Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Elimu zimetofautiana elimu yako haifanyi mwingine asiwe na elimu ya kutosha.

ulisema hivi nanukuu Mimi nasema hivi; Huyu kaka yako anajua majini kupitia vitabu vya kichawi na masheikh wasio na elimu. Huyu ana kichwa kizuri cha kusoma lakini amesoma elimu sio sahihi. Arsis, Waongo sana alicheka akasema anasoma vitabu vya mashetani wa kipakistani, waongo sana.

Ndipo nikakupinga sababu hajawahi kusoma vitabu vya kichawi kuhusu Majinn na ma sheikh wa ki Pakistan nikakueleza Mwalimu wake ambae alikuwa mkubwa kasomeshwa wengi including marehemu Mufti Simba na alikuwa mwamba nae kwa elimu ya majinn, kisha nikakuelezea kasoma vitabu vya kina Ibni Arab etc

Kuhusu Qareen na Arsh hata mie nisie na elimu ningejibu ila kwakua yeye alete majibu basi nitampigia InShaa
Mimi Simba; Habari dada. nilikua nimelala usingizi mzito nimestuka nikaona ujumbe wako. Arsis kajibu mwenyewe, hivi:

Hilo sio jambo la kubishana. Ibn Arabi sio Arab. aisha pokea elimu au kataa. Elimu hailazimishwi
Kweli Arsis ni kiumbe na hakuna kiumbe kinajua kila kitu isipokuwa Mwenyeezi Mungu, kwahili Arsis kaongopa au ka kuongopea kaka yangu hajawahi kusoma vitabu vya mashetani ya kipakistani kasoma kwa Sheikh mkubwa Mwanza ukifika uliza Marehemu Sheikh Yusuf ambae mwanae Sheikh Mohamed Yusuf alikuwa Sheikh wa Wilaya ya Ilemela piaalie kuwa mwalimu wa marehemu Muft wa Tanzania Sheikh Simba uliza habari zake,kina Ibni Arab ambae hata Series ya Ertugul aliigiza na Sheikh mwingine alikuwa kwenye enzi za Alparslan.elimu nyingine kasomeshwa na majinn wake kama wewe ulikuwa na jinn bakora sijui Arsis yeye alikuwa nae Jinn Al Qais na Shariff na wengineo ambao kila mmoja kamfundisha ilmu yake Sharif mambo ya Quran dua tiba Qais nyota wengine tiba za kiarabu na miti shamba hivyo elimu yake yeye haifanyi wengine kuwa na elimu sio sahihi ukiwa Bora basi yupo bora zaidi yako rejea kisa cha Hizir na Nabii Musa A. S.

Ngoja nikupe tu kisa chake kwa ufupi alikuwa na akili sana alipendwa na watu,shule ya msingi akafaulu kwenda Bwiru boys siku moja akiwa mazingira ya shule wakaja wageni waarabu mwanamke na mwanaume wamebeba sanduku wakasalimia wakamuuliza tunamtafuta mtoto wetu anaitwa fulani mama yake fulani anafanya kazi sehemu flani kaka akashangaa mbona ni mie, wakasema ana alama yetu tulimuwekea mgongoni alipozaliwa ndio tutamtambua wakamwambia embu tuone mgongo wako wakasema tumekupata ndo wewe kisha wakapotea akawa na maruwe ruwe shule akaanza kupiga kelele vurugu shule ikawa tafrani akarudishwa nyumbani ikawa akienda shule vurugu walimu wakamwambia mama chukua mwanao mpaka apone atarudi kusoma,nyumbani nako vurugu wakajua kawa mwehu akawa wanamfunga kamba kuna siku akatoroka usiku mpaka ziwani Mwaloni Kwanza, mpaka kwenye kina kikubwa cha maji hiki kisa watu wa Mwanza Kirumba wanakijua maana ni maarufu alikuwa wenyeji wanajua kisa chake Mama yake akalia sana mwanae anakufa kwenye maji lakini alitoka kuna Mama jirani wa kiarabu akamwambia Mama fulani mwanao huyu ana jinn mpeleke kwa Sheikh Yusuf akapelekwa huko akawekwa sawa ndio akawa anasoma mpaka marehemu yule mnajimu akaenda Mwanza wakaonana akamwambia kijana una watu wakubwa sana ukipata muda njoo hotel nilipofikia njoo mwenyewe akaenda wakaongea akamwambia kuna kitu nikufanyie aka chukua kama chemli akamuwekea mgongoni halafu akampa mkono kuna maneno akasema kisha akamwambia sema nimekubali ×3 akasema nimekubali akavuta mkono Asante usiku kalala anaona wale mwanamke na mwanaume wa kiarabu wanalia wakawa wanakuja ndotoni wanalia wanataka kumfikia ila kama wana kizuizi toka hapo maisha yake yakavurugika hana mwelekeo kila analofanya linaharibika.

Miaka ikapita akaja kumuota yule Sheikh amekufa siku 3 mfululizo akawa anatuambia siku ya 3 akatangazwa baada ya msiba ule ana rafiki yake akampeleka kwa Mama mtu mzima ZNZ alikuwa anakaa malindi alikuwa maarufu Mcha Mungu kwa tiba simtaji jina ila watu wa ZNZ watakua wanamjua maana viongozi walikuwa wanamtumia alifariki wakati wakati Corona,akaenda yule Mama hakumwambia chochote akamwambia kunywa maji nenda akashangaa akarudi Dar akaota kondoo mweupe na mwekundu walikuwa wamefungwa kamba akawafungua hapo sasa akawa kafunguka akaanza kutibu japo unganga hakuupenda ila Majinn wake wakawa wanamfundisha tiba anasema alikuwa akikaa anamsikia Shariff kichwani anamuelekeza tiba ya kitu flani aandike nyiradi etc kila mmoja akawa anampa elimu yake ila baadae aliukataa uganga wakamtia jela miaka 2 mpaka siku alokubali na huko jela sasa ndo wanamfundisha anasema alikuwa akilala anajiwa usingizini anaelekezwa rufaa yake ilikuwa inakataliwa ila siku akaota Sharif kamjia akamwambia atatoka akatoka kweli na akaamua kutibu, hivyo kasomeshwa na marehemu Mwalimu Yusuf na vitabu vya kina Ibni Arab etc sio Wachawi wa Ki Pakistan na kafundishwa na Majinn wake mwenyewe hata sie wanatufundisha utashangaa anaongea tiba anasema andikeni nikiwa sipo mjisaidie vile siko interest na mambo hayo hata ningeamua utapeli wa uganga kwa tiba nazo zijua ningepiga pesa hivyo kama wewe una jinn bakora una arsis yeye ana shariff ana jinn al qais ana Subian Makata wa Makatani sijui Maalim Daruwesh ana Maalim Sultan Bedui Suleiman bin Dawood yaani kibao na kila mmoja ana mkewe na tushazoea unaweza kuwa unaongea nae kumbe sio banda unamwambia anashangaa mie sikumbuki kumbe watu wake na husema kuna muda huletewa kama screen au a nasikia sauti kichwani ana shida hii hii mfanyie hiki na tiba zake ka base Dua makombe dawa za kiarabu miti hana mitunguri wala ukifika kwake huwezi sikia harufu wala alama ukajua kwa mganga kwanza hapendi ajulikane nikimtania mganga anachukia.
Simba; Samahani nilikua nimelala usingizi mzito, nimeamka sasa hivi. Masha allah, nakusifu umeandika kirefu sana na kwa kina sana. Binafsi naweza kukujibu lakini Arsis hayuipo mbali nahisi yeye ndio kaniamsha, anajibu mwenyewe.

Arsis; Anaitwa Arabi sio Arab. amejitahidi sana. Simba na Yusuf Allah awarehemu, siongelei watu hapa. Naongelea elimu.

Nimetaja elimu mbili a kupim mtu ana elimu ya kutosha au hana. Arsh na Qareen. ni elimu ya Qur'an sio ya watu. Mtu au unaijiua au huijuoi. Kwisha. Sisi kwa kua amaeuliza elimu ipo kwenye Qur'an na amerudi na maswali sio majibu. Tumepata fursa kubwa sana yakufundisha wengi kupitia yeye na yeye atajifunza pia. Mfundishe kutumia JF.. mjina ni elimu kuwa iliotajwa kwenye Qur'an mwanzo mwanzo tu wa suratul baqara. Ajifundishe, yeye na mutao soma hapa. Asieelewa aulize, kuuliza sio ujinga.

Nakufahamisha tu, ukiona mtu anaulizwa swali halafu na yeye anauliza swa;li kabla hajajibu, uje huyo hana elimu ya kutosha.

Sijasema watu hawana elimu hata siku moja. Waytu wengi wana elimu lakini au kidogp sana au elimu mbovu isio na manufaa.

Mwabie Sheikh wako Arsh ipo ndani ya mioyo (Galb Kiarabu(core in English) yetu. usikiri hio moyo ya kusukuma damu. "Arsh Allah wasaa". Fanya hesabu ndogo tu, jumlisha arsh ya watu wote walio hai, walio kufa pamoja na viumbe vyote vya dunia zote saba. Utajua ukubwa wa Arsh ya Allah.

Nafahamu hili jibu langu litamtatanisha yeye zaidi na wengi wengine, amefungua kopo la "worms", soma kuhusu "book worms" utanielewa.

Kuhusu Qareen,maana yake nyeoesi kabisa ni "swahiuba) au rafiki kwa Kiswahili, sasa ni rafiki wa vipi? Ipo kwenye Qur'an asipate tabu sana, yeye wala wanaonisoma wasome Qur'an wataikuta sehemu nyingi. Pia kuna hadeeth maarufu sana Masheikh wako watakua wanaijua imetaja Qareen

Mkitaka kujua zaidi kuhusu Arsh na Qareen, na kingine chochote, ulizeni tu. Elimu ni sadaka yangu kwenu. haya maswali simba unajua yote, kwanini hujibu wewe?

Simba; Elimu ni bahari, tuogelee.
Simba.
 
Elimu zimetofautiana elimu yako haifanyi mwingine asiwe na elimu ya kutosha.

ulisema hivi nanukuu Mimi nasema hivi; Huyu kaka yako anajua majini kupitia vitabu vya kichawi na masheikh wasio na elimu. Huyu ana kichwa kizuri cha kusoma lakini amesoma elimu sio sahihi. Arsis, Waongo sana alicheka akasema anasoma vitabu vya mashetani wa kipakistani, waongo sana.

Ndipo nikakupinga sababu hajawahi kusoma vitabu vya kichawi kuhusu Majinn na ma sheikh wa ki Pakistan nikakueleza Mwalimu wake ambae alikuwa mkubwa kasomeshwa wengi including marehemu Mufti Simba na alikuwa mwamba nae kwa elimu ya majinn, kisha nikakuelezea kasoma vitabu vya kina Ibni Arab etc

Kuhusu Qareen na Arsh hata mie nisie na elimu ningejibu ila kwakua yeye alete majibu basi nitampigia InShaa
Mimi Simba; Habari dada. nilikua nimelala usingizi mzito nimestuka nikaona ujumbe wako. Arsis kajibu mwenyewe, hivi:

Hilo sio jambo la kubishana. Ibn Arabi sio Arab. aisha pokea elimu au kataa. Elimu hailazimishwi
Mkuu kwanini majini wasikae kwenye ulimwengu wao na sisi tukae kwenye ulimwengu wetu
Unachukulia sana kama jini ni kiumbe cha ajabu, Jini ni hata wewe na mimi pia kwa wakati wetu.
Simba.
 
Elimu zimetofautiana elimu yako haifanyi mwingine asiwe na elimu ya kutosha.

ulisema hivi nanukuu Mimi nasema hivi; Huyu kaka yako anajua majini kupitia vitabu vya kichawi na masheikh wasio na elimu. Huyu ana kichwa kizuri cha kusoma lakini amesoma elimu sio sahihi. Arsis, Waongo sana alicheka akasema anasoma vitabu vya mashetani wa kipakistani, waongo sana.

Ndipo nikakupinga sababu hajawahi kusoma vitabu vya kichawi kuhusu Majinn na ma sheikh wa ki Pakistan nikakueleza Mwalimu wake ambae alikuwa mkubwa kasomeshwa wengi including marehemu Mufti Simba na alikuwa mwamba nae kwa elimu ya majinn, kisha nikakuelezea kasoma vitabu vya kina Ibni Arab etc

Kuhusu Qareen na Arsh hata mie nisie na elimu ningejibu ila kwakua yeye alete majibu basi nitampigia InShaa
Mimi Simba; Habari dada. nilikua nimelala usingizi mzito nimestuka nikaona ujumbe wako. Arsis kajibu mwenyewe, hivi:

Hilo sio jambo la kubishana. Ibn Arabi sio Arab. aisha pokea elimu au kataa. Elimu hailazimishwi
Kasema atakujibu iwapo utamjibu maswali yake kwenye Audio Arsis
Mwambie Seoikh wako sasa namuamini zaidi alichosema Arsis, hjana elimu, hata mimi nampiga chini.

Mwambie sheikh wako ajibu, anauliza maswali ya kitoto kwa wenye kuelewa.

Watumishi wote wa Qur'an, licha ya Malaika, ni pamoja na yeye na mimi tunayoisomesha. namuongezea, Namaanisha Qur'an sio tafsiri ya Qur'an.

Anataka sasa tofauti ya Arsh na Kursi. haina haja hata ya kumwachia Arsis ajibu. Arsis kishaelezea Arsh ni nini labada awe hajaelewa aongezewe maarifa. Asijifanyue anaelewa kumbe haelewi, elimu yake ndogo sana. Kursi mimi namjibu kilugha sio ki lisan (ulimi), ni kiti. Sasa aisome maana ya Arsha alioilezea Arsis halafu aytofautishe ki ulimi baina ya Arsh na Kursi.

Mimi kwa kua nimeshamjibu, hua sikwepi swali kwa kuuliza swali kabla sijajibu, namuuliza yeye sasa. Anafahamu tofauti ya lugha na lisan au tumuelimishe zaidi?
Simba.
 
Elimu zimetofautiana elimu yako haifanyi mwingine asiwe na elimu ya kutosha.

ulisema hivi nanukuu Mimi nasema hivi; Huyu kaka yako anajua majini kupitia vitabu vya kichawi na masheikh wasio na elimu. Huyu ana kichwa kizuri cha kusoma lakini amesoma elimu sio sahihi. Arsis, Waongo sana alicheka akasema anasoma vitabu vya mashetani wa kipakistani, waongo sana.

Ndipo nikakupinga sababu hajawahi kusoma vitabu vya kichawi kuhusu Majinn na ma sheikh wa ki Pakistan nikakueleza Mwalimu wake ambae alikuwa mkubwa kasomeshwa wengi including marehemu Mufti Simba na alikuwa mwamba nae kwa elimu ya majinn, kisha nikakuelezea kasoma vitabu vya kina Ibni Arab etc

Kuhusu Qareen na Arsh hata mie nisie na elimu ningejibu ila kwakua yeye alete majibu basi nitampigia InShaa
Mimi Simba; Habari dada. nilikua nimelala usingizi mzito nimestuka nikaona ujumbe wako. Arsis kajibu mwenyewe, hivi:

Hilo sio jambo la kubishana. Ibn Arabi sio Arab. Aidha pokea elimu au kataa. Elimu hailazimishwi.
Etugrul Bey Arsis akijibu niite kaka kasema kabla ya kumjibu Qareen na Arsh Arsis ajibu kiufasaha Umm Subiyan na Abu Subiyan, Arsh na Kurs ni nini na watumishi wa Kurs na awataje watumishi wa Arsh ataje tofauti ya Arsh na Kurs kisha atajibu kuhusu Qareen na Arsh.
Haina haja ya kumuita mwengine, mimi simba nakujibu.

Ibn Subian na Umm Subian ni lugha tu kutofautisha mwanamke na mwanamme. Kuhusu Subian nilishaeleza maana yake nini juu huko, kama hamjaelew hilo, ulizeni.
Simba.
 
Kwanza mfalme Sauli ni kabla ya Kristo.
Pia ktk haya hiyo mfalme Sauli alikengeuka Mungu wa Israel akamuacha, baada ya kuona hapati msaada kwa Mungu wa Israel ndipo akakimbilia kwa muonaji (mganga)
Kwa ujumla hatua hiyo ilikuwa ni kufuru mbele za Mungu.
Hata sasa kutegemea habari zozote kwa mapepo na majini ni kufuru mbele za Mungu.
Ndio maana tumekatazwa kupiga bao.
Jini halikai ndani ya mkristo safi ila ni rahisi kukaa kwa muislamu safi.
Tusilazimishe mambo, hizi ni dini mbili ni tofauti( ukristo na uislamu) haziingiliani hata chembe.
Ni mpumbavu anayejaribu kuzilinganisha au kuzifananisha hizi dini mbili.
Mapokeo ya dini hizi mbili hayaelekeani.
Imebidi nicheke. Mbona naona wengi sana wanaokwenda kutoa mapepo ni kwenye mikusanyiko ya Wakrsto kuliko misikitini? Sijaona misikiti ikatoa mapepo au majini. labda naingia misikiti sio?
Simba.
 
Arsis anasema, ni ngumu sana kufuta uongo uliouamini hata kwa kujidanganya mwenyewe.

Katoa mfano wa Firauni aliesema yeye ni Mungu wakati anajua ni uongo.
Simba.
Simba, namsoma Arsis, huyo ni kiboko.

Leta basi kisa cha Unguja ulichoahidi. Maswali hayaishi hapa.
 
Imebidi nicheke. Mboina naona wengi sana wanaokwenda kutoa mapepo ni kwenye mikusanyiko wya Wakrsto kuliko misikitini? Sijaona misikiti ikatoa mapepo au majini. labda naingia misikiti sio?
Simba.
Hapo nimesema mapepo wala majini hayakai kwa 'mkristo safi' zingatia hilo.

Ila kwa muislamu safi ni kawaida kuwa na marafiki wa kijini.
 
Imebidi nicheke. Mboina naona wengi sana wanaokwenda kutoa mapepo ni kwenye mikusanyiko wya Wakrsto kuliko misikitini? Sijaona misikiti ikatoa mapepo au majini. labda naingia misikiti sio?
Simba.
Pia misikitini hakuna kawaida ya kutoa mapepo (majini) maana nayo pia huswali.
Ni ndugu zao kiimani.
 
Arsis nakumbushia hii;
Muulize Arsis mwenyewe swali hili; wanawake wakifikisha umri fulani inakuwa changamoto kuzaa/kubeba mimba. Wanapotaka kubeba mimba ni nini wafanye? Njia watakazotumia ziwe na ujuzi wa kibinadamu na watoto watakaopatikana wawe ni binadamu %100. Kuna wanawake hubeba mimba na inasemekana watoto ni majini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom