Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Kama umeninote vizur kuna ambayo mnayaamini wenyewe huwa nakuachia mwenyewe kwasababu kwangu siyaamini,ikiwemo hii ya kufa na kufufuka kwa Yesu

Ntakupa habar ya upande wa pili kuhusu kusulubiwa kwa Yesu lkn si lazima uamini kama ambavyo mm siamini yenu

Kwa mujibu wa uelewa wa imani ya kiislamu, ni kweli Yesu alitaka kusulibiwa lakin̈ kwakuwa alikuwa ni mja wa Allah na mwenye hadhi kubwa,akaepushwa na balaa lile


Badala yake akabadilishiwa mtu mwingine na kwenda kusulubiwa,kumbuka yesu hakujulikana sana mji ule,ndio.maana hata walitaka kumkamata Petro alitakiwa ampoint Yesu kuwa ndiyo huyu

Sasa kudhibitisha ukweli wa hii version,pale msalaban Yesu alikuwa analia, "ewe mungu wangu mbona umeniacha"?

Sasa kama msemavyo ni kweli kwamba Yesu ni Mungu,je alikuwa alikuwa anamlilia mungu gani mwingine?
Okay..

Ndio maana nilisema kuna sababu ya kuzaliwa kwake kwa jinsi alivyo zaliwa.. Ni kaeleza huko juu kwamba Yesu alikuja kwa kazi moja tu kuokoa watu na dhambi..

Kifo chake kusulibiwa.. Aliyempoint Yesu alikuwa Yuda mmoja wa wanafunzi wake.. Sababu ya kufa kwake ni iliitwa kutupatanisha na Mungu..

Kufufuka kwake ni ili tuwe na asili kama yake(Haki) tusitumie nguvu tena kuushinda mwili na tamaa zake

Yohana 1:1.,2.,3.,4.,5.,10.,11.,12.,13.
1. Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.

2. Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.

3. Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika.

4. Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu.

5. Nayo nuru yang’aa gizani, wala giza halikuiweza.

10. Alikuwako ulimwenguni, hata kwa yeye ulimwengu ulipata kuwako, wala ulimwengu haukumtambua.

11. Alikuja kwake, wala walio wake hawakumpokea.

12. Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake;

13. waliozaliwa, si kwa damu, wala si kwa mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, bali kwa Mungu.
 
Hapa tunapata mastory ya arsis na maarifa mengine pia

Naamini kabisa wote humu iwe mabudda,wakristo,wasabai,waislamu na kadhalika tunaamini kwamba aliyekamilika kwa sifa zote njema ni Allah (Mwenyezi Mungu) tu

Sasa hii ni ngumu kumeza lakini ndio ukweli inabidi muupokee tu,yan ukisikia ukikaa nchale,ukisimama nchale ndo hii sasa

Siku ya hukumu watu watamfuata baba yetu Adam atuombee msamaha mbele ya Allah,,lkn Adam atakataa kwasababu akikumbuka dhambi aliyoifanya kule peponi roho inamsuta ingawa alisha samehewa

Atawaambia watu wamfuate nabii Ibrahim,naye ibrahim akikumbuka kwamba alisema uongo juu ya mkewe naye ataona haya,iko hivi nabii Ibrahim alipoenda misri alikutana na mfalme ambaye anapenda wanawake wazuri,so kama nabii Ibrahim angesema Sara ni.mkewe basi Ibrahim angeuwawa, huvyo ibrahim akasema yule ni dada yake, kwahiyo yule mfalme akamchukua mke wa Ibrahim,huyo room lkn kwa muujiza wa Allah yule mfalme hakufanikiwa adhma yake,so ibrahim akikumbuka uongo huu dah anaona haya kwa Allah,atawaambia nendeni kwa nabii Mussa

Nae nabii Mussa akikumbuka majanga yake ya kumuua mtu,akili haimpi kabisa kwenda mbele ya Allah,so atawaambia watu nendeni kwa Yesu

Yesu nae baada ya kugundua kuwa wafuasi wake wamemwita yeye mungu na kumuabudu badala ya Allah,atahisi aibu sana ingawa sio lake,katika qur'an kuna aya inasema Yesu atamwambia Allah ,hakika ulishuhudia nilipo kuwa nao mpaka nakuja kwako niliwalingania juu ya kukuabudu wewe Mungu mmoja,ila hao ni watu wako,ukiamua utawaadhibu au utawasamehe.

Hapo Yesu sasa kwakuwa watu wake walimfanya yeye Mungu ataona haya kwenda mbele ya Allah na kuwaombea watu msamaha,hapo atawaambia watu waende kwa mtume Muhammad (s.a.w),hapo kwa idhini ya mola wake,atawaombea watu msamaha,kwahiyo watasamehewa wale walio na itikadi ya kumwamini Mungu mmoja,na wengine katika hao watakaa motoni kwa mda fulani kisha watatoka kutokana na madhambi yao,wale makafiri na washirikina ni motoni milele

Allah atujalie mwisho.mwema, amiin
Hahaaa hiki kituko cha milenia aisee.Yaani YESU ndo amwambie Muhammad eti awaombee watu msamaha kwa Mungu,ilhali hata sasa hivi tu Muhammad yuko kuzimu anateseka.Ndugu yangu YESU ni habari nyingine kabisaa miungu wote kwa YESU watapiga magoti hawana pa kukwepea.
 
The same kwa Yesu alikuwa na.mission.maalum
Ambayo kwa version ya Qur'an hakufanya/ha kuitekeleza

Kwa version ya Biblia ilikamilisha ndio maana alivyokufa pale msalabani alisema yamekwisha.. Means kila kilicho tabiri wa enzi zote kuhusu yeye kimetumia kama ilivyokusudiwa..
 
Kama umeninote vizur kuna ambayo mnayaamini wenyewe huwa nakuachia mwenyewe kwasababu kwangu siyaamini,ikiwemo hii ya kufa na kufufuka kwa Yesu

Ntakupa habar ya upande wa pili kuhusu kusulubiwa kwa Yesu lkn si lazima uamini kama ambavyo mm siamini yenu

Kwa mujibu wa uelewa wa imani ya kiislamu, ni kweli Yesu alitaka kusulibiwa lakin̈ kwakuwa alikuwa ni mja wa Allah na mwenye hadhi kubwa,akaepushwa na balaa lile


Badala yake akabadilishiwa mtu mwingine na kwenda kusulubiwa,kumbuka yesu hakujulikana sana mji ule,ndio.maana hata walitaka kumkamata Petro alitakiwa ampoint Yesu kuwa ndiyo huyu

Sasa kudhibitisha ukweli wa hii version,pale msalaban Yesu alikuwa analia, "ewe mungu wangu mbona umeniacha"?

Sasa kama msemavyo ni kweli kwamba Yesu ni Mungu,je alikuwa alikuwa anamlilia mungu gani mwingine?
Ndio maana kusoma neno na kulielewa ni muhimu.. Wakati wote Yesu mwenyewe alikuwa anasema yeye fanyia kitu isipokuwa ameona kwa Baba.. Yaani hafanyi kitu pasipo Baba.. Hujiuliza kwanini hapo msalabani ndio Yesu anasema Baba yangu mbona umeniacha..

Simply ni dhambi zetu ambazo Yesu alibeba msalabani ndizo zilizo mtenga na Baba.. Nimesema huko baada ya Adam kutenda dhambi tulikosa ushirika na Mungu na ndio maana hakuwa anaongea na kila mtu bali wachache aliowachagua.. Dhambi hutenga mtu na Mungu
 
Nina shida ya mgongo nimepatwa na shida ya mgongo na uvimbe kwenye korodani bila sababu, sijapata ajali wala nn, hospital xrays zinabadilika kutokana na maeneo yanayouma muda huo. Imefikia ktk uti wa mgongo unauma kwa sasa siwezi kukimbia hata kuruka hatua moja.


Ninewafikia baadhi ya wataalamu kila mmoja kwa wakati wake wamekuwa na jibu moja yaani watano na jibu ni moja ila hakuna aliyefanikiwa kunisaidia.
Napata maumivu yanayohimilika wakti mwingine hayahimiliki kabisa. Misuli ya mgongoni inauma na pia kusimama imekuwa kazi wakati mwingine hata kukaa! Naomba msaada wanajamii.
Omba kwa Jina la Yesu utapona.
 
Kama umeninote vizur kuna ambayo mnayaamini wenyewe huwa nakuachia mwenyewe kwasababu kwangu siyaamini,ikiwemo hii ya kufa na kufufuka kwa Yesu

Ntakupa habar ya upande wa pili kuhusu kusulubiwa kwa Yesu lkn si lazima uamini kama ambavyo mm siamini yenu

Kwa mujibu wa uelewa wa imani ya kiislamu, ni kweli Yesu alitaka kusulibiwa lakin̈ kwakuwa alikuwa ni mja wa Allah na mwenye hadhi kubwa,akaepushwa na balaa lile


Badala yake akabadilishiwa mtu mwingine na kwenda kusulubiwa,kumbuka yesu hakujulikana sana mji ule,ndio.maana hata walitaka kumkamata Petro alitakiwa ampoint Yesu kuwa ndiyo huyu

Sasa kudhibitisha ukweli wa hii version,pale msalaban Yesu alikuwa analia, "ewe mungu wangu mbona umeniacha"?

Sasa kama msemavyo ni kweli kwamba Yesu ni Mungu,je alikuwa alikuwa anamlilia mungu gani mwingine?
Hakuna ukweli wowote. Yesu ni Mungu aliyekuwa ndani yake na aliyafanya yote alofanya akiongozwa na roho wa Mungu. Ni jambo dogo kuelewa kama unataka. Kwa namna ambayo Arsis amewajibu maswali kupitia huyu bwana mwenye uzi pale sio huyu bwana ila Arsis mwenyewe ndio kafanya. Akipatia amepatia Arsis sio mwenye uzi. Hivyo hivyo Mungu alikaa na kufanya yote ndani ya Yesu kwa hiyo sio Yesu ila Mungu mwenyewe ndio alifanya. Je, saa hii mnamsifu mwenye uzi kwa ujuzi na hekima au huyo Arsis aliyempa hayo yote?
 
huyu backdoor naona anatuharibia uzi tu ameugeuza uzi kuwa wa kumjadili yesu tena mambo yenyewe amekariri tu acheni kum kuote bhana mnatujazia forum tu tafuteni jukwaa la dini au nendeni PM mnaboa na hayo mabishano yenu.!
Haha nisamehe brother.. Truth be told
 
huyu backdoor naona anatuharibia uzi tu ameugeuza uzi kuwa wa kumjadili yesu tena mambo yenyewe amekariri tu acheni kum kuote bhana mnatujazia forum tu tafuteni jukwaa la dini au nendeni PM mnaboa na hayo mabishano yenu.!
Mbona hakuna ubaya wowote yeye na Etugrul Bey. Mjadala wao ni wa kistaarabu sana tunazidi kuongeza maarifa.
 
Viumbe hawa katika ulimwengu wa roho ni werevu sana na wanatafuta namna ya kukubalika na wanadamu. Wanaujua uwezo wa ajabu wa mwanadamu lakini pia wanajua mapungufu yake. Tupo kwenye ushindani wa falme na mamlaka, vita hii ni kubwa sana na inapiganwa kati ya wanadamu. Na kati ya silaha kubwa sana anazotumia adui wa wanadamu ni UWONGO. Ndio maana nasema tuwe na tahadhari kubwa.
Wewe unafkri unaweza kushindana na viumbe vya kiroho...? hatuna huo uwezo vitu vingine tuviache tu mungu ndo anajua.
 
Una zungumziaje jamii ya frimason. Lengo lake na vioi kuhusu new world order
 
Inatokea post namba 1384

Vionjo vya Arsis 3 Kumwokoa Msukule 1 G.

ilishangaa sana. Kilichhonishangsza ni Jini Bakora. Kwa mara ya kwanza nikajua kumbe anakuja sehemu kama mtu kabisa na hatujui kua ni jini. Siku ile nikafikiri huyu huyu ndio Arsis nini anacheza na akili yangiu? Siku nyingine kabisa nikataka kumuuliza Arsis katika maongezi yetu pale oshen rod, akanijibu kabla sijuliza. Arsis aliua ana ajabu moja ya kunijibu kabla sijauliza. Hua anaanza kama kunipa elimu hya kitu fiulani, huku ananijibuj nilichpotaka kuuliza. Mfano siku hio alikua ananielekeza.aina za majini na majina yao Kiarabu, Kingereza, kiindoneshia.Akanielekeza majini wanaoweza kujibadili na wasioweza, akachomeka na "na jini Bakora" anaweza kujibadili tena jini mkubwa sana. Akija hapa hata jini mwenzake asie na ujuzi anakua hamjui kama huyu jini, atajua huyu binadam mwenye kuoza majini. Nakumbuka siku hio nikataka kumuuliza kwanini ananitajia majina ya majini "kiindonesia", akasema bila kumuuliza. Mke wa mzee Ali ana rouhan ya kiindonesia, ana elimu sana lakini hajibadili kabisa ingawa anaweza. Nikamuuliza, kwanini Arsis. Akacheka, akasema, ameshika sana dini hataki kutumia elimu yake vibaya.

Hayo ya siku ingine jamani. nisiharibu kis, ngoja nimalizie hatraka haraka.

Yule kijana akapelekwa kubvaa, kweli walijua kumchagulia nguo, wakaambiwa wasimtie mafuta mazuri, wkati anavaa wakapewa majani wafukize chumbani kwake, yalikua makjani na mizizi mikavu ilipotiwa kwenye moto, moshi una harufu kama bangi sema huu mzito na unalaia, koo na macho yanawasha washa.Kutoka kapendeza sana na katoka kipara hajulikani kama huyu ndio alikua kama zimwi. Alikua kashika cap yake mpya mtoto wa babu mkononi, nikajua ni mtoto wa babu kampa, maana mtoto wa babu anapenda kweli cap, mwenyeqe anaziita base ball cap, lakini babu alimkataza kuvaa za mtumba. Babu yangu alikua wote anatukataza kabisa kuvaa nguo za mitumba, anasema kama hauna nguo vaa hata kaniki moja au shuka, usivae kafa ulaya. Ukimuuliza kwanini anakwambia nuksi tupu.

Wakaja tukaka nao, lakini ndio haongei, haoneshi kasoro yoyote ile, anasikia, anaguna, anacheka, antabasamu, anajua watu wote. Kuna vijiti kama saizi ya kidole hivi alipewa na jini bakora awe anaweka mdomoni, anatafuna tafuna. kikiisha aweke kingine. Nilijua baadae sana kazi yake ni nini.

kwenye mabasi huko kila mtu anahamu ya kurudi ndani, maana hawajui nini kinaendelea lakini wamepata fununu kijana yupo ndani.

Babu yake akasema muiteni mama'ke, mama'ke akaletwa, akaanza kulia, akamkimbilia mwanae na yeye yule kijana akawa anatabasamu tu, akasimama wakakumbatiana na mamake kama vile anasema sikuachi tena, mama vilio hapo na mtoto vilio na wengine wenye roho ndogo kama Mzee Ali na yeye akaanza kutokwa na machozi na mafua membamba yanamdondoka.

babu: kawaitewni wote na wale wachawi waaje hapa tuagane.


Wakaitwa watu wakajazana kila. anaeingia analia, anakwenda kumkumbatia, wanamsemesha wanawatazama tu kama hawaamini wanachokiona, yeye anatabasamu tu. Anajua kila mtu, kuongea ndio hawezi na kakaa kama zuzu fulani hivi walipokwisha kuwepo wote. babu akasema kwana ztusome Qur'an hgalafu kila mtu aseme lake kisha tuagane. Wakaitwa vijana wa kusoma Qur'an wakasoma, wakamsalia mtume mara mia moja. Walipomaliza.

Babu: jamani mimi naitwa Maruki, sijui kwanini, msiniulize, Huku anacheka. Mimi sio uweo wangu huu kua na ni mtu wa tiba, na yaliotokea yote sio uwezo wangu. Ni Allah katukutanisha na kutujaalia kuokoa wengi sana. Sio huyu tu. waapo huko vijana wengine sita, wengine wadogo sana kuliko huyu. Wapo kama mazimwi kwa hatua tofauti tofauti bila makosa yoyote. Mkitaka kujua ulizeni hawa mbwa, watawaambia sababu zao. Ni sababu zaa kijinga kabisa. Sana sana gtamaa ya utajiri. Haya nyinyi semeni, utajiri unawasaidia nini?

Lakini AlhamduliLlah qote qale na wengine wapo Mwnaza na Tabora, wengi zaidi, walioweza kuokolewa wameokolewa, ambao hali zao mbaya sana, wamekufa na wao, lakini kidogo sana. Hawa mbwa wakiona huwezi kufanya kazi zao vizuri wanakuwacha ufe tu, wanakulisha uchafu maisha yako yote, hao wanakupeka sijui wapi huko, mbwa hawa, mtawauliza wenyewe, mimi naweza kuwaua sasa hivi, lakini itakua hakuna faida. Bado wengine, hawa mbwa , huyu wanawafanyisha kazi bar na kujiuza miili yao. sasa watakua vizuri na hawa mbwa watalipia gharama zao zote. Huyu mshenzi na wenzake wana mali nyingi sana Tanzania nzima, msimuone hivi huyu ni wakala wa shetani wa kichawi. Huyu kunywa damu kwake ni kama wewe na mimi tiunavyokunywa juisi a machungwa. Hatoki kwake asubuhi bila kunywa damu, na yule mbwa wake malaya kishaanza na yeye kunywa damu kama mamake.. Leo umekunywa nini wewe mbwa? Sema,tusikie.

babu ndio nikajua kumbe kuna siku anakua mkali. Alimuuliza kwa kwa ukali kabsa, sauti ikawa inatoka ananguruma, kimoyomoyo nikajisema huyu sasa hivi ni simba. ataua sasa hiuvi, simwingilii kabisa. Yule mama akaendelea, imemwagwa yote ikachomwa moto. kumgtazama babu alivyomkazia macho, nikajiua leo babu kakasirika, hata sura ilikua inaonesha, nikajisemea leo ukimchokoza, simba anakuumiza kama sio kukuua.

Babu: Huyu kapagtikana siku kumi nyuma, tukaanza kazi dakika hio hio, huyu ni mjukuu wangu. wanza tushukuru Mwenyezi Mungu, huyu kijana wetu kupatikana salama. Mimi sisemi zaidi, ni mengi na waliyafanya haya ili huyu mbwa mkubwa wao awe kiongozi mkubwa, kumbe hawajui kila mwizi qna siku arubaini. Mbwa hawa. Maneno aseme mwenyewe.. Haya sema...

Mama Yule; Akaanza kuwaambia ndugu wote kilichotokea mwanzo mpaka mwisho, waliokua wanalia, waliokua wanasema huyu hatufai kwenye ukoo.

babu: Kila mwenye swali lake amuulize huyu na mbwa na hawa wengine. Aliepotolewa na mwanae, mume, mke, dada amuulize huyu mbwa. Huyu kila wiki anaua huyu. Maisha ya mtu kwao hawa ni kama panya tu. Nyie mnaopoteza watoto wachanga, hawa ndio wakuwashika. Mbwa hawa wengine wapo hai waroro lakini hawafai kabisa, wanawapelekea matajiri wakichawi wawaingilie, We mbwa mnaanza kuwaingilia watoto wa umri gani, akmuuliza yule mzee mchawi. Akajibu kuanzia wachanga wa mwaka mmoja tunajaribu, tunawamwagia usoni wankula yote ile na wenzao wanakuja kuwasafisha kwa kuilamba, ndio furaha yao. Mzee yule akanyanyka akmpiga kofi yule jamaa mpaka akaemnda chini, babu akamwabia mwache mbwa huyu. Mtawauliza we nyewe huko, mimi nilitaka mjue uaalimu wao. hayua fanyeni haraka kila mtu aende kwao.

Maswali yakawa kibao, mwengine anauliza umejifunza vipi ,anajibu. Umeanza lini? anajibu, wanagapi ushawafanya hivi ?Akajibu hawana idadi ni wengi sana hatuweki hesabu, ni mwiko kuweka hesabu. Huuyu binti yako kaanza lini hii kazi yako? KUanzia mdogo, huyu ndio kashika kazi zangu zote, mimi sana sifanyi tena nafundisha tu. Mmoja akauliza, kwanini tusikuue? Akasema nimemrishwa kwanza mimi na qenzangu hawa na wengine hamuwajui, turudishe mali zote kwenu na kwa watu tuliowazulumu. Za huyu binti yangu na za huyu na huyu. Baada ya hapo niueni. Sina sababu ya kuishi tena.

Babu: hakuna atakae kuua, na nyinyi na wale mbwa wengine ambao hajauliwa muishi kama mlivyotesa wenzenu. mwengine akasema mimi nipeni huyo binti awemtumishi wangu, mali hio.

EWote tukacheka. Wahuni whawakosekani sehemu.

Watu wakaanza kuuliza wana mali ngapi? yule mama aksema nyingi sana. Akataja nyumba ake zaidi ya kumi na sita, Mwanza huko, mpaka capri pint ana majumba kakodisha, magorogfa Dar. Ana bar kibao zimejaa misukule. Tanzania nzima mpaka nchi za jirani. Mzee Ali akuliza Dubai na Ulaya hamna mali? Wakasema wanazo lakoini huko zina masharti makubwa kuna wakubwa wengine huko, lazima wao wapate aidi, Hatupendi sana huko,

Akataja nyumbani ana masanduku ya noti, kama ishirini na biti yake anayo mengi zaidi, yeye anapenda sana kuweka pesa. Hata godoro lake ni la noitti tupu na mito yake ni maiti za watoto wachanga. Watu wakaanza kunong'ona. wakauliza ziote zao au za wanaushirika wengine ? akajibu zikifika kwako ni zako peke yako, hazina ushirika. Wanapeana faida wakiwa kwenye ushirika na wale wapya tu. Akasema wale wapya lazima wawe na sisi wa zamani ndio biashara zao zipate wateja ziingize mali. wale wanaume wawili mmoja kamuingiza yeye kwenye uchawi, yule kijana ni mtoto wa dadake, mamake alikuwepo pale akasema sio mwanangu kuanzia leo, naahidi mbele ya watu. Yule mwanammme mtu mzima ni shemeji yake ambae mkewe alishakufa siku nyingi, kumbe ni yeye alimuua kichawi, huyo hakufanywa msukule walimtoa kfara ya damu kwa ajili alikua na mdomo sana. Kwa mujibu wake.

ykongewa we.

Babu akasema sasa uamuzi ni wenu ndugu. Huyu kijna atabaki na mimi, nitaondoaka nae kesho aendelee na dawa mpaka akae sawa. Mtaalamu wa damwa hapa kasema huyu wiki tu ataongea.

Mama Yle: hatukumuharibu kwa sababu tulitaka kivuli chake kiwe kiima kisiwe na athari yoyote, kusema andesema kwa sauti ya mwengine, Na aliekua apewe kivuli ni yule kija alaiekwenda kumnunulia nguo. Yaani wote ni ndugu kwenye ukoo.

babu; nani mnamuamini kwene ukoo wenu, wote wakasema yule mzee.

Babu, sasa tunakupa wewe majukumu mazito, mali zao zote hawa watakwend kuwagaia, na kila aliedhulumiwa ndugu au mtoto na hawa au washirika wao, mali zao ziwalipa. Na kabisa walipe gharama zenu nyote mpaka kufikia hapa. Msiwe na wasiwasi hawa ni matajiri wakubwa woe, nyinyi hamjui, mimi nafahamu siri zao zote. Hapa hawa wote wapo chini ya ulinzi wakibwa zao wameuliwa na wengne wamedhibitiwa majeshi mengi na mkubwa yapo kazini. bqabu akaendelea; Huyu kototo, mtoto, mamake na kijana yoyote wa kike na kiume wa kwenye ukoo wa baki nae kwa jili ya tiba. Mama yao akawachagua, hawa ndio wanapatana sana. Wale vikjaja wakakubali kubaki.
Babu: leo hii wakachukue vigtu vyao kama vipo hoteli waje hapa haraka sana, Nyinyi wengine kama mtasafiri hata leo, Hawa wagtakua chini ya mzee wenu, hawafanyi chochote boila yeye.

Mzee: Mimi sitaki hata kuwaona sutra zao.
Babu; Iabidi ustahamili mpoaka mpate haki zenu, mkiziwacha ndio zinachululiwa na wachawi wengine au zinapote hivihivi, hawa hawawe zitena kufanya lolote bila amri yako kuanzia leo, hata kazi yoyote hawawezi kufanya. Yaani hawa ni afadhali mgtu awe msukule kuliko wTvyiku Hawa, mimi nakushauri kila mmoja mpe mtu mmoja awe nae maana hawa hata kuoga hawaendi bila kumarodhwa na mtu utakae wapa. Kila mmoja akaanza kuguna.


Babu akasema haya mtajua wenyewe ndugu, Mzee Ali na wewe baki,wacha waende jawa, na mkitoka hapa asirudi mtu mkifika ndio mtanijulisha safari yrnu, msiogope nyote wapo chini ya ulinzi maisha yo yote hawa mpka kufa kwao.

Wakaondoka kurudi hoteli, mimi namzee ali tukaenda na wale vijana walioambiwa wabaki kuwasaidia kumlea yule kijana na mamake. wamedhukua tu vutu vyao na b)vya yule mama wakrudi, Babu hakukaa tena alikua mwenyewe kishafanya mipango yake akaondoka nao usiku ule bila sisi kujua kwa gari lake na mwane akamapeleka. Siku ya pili anatupigia kisha fika kwake. aksma na nyinyi kipenda kuja njooni mkipenda kwenda nendeni tutawasiliana zaidi kuanzia kesho.

Kwa ufupi yulle kijana na mamake wakaa miezi miwili shmaba kwa babu mpaka akawa mzima kabisa anaongea na anafanya kazi zote, akawa hataki kuridi Mwanza, wakahamia Dar., wanaishi hapo mpaka leo.

Walipata mali nyingi sana kwa wale washenzi, wale walichwa wakawa ndio kam mental, mata)ra ya mwisho ukoo ukawatawanya, wakishia hospitali za vichaa hakuna aliekua anawataka hata kuwaona.

babu alitumiwa million kumi na yule mzee wao. Ni bossa kibwa sana Mwaza, sitaki kumtaja jina ni mtu maarufu sana na mwenye pesa zake. Zilikua ni pesa nyingi sana kwa zamani, mimi akaniwekea tanoi zangu Mzee Ali sijui.

kkazi zote za upande usioonekana zilifanywa chini ya usimamizi wa Arsis.


Kuna kisa kingine cha kukoaa msukule hii ilikua Zanzibar ni tofauti kabisa hiki. Tutakileta siku za usoni.


Tutaendelea.
 
Inatokea post namba 1384

Vionjo vya Arsis 3 Kumwokoa Msukule 1 G.

ilishangaa sana. Kilichhonishangsza ni Jini Bakora. Kwa mara ya kwanza nikajua kumbe anakuja sehemu kama mtu kabisa na hatujui kua ni jini. Siku ile nikafikiri huyu huyu ndio Arsis nini anacheza na akili yangiu? Siku nyingine kabisa nikataka kumuuliza Arsis katika maongezi yetu pale oshen rod, akanijibu kabla sijuliza. Arsis aliua ana ajabu moja ya kunijibu kabla sijauliza. Hua anaanza kama kunipa elimu hya kitu fiulani, huku ananijibuj nilichpotaka kuuliza. Mfano siku hio alikua ananielekeza.aina za majini na majina yao Kiarabu, Kingereza, kiindoneshia.Akanielekeza majini wanaoweza kujibadili na wasioweza, akachomeka na "na jini Bakora" anaweza kujibadili tena jini mkubwa sana. Akija hapa hata jini mwenzake asie na ujuzi anakua hamjui kama huyu jini, atajua huyu binadam mwenye kuoza majini. Nakumbuka siku hio nikataka kumuuliza kwanini ananitajia majina ya majini "kiindonesia", akasema bila kumuuliza. Mke wa mzee Ali ana rouhan ya kiindonesia, ana elimu sana lakini hajibadili kabisa ingawa anaweza. Nikamuuliza, kwanini Arsis. Akacheka, akasema, ameshika sana dini hataki kutumia elimu yake vibaya.

Hayo ya siku ingine jamani. nisiharibu kis, ngoja nimalizie hatraka haraka.

Yule kijana akapelekwa kubvaa, kweli walijua kumchagulia nguo, wakaambiwa wasimtie mafuta mazuri, wkati anavaa wakapewa majani wafukize chumbani kwake, yalikua makjani na mizizi mikavu ilipotiwa kwenye moto, moshi una harufu kama bangi sema huu mzito na unalaia, koo na macho yanawasha washa.Kutoka kapendeza sana na katoka kipara hajulikani kama huyu ndio alikua kama zimwi. Alikua kashika cap yake mpya mtoto wa babu mkononi, nikajua ni mtoto wa babu kampa, maana mtoto wa babu anapenda kweli cap, mwenyeqe anaziita base ball cap, lakini babu alimkataza kuvaa za mtumba. Babu yangu alikua wote anatukataza kabisa kuvaa nguo za mitumba, anasema kama hauna nguo vaa hata kaniki moja au shuka, usivae kafa ulaya. Ukimuuliza kwanini anakwambia nuksi tupu.

Wakaja tukaka nao, lakini ndio haongei, haoneshi kasoro yoyote ile, anasikia, anaguna, anacheka, antabasamu, anajua watu wote. Kuna vijiti kama saizi ya kidole hivi alipewa na jini bakora awe anaweka mdomoni, anatafuna tafuna. kikiisha aweke kingine. Nilijua baadae sana kazi yake ni nini.

kwenye mabasi huko kila mtu anahamu ya kurudi ndani, maana hawajui nini kinaendelea lakini wamepata fununu kijana yupo ndani.

Babu yake akasema muiteni mama'ke, mama'ke akaletwa, akaanza kulia, akamkimbilia mwanae na yeye yule kijana akawa anatabasamu tu, akasimama wakakumbatiana na mamake kama vile anasema sikuachi tena, mama vilio hapo na mtoto vilio na wengine wenye roho ndogo kama Mzee Ali na yeye akaanza kutokwa na machozi na mafua membamba yanamdondoka.

babu: kawaitewni wote na wale wachawi waaje hapa tuagane.


Wakaitwa watu wakajazana kila. anaeingia analia, anakwenda kumkumbatia, wanamsemesha wanawatazama tu kama hawaamini wanachokiona, yeye anatabasamu tu. Anajua kila mtu, kuongea ndio hawezi na kakaa kama zuzu fulani hivi walipokwisha kuwepo wote. babu akasema kwana ztusome Qur'an hgalafu kila mtu aseme lake kisha tuagane. Wakaitwa vijana wa kusoma Qur'an wakasoma, wakamsalia mtume mara mia moja. Walipomaliza.

Babu: jamani mimi naitwa Maruki, sijui kwanini, msiniulize, Huku anacheka. Mimi sio uweo wangu huu kua na ni mtu wa tiba, na yaliotokea yote sio uwezo wangu. Ni Allah katukutanisha na kutujaalia kuokoa wengi sana. Sio huyu tu. waapo huko vijana wengine sita, wengine wadogo sana kuliko huyu. Wapo kama mazimwi kwa hatua tofauti tofauti bila makosa yoyote. Mkitaka kujua ulizeni hawa mbwa, watawaambia sababu zao. Ni sababu zaa kijinga kabisa. Sana sana gtamaa ya utajiri. Haya nyinyi semeni, utajiri unawasaidia nini?

Lakini AlhamduliLlah qote qale na wengine wapo Mwnaza na Tabora, wengi zaidi, walioweza kuokolewa wameokolewa, ambao hali zao mbaya sana, wamekufa na wao, lakini kidogo sana. Hawa mbwa wakiona huwezi kufanya kazi zao vizuri wanakuwacha ufe tu, wanakulisha uchafu maisha yako yote, hao wanakupeka sijui wapi huko, mbwa hawa, mtawauliza wenyewe, mimi naweza kuwaua sasa hivi, lakini itakua hakuna faida. Bado wengine, hawa mbwa , huyu wanawafanyisha kazi bar na kujiuza miili yao. sasa watakua vizuri na hawa mbwa watalipia gharama zao zote. Huyu mshenzi na wenzake wana mali nyingi sana Tanzania nzima, msimuone hivi huyu ni wakala wa shetani wa kichawi. Huyu kunywa damu kwake ni kama wewe na mimi tiunavyokunywa juisi a machungwa. Hatoki kwake asubuhi bila kunywa damu, na yule mbwa wake malaya kishaanza na yeye kunywa damu kama mamake.. Leo umekunywa nini wewe mbwa? Sema,tusikie.

babu ndio nikajua kumbe kuna siku anakua mkali. Alimuuliza kwa kwa ukali kabsa, sauti ikawa inatoka ananguruma, kimoyomoyo nikajisema huyu sasa hivi ni simba. ataua sasa hiuvi, simwingilii kabisa. Yule mama akaendelea, imemwagwa yote ikachomwa moto. kumgtazama babu alivyomkazia macho, nikajiua leo babu kakasirika, hata sura ilikua inaonesha, nikajisemea leo ukimchokoza, simba anakuumiza kama sio kukuua.

Babu: Huyu kapagtikana siku kumi nyuma, tukaanza kazi dakika hio hio, huyu ni mjukuu wangu. wanza tushukuru Mwenyezi Mungu, huyu kijana wetu kupatikana salama. Mimi sisemi zaidi, ni mengi na waliyafanya haya ili huyu mbwa mkubwa wao awe kiongozi mkubwa, kumbe hawajui kila mwizi qna siku arubaini. Mbwa hawa. Maneno aseme mwenyewe.. Haya sema...

Mama Yule; Akaanza kuwaambia ndugu wote kilichotokea mwanzo mpaka mwisho, waliokua wanalia, waliokua wanasema huyu hatufai kwenye ukoo.

babu: Kila mwenye swali lake amuulize huyu na mbwa na hawa wengine. Aliepotolewa na mwanae, mume, mke, dada amuulize huyu mbwa. Huyu kila wiki anaua huyu. Maisha ya mtu kwao hawa ni kama panya tu. Nyie mnaopoteza watoto wachanga, hawa ndio wakuwashika. Mbwa hawa wengine wapo hai waroro lakini hawafai kabisa, wanawapelekea matajiri wakichawi wawaingilie, We mbwa mnaanza kuwaingilia watoto wa umri gani, akmuuliza yule mzee mchawi. Akajibu kuanzia wachanga wa mwaka mmoja tunajaribu, tunawamwagia usoni wankula yote ile na wenzao wanakuja kuwasafisha kwa kuilamba, ndio furaha yao. Mzee yule akanyanyka akmpiga kofi yule jamaa mpaka akaemnda chini, babu akamwabia mwache mbwa huyu. Mtawauliza we nyewe huko, mimi nilitaka mjue uaalimu wao. hayua fanyeni haraka kila mtu aende kwao.

Maswali yakawa kibao, mwengine anauliza umejifunza vipi ,anajibu. Umeanza lini? anajibu, wanagapi ushawafanya hivi ?Akajibu hawana idadi ni wengi sana hatuweki hesabu, ni mwiko kuweka hesabu. Huuyu binti yako kaanza lini hii kazi yako? KUanzia mdogo, huyu ndio kashika kazi zangu zote, mimi sana sifanyi tena nafundisha tu. Mmoja akauliza, kwanini tusikuue? Akasema nimemrishwa kwanza mimi na qenzangu hawa na wengine hamuwajui, turudishe mali zote kwenu na kwa watu tuliowazulumu. Za huyu binti yangu na za huyu na huyu. Baada ya hapo niueni. Sina sababu ya kuishi tena.

Babu: hakuna atakae kuua, na nyinyi na wale mbwa wengine ambao hajauliwa muishi kama mlivyotesa wenzenu. mwengine akasema mimi nipeni huyo binti awemtumishi wangu, mali hio.

EWote tukacheka. Wahuni whawakosekani sehemu.

Watu wakaanza kuuliza wana mali ngapi? yule mama aksema nyingi sana. Akataja nyumba ake zaidi ya kumi na sita, Mwanza huko, mpaka capri pint ana majumba kakodisha, magorogfa Dar. Ana bar kibao zimejaa misukule. Tanzania nzima mpaka nchi za jirani. Mzee Ali akuliza Dubai na Ulaya hamna mali? Wakasema wanazo lakoini huko zina masharti makubwa kuna wakubwa wengine huko, lazima wao wapate aidi, Hatupendi sana huko,

Akataja nyumbani ana masanduku ya noti, kama ishirini na biti yake anayo mengi zaidi, yeye anapenda sana kuweka pesa. Hata godoro lake ni la noitti tupu na mito yake ni maiti za watoto wachanga. Watu wakaanza kunong'ona. wakauliza ziote zao au za wanaushirika wengine ? akajibu zikifika kwako ni zako peke yako, hazina ushirika. Wanapeana faida wakiwa kwenye ushirika na wale wapya tu. Akasema wale wapya lazima wawe na sisi wa zamani ndio biashara zao zipate wateja ziingize mali. wale wanaume wawili mmoja kamuingiza yeye kwenye uchawi, yule kijana ni mtoto wa dadake, mamake alikuwepo pale akasema sio mwanangu kuanzia leo, naahidi mbele ya watu. Yule mwanammme mtu mzima ni shemeji yake ambae mkewe alishakufa siku nyingi, kumbe ni yeye alimuua kichawi, huyo hakufanywa msukule walimtoa kfara ya damu kwa ajili alikua na mdomo sana. Kwa mujibu wake.

ykongewa we.

Babu akasema sasa uamuzi ni wenu ndugu. Huyu kijna atabaki na mimi, nitaondoaka nae kesho aendelee na dawa mpaka akae sawa. Mtaalamu wa damwa hapa kasema huyu wiki tu ataongea.

Mama Yle: hatukumuharibu kwa sababu tulitaka kivuli chake kiwe kiima kisiwe na athari yoyote, kusema andesema kwa sauti ya mwengine, Na aliekua apewe kivuli ni yule kija alaiekwenda kumnunulia nguo. Yaani wote ni ndugu kwenye ukoo.

babu; nani mnamuamini kwene ukoo wenu, wote wakasema yule mzee.

Babu, sasa tunakupa wewe majukumu mazito, mali zao zote hawa watakwend kuwagaia, na kila aliedhulumiwa ndugu au mtoto na hawa au washirika wao, mali zao ziwalipa. Na kabisa walipe gharama zenu nyote mpaka kufikia hapa. Msiwe na wasiwasi hawa ni matajiri wakubwa woe, nyinyi hamjui, mimi nafahamu siri zao zote. Hapa hawa wote wapo chini ya ulinzi wakibwa zao wameuliwa na wengne wamedhibitiwa majeshi mengi na mkubwa yapo kazini. bqabu akaendelea; Huyu kototo, mtoto, mamake na kijana yoyote wa kike na kiume wa kwenye ukoo wa baki nae kwa jili ya tiba. Mama yao akawachagua, hawa ndio wanapatana sana. Wale vikjaja wakakubali kubaki.
Babu: leo hii wakachukue vigtu vyao kama vipo hoteli waje hapa haraka sana, Nyinyi wengine kama mtasafiri hata leo, Hawa wagtakua chini ya mzee wenu, hawafanyi chochote boila yeye.

Mzee: Mimi sitaki hata kuwaona sutra zao.
Babu; Iabidi ustahamili mpoaka mpate haki zenu, mkiziwacha ndio zinachululiwa na wachawi wengine au zinapote hivihivi, hawa hawawe zitena kufanya lolote bila amri yako kuanzia leo, hata kazi yoyote hawawezi kufanya. Yaani hawa ni afadhali mgtu awe msukule kuliko wTvyiku Hawa, mimi nakushauri kila mmoja mpe mtu mmoja awe nae maana hawa hata kuoga hawaendi bila kumarodhwa na mtu utakae wapa. Kila mmoja akaanza kuguna.


Babu akasema haya mtajua wenyewe ndugu, Mzee Ali na wewe baki,wacha waende jawa, na mkitoka hapa asirudi mtu mkifika ndio mtanijulisha safari yrnu, msiogope nyote wapo chini ya ulinzi maisha yo yote hawa mpka kufa kwao.

Wakaondoka kurudi hoteli, mimi namzee ali tukaenda na wale vijana walioambiwa wabaki kuwasaidia kumlea yule kijana na mamake. wamedhukua tu vutu vyao na b)vya yule mama wakrudi, Babu hakukaa tena alikua mwenyewe kishafanya mipango yake akaondoka nao usiku ule bila sisi kujua kwa gari lake na mwane akamapeleka. Siku ya pili anatupigia kisha fika kwake. aksma na nyinyi kipenda kuja njooni mkipenda kwenda nendeni tutawasiliana zaidi kuanzia kesho.

Kwa ufupi yulle kijana na mamake wakaa miezi miwili shmaba kwa babu mpaka akawa mzima kabisa anaongea na anafanya kazi zote, akawa hataki kuridi Mwanza, wakahamia Dar., wanaishi hapo mpaka leo.

Walipata mali nyingi sana kwa wale washenzi, wale walichwa wakawa ndio kam mental, mata)ra ya mwisho ukoo ukawatawanya, wakishia hospitali za vichaa hakuna aliekua anawataka hata kuwaona.

babu alitumiwa million kumi na yule mzee wao. Ni bossa kibwa sana Mwaza, sitaki kumtaja jina ni mtu maarufu sana na mwenye pesa zake. Zilikua ni pesa nyingi sana kwa zamani, mimi akaniwekea tanoi zangu Mzee Ali sijui.

kkazi zote za upande usioonekana zilifanywa chini ya usimamizi wa Arsis.


Kuna kisa kingine cha kukoaa msukule hii ilikua Zanzibar ni tofauti kabisa hiki. Tutakileta siku za usoni.


Tutaendelea.
Sawa Arsis shusha episode simba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom