Basi nilivyoendelea kusoma vitabu vya Wakristo na Waislamu, nilikuja kugundua kuwa.
Waislamu wana ukaribu sana na Majini.
Hadi kufikia kulindwa na Majini na wakapewa Sura nzima ya Majini kwenye kitabu chao cha Qurani.
Wakafikia Hadi kuitana ndugu.
Nikagundua kuwa Wakristo wanaukaribu sana na Malaika, na kufikia kulindwa na Malaika.
Wakristo:
Zaburi (Psa) 91:11
Kwa kuwa atakuagizia malaika zake Wakulinde katika njia zako zote.
Waislamu:
Mas'ud reported God’s messenger as saying, “Do not cleanse yourselves with excrement or bones, for that is the provision of your brethren among the jinn.”
Nikatafakari na kuona Wakristo wako karibu na Mwenyezi Mungu na Malaika zake.
Waislamu na Majini wako mbali na Mwenyezi Mungu.
Katika Uislamu kumejaa sana habari za Majini, Majini Majini. yaani hao akina
Arsis, na wengine.
Ni nadra sana na ni kama hakuna kabisa habari za uhusiano wa Malaika na Waislamu katika mafundisho ya Waislamu.
Basi nikaona ni Bora niwe Mkristo, kama kuna habari ngeni niwaulize Malaika tofauti na Waislamu wanao wauliza Majini ambao walisha fukuzwa Mbinguni kwa kumwasi Mwenyezi Mungu.
...........
وَأَنَّا لَمَسْنَا السَّمَاءَ فَوَجَدْنَاهَا مُلِئَتْ حَرَسًا شَدِيدًا وَشُهُبًا
(AL - JINN - 8)
Nasi tulizigusa mbingu, na tukaziona zimejaa walinzi wenye nguvu na vimondo.
وَأَنَّا كُنَّا نَقْعُدُ مِنْهَا مَقَاعِدَ لِلسَّمْعِ ۖ فَمَن يَسْتَمِعِ الْآنَ يَجِدْ لَهُ شِهَابًا رَّصَدًا
(AL - JINN - 9)
Na hakika tulikuwa tukikaa humo katika baadhi ya makao ili kusikiliza; lakini sasa anaye taka kusikiliza atakuta kimondo kinamvizia!
وَأَنَّا ظَنَنَّا أَن لَّن نُّعْجِزَ اللَّهَ فِي الْأَرْضِ وَلَن نُّعْجِزَهُ هَرَبًا
(AL - JINN - 12)
Nasi tulijua kuwa hatutomshinda Mwenyezi Mungu duniani, wala hatuwezi kumponyoka kwa kukimbia.
.............
Hizo Aya zinathibitisha kuwa Majini waliwahi kuishi Mbinguni na yakafukuzwa kwa uasi wao na yakitaka kuchungulia Mbinguni yanapigwa na walinzi wa huko(Malaika) kwa nguvu ya vimondo.
Mtoa mada:
Mwulize
Arsis, mosi,ni kwa nini alifungwa miaka zaidi ya 900 na bila kulindwa na Mungu wake.
Pili, ni kwanini hana uwezo tena wa kwenda mbinguni aliko kuwa anaishi hapo awali.
Tatu, ni kwanini alifukuzwa Mbinguni hadi akaishi katika Dunia aliyoishia kufungwa kwenye chupa.
Cc
FaizaFoxy,