- Thread starter
- #1,501
Kuna kisa cha Zanzibar niutakileta.Zanzibar yenyewe ni nchi ya majini, mtalii ukufika tu unakabidhiwa jinni as zawadi.
Kuhusu majini, yapo kila sehemu, kwa kila binadam mmoja kuna majini elfu moja kwa uchache.
Simba.
Kuna kisa cha Zanzibar niutakileta.Zanzibar yenyewe ni nchi ya majini, mtalii ukufika tu unakabidhiwa jinni as zawadi.
Kutaka hiyo mizizi imekuwa kosa?Wewe ndio maana unashambuliwa sana JF, Mchokozi sana. Mizizi kwenu hakuna?
Najihisi kuna nguvu sio ya kawaida imefunga uwezo wangu wa kufanya mambo yangu kwa uendelevu. Nafanya vitu naishia mwanzoni au katikati.Kuna kisa cha Zanzibar niutakileta.
Kuhusu majini, yapo kila sehemu, kwa kila binadam mmoja kuna majini elfu moja kwa uchache.
Simba.
Majina yao halisi ni ngumu sana kuyajua, isipokua ni wepesi kujua majina hya aina zao. Mfano kwenye biblia wameitwa beezzerbul au kitu kama hivyo,kiyahudi wapo kina baharatin, Kiarabu wapo kina Maimun . Wengine kama Lucifer.inawekana ndio huyu Ifrit.Majina yao halisi ni yepi sasa?
Wacha uchokozi, unataka mizizi usonekane ya nini?Kutaka hiyo mizizi imekuwa kosa?
Kuna mengi sana zaidi ya majini, kuna husuda yaani kijicho, kuna uasherati unafunga mambo.Najihisi kuna nguvu sio ya kawaida imefunga uwezo wangu wa kufanya mambo yangu kwa uendelevu. Nafanya vitu naishia mwanzoni au katikati.
Inawezekana ikawa ni majini?
Kweli kabisa, elimu ya roho waliojaaliwa ni wachavhe na kwa uchache sana. Tuelimishane.Hivi roho ya mtu unaionaje hii safi, hii sio safi?
Qur'an
17:85. Na wanakuuliza khabari za Roho. Sema: Roho ni katika mambo ya Mola wangu Mlezi. Nanyi hamkupewa katika ilimu ila kidogo tu.85
Okay..
Swali nilishauliza na jibu nilijibiwa kwamba utanielekeza wewe ......na asubuhi post yako number 1342 umenijibu.
Imetokea post yako number 1068.
Arsis alinijibu post number 1038 baada ya kuuliza swali post number 1023.
Natumaini nimerefer vizuri umenielewa vzr.
Neni jini ni la kiarabu linatokana na neno Jan au kifoicho, kisichoonekana. Mfano hapa hata mimi nawewe ni majini. Kwa sabau wote tumejificha hatuonani wala kuonekana, hata majina yetu halisi tumeyaficha.Kuna tofauti ya malaika / mizimu na majini. Waarab nijuavyo mimi kwa elimu yangu ndiyo majini haswa.
Arsis anasema labda kwa wanaitikadi Yesu ni Mungu, neno Mungu linamaana tofauti na uijuavyo wewe Muislam. Ametoa mfano wa wamisri wa kale, wana mungu wa kila kitu, hivyo hivyo wagiriki. Kua na miungu wengi ni upagani. Kama wanaamini Yesu ni Mungu na Yesu ana Mungu wake, huo ni upagani.Hivi Yesu si mnasema ni Mungu? Kama ni kweli aliwaumba majinni na mashetani?
Ungepiga simu, kaweka namba za simu. FF kasema yeye anautumia mpaka leo. Mimi nimeununua si zamani sana, kwa sabau hizi habari za tiba ya huo udoongo sijajulishwa zamani sana na Arsis, nilikua siujui.safi sana umefanya vema..ila huu uzi ni wa miaka mingi huo udongo atakuwa bado nao kweli mpaka sasa tena ule original.?
Mbona una hasira sana, nini kimekukera? Tupe elimu.Mtawatapeli wajinga kama nyinyi, ngoja tuone.
Hilo la jini limeelezewa kwa kina. Arsis mara chungu nzima kasema yeye sio jini, yeye ni mtu.Mwisho wa huu uzi kuna watu watalia, nimekaa hapa nafatilia kwa ukaribu. Naona ni mtu ana akunti kadhaa au ni kundi la watu wanacheza na akili za wana JF mwisho wa siku vichwa maji wataingia kwenye 18.
Yaani jini lije kuandika humu JF!? Hahahahaha kweli akili nywele.
Ndio yeye nini?Ndiyo wewe nini?
Si wale wachawi na wanga uliyosema.Ndio yeye nini?
Simba.
Sawa. Asante kwa ushauri wako. Usiwe mjinga.Acha kutuona wajinga, unavyoforce story yako ionekane ya kweli ndo unazidi kuharibu. Huyo Arsis wako baki naye kichwani maana hayupo so acha upuuzi andika story tuburudike tu.
Acha ni chat nae tu. Usijali.Si wale wachawi na wanga uliyosema.
Wewe Simba kuwa Chura Kiziwi kwake. Hawa wa JF tuwachie sisi tumewazowea miaka sasa.
Ukienda kule Tanga jioni mabara barani unakuta wabibi wamevaa zao mabaibui ya uzi ya kiasili ya zamani yale kabisa wanauza samaki ,kalimati na mikate ya kumimina ,wale wabibi ukinunua kwa mwenzake anakukata bonge la jicho la chuki na anaweza kukusindikiza na zongo ukaharishe mbele huko, basi sikufichi kila nikiona avatar yako nakumbuka wale wabibi wa Tanga we mbibiHaelewi maana ya jinni huyo, tuwachie sisi tutampa darsa.
Aliwaumba ndio pamoja na viumbe wengi wengine wenye kuonekana na wasioonekana. Ndiye boss wa wanadamu na majini yote pamoja na mashetani wote. Huwezi kuwa na hao mnaita maruhani ukataja Jina la Yesu alafu maruhani yanaendelea kukupenda. Jaribu hilo.Hivi Yesu si mnasema ni Mungu? Kama ni kweli aliwaumba majinni na mashetani?
Uoga wako tu, soma dua za kuendea sokoni na madukani.Ukienda kule Tanga jioni mabara barani unakuta wabibi wamevaa zao mabaibui ya uzi ya kiasili ya zamani yale kabisa wanauza samaki ,kalimati na mikate ya kumimina ,wale wabibi ukinunua kwa mwenzake anakukata bonge la jicho la chuki na anaweza kukusindikiza na zongo ukaharishe mbele huko, basi sikufichi kila nikiona avatar yako nakumbuka wale wabibi wa Tanga we mbibi