Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 23,903
- 31,686
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Umenikumbusha mbali😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Umenikumbusha mbali😂😂😂
Nataka kujua historia mzima ya maisha yake.Huyo hata JF utamsoma. Unataka kujua nini kuhusu Maalim Kisisina?
Alikua anakunywa chai ya miti shamba sio ya majani ya chai kama wewe.
Simba.
Kama sijasahau Arsis aliwahi kunipa elimu ya asili za majina ya majini.Navyojua Kuna majini wabaya mapepo wachafu wapo wanakaa makaburini kwenye majalala miti mikubwa na kadhalika ambao huwa ni misubian anaweza kuwa wa kutumwa au Akakuvaa tu, unakuta lingine unatambaa kama nyoka lingine vurugu kuunguruma kama Simba mwingine bubu mwingine anakakamaa anakauka kama maiti anazima.
Subiani sio jini mbaya ila jini ambaye usipende kumtumia kulipa visasi.Navyojua Kuna majini wabaya mapepo wachafu wapo wanakaa makaburini kwenye majalala miti mikubwa na kadhalika ambao huwa ni misubian anaweza kuwa wa kutumwa au Akakuvaa tu, unakuta lingine unatambaa kama nyoka lingine vurugu kuunguruma kama Simba mwingine bubu mwingine anakakamaa anakauka kama maiti anazima.
Unaelewa ni kwa nini , una po dhikiri midundo ya masharifu inabidi uvae vitambaa vya kijani, midundo ya makata na subiani vitambaa view vyekundu ?Navyojua Kuna majini wabaya mapepo wachafu wapo wanakaa makaburini kwenye majalala miti mikubwa na kadhalika ambao huwa ni misubian anaweza kuwa wa kutumwa au Akakuvaa tu, unakuta lingine unatambaa kama nyoka lingine vurugu kuunguruma kama Simba mwingine bubu mwingine anakakamaa anakauka kama maiti anazima.
Haya, tupe elimu mzee wa chai.Unaelewa ni kwa nini , una po dhikiri midundo ya masharifu inabidi uvae vitambaa vya kijani, midundo ya makata na subiani vitambaa view vyekundu ?
Kongowela jide.
Kama wewe unafahamu tupe elimu mzee wa chai.Unafahamu taratibu za kumtoa mtu aliyepandisha jini maiti?
Bwana wewe usinichoshe usidhani kutoa jini kama kuandika comment zako za Chai JF.Unafahamu taratibu za kumtoa mtu aliyepandisha jini maiti?
Leta vitu mzee wa chai.Mpaka nime miss kudhikiri ghafla
"Maweni maweni dawa
Maweniii, maweni eeeh
Maweni
Maweni eeeeeeh
Maweniiiii
Tukachimbe mti ule dawa
Tukachimbe mti ule dawaaaa"
Hapo ni mwendo wa vishindo na kupiga makofi na kuungurumisha vifua tu
😂😂😂😂😂😂😂
Naomba iyo dawa mkuu maana mke wangu anasumbuliwa na jini mahabaWaganga waongo na wachawi wanaojidai waganga, wanaita tu hivyo kutisha watu wajippatie pesa. Huyo ni jini yu hai, anakua ni mtumwa wa kijini aliezeeka sana, anatumiwa kishirikina. Huyo kumtoa ni kama kusukuma mlevi kwa anaejua na mkweli.
Nikupe dawa ya kumkimbiza jini kwenye mwili wa yeyote yule na jini yoyote yule kwa muda?
Simba.
Masubian kibao waovu wanatumia sana kazi chafu labda warudi kwa Mungu.Subiani sio jini mbaya ila jini ambaye usipende kumtumia kulipa visasi.
Yeye kwenye kulipa kisasi anaangamiza familia na ukoo mzima haishii tu kwa mkosaji
Huyo ana dhikiriwa tu kawaida anatoka kiwepesi na kuna namna nyingine ya kufanya ila ukikosea huyo mtu anafariki mazima.Bwana wewe usinichoshe usidhani kutoa jini kama kuandika comment zako za Chai JF.
kwa waislamu Kuna visomo vya Ruqia na dawa za kiarabu na msomaji awe Mcha Mungu,na muhusika Aachen mambo machafu ajiweke karibu na Mungu
Same kwa wenzetu.
Hivyo kutoa majini ni uwe na Ucha Mungu au Jeshi la majini wakubwa wa kupambana ambao waganga wengi wana watumishi msiseme waislamu wana majini hata hao watumishi wenu wanatumia sana majini wakubwa kazi zao wanajifanyaga roho mtakatifu ni rohani na wengine wajitia malaika.
Sijawahi kushiriki mambo hayo hivyo ni vyema ukiwa nao hao watu uwaulize watakupa majibu sahihi. navyojua rangi nyeupe ya Shariff Nyekundu maimuna kijani daruwesh nyeusi majini wa kiasili.Unaelewa ni kwa nini , una po dhikiri midundo ya masharifu inabidi uvae vitambaa vya kijani, midundo ya makata na subiani vitambaa view vyekundu ?
Kongowela jide.
Nimeuliza swali. Naomba jibu.Wana ukumbi,
Narudia tena. Toka jana sijibu mtu PM. Mwenye lake, liwe swali au ushauri au ana tatizo aandike hapahapa jukwaa hili, Tutamjibu hapahapa. Nikimjibu mimi mtaona post nimeiandika simba chini, kama ni kajibu Arsis hamtaonakitu kwa sababu ID imekua ni jina lake.
Ahsanteni.
Simba.
UlizaLeta vitu mzee wa chai.
Nikuulize kitu?
Simba.
Siifahamu historia yakeNataka kujua historia mzima ya maisha yake.
Alipata uchawi kutoka kwa nani?
Uwezo wake wa kufufua watu uliisha baada ya kunyang'anywa kitabu?
Nani mwandishi wa kile kitabu, familia ya kisisina kwa ujumla
.
Kwanini unajiita mtanashati?Uliza
Kwa Nini unajiita corazon?Kwanini unajiita mtanashati?
Simba.