Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Salaam, "and when the Lord say to the angels: 'I am about to place Vicegerent in the earth"

The world VICEGERENT means the choosen person to represent the ruler
and this gives us that there where other people before Adam (as)
kwahiyo member alietumia (Surat Al baqarah ch.2: v.31) Yuko sahihi ila haisemi kama ye ndiye mtu was kwanza katika Dunia ila ni MTU WA kwanza kupewa U-kharifa Kwa binadamu wote.
Mwenyeezi Mungu ndio mjuzi na atuongoze katika njia iliyonyooka, Tupo katika kutafuta elimi🙏


Arsis: Hata hilo la "mtu wa kwanza kupewa Ukhalifa kwa binaadam wote" pia ni lako, hizo aya hazisemi hivyo. Umekosa tafsiri ya Kiswahili au weka za Kingereza , toa lugha ya Kiswahili tujadili Kingereza kitupu. Sawa?

Siku za usoni nitawapa darsa huyo ni nani hapo, mtakuna vichwa. Taratiibu.

Mpaka sasa inatakiwa mkubali mmeshindwa kuleta dalil yoyote kua adam ni mtu wa kwanza dunianoi.

Sasa semeni Hawa mmemtoa wapi?
Arsis.
 
My Life Experience 02

Unknown creature + Binadamu= Chotara(Djinn/Nafsi/Soul), Hii haionekani kwasababu Baba umbile lake si la ulimwengu huu isipokuwa mama.

Hapa ndio kuna mkanganyiko mkubwa sana ambao binadamu mpaka leo haelewi Djinn(mmezoea kuita jina hili ingawa sio kweli Djinn) ni nani? yupo vipi na anawezaje kujua vitu vingi kuliko binadamu wa kawaida.

Djinn( ingawa sio Djinn kweli) Ni Nafsi, Nafsi haina umbo isipokuwa inaweza ingia kwa kiumbe chochote na muda wowote na kikakaa ndani ya muda mfupi.

Nafsi/Djinn ina nguvu na haina limitations, Ina maarifa mengi na chanzo cha maarifa haya ni kupitia Binadamu, Binadamu ana Mwili + Nafsi + Roho, Djinn anapata maarifa kupitia hii nafsi ya Binadamu ambayo ikiwa kwenye mwili wa binadamu haijitambui mpaka itoke nje ya mwili. Nafsi kwa Nafsi Zinaongea na zina wasiliana na zinapeana taarifa.

Binadamu ni Djinn endapo Nafsi yake ikiwa nje ya mwili.

Elimu hii sijasoma popote pale isipokuwa kutoka kwao wenyewe, Nilizunguka sehemu mbali mbali kwaajili ya kupata habari nusu nusu.
Endelea kutoa maarifa mkuu
 
Ulifikiri ni "kamba"? Hiki ni kisa cha kweli kadiri ya uwezo wangu wa kukumbuka, sana sana kuna vionjo tu, kwa sababu siwezi kukumbuka kila neno au kila kitu. Isipokua, kuanzia kisa cha Mahojiano yangu na SArsis, yote yana kumbukumbu za kurekodi. Nilianza kurekodi kabla ya hizi smart phones, nilianza kwa kurekodi na tape ndogo ya mkononi, kwa muda mchache sana, nikapata "digital recorder" ndogo sana ya mkononi, hio nilikaa nayo muda kiasi mpaka zilipoingia simu za kuweza kurekodi, ndio mpaka sasa.

Kama unamfahamu Sharifu Jamal, muulize kama ana kaka yake na yupo kama nilivyoelezea. Upate uhakika zaidi.
Mkuu nilikuuliza kuhusu swala la kwanini majini wasikae kwenye ulimwengu wao na sisi tukae kwenye ulimwengu wetu? Niliona umeni quote lakini haikufunguka, naomba jibu tena kama hutojali.
 
Arsis uyo ibilisi Alie kataa kumsujudia Adam na akalaniwa na mwenyezimungu..kwanini alaaniwe wakati adamu walikuwepo ebu nifafanulie kitukuu chako najifunz bado
Arsis: hayo ndio maneno. Kwanza tumalize kimoja muhimu sana, katika maswali yangu kwa nia ya kufundisha.

Naomba jibu la Waislam, Hawa mumemtoa wapi, au ujibu wewe au mwengine yeyote ili tusonge mbele.
Arsis.
 
HII SIMULIZI WAKATI INAANZA NILIIPENDA SANA MPAKA PALE ALIPOINGIZWA ARSIS, KWA ZILE SIFA ZA KWENYE SIMULIZI NA KUSEMA ARSIS ATAKUWEPO KUJIBU MASWALI WENGI WAKAWA NA SHAUKU KUTAKA KUULIZA MASWALI WAPATE MAJIBU NA WENGINE WATATATULIWE SHIDA ZAO.

IKAWA KINYUME NA MATARAJIO YA WENGI MPAKA WENGINE WAMEPUUZA UZI WANASOMA KAMA BURUDANI SABABU SO CALLED ARSIS ALIJIBU MASWALI ANAYO YATAKA YEYE AU NI SEME MEPESI KWAKE NA MENGINE ALIJIBU KWA KIFUPI SIO CLEAR YAANI ANAJIBU HUJAELEWA NA HATAKI KUELEZEWA UELEWE HATA MASWALI YALIVYO JIBIWA SIO YA MTU KWENYE ELIMU ALIYO JINASIBU KUFUNGIWA KWENYE CHUPA SIJUI NA MAJINN WAKUBWA JINN SUBIAN TU HAJAJIBU KAJIBU TU MAANA YA SUBIAN NI SABAYIN YAANI HAKUNA UFAFANUZI YAANI HAKUNA ILE ELIMU DEEP UKASHIBA NI KAWAIDA SANA NA NDIVYO WALIVYO WATU WASOJUA HUJIONA WANAJUA WAO BORA KULIKO WENGINE KAMA KUNA MTU ANAAMINI KUNA ARSIS SIJUI UTAPATA ELIMU MAJIBU YA MASWALI YAKO NA MJANJA KUKATAA INBOX KUSEMA WATU WAULIZE HAPA HADHARANI WATU WAJIFUNZE ANAJUA SIO RAHISI MTU AJIANIKE AU KUSEMA AJE NA ID NYINGINE NDO MAANA WALOULIZA KUELEZEWA SHIDA WAMEACHWA WANAELEA NASIKITIKA HAMTOPATA MNACHO KITARAJIA HAPA HAMNA KITU ILA MPAKA UWE NA D 2 😁 NDO UTAELEWA VILE WENGI HAWANA ELIMU YA MAMBO HAYO NDO KABISA MIE BINAFSI NILISHAWAHI KUMUULIZA SIMBA AMUULIZE ARSIS NILIMPA MASWALI AMBAYO ANGEJIBU NINGEJUA ELIMU IPO ILA SIMBA AKASEMA ATAULIZA ILA HANIPI AHADI I KAKA TANGAZO HAKUNA PM KUNA MASWALI NIKAULIZA SIJAJIBIWA NIKAJIBIWA TU NIMEULIZA MENGI KWA PAMOJA NIULIZE MOJA WAKATI INAWEZEKANA KUJIBU MOJA MOJA AENDELEE NA STORY ZA KAMBA NA BABU WA SOMALI ILA ELIMU HAKUNA HAPA NIENDELEE NA MAMBO MENGINE YA UTAFUTAJI MAISHA OVER AND OUT NATEREMKA HAPA BOAT YANGU IMETIA NANGA KUNA WATU KAMA LIDAFO ETUGRUL BEY FAIZA FOXY NAWEZA KUSEMA WANA ELIMU KULIKO SO CALLED SIMBA NA ARSIS WAKE.
dada unakataa ninii.tupo kimya kwan wewe huwajui watu wa Sabai.? taifa hilo lilikuwepo.au elimu yako ikielimishwa hukubali. ?tupo kimya hapa tunazoom.nakupa hint nenda kasome kisa cha watu wa Sabai na jinsi walivyopewa mavuno vikawakolea na wakaasi. why are you declining
 
Niko nawe Sako kwa Bako
My Life Experience 02

Unknown creature + Binadamu= Chotara(Djinn/Nafsi/Soul), Hii haionekani kwasababu Baba umbile lake si la ulimwengu huu isipokuwa mama.

Hapa ndio kuna mkanganyiko mkubwa sana ambao binadamu mpaka leo haelewi Djinn(mmezoea kuita jina hili ingawa sio kweli Djinn) ni nani? yupo vipi na anawezaje kujua vitu vingi kuliko binadamu wa kawaida.

Djinn( ingawa sio Djinn kweli) Ni Nafsi, Nafsi haina umbo isipokuwa inaweza ingia kwa kiumbe chochote na muda wowote na kikakaa ndani ya muda mfupi.

Nafsi/Djinn ina nguvu na haina limitations, Ina maarifa mengi na chanzo cha maarifa haya ni kupitia Binadamu, Binadamu ana Mwili + Nafsi + Roho, Djinn anapata maarifa kupitia hii nafsi ya Binadamu ambayo ikiwa kwenye mwili wa binadamu haijitambui mpaka itoke nje ya mwili. Nafsi kwa Nafsi Zinaongea na zina wasiliana na zinapeana taarifa.

Binadamu ni Djinn endapo Nafsi yake ikiwa nje ya mwili.

Elimu hii sijasoma popote pale isipokuwa kutoka kwao wenyewe, Nilizunguka sehemu mbali mbali kwaajili ya kupata habari nusu nusu.
 
Arsis: Unataka dalil ya kitu gani?

Hoja za aya zinazoonesha Adam ni mtu wa kwanza duniani? Au zipi? Kama zipo, Sijazipitia zote, nakuja kidogo kidgpp.

Alieleta wa kwanza kakiri kua hakuna hizo aya kwenye Qur'an au humuamini, akaleta hadith za akili sijui kazitoa kwa mshaitri huko, akaminya hakusem kafikiri mimi sielewi.

Wewe umeleta aya zako post namba ngapi? Vipi na Sheikh wako yule wa audio, umemwambia akusaidie? Leta elimu kutoka popote uanpoweza, ndio tunapanua elimu hivyo. Nukuu hata biblia.
Arsis.
Boss

Umenitaka ninukuu hata aya za biblia juu dalili za kuwa adam ndio binadamu wa kwanza

Biblia imeelezea tangua Allah alipoumba ardhi na vilivyomo ndani kisha siku ya saba Mungu akapumzika,kisha akamuumba mwanadamu kwa vumbi.la ardhi kisha akampulizia pumzi ya uhai na kuwa nafsi kamili au nafsi ya uhai

Tusome hapa

Mwanzo 2:7
[7]BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.
And the LORD God formed man of the dust of the ground, and breathed into his nostrils the breath of life; and man became a living soul.

Na baada ya hapo adam akajulishwa majina ya vitu vyote na akavifahamu,na kila alivyoviita ndio vikawa majina yake kamili

Baadae biblia inaelezea adam akatiwa usingizi na bwana na akatolewa ubavu wake na kuumbwa mwanamke ambaye atakuwa msaidizi wa adam,huyu ni hawa

Kwahiyo hapa tunaona kabisa kabla ya adam na hawa hakukuwa na kiumbe kinaitwa mwanadamu au binadamu

Kwahiyo qur'an na biblia vyote vinadhibitisha kuwa hakika mwanadamu wa kwanza ni adam

Sasa kwa mara ya mwisho tunakuomba utupe dalili au taarifa nyingine za kuonyesha kuwa kuna binadamu wengine kabla ya adam

Asante
 
Nina shida ya mgongo nimepatwa na shida ya mgongo na uvimbe kwenye korodani bila sababu, sijapata ajali wala nn, hospital xrays zinabadilika kutokana na maeneo yanayouma muda huo. Imefikia ktk uti wa mgongo unauma kwa sasa siwezi kukimbia hata kuruka hatua moja.


Ninewafikia baadhi ya wataalamu kila mmoja kwa wakati wake wamekuwa na jibu moja yaani watano na jibu ni moja ila hakuna aliyefanikiwa kunisaidia.
Napata maumivu yanayohimilika wakti mwingine hayahimiliki kabisa. Misuli ya mgongoni inauma na pia kusimama imekuwa kazi wakati mwingine hata kukaa! Naomba msaada wanajamii.
Kacheck brucella,syphilis au TB
 
Naomba kuuliza kuna Ukoo utakuta hauna mwenye mafanikio hasa kiuchumi, unatumia nguvu kubwa sana kutafuta ilà huendi mbele, maelewano pia hakuna ,je ni mizimu imekasirika au agano fulani la mabàbu au Mungu ndio kapanga hivyo.

Naomba nihamie ukòo wa simba kama inawezekana..
 
Arsis: Hata hilo la "mtu wa kwanza kupewa Ukhalifa kwa binaadam wote" pia ni lako, hizo aya hazisemi hivyo. Umekosa tafsiri ya Kiswahili au weka za Kingereza , toa lugha ya Kiswahili tujadili Kingereza kitupu. Sawa?

Siku za usoni nitawapa darsa huyo ni nani hapo, mtakuna vichwa. Taratiibu.

Mpaka sasa inatakiwa mkubali mmeshindwa kuleta dalil yoyote kua adam ni mtu wa kwanza dunianoi.

Sasa semeni Hawa mmemtoa wapi?
Arsis.
Adam (as) was the first human being whose intellect was capable of accepting and bearing the reasonability of revetion, God decided to appoint a Vicegerent upon earth and appointed Adam(as)
(introduction to the study of the Holy Quran,p:309)
 
My Life Experience 02

Unknown creature + Binadamu= Chotara(Djinn/Nafsi/Soul), Hii haionekani kwasababu Baba umbile lake si la ulimwengu huu isipokuwa mama.

Hapa ndio kuna mkanganyiko mkubwa sana ambao binadamu mpaka leo haelewi Djinn(mmezoea kuita jina hili ingawa sio kweli Djinn) ni nani? yupo vipi na anawezaje kujua vitu vingi kuliko binadamu wa kawaida.

Djinn( ingawa sio Djinn kweli) Ni Nafsi, Nafsi haina umbo isipokuwa inaweza ingia kwa kiumbe chochote na muda wowote na kikakaa ndani ya muda mfupi.

Nafsi/Djinn ina nguvu na haina limitations, Ina maarifa mengi na chanzo cha maarifa haya ni kupitia Binadamu, Binadamu ana Mwili + Nafsi + Roho, Djinn anapata maarifa kupitia hii nafsi ya Binadamu ambayo ikiwa kwenye mwili wa binadamu haijitambui mpaka itoke nje ya mwili. Nafsi kwa Nafsi Zinaongea na zina wasiliana na zinapeana taarifa.

Binadamu ni Djinn endapo Nafsi yake ikiwa nje ya mwili.

Elimu hii sijasoma popote pale isipokuwa kutoka kwao wenyewe, Nilizunguka sehemu mbali mbali kwaajili ya kupata habari nusu nusu.
Arsis; Umerekebisha lakini ingekua "creation" badala ya creature, ingeleta utamu zaidi kwa wenye kufahamu Kingereza.mimi siamini mtu au jini ni creature, naamini ni creation. Creature inaenda kwenye ushetani zaidi.

Mengine yote sikupingi wala sina sababu, nipo kwa Adam na Hawa sasa hivi.

Mwaga elimu, haijalishi umesoma wapi, elimu haina mwisho wala mipaka. Naamini mipaka ya elimu ni pale Muumba wetu anapotaka. Kwa sababu elimu ni riziki.
Arsis
 
hebu niulize mimi nitakujibu.
Arsis; Maswali mawili myepesi sana, labda haujapitia uzi vizuri.

1) Mimi nasema adam sio mtu wa kwanza kuumbwa na adam wapo wengi. Sijaona kwenye Qur'aN kua Adam ni mtu wa kwanza duniani au kuumbwa. kama hukubaliani na hilo, leta ushahidi (dalil).
2) Hawa mmemtoa wapi Waislam? Ushahidi (dalil). Mimi sijamuona kwenye Qur'an, labda yupo, kajificha maana elimu ni pana.
Arsis.
 
Inatokea post namba 155.

Baada ya kuagana na Arsis nikaenda kwenye gari, nikaondoka bila kukuta na yeyote, nilipofika nyumbani, mlinzi akanifungulia geti bila kuita au kupiga honi, nikaaiweka gari, nikaingia chumbani kwangu kulala. Usingizi ukawa hauji haraka. Nikaanza kuitazama ile pete, nikachukua mkebe wake nikautazama vizuri. Ulikua ni mkebe wa kizamani sana, ulikua na maandishi maatatu kama michoro yale ya Kimisri ya zamani. Nikasema nikikutana na Arsis nitamuuliza kimeandikwa nini. Nikarudisha mkebe, nikaichukua bakora nikawa naichezea, nailaza chini inanyanyuka yenyewe, naiweka upande inajisimamisha yenyewe. Mpaka nikawa nacheka tu mimi mwenyewe, Bakora haikubali kulala chini kabisa. Nikaiweka pembeni ya kitanda changu. Nikalala.

Maisha yakaendelea kama vile kabla sijaenda Tanga, haikupita muda nrefu nikawa noimeshafu ga ndoa, ilikua ndoa ya surporise kubwa kwangu, lakini hapa sio pahala kwake kuielezea.

Kuna siku, baada ya kama miezi miwili mitatu ya kuoa, nikasema leo ngoja nikamtembelee "mama mkwe" wa kwenye vitumbua asubuhi subuhi, lakini toka siku niliyoyaona Chalinze na pale kwao nikawa naogopa kula kwa mama lishe. Nikajisemea wacha niende tu nikawagtembelee. Kufika, mama mkwe akawa na bashasha kweli, "Ah bwna harusi, leo umefunguliwa?" Nikamwambia "mboina jamani saba iliisha siku nyingi/". Aaah huonekani nikajua "honey moon zenu, mwezi umekwisha bwana harusi huonekani" Nikamwabia aah si unajua tena, maisha ya ndoa tofauti na ya zamani. Akanambia "tena yafurahie bado ungali una nguvu mwanangu, usicheze na furaha yako hata kidogo> Nikamwambia 'poa".

Akanambia haya nikjupe vingapoi leo? Nikamwambia nimekuja kulusalimia tu, nyumbani si wameshakuja kuchukua? Akanambia haya kula viwili, imi ingawa hukumngoja bintoi yangu lakini najua kuna siku uytamuoa tu, ukwe uko pale pale. Nikamwabi tulikua nae harusini, kumbe ni partner mkubwa wa mke wangu. Khaa, nyinyi mmetufanyia voituko vinaogelewa Ilala nzima hii, miaka yote sisi tunajua yule dadako kumbe mmelelewa pamoja tu. Nikamwabia hata mimi nilikua najua tumezaliwa pamoja. Kumbe ni watoto wa mjomba na shangazi.

Mama mkwe; Aaahmkeo na binti yangu umesahau toka wadogo wako pamoja? Mimi nimewaambia na huyo mume atawaoa wote mkae pamoja.
Mimi; Mimi poa tu, wakikubaliana wenyewe mimi nipo. Niakbadilisha topis, vipi mama wa mandazi, sijamuona toka siku ile ya pirika?
Mama Mkwe: Kwani yaliompta madogo mwanangu, si kashikwa anawanga huko buguruni. Kututukana na kutuita sisi wachawi, kumbe yeye ndio mchawi.
Mimi; hatari kubwa, sina habari.
Mama mkwe: Makubwa mwanangu hata hayasemeki. Alikua anaongea huku ananong'ona. Tena hapa mwezi ujao hatupo tena, hii nyumba imeshauzwa, tunatafuta kijiwe kingine hivi sasa. lakini mimmisina wasiwasi, nitakua nyumbani kwangu palepale, hakuna wa kunihamisha, pale kwangu mwenyewe. Nitapika pale nitakwenda kuuza vitumbua vyangu pale nje ya msikitini mpaka tupate kijiwe.
Mimi: Kumbe tuko wote, hakuna tabu. Usihame kijiwe kipya bila kunijiulisha.
Mama mkwe: Kumbe huna habari? Wenye nyumba hii washama wote, wameiuza nyumba haraka haraka kwa aibu, kumbe walikua chama kimoja nayule muuza mandazi. Wameaibishwa wote, kwa aibu na jiji wamelihama.
Mimi; Kasheshe.
Mama mkwe, lakini toka wameondoka, hata uzito na mazonge zonge yamepungua, kumbe tunaishi na wanga hapahapa, sasa hivi baba kijiwe kimesafoshwa hiki, mbao walikua hawaji sasa wanakuja.
Mimi; Kwani aliepanunua kawaambia muhame?
Mama mkwe; Wala hajatwambia tena mteja wetu mzuri, anakaa hapo mtaa wa nyuma, shogake mamako , yule mwanamke mpambe wa Kiarabu? Aaah, nimeshamjua, ndio nilisikia kanunua nyumba nyingine, kumbe ndio hii?
Mama mkwe; Pesa imetulia pale kachukua hii na ya nyuma yake, zote kwa pamoja, pesa cash nq sisi wotw hapa tukapata sadaka yetu nono, tenono kweli kweli. Hatuna manug'uniko wala masikitiko. Hatutaki tumewekee kiza akianza ujenzi, mwenyewe kasema hachelewi ataanza ujenzi. Sisi tumeona wala hana ya kutwambia tuhame, tumeishi nae kama ndugu miaka yote. tena mwenzetu sana yule Mwarabu, sisi tumefurahi kununua yeye hizi nyumba, maana yule na mamako ndio kimbilio letu tukiwa na shida zetu. mwenyezi Mungu awajaalie kila heri, akapiga dua ndegu hapo. Kabla hajamaliza, mama muuza uji akasema bwana harusi kombe lako hili la uji, usiseme umeshiba nimekuongezea pilipili manga njia za mkojo zifunguke vizuri.
Mama mkwe: Kwani alikwambia ana shida na njia yake?
Uji: Koma bibi wee, sisi tunajua kutunza mabwana harusi, Watanga mwenzangu huyi, ulikua hujui?
Mama mkwe: Nawaju, wote wadigoi nyinyi.
Uji: Kwa hio usituingilie kabisa, tuwachie wenyewe. Bwana harusi usimsikilize huyumzaramo, hana alijualo zaidi kutingisha makalio tu.
Mama mkwe; Mboina unamwaga razi kwa mkwe wangu?
Uji; Tupishe huko, tukaoe mzaramo sisi hatuna akili? Nyie ndio mje kuoa kwetu msiojua kupika nyinyi.
Mama mkwe: Mkwe wangu usimsikilize huyu bibi, hata huko kwao Tanga kapasahau, toka aolewe hajaenda hata kutemnbea kwao, mzaramo alivyo mdhibiti.
Mimi; Jamani nilikua nataka kuwauliza kitu.

Wakakaa kimya wote wananisukiliza.

Mimi; Hivi kwanini hamuweki kijiwe kwenu pale msikitini kwa pembeni pale, uwanja mkubwa tu, hata mkiwa ishirini mtaenea pale.
Uji: Hwa wazaramo hawataki msikitini, wanga wakubwa wanapaogopa, mimi uji wangu nauanza na watu wa msikitini alfajiri, wakitoka tu msikitini wapo hapa. Hawa wanakua bado wamulalia.
Mama mkwe: Wewe mboina una mdomoi mchafu mbele ya mkwe wangu?
Uji: Nisamehe baba, mimi uji niytauuzia pale pale msikitini nikiondoka hapa, nimeshaongea na imamu kasema mradi nisipike pale tu, msikiti unatakiwa uwe msfi njje na ndani. Kai kwa hawa wachoma vitumbua na wapika chapati, watapoikia wapi pale?
Mama mkwe; Tutaongea na msikiti nyum aple tutapajenga wenyewe.
Uji; Hilo wameshakataa kama ulikua hujui, wanasema muda si mrefu msikiti unaongezwa ule unakua mkubwa na tena wagorogfa.
Mama mkwe: Hili nimesikia hata kimi, lakini hawajui lini utaanza lini.
Uji; Umelala wewe, msikiti kabla nyinyi hamjaondoka hapa utakua umeshaanza kujengwa.
Mama mke: basi poa, tutawauzia hao hao wanaokuja kujenga, tutabanana nao hapo hapo, watakula wapi?
Uji; Tena pla cheyameni wa wauzaji chkula mimi, mtanilipa mimi kila siku, mkitaka biashara pale.
Mama mkwe: Mdigo wacha utapeli wa mali ya msikiti, huo u cheyameni akupe nani wewe mwenzangu na mimi, nipishe huko.


Nikaona niage. Nikaaga nikaondoka zangu, uji kweli ulikua na pilipili manga ya ziada.

Itaendelea.
Asante.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom