Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Hilo nimeahi kumuuliza zamani akanijibu hivi;

Biblia ameisoma lakini haina majibu ya kutosha. Yeye anajua Torati ameisoma kabla haijapotea (kuhifadhiwa), anaijua Zaburi, anazijua kurasa za Ibrahim, anajua kitabu cha Yahya. Anaijua na elimu aliopewa mariam, mama wa Yesu. Arsis anamuita "meritaton".

Lakini vyote hivyo vimehifadhiwa isipokua Qur'an pekee ndio iliopo sasa yenye "summary" ya vyote hivyo na vinginevyo. Ukisoma simba utasoma na hivyo vingine. Siri ni kusoma na kuomba Allah akufungulie. Allah hamnyimi mja wake akitakacho labda kiwe ni shari kwake.
Simba.
Kwa jibu rahisi ni kwamba haiamini biblia sio?

Ila pia kwa majibu haya ni kumaanisha elimu yake ni knowledge inayotokana na experience yake binafsi kwa namna anavyotafsiri kulingana na uelewa wake na sio absolute maana kuna mambo anaeleza yanapingana na torati pia ambayo anasema ameisoma.
 
Post limekuwa la kitapeli katikati wakati mwanzoni ilianza vema. Eti mleta mada huyo huyo anageuka kuwa malaika na wakati mwingine anakuwa mdogo wa Maforoni na watu wanaamini kabisa wanajibiwa mambo yao Malaika na siyo Mdigo. Hivi Waafrika tumelogwa na nani?
 
Jana nimesikiliza audo na Arsis kasikiliza na leo nimesikiliza hii, kwa kua sio swali kwa Arsis ikabidi asijibu lakini Arsis amesema ongea wewe Simba.

Mimi nasema hivi; Huyu kaka yako anajua majini kupitia vitabu vya kichawi na masheikh wasio na elimu. Huyu ana kichwa kizuri cha kusoma lakini amesoma elimu sio sahihi. Arsis, Waongo sana alicheka akasema anasoma vitabu vya mashetani wa kipakistani, waongo sana.

Anaelezea majini ndivyo sivyo na tujuavyo sisi, lakini usiwache kuleta audio na elimu yake inatufanya tujipime na yetu. kama anavyoleta mzee wa chai na elimu yake ya muridi.Tunapata kusoma hapa.

Leta vitu.
Simba.
Kweli Arsis ni kiumbe na hakuna kiumbe kinajua kila kitu isipokuwa Mwenyeezi Mungu, kwahili Arsis kaongopa au ka kuongopea kaka yangu hajawahi kusoma vitabu vya mashetani ya kipakistani kasoma kwa Sheikh mkubwa Mwanza ukifika uliza Marehemu Sheikh Yusuf ambae mwanae Sheikh Mohamed Yusuf alikuwa Sheikh wa Wilaya ya Ilemela piaalie kuwa mwalimu wa marehemu Muft wa Tanzania Sheikh Simba uliza habari zake,kina Ibni Arab ambae hata Series ya Ertugul aliigiza na Sheikh mwingine alikuwa kwenye enzi za Alparslan.elimu nyingine kasomeshwa na majinn wake kama wewe ulikuwa na jinn bakora sijui Arsis yeye alikuwa nae Jinn Al Qais na Shariff na wengineo ambao kila mmoja kamfundisha ilmu yake Sharif mambo ya Quran dua tiba Qais nyota wengine tiba za kiarabu na miti shamba hivyo elimu yake yeye haifanyi wengine kuwa na elimu sio sahihi ukiwa Bora basi yupo bora zaidi yako rejea kisa cha Hizir na Nabii Musa A. S.

Ngoja nikupe tu kisa chake kwa ufupi alikuwa na akili sana alipendwa na watu,shule ya msingi akafaulu kwenda Bwiru boys siku moja akiwa mazingira ya shule wakaja wageni waarabu mwanamke na mwanaume wamebeba sanduku wakasalimia wakamuuliza tunamtafuta mtoto wetu anaitwa fulani mama yake fulani anafanya kazi sehemu flani kaka akashangaa mbona ni mie, wakasema ana alama yetu tulimuwekea mgongoni alipozaliwa ndio tutamtambua wakamwambia embu tuone mgongo wako wakasema tumekupata ndo wewe kisha wakapotea akawa na maruwe ruwe shule akaanza kupiga kelele vurugu shule ikawa tafrani akarudishwa nyumbani ikawa akienda shule vurugu walimu wakamwambia mama chukua mwanao mpaka apone atarudi kusoma,nyumbani nako vurugu wakajua kawa mwehu akawa wanamfunga kamba kuna siku akatoroka usiku mpaka ziwani Mwaloni Kwanza, mpaka kwenye kina kikubwa cha maji hiki kisa watu wa Mwanza Kirumba wanakijua maana ni maarufu alikuwa wenyeji wanajua kisa chake Mama yake akalia sana mwanae anakufa kwenye maji lakini alitoka kuna Mama jirani wa kiarabu akamwambia Mama fulani mwanao huyu ana jinn mpeleke kwa Sheikh Yusuf akapelekwa huko akawekwa sawa ndio akawa anasoma mpaka marehemu yule mnajimu akaenda Mwanza wakaonana akamwambia kijana una watu wakubwa sana ukipata muda njoo hotel nilipofikia njoo mwenyewe akaenda wakaongea akamwambia kuna kitu nikufanyie aka chukua kama chemli akamuwekea mgongoni halafu akampa mkono kuna maneno akasema kisha akamwambia sema nimekubali ×3 akasema nimekubali akavuta mkono Asante usiku kalala anaona wale mwanamke na mwanaume wa kiarabu wanalia wakawa wanakuja ndotoni wanalia wanataka kumfikia ila kama wana kizuizi toka hapo maisha yake yakavurugika hana mwelekeo kila analofanya linaharibika.

Miaka ikapita akaja kumuota yule Sheikh amekufa siku 3 mfululizo akawa anatuambia siku ya 3 akatangazwa baada ya msiba ule ana rafiki yake akampeleka kwa Mama mtu mzima ZNZ alikuwa anakaa malindi alikuwa maarufu Mcha Mungu kwa tiba simtaji jina ila watu wa ZNZ watakua wanamjua maana viongozi walikuwa wanamtumia alifariki wakati wakati Corona,akaenda yule Mama hakumwambia chochote akamwambia kunywa maji nenda akashangaa akarudi Dar akaota kondoo mweupe na mwekundu walikuwa wamefungwa kamba akawafungua hapo sasa akawa kafunguka akaanza kutibu japo unganga hakuupenda ila Majinn wake wakawa wanamfundisha tiba anasema alikuwa akikaa anamsikia Shariff kichwani anamuelekeza tiba ya kitu flani aandike nyiradi etc kila mmoja akawa anampa elimu yake ila baadae aliukataa uganga wakamtia jela miaka 2 mpaka siku alokubali na huko jela sasa ndo wanamfundisha anasema alikuwa akilala anajiwa usingizini anaelekezwa rufaa yake ilikuwa inakataliwa ila siku akaota Sharif kamjia akamwambia atatoka akatoka kweli na akaamua kutibu, hivyo kasomeshwa na marehemu Mwalimu Yusuf na vitabu vya kina Ibni Arab etc sio Wachawi wa Ki Pakistan na kafundishwa na Majinn wake mwenyewe hata sie wanatufundisha utashangaa anaongea tiba anasema andikeni nikiwa sipo mjisaidie vile siko interest na mambo hayo hata ningeamua utapeli wa uganga kwa tiba nazo zijua ningepiga pesa hivyo kama wewe una jinn bakora una arsis yeye ana shariff ana jinn al qais ana Subian Makata wa Makatani sijui Maalim Daruwesh ana Maalim Sultan Bedui Suleiman bin Dawood yaani kibao na kila mmoja ana mkewe na tushazoea unaweza kuwa unaongea nae kumbe sio banda unamwambia anashangaa mie sikumbuki kumbe watu wake na husema kuna muda huletewa kama screen au a nasikia sauti kichwani ana shida hii hii mfanyie hiki na tiba zake ka base Dua makombe dawa za kiarabu miti hana mitunguri wala ukifika kwake huwezi sikia harufu wala alama ukajua kwa mganga kwanza hapendi ajulikane nikimtania mganga anachukia.
 
Kwa jibu rahisi ni kwamba haiamini biblia sio?

Ila pia kwa majibu haya ni kumaanisha elimu yake ni knowledge inayotokana na experience yake binafsi kwa namna anavyotafsiri kulingana na uelewa wake na sio absolute maana kuna mambo anaeleza yanapingana na torati pia ambayo anasema ameisoma.
Kuna anayopingana hata na masheikh.

Hapingani na vitabu anapingana na tafsiri za vitabu. Torati anasema haipo kabisa, kuijua Torati mpaka upewe elimu hio na Muumba wetu.
Simba.
 
Kweli Arsis ni kiumbe na hakuna kiumbe kinajua kila kitu isipokuwa Mwenyeezi Mungu, kwahili Arsis kaongopa au ka kuongopea kaka yangu hajawahi kusoma vitabu vya mashetani ya kipakstani kasoma kwa Sheikh mkubwa Mwanza ukifika uliza Marehemu Sheikh Yusuf alie kuwa mwalimu wa marehemu Muft Simba kidogo ila sana kina Ibni Arab ambae hata Series ya Ertugul aliigiza na Sheikh mwingine alikuwa kwenye enzi za Alparslan.elimu nyingine kasomeshwa na majinn wake kama wewe ulikuwa na jinn bakora sijui Arsis yeye alikuwa nae Jinn Al Qais na Shariff na wengineo ambao kila mmoja kamfundisha ilmu yake Sharif mambo ya Quran dua tiba Qais nyota wengine tiba za kiarabu na miti shamba hivyo elimu yake yeye haifanyi wengine kuwa na elimu sio sahihi ukiwa Bora basi yupo bora zaidi yako rejea kisa cha Hizir na Nabii Musa A. S.

Ngoja nikupe tu kisa chake kwa ufupi alikuwa na akili sana alipendwa na watu,shule ya msingi akafaulu kwenda Bwiru boys siku moja akiwa mazingira ya shule wakaja wageni waarabu mwanamke na mwanaume wamebeba sanduku wakasalimia wakamuuliza tunamtafuta mtoto wetu anaitwa fulani mama yake fulani anafanya kazi sehemu flani kaka akashangaa mbona ni mie, wakasema ana alama yetu tulimuwekea mgongoni alipozaliwa ndio tutamtambua wakamwambia embu tuone mgongo wako wakasema tumekupata ndo wewe kisha wakapotea akawa na maruwe ruwe shule akaanza kupiga kelele vurugu shule ikawa tafrani akarudishwa nyumbani ikawa akienda shule vurugu walimu wakamwambia mama chukua mwanao mpaka apone atarudi kusoma,nyumbani nako vurugu wakajua kawa mwehu akawa wanamfunga kamba kuna siku akayoroka usiku mpaka ziwani mpaka kina mikubwa cha maji hiki kisa watu wa Mwanza Kirumba wanakijua maana ni maarufu Mama yake akalia sana mwanae anakufa kwenye maji lakini alitoka kuna Mama jirani wa kiarabu akamwambia Mama fulani mwanao huyu ana jinn mpeleke kwa Sheikh Yusuf akapelekwa huko akawekwa sawa ndio akawa anasoma mpaka marehemu yule mnajimu akaenda Mwanza wakaonana akamwambia kijana una watu wakubwa sana ukipata muda njoo hotel nilipofikia njoo mwenyewe akaenda wakaongea akamwambia kuna kitu nikifanyie aka chukua kama chemli akamuwekea mgongoni halafu akampa mkono kuna maneno akasema kisha akamwambia sema nimekubali ×3 akasema nimekubali akavuta mkono Asante usiku kalala anaona wale mwanamke na mwanaume wa kiarabu wanalia wakawa wanakuja ndotoni wanalia wanataka kumfikia ila kama wana kizuizi toka hapo maisha yake yakavurugika hana mwelekeo kila analofanya linaharibika.

Miaka ikapita akaja kumuota yule Sheikh amekufa siku 3 mfululizo akawa anatuambia siku ya 3 akatangazwa baada ya msiba ule ana rafiki yake akampeleka kwa Mama mtu mzima ZNZ alikuwa anakaa malindi alikuwa maarufu Mcha Mungu kwa tiba simtaji jina ila watu wa ZNZ watakua wanamjua akaenda yule Mama hakumwambia chochote akamwambia kunywa maji nenda akashangaa akarudi Dar akaota kondoo mweupe na mwekundu walikuwa wamefungwa kamba akawafungua hapo sasa akawa kafunguka akaanza kutibu japo unganga hakuupenda ila Majinn wake wakawa wanamfundisha tiba anasema alikuwa akikaa anamsikia Shariff kichwani anamuelekeza tiba ya kitu flani aandike nyiradi etc kila mmoja akawa anampa elimu yake ila baadae aliukataa uganga wakamtia jela miaka 2 mpaka siku alokubali na huko jela sasa ndo wanamfundisha anasema alikuwa akilala anajiwa usingizini anaelekezwa rufaa yake ilikuwa inakataliwa ila siku akaota Sharif kamjia akamwambia atatoka akatoka kweli na akaamua kutibu, hivyo kasomeshwa na marehemu Mwalimu Yusuf na vitabu vya kina Ibni Arab etc sio Wachawi wa Ki Pakistan na kafundishwa na Majinn wake mwenyewe hata sie wanatufundisha utashangaa anaongea tiba anasema andikeni nikiwa sipo mjisaidie vile siko interest na mambo hayo hata ningeamua utapeli wa uganga kwa tiba nazo zijua ningepiga pesa hivyo kama wewe una jinn bakora una arsis yeye ana shariff ana jinn al qais ana Subian Makata wa Makatani sijui Maalim Daruwesh ana Maalim Sultan Bedui Suleiman bin Dawood yaani kibao na kila mmoja ana mkewe na tushazoea unaweza kuwa unaongea nae kumbe sio banda unamwambia anashangaa mie sikumbuki kumbe watu wake na husema kuna muda huletewa kama screen au a nasikia sauti kichwani ana shida hii hii mfanyie hiki na tiba zake ka base Dua makombe dawa za kiarabu miti hana mitunguri wala ukifika kwake huwezi sikia harufu wala alama ukajua kwa mganga kwanza hapendi ajulikane nikimtania mganga anachukia.
Hakuna mahala Arsis kasema anajua kila kitu. Isipokua kasema huyo kwenhe audio hana elimu ya kutosha.

Kasema muulize kuhusu Arsh ni nini na Qareen ni nini alete jibu lake hayo tu, tumsikilize, anasema elimu iliopo kwenye Qur'an hio..
Simba.
 
Hakuna mahala Arsis kasema anajua kila kitu. Isipokua kasema huyo kwenhe audio hana elimu ya kutosha.

Kasema muulize kuhusu Arsh ni nini na Qareen ni nini alete jibu lake hayo tu, tumsikilize, anasema elimu iliopo kwenye Qur'an hio..
Simba.
Elimu zimetofautiana elimu yako haifanyi mwingine asiwe na elimu ya kutosha.

ulisema hivi nanukuu Mimi nasema hivi; Huyu kaka yako anajua majini kupitia vitabu vya kichawi na masheikh wasio na elimu. Huyu ana kichwa kizuri cha kusoma lakini amesoma elimu sio sahihi. Arsis, Waongo sana alicheka akasema anasoma vitabu vya mashetani wa kipakistani, waongo sana.

Ndipo nikakupinga sababu hajawahi kusoma vitabu vya kichawi kuhusu Majinn na ma sheikh wa ki Pakistan nikakueleza Mwalimu wake ambae alikuwa mkubwa kasomeshwa wengi including marehemu Mufti Simba na alikuwa mwamba nae kwa elimu ya majinn, kisha nikakuelezea kasoma vitabu vya kina Ibni Arab etc

Kuhusu Qareen na Arsh hata mie nisie na elimu ningejibu ila kwakua yeye alete majibu basi nitampigia InShaa
 
IPO HIVI

kibongo bongo wengi ambao biashara zao zinafanya vizuri wanajihusisha na uchawi

Maana uchawi ni ligroup likubwa mno na lilopenda kila mtu awe kama wao,hivyo ukitaka kufanikiwa ni lazima ujiunge nao kwa kwenda kwa waganga ili wakuunganishe kwenye timu

Na ukifanya mambo yako bila uchawi na wachawi wakaona unaelekea kufanikiwa,watajipanga kukuharibia maana hawatapenda kuona mtu ambae hajihusishi nao kafanikiwa bila kujiunga nao

NDo maana wasanii wakubwa,manabii,wanasiasa na wengine maarufu kama hao ni lazima wajiunganishe na uchawi ili wasije kuanguka

Kwahyo ndugu zangu kama mnataka kutoboa sana lazima ujiunganishe kwenye UCHAWI ndo maana Kariakoo pako hivyo
 
Sio makaburini. Hicho ni kituo chamgu cha kukutana na Srsis kulikua kuna majengo mapya yanajengwa na ya zamani yanabomolewa, lakini hio sehemu ya hio miti hawajaigusa kabisa katika ujenzi wao. Kwanini d-sifahamu.
Huyo sio Jini bakora lakini ni jini ambae Arsis alisema :ni jemedari wa vita unayoenda kupigana Unguja".

Kisa cha Unguja kitakua kifupi lakini kitamu.
Simba.
Naa'm fahimta anta Rraj lu Swaalih fiy taswiyr. Maashallah
 
Arsis
Muulize Arsis mwenyewe swali hili; wanawake wakifikisha umri fulani inakuwa changamoto kuzaa/kubeba mimba. Wanapotaka kubeba mimba ni nini wafanye? Njia watakazotumia ziwe na ujuzi wa kibinadamu na watoto watakaopatikana wawe ni binadamu %100. Kuna wanawake hubeba mimba na inasemekana watoto ni majini
 
Wachawi sala 5 wanajidanganya tna kuidanganya jamii tu. Uislam una elimu zote sio za majini tu, Uislam ni mpango kamili wa maisha.

Sio kila jini ni shetani na sio kila binadam ni shetani. Uislam unafundisha kujikinga na kuepuka mabaya yote.

Uislam unatufundisha kila mmoja wetu, tuamrishane mema na tukatazane maovu.
Simba.
Hata ninyi washirikina mnajidanganya na swala 5 ...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom