Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Sawa Arsis umeelewaka.
Kuhusu Adamu kuwa mtu wa kwanza hilo halijawekwa wazi katika Qur an moja kwa moja namaanisha Quran haijasema wazi kuwa Adamu ndio binadamu wa kwanza ila kuna kitu kinaitwa dalil tul aqil yaani ishara za kiakili kupitia hiyohiyo quran unaweza ona katika surat baqarah aya ya 30 ( AL BAQARAH 2:30) inasema

Arsis: Kama unakiri Qur'an"haikuweka wazi", hio "dalil tu aqli" umeisoma wapi na sisi tuelimike, au umeibuni wewe?
Arsis.
 
Arsis; Wewe una akili kuliko Allah? usijidanganye hata kidogo. Hakuitumia hio akili yake mbora wa viumbe wote aliepewa Qur'an awaletee, itakua wewe?

Nitarudi kukufundisha aya ulizoleta. Inshaallah leo hii.
Arsis kupitia Simba.
Mimi sina akili kuliko Allah ila nimetumia akili ambayo kanipa ALLAH kama alivyosema katika Quran
  • Surah Al-Imran (Sura ya 3), aya ya 190-191:"إِنَّ فِي خَلْقِ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ وَاخْتِلَافِ اللَّيْلِ وَالنَّهَارِ لَآيَاتٍ لِّأُولِي الْأَلْبَابِ"Tafsiri: "Hakika katika uumbaji wa mbingu na ardhi na tofauti ya usiku na mchana kuna ishara kwa wenye akili."
Hivyo, hapo utaona ALLAH katoa mfano wa usiku na mchana kuwa ni ishara kwa wenye akili, Vipi kuhusu Quran yenyewe ndio tuisome kibubusa? jibu ni hapana inabidi tutumie akili katika kuyaelewa mafundisho ya ALLAH, Kama alivyoseema mtukufu wa daraja Rasullullah Muhammad swalahu alaiy wasalam

"مَن لَا عَقْلَ لَهُ لَا دِينَ لَهُ"Tafsiri: "Yeyote ambaye hana akili, hana dini.
Hata hivyo kwakuwa umeahidi kunifundisha nasubiri je wewe umeelewaje aya hizo. Asante.
 
Fafanua hapa

Nyinyi mnafikiri mmeumbwa watu wa kwanza? Ndio mnadanganyana sijui adam miaka 7000 nyuma, you are all fools to believe that. Especially Muslims are the biggest fools of all. Mna Qur'an kila mahali, hamuijui badala ya kusoma Qur'an mkaifundisha mnafundisha biblia.
Simba.[/QUOTE]
 
Arsis; Huna haja ya kuandika Tangazo, andika kama kawaida tu utasomeka vizuri zaidi.

Ukiona kuna swali limejibiwa hujaelewa na hujasema kua hujaelewa, tatizo ni lako. Labda uliuliza ukitarajia jibu fulani.

Huu uzi umefikia level ya wengi kutokuweza kuuhimili. Hata Simba hawezi kuuhimili.

Waislam wanashinwa kujibu kuhusu kitabu chao ambacho hakina shaka ndani yake. Wapi Adam imeandikwa mtu wa kwanza? Hawa mmemtoa wapi?

Kama hamjui semeni hamjui mfundishe, kama mnajua jibuni maseali laini kabisa hayo.

Nini hujaelewa?
Simba.
Huna il'muu

Qur'an imealeza 2🙁30-31)
 
Arsis: Kama unakiri Qur'an"haikuweka wazi", hio "dalil tu aqli" umeisoma wapi na sisi tuelimike, au umeibuni wewe?
Arsis.
Ndio nakiri Qur an haikuweka wazi nasiwezi izushia qur an uongo kuhusu wapi nimepata dalul tul aql ni hapa
Surah Al-Baqarah (Sura ya 2), aya ya 164:"فِي خَلْقِ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ وَاخْتِلَافِ اللَّيْلِ وَالنَّهَارِ لَآيَاتٍ لِّأُولِي الْأَلْبَابِ"Tafsiri: "Katika uumbaji wa mbingu na ardhi, na tofauti ya usiku na mchana, kuna ishara kwa wale wenye akili."

Hapo utaona uumbaji wa mbingu na ardhi na utofauti wa usiku na mchana ni ishara kwa wenye akil ishara ndio dalil hii inamaana kama mtu hana akili basi utofauti wa usiku na mchana hauwezi kuwa ishara kwake yeye ataona nikitu cha kawaida tu.
hivyo basi aya ya 30 katika surat baqarah ni dalili kwa wenye akili kuwa adam ndio binadamu wa kwanza.
Hata hivyo umesema utatoa ufafnuzi kuhusu ya hiyo ya surat baqarah nasubiri niwenze kujifunza , Asante
 
Mimi sina akili kuliko Allah ila nimetumia akili ambayo kanipa ALLAH kama alivyosema katika Quran
  • Surah Al-Imran (Sura ya 3), aya ya 190-191:"إِنَّ فِي خَلْقِ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ وَاخْتِلَافِ اللَّيْلِ وَالنَّهَارِ لَآيَاتٍ لِّأُولِي الْأَلْبَابِ"Tafsiri: "Hakika katika uumbaji wa mbingu na ardhi na tofauti ya usiku na mchana kuna ishara kwa wenye akili."
Hivyo, hapo utaona ALLAH katoa mfano wa usiku na mchana kuwa ni ishara kwa wenye akili, Vipi kuhusu Quran yenyewe ndio tuisome kibubusa? jibu ni hapana inabidi tutumie akili katika kuyaelewa mafundisho ya ALLAH, Kama alivyoseema mtukufu wa daraja Rasullullah Muhammad swalahu alaiy wasalam

"مَن لَا عَقْلَ لَهُ لَا دِينَ لَهُ"Tafsiri: "Yeyote ambaye hana akili, hana dini.
Hata hivyo kwakuwa umeahidi kunifundisha nasubiri je wewe umeelewaje aya hizo. Asante.
Arsis; Hio ndio dalil yako kua Adam ndio mtu wa kwanza? Umeitumia wapi hio akili yako ukapata jibu hilo? Au umebuni wewe kwa akili yako na hauna dalil?

Kumbuka na kuna swali la Hawa umemtoa wapi, au wewe haupo kwenye Hawa? Upo kwenye Adam tu?

Maeleo yako ya "kibubusa" ni porojo zako tu, hayapo kielimu. Unaanza kuleta jazba, kwenye elimu.
Arsis.
 
Hapana sasa sitakaa kimya,arsis unazingua sana,kuna baadhi ya mambo unasema uongo kabisa

Ulisema ulisoma qur'an je hukuona kuwa Adam ndio kiumbe wa mwanzo?

Nashauri tupe habar ya misukule na majini wenzako lkn kuna baadhi ya mambo huna elimu nayo
Naam ...

Iko hivi Qur'an Ina Kila kitu ( past, Present, Future)

Ukiona Kuna kitu hujawahi kukiona haimaanish kwamba hakipo

Huyu kasha amiliana na Masheytwan hivyo washamtoa katika njia (kakufuru)

Kwa kuzipinga Aya za Quran i.e mtu wa kwanza sio Adam & Mariam hakua bikra

Inna Lilah wanna ilayhi rajiun (Ndugu yetu huyu ni msiba)
 
Sawa nimetafuta sura zinazo anza na alif lam miim katika quran nimepata ni sura nane hivyo kutakuwa na alif nane lam nane na miim nane sasa katika mpangilio wa abjad alif ina uzito wa 1, lam ina uzito wa 30 na miim ina uzito wa 40 hivyo itakuwa hivi 1x 8= 8, 30x 8=240, 40x8=320 ukijumlisha 320+240+8= 568.
kwahiyo nimepata jumla ya 568
Tell me what next?
Sitaki kwanini you are doing all that 😁😁😁😁 hamna kitu hapa.dont waste your energy.you are better than him.
 
Fafanua hapa

Nyinyi mnafikiri mmeumbwa watu wa kwanza? Ndio mnadanganyana sijui adam miaka 7000 nyuma, you are all fools to believe that. Especially Muslims are the biggest fools of all. Mna Qur'an kila mahali, hamuijui badala ya kusoma Qur'an mkaifundisha mnafundisha biblia.
Simba.
[/QUOTE]

Arsis; Ufafanuzi wake ni kua Adam hajatajwa kua ni mtu wa kwanza kwenye Qur'an. Labda kwengine.
Arsis.
 
Arsis; Hio ndio dalil yako kua Adam ndio mtu wa kwanza? Umeitumia wapi hio akili yako ukapata jibu hilo? Au umebuni wewe kwa akili yako na hauna dalil?

Kumbuka na kuna swali la Hawa umemtoa wapi, au wewe haupo kwenye Hawa? Upo kwenye Adam tu?

Maeleo yako ya "kibubusa" ni porojo zako tu, hayapo kielimu. Unaanza kuleta jazba, kwenye elimu.
Arsis.
Boss

Sasa mbona huleti wewe dalili zako tujifunze

Maana kama sisi hatujui au hoja zenu ni dhaifu basi hekima na busara zinataka utufahamishe

Ukishindwa kutufahamisha basi automatically sisi tulio leta hoja za aya tupo sahihi

Je una la.kusema boss
 
My Life Experience

Unknowns Creature ni kweli wana exist ila wana majina mengi sana ambayo kila mtu anapendelea kuita.

Ni kweli kama mtoa mada alivyosema kuhusu ulimwengu zipo sita.

Binadamu hatuna access ya ulimwengu wowete katika hizo sita isipokuwa huu wa kwetu.

Unknowns creature hawana miracle yeyote isipokuwa ni knowledge ambayo wao wanayo ambayo inapatikana katika ulimwengu wao. wao kwa wao pia wanazidiana maarifa na mwenye maarifa mengi ndio mwenye nguvu zaidi.

Natural form yao hai support life kwenye ulimwengu wetu. Ili waweze ku exist kwenye ulimwengu huu wana shape shift ili kuendana na mazingira yetu, Knowledge yao imefanya hiyo kuwezekana isipokuwa ni kwa muda maalum wa masaa 5 tu then wanarudi kwao.

Kuna machotara ambao wanazaa na binadamu ambao hao wanaweza kukaa ulimwengu huu kwa muda mrefu, Chotara haruhisiwi kufika wala kukanyaga ulimwengu wa unknown creature kwasababu miili yao hai support life kwenye ulimwengu wao.

Unknown creature hawezi kuongea lugha yeyote ile ya ulimwengu huu isipokuwa kwa ishara au alama kupitia maandishi ambayo ataandika kwa lugha ya ulimwengu wao then wewe utatafsiri kupitia kitabu ambacho atakuletea yeye mwenyewe. Chotara wa unknown creature anauwezo wa kuongea lugha ya ulimwengu huu tena kwa ufasaha.

Nina mengi ya kuandika ila nitaandika taratibu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom