Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

MIE NAISHIA HAPA MAANA BWANA SIMBA KATUKIMBIA NA SIMULIZI YAKE.

ILA NIWAPE TU USIA ALONIPA BABA YANGU KABLA HAJAFARIKI,ALINIAMBIA MWANANGU ISHI MAISHA YA KUMPENDEZA MWENYEEZI MUNGU,MTEGEMEE MWENYEEZI MUNGU POPOTE ATAKUVUSHA SALAMA.BABA YAKO SIO TAJIRI SIJAKUACHIA MALI ILA QURAN NA SUNNA ZA MTUME WETU MUHAMMAD S. A. W USISAHAU KUMSWALIA.

AMKA USIKU SEMA ONGEA NA MWENYEEZI MUNGU KWA KUMAANISHA MOYONI NA MDOMONI.
USISAHAU KUWA NA HURUMA KWA WENGINE NA KUTOA SADAKA HASWA WAJANE NA MAYATIMA.

HIVYO USIA WANGU KAMA MPENDA WAGANGA UACHE KUNA WAGANGA NI WABAYA MNO BADALA YA KUKUSAIDIA ANAKUANGAMIZA ZAIDI WANA TABIA YA KUIBA NYOTA WAKATUMIA WAO HIVYO KUWA MWANGALIFU SANA USISIKIE KUNA MGANGA FLANI BASI UNAENDA KESHO UNASIKIA KUNA MWINGINE HASWA WASIO KUWA WACHA MUNGU NI HATARI NI HAYO TU OVER AND OUT.
Ila kutumia majini ruksa sio??
 
Huwa sikisii.
Mimi siifahamu hiyo aya na hiyo mada naifahamu sana na nimewahi kuifunguliya uzi hapa JF siku nyingi.

Sijawahi kuona kwenye Qur'an kuwa Adam ni mtu wa kwanza.
. Anaebisha alete aya ya Qur'an inayoonesha hivyo na atuoneshe jina Hawa liko wapi kwenye Qur'an.
Qur'an 2🙁30-31)
 
Kuna ishu imezuka hapa kwamba katika qur'an au hata biblia kuwa hakuna aya ambayo inasema adam ndio mwanadam wa kwanza

Lakini nadhan wote tunatambua kwamba elimu ya Mwenyezi Mungu ipo katika vitabu na mafundisho ya Mitume na Manabii wake

Kwahiyo itoshe kujua kwamba mitume wake walitufahamisha kuwa Adam ndio kiumbe wa mwanzo,maana kinyume na hapo ina maana tutakuwa na mashaka na mafundisho ya manabii na mitume,na hapo tutakuwa tumekufuru

Yaan sawa sawa na leo hii muislamu asema swala tano zimeamrishwa katika qur'an lkn hatujaambiwa namna ya kuziswali,wakati Mtume rehema na amani zimuendee ameelekeza namna ya kuziswali
Al baqarah (30-31) imetajwa mbona
 
tom-holland.gif
tom-holland.gif

tom-holland.gif
tom-holland.gif
 
MIE NAISHIA HAPA MAANA BWANA SIMBA KATUKIMBIA NA SIMULIZI YAKE.

ILA NIWAPE TU USIA ALONIPA BABA YANGU KABLA HAJAFARIKI,ALINIAMBIA MWANANGU ISHI MAISHA YA KUMPENDEZA MWENYEEZI MUNGU,MTEGEMEE MWENYEEZI MUNGU POPOTE ATAKUVUSHA SALAMA.BABA YAKO SIO TAJIRI SIJAKUACHIA MALI ILA QURAN NA SUNNA ZA MTUME WETU MUHAMMAD S. A. W USISAHAU KUMSWALIA.

AMKA USIKU SEMA ONGEA NA MWENYEEZI MUNGU KWA KUMAANISHA MOYONI NA MDOMONI.
USISAHAU KUWA NA HURUMA KWA WENGINE NA KUTOA SADAKA HASWA WAJANE NA MAYATIMA.

HIVYO USIA WANGU KAMA MPENDA WAGANGA UACHE KUNA WAGANGA NI WABAYA MNO BADALA YA KUKUSAIDIA ANAKUANGAMIZA ZAIDI WANA TABIA YA KUIBA NYOTA WAKATUMIA WAO HIVYO KUWA MWANGALIFU SANA USISIKIE KUNA MGANGA FLANI BASI UNAENDA KESHO UNASIKIA KUNA MWINGINE HASWA WASIO KUWA WACHA MUNGU NI HATARI NI HAYO TU OVER AND OUT.
Wow😍 Allah akulipe kheir kwa kushare nasi wosia huu mzuri wenye Manufaa, nimeguswa hapo uliposema “Amka usiku ongea na Mola wako kwa kumaanisha Moyoni na Mdomoni, wallahi ibada za usiku zina nguvu mnooo, Mungu anajibu muhimu Subra tu🤲🏽 and Lastly khs Waganga umemaliza kila kitu♥️♥️
 
Majina yao halisi ni ngumu sana kuyajua, isipokua ni wepesi kujua majina hya aina zao. Mfano kwenye biblia wameitwa beezzerbul au kitu kama hivyo,kiyahudi wapo kina baharatin, Kiarabu wapo kina Maimun . Wengine kama Lucifer.inawekana ndio huyu Ifrit.

Kiswahili tunasikia mizimu, mapepo, makata, yote hio ni kijumla jumla,, lakini kama tulivyo na majina yetu na wao wana majina yao, au ya iukweli zu ya ya uongo au ya kubuni watajijua wenyewe. kama wewe hapo siamini kama mkereketwa yule ni jina lako ulilopewa na wazazi wako, au mimi ni sio jina langu simba, ni majina ya kijini tu haya, yaani ya kuficha ukweli.
Simba.
Kwanini kabla ya Uislam na Waarab tulikuwa hatuna majini tuliamini mizimu yetu tu na tulifanikiwa? Hizi dini za kuletewa bwana, aliyetuletea inabidi akamatwe haraka sana.
 
Neni jini ni la kiarabu linatokana na neno Jan au kifoicho, kisichoonekana. Mfano hapa hata mimi nawewe ni majini. Kwa sabau wote tumejificha hatuonani wala kuonekana, hata majina yetu halisi tumeyaficha.

Jinni kwa mujibu wa Arsis, hata wanaoisoma Qur'an wakiisoma vizuri watakuta kuna sehemu inamaanisha kikundi cha watu waliojifica, wenye siri. Mfano mimi nikija nakuchekea, nakudanganya lakini nia yangu ni kukudhuru, bila wewe au wengine kujua, basi mimi tayari ni jini, ingawa umeniona.
Simba.
Mimi bwana siku zote nina mashaka na dini ya Kiislam, sina imani nayo hata kidogo.
 
Kwanini kabla ya Uislam na Waarab tulikuwa hatuna majini tuliamini mizimu yetu tu na tulifanikiwa? Hizi dini za kuletewa bwana, aliyetuletea inabidi akamatwe haraka sana.
Majini yalikuwepo hata katika ukristo,mfalme sauli alienda kwa mwanamke wa kike kutaka kupata ufumbuzi kutoka kwa pepo

1 Samweli 28:6-8
[6]Lakini Sauli alipouliza kwa BWANA, BWANA hakumjibu, wala kwa ndoto, wala kwa Urimu, wala kwa manabii.
And when Saul enquired of the LORD, the LORD answered him not, neither by dreams, nor by Urim, nor by prophets.
[7]Ndipo Sauli akawaambia watumishi wake, Nitafutieni mwanamke mwenye pepo wa utambuzi, nipate kumwendea na kuuliza kwake. Watumishi wake wakamwambia, Tazama, yuko mwanamke mwenye pepo wa utambuzi huko Endori.
Then said Saul unto his servants, Seek me a woman that hath a familiar spirit, that I may go to her, and enquire of her. And his servants said to him, Behold, there is a woman that hath a familiar spirit at Endor.
[8]Basi Sauli akajigeuza, na kuvaa mavazi mengine, kisha akaenda, yeye na watu wawili pamoja naye, wakamfikilia yule mwanamke usiku; akasema, Tafadhali unibashirie kwa utambuzi, ukanipandishie yeye nitakayemtaja kwako.
And Saul disguised himself, and put on other raiment, and he went, and two men with him, and they came to the woman by night: and he said, I pray thee, divine unto me by the familiar spirit, and bring me him up, whom I shall name unto thee.
 
Majini yalikuwepo hata katika ukristo,mfalme sauli alienda kwa mwanamke wa kike kutaka kupata ufumbuzi kutoka kwa pepo

1 Samweli 28:6-8
[6]Lakini Sauli alipouliza kwa BWANA, BWANA hakumjibu, wala kwa ndoto, wala kwa Urimu, wala kwa manabii.
And when Saul enquired of the LORD, the LORD answered him not, neither by dreams, nor by Urim, nor by prophets.
[7]Ndipo Sauli akawaambia watumishi wake, Nitafutieni mwanamke mwenye pepo wa utambuzi, nipate kumwendea na kuuliza kwake. Watumishi wake wakamwambia, Tazama, yuko mwanamke mwenye pepo wa utambuzi huko Endori.
Then said Saul unto his servants, Seek me a woman that hath a familiar spirit, that I may go to her, and enquire of her. And his servants said to him, Behold, there is a woman that hath a familiar spirit at Endor.
[8]Basi Sauli akajigeuza, na kuvaa mavazi mengine, kisha akaenda, yeye na watu wawili pamoja naye, wakamfikilia yule mwanamke usiku; akasema, Tafadhali unibashirie kwa utambuzi, ukanipandishie yeye nitakayemtaja kwako.
And Saul disguised himself, and put on other raiment, and he went, and two men with him, and they came to the woman by night: and he said, I pray thee, divine unto me by the familiar spirit, and bring me him up, whom I shall name unto thee.
Mfano uliotoa ni kwa ajili ya hizi dini za mashaka au kimchongo, hizi dini zote zinaabudu majini sisi tukiabudu mizimu yetu wanasema ni ushetani. Sasa nani ni shetani kati yao na sisi?
 
Majini yalikuwepo hata katika ukristo,mfalme sauli alienda kwa mwanamke wa kike kutaka kupata ufumbuzi kutoka kwa pepo

1 Samweli 28:6-8
[6]Lakini Sauli alipouliza kwa BWANA, BWANA hakumjibu, wala kwa ndoto, wala kwa Urimu, wala kwa manabii.
And when Saul enquired of the LORD, the LORD answered him not, neither by dreams, nor by Urim, nor by prophets.
[7]Ndipo Sauli akawaambia watumishi wake, Nitafutieni mwanamke mwenye pepo wa utambuzi, nipate kumwendea na kuuliza kwake. Watumishi wake wakamwambia, Tazama, yuko mwanamke mwenye pepo wa utambuzi huko Endori.
Then said Saul unto his servants, Seek me a woman that hath a familiar spirit, that I may go to her, and enquire of her. And his servants said to him, Behold, there is a woman that hath a familiar spirit at Endor.
[8]Basi Sauli akajigeuza, na kuvaa mavazi mengine, kisha akaenda, yeye na watu wawili pamoja naye, wakamfikilia yule mwanamke usiku; akasema, Tafadhali unibashirie kwa utambuzi, ukanipandishie yeye nitakayemtaja kwako.
And Saul disguised himself, and put on other raiment, and he went, and two men with him, and they came to the woman by night: and he said, I pray thee, divine unto me by the familiar spirit, and bring me him up, whom I shall name unto thee.
Kwahiyo kwa haya hii inathibitisha kuwa majini ni mapepo.
Kwa wakristu hakuna jini mzuri wote ni mapepo tu.
Na hapo ndipo tofauti ya hizi dini mbili kuhusu majini.
Jini hana nafasi kwa Mkristo safi
 
Etugrul Bey Arsis akijibu niite kaka kasema kabla ya kumjibu Qareen na Arsh Arsis ajibu kiufasaha Umm Subiyan na Abu Subiyan, Arsh na Kurs ni nini na watumishi wa Kurs na awataje watumishi wa Arsh ataje tofauti ya Arsh na Kurs kisha atajibu kuhusu Qareen na Arsh.
Kasema atakujibu iwapo utamjibu maswali yake kwenye Audio Arsis
 
Sasa ndio jiulize kwanini mfalme Sauli alitaka msaada kwa majini/mapepo
Kwanza mfalme Sauli ni kabla ya Kristo.
Pia ktk haya hiyo mfalme Sauli alikengeuka Mungu wa Israel akamuacha, baada ya kuona hapati msaada kwa Mungu wa Israel ndipo akakimbilia kwa muonaji (mganga)
Kwa ujumla hatua hiyo ilikuwa ni kufuru mbele za Mungu.
Hata sasa kutegemea habari zozote kwa mapepo na majini ni kufuru mbele za Mungu.
Ndio maana tumekatazwa kupiga bao.
Jini halikai ndani ya mkristo safi ila ni rahisi kukaa kwa muislamu safi.
Tusilazimishe mambo, hizi ni dini mbili ni tofauti( ukristo na uislamu) haziingiliani hata chembe.
Ni mpumbavu anayejaribu kuzilinganisha au kuzifananisha hizi dini mbili.
Mapokeo ya dini hizi mbili hayaelekeani.
 
Kwanza mfalme Sauli ni kabla ya Kristo.
Pia ktk haya hiyo mfalme Sauli alikengeuka Mungu wa Israel akamuacha, baada ya kuona hapati msaada kwa Mungu wa Israel ndipo akakimbilia kwa muonaji (mganga)
Kwa ujumla hatua hiyo ilikuwa ni kufuru mbele za Mungu.
Hata sasa kutegemea habari zozote kwa mapepo na majini ni kufuru mbele za Mungu.
Ndio maana tumekatazwa kupiga bao.
Jini halikai ndani ya mkristo safi ila ni rahisi kukaa kwa muislamu safi.
Tusilazimishe mambo, hizi ni dini mbili ni tofauti( ukristo na uislamu) haziingiliani hata chembe.
Ni mpumbavu anayejaribu kuzilinganisha au kuzifananisha hizi dini mbili.
Mapokeo ya dini hizi mbili hayaelekeani.
Sawa boss,wenye hekima zetu tunakuelewa

Kukubali ukweli wakati mwingine ni jambo zuri sana,usiogope ukweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom