Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Muulize kwanini hawataki kubeba miilia yao halisi mpk waanze kuchukua ya binadamu.
Arsis: Swali lako zuri sana na lina elimu kubw sana ndani likizingatiwa.

Hakuna anaebeau miili au mwili wa yoyote isipokua ni mashetani wa kibinaadam na kijini kwa mambo ya kichawi na kishirikina, wanashirikiana. hkuna binaadam wala jini mwema akafanya hayo. Qur'an imefundisha, hajakufurfu Sulaiman, walikufuru ni mashetani wanafundisha watu uchawi. Sio wanafundisha majini uchawi. Na Qur'an inasema mashetani ni katika watu na majini.

Zipo aya za yote haya za Qur'an.

Juzi Simba kamaliza kisa cha msukule na aliandika sababu zao. lakini simba amefanya uvivu hajamaliza kile kisa, kilikua kina maswali na majibu mazuri sana wale walioshikwa walijibu kila kitu.

Nyinyi binadam wa hapa JF, mnaona kisa kinakwisha hamuulizi maswali.
Arsis.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom