi na sioni kama atakuwa na uwezo wa kuyafahamu. Bado anapaswa kujifunza sana kabla ya kuwa mwalimu wa kweli wa wanadamu.
 
Shida uandishi wake hata mie sikuelewa angeunga Baby Njenje Kilimanjaro Band japo sikufikiria kama Omerta alivyo fikiria kweli amtake radhi.
Arsis; Wewe usijali, anaefikiria ndio hivyo hivyo, Lisemwalo lipo. Hizi nyumba zetu zinaficha kila aina ya aibu.

Nini huelewi, turudie kukuelewesha. Kama huelewi labda wewe ndio una matatizo sio muandishi. Soma taratibu, uliza maswali.

Yule Sheikh wako hana elimu ya kutosha.

Kipimo cha kwanza cha elimu ni kumuuliza mtu swali, akikuuliza na yeye swali badala ya kukujibu swali, elewa kua hana elimu ya kutosha huyo. Unaweza kuuliza kama hukuelewa swali, lakini sio useme, ukitaka nikujibu kwanza nijibu mimi.

Umeelewa au haujaelea hayo?
Simba.
 
Arsis: Soma sana, elimu haina mwisho, usiridhike na elimu ulio nayo mpaka wewemukifa yenyewe oinabaki.

Usiridhike na maisha. Kwanini aridhike? kwanini mnapenda kufungana fikira na kuvugtana mashati? Hio kazi ya wachawi.
Simba.
Arsis nicheki pm tafàdhari
 
HII SIMULIZI WAKATI INAANZA NILIIPENDA SANA MPAKA PALE ALIPOINGIZWA ARSIS, KWA ZILE SIFA ZA KWENYE SIMULIZI NA KUSEMA ARSIS ATAKUWEPO KUJIBU MASWALI WENGI WAKAWA NA SHAUKU KUTAKA KUULIZA MASWALI WAPATE MAJIBU NA WENGINE WATATATULIWE SHIDA ZAO.

IKAWA KINYUME NA MATARAJIO YA WENGI MPAKA WENGINE WAMEPUUZA UZI WANASOMA KAMA BURUDANI SABABU SO CALLED ARSIS ALIJIBU MASWALI ANAYO YATAKA YEYE AU NI SEME MEPESI KWAKE NA MENGINE ALIJIBU KWA KIFUPI SIO CLEAR YAANI ANAJIBU HUJAELEWA NA HATAKI KUELEZEWA UELEWE HATA MASWALI YALIVYO JIBIWA SIO YA MTU KWENYE ELIMU ALIYO JINASIBU KUFUNGIWA KWENYE CHUPA SIJUI NA MAJINN WAKUBWA JINN SUBIAN TU HAJAJIBU KAJIBU TU MAANA YA SUBIAN NI SABAYIN YAANI HAKUNA UFAFANUZI YAANI HAKUNA ILE ELIMU DEEP UKASHIBA NI KAWAIDA SANA NA NDIVYO WALIVYO WATU WASOJUA HUJIONA WANAJUA WAO BORA KULIKO WENGINE KAMA KUNA MTU ANAAMINI KUNA ARSIS SIJUI UTAPATA ELIMU MAJIBU YA MASWALI YAKO NA MJANJA KUKATAA INBOX KUSEMA WATU WAULIZE HAPA HADHARANI WATU WAJIFUNZE ANAJUA SIO RAHISI MTU AJIANIKE AU KUSEMA AJE NA ID NYINGINE NDO MAANA WALOULIZA KUELEZEWA SHIDA WAMEACHWA WANAELEA NASIKITIKA HAMTOPATA MNACHO KITARAJIA HAPA HAMNA KITU ILA MPAKA UWE NA D 2 😁 NDO UTAELEWA VILE WENGI HAWANA ELIMU YA MAMBO HAYO NDO KABISA MIE BINAFSI NILISHAWAHI KUMUULIZA SIMBA AMUULIZE ARSIS NILIMPA MASWALI AMBAYO ANGEJIBU NINGEJUA ELIMU IPO ILA SIMBA AKASEMA ATAULIZA ILA HANIPI AHADI I KAKA TANGAZO HAKUNA PM KUNA MASWALI NIKAULIZA SIJAJIBIWA NIKAJIBIWA TU NIMEULIZA MENGI KWA PAMOJA NIULIZE MOJA WAKATI INAWEZEKANA KUJIBU MOJA MOJA AENDELEE NA STORY ZA KAMBA NA BABU WA SOMALI ILA ELIMU HAKUNA HAPA NIENDELEE NA MAMBO MENGINE YA UTAFUTAJI MAISHA OVER AND OUT NATEREMKA HAPA BOAT YANGU IMETIA NANGA KUNA WATU KAMA LIDAFO ETUGRUL BEY FAIZA FOXY NAWEZA KUSEMA WANA ELIMU KULIKO SO CALLED SIMBA NA ARSIS WAKE.
 
HII SIMULIZI WAKATI INAANZA NILIIPENDA SANA MPAKA PALE ALIPOINGIZWA ARSIS, KWA ZILE SIFA ZA KWENYE SIMULIZI NA KUSEMA ARSIS ATAKUWEPO KUJIBU MASWALI WENGI WAKAWA NA SHAUKU KUTAKA KUULIZA MASWALI WAPATE MAJIBU NA WENGINE WATATATULIWE SHIDA ZAO.

IKAWA KINYUME NA MATARAJIO YA WENGI MPAKA WENGINE WAMEPUUZA UZI WANASOMA KAMA BURUDANI SABABU SO CALLED ARSIS ALIJIBU MASWALI ANAYO YATAKA YEYE AU NI SEME MEPESI KWAKE NA MENGINE ALIJIBU KWA KIFUPI SIO CLEAR YAANI ANAJIBU HUJAELEWA NA HATAKI KUELEZEWA UELEWE HATA MASWALI YALIVYO JIBIWA SIO YA MTU KWENYE ELIMU ALIYO JINASIBU KUFUNGIWA KWENYE CHUPA SIJUI NA MAJINN WAKUBWA JINN SUBIAN TU HAJAJIBU KAJIBU TU MAANA YA SUBIAN NI SABAYIN YAANI HAKUNA UFAFANUZI YAANI HAKUNA ILE ELIMU DEEP UKASHIBA NI KAWAIDA SANA NA NDIVYO WALIVYO WATU WASOJUA HUJIONA WANAJUA WAO BORA KULIKO WENGINE KAMA KUNA MTU ANAAMINI KUNA ARSIS SIJUI UTAPATA ELIMU MAJIBU YA MASWALI YAKO NA MJANJA KUKATAA INBOX KUSEMA WATU WAULIZE HAPA HADHARANI WATU WAJIFUNZE ANAJUA SIO RAHISI MTU AJIANIKE AU KUSEMA AJE NA ID NYINGINE NDO MAANA WALOULIZA KUELEZEWA SHIDA WAMEACHWA WANAELEA NASIKITIKA HAMTOPATA MNACHO KITARAJIA HAPA HAMNA KITU AENDELEE NA STORY ZA KAMBA NA BABU WA SOMALI ILA ELIMU HAKUNA HAPA NIENDELEE NA MAMBO MENGINE YA UTAFUTAJI MAISHA OVER AND OUT.
Arsis; Huna haja ya kuandika Tangazo, andika kama kawaida tu utasomeka vizuri zaidi.

Ukiona kuna swali limejibiwa hujaelewa na hujasema kua hujaelewa, tatizo ni lako. Labda uliuliza ukitarajia jibu fulani.

Huu uzi umefikia level ya wengi kutokuweza kuuhimili. Hata Simba hawezi kuuhimili.

Waislam wanashinwa kujibu kuhusu kitabu chao ambacho hakina shaka ndani yake. Wapi Adam imeandikwa mtu wa kwanza? Hawa mmemtoa wapi?

Kama hamjui semeni hamjui mfundishe, kama mnajua jibuni maseali laini kabisa hayo.

Nini hujaelewa?
Simba.
 
Mkuu tuendelee na story...
Arsis; Story ataleta Simba. Mimi nimekuja watu wanalalamika hawajibiwa maswali yao.

Mwenye swali hajajibiwa aseme alipo post swali lake namba ngapi. Au aulize tena. kama alijibiwa hajaelewa jibu, aulize tena.

Unapenda story? umejifunza nini kwenye story?
Simba.
 
Simba kuhusu ismullah liadhwam umeniambia ni tafute idadi ya zile alif lam miim nimeshapata idadi yake mwambie Arsis what's next ?
Arsis: Weka hapa tuone ulichopata na ueleze umepata vipi na wengine waelewe. Abjad.
Simba.
 
HII SIMULIZI WAKATI INAANZA NILIIPENDA SANA MPAKA PALE ALIPOINGIZWA ARSIS, KWA ZILE SIFA ZA KWENYE SIMULIZI NA KUSEMA ARSIS ATAKUWEPO KUJIBU MASWALI WENGI WAKAWA NA SHAUKU KUTAKA KUULIZA MASWALI WAPATE MAJIBU NA WENGINE WATATATULIWE SHIDA ZAO.

IKAWA KINYUME NA MATARAJIO YA WENGI MPAKA WENGINE WAMEPUUZA UZI WANASOMA KAMA BURUDANI SABABU SO CALLED ARSIS ALIJIBU MASWALI ANAYO YATAKA YEYE AU NI SEME MEPESI KWAKE NA MENGINE ALIJIBU KWA KIFUPI SIO CLEAR YAANI ANAJIBU HUJAELEWA NA HATAKI KUELEZEWA UELEWE HATA MASWALI YALIVYO JIBIWA SIO YA MTU KWENYE ELIMU ALIYO JINASIBU KUFUNGIWA KWENYE CHUPA SIJUI NA MAJINN WAKUBWA JINN SUBIAN TU HAJAJIBU KAJIBU TU MAANA YA SUBIAN NI SABAYIN YAANI HAKUNA UFAFANUZI YAANI HAKUNA ILE ELIMU DEEP UKASHIBA NI KAWAIDA SANA NA NDIVYO WALIVYO WATU WASOJUA HUJIONA WANAJUA WAO BORA KULIKO WENGINE KAMA KUNA MTU ANAAMINI KUNA ARSIS SIJUI UTAPATA ELIMU MAJIBU YA MASWALI YAKO NA MJANJA KUKATAA INBOX KUSEMA WATU WAULIZE HAPA HADHARANI WATU WAJIFUNZE ANAJUA SIO RAHISI MTU AJIANIKE AU KUSEMA AJE NA ID NYINGINE NDO MAANA WALOULIZA KUELEZEWA SHIDA WAMEACHWA WANAELEA NASIKITIKA HAMTOPATA MNACHO KITARAJIA HAPA HAMNA KITU ILA MPAKA UWE NA D 2 NDO UTAELEWA VILE WENGI HAWANA ELIMU YA MAMBO HAYO NDO KABISA MIE BINAFSI NILISHAWAHI KUMUULIZA SIMBA AMUULIZE ARSIS NILIMPA MASWALI AMBAYO ANGEJIBU NINGEJUA ELIMU IPO ILA SIMBA AKASEMA ATAULIZA ILA HANIPI AHADI I KAKA TANGAZO HAKUNA PM KUNA MASWALI NIKAULIZA SIJAJIBIWA NIKAJIBIWA TU NIMEULIZA MENGI KWA PAMOJA NIULIZE MOJA WAKATI INAWEZEKANA KUJIBU MOJA MOJA AENDELEE NA STORY ZA KAMBA NA BABU WA SOMALI ILA ELIMU HAKUNA HAPA NIENDELEE NA MAMBO MENGINE YA UTAFUTAJI MAISHA OVER AND OUT NATEREMKA HAPA BOAT YANGU IMETIA NANGA KUNA WATU KAMA LIDAFO ETUGRUL BEY FAIZA FOXY NAWEZA KUSEMA WANA ELIMU KULIKO SO CALLED SIMBA NA ARSIS WAKE.

Ni kweli kuna wengi wameuliza mambo ya kuomba msaada naona hauajajibiwa kabisa. Mi nadhani tungeendelea na story tu. Na pia kuna picha aliweka hapa ya jini ila kwwnye story hakuonesha kuna sehemu aliomba hata kuwapiga picha. Inafikirisha kidogo.
 
Uzi ushaharibika huu, na wewe unknown creature Arsis unazingua coz Majibu yako hayapo clear na kwa aina ya majibu yako ni dhahiri upeo wako wa kufikiri ni kama binadamu wa kawaida so ni either huyo Arsis hayupo au mtoa mada umeamua kucheza na akili za watu.

Unatoa majibu mepesi kwenye maswali magumu na mpaka sasa naona Unknown creature Arsis amesha panick due to maswali ya shekh mmoja huko juu anaishia kutoa watu akili tu.

Unknown creature Arsis wa mtoa mada hayupo, so ndugu mtoa mada kama unania ya kuelimisha watu just go on lakini usiseme ni Arsis

Kama kweli una sali na unaongea uongo huu mbele za watu basi naomba acha mara moja.
 
Uzi ushaharibika huu, na wewe unknown creature Arsis unazingua coz Majibu yako hayapo clear na kwa aina ya majibu yako ni dhahiri upeo wako wa kufikiri ni kama binadamu wa kawaida so ni either huyo Arsis hayupo au mtoa mada umeamua kucheza na akili za watu.

Unatoa majibu mepesi kwenye maswali magumu na mpaka sasa naona Unknown creature Arsis amesha panick due to maswali ya shekh mmoja huko juu anaishia kutoa watu akili tu.

Unknown creature Arsis wa mtoa mada hayupo, so ndugu mtoa mada kama unania ya kuelimisha watu just go on lakini usiseme ni Arsis

Kama kweli una sali na unaongea uongo huu mbele za watu basi naomba acha mara moja.
Arsis; kwani nani alikwambia mimi sio mtu?
Swali lipi limekutatanisha, au lipi uliuliza hujajibiwa?
Simba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom