Nourhan
JF-Expert Member
- Apr 7, 2023
- 1,234
- 3,125
Chukua na maandazi usindikize na chai.chai
Chukua na maandazi usindikize na chai.chai
Unafahamu Qur'an ina harufi Alif Lam Mym zinaanza kwenye sura ngapi?Nimekuelewa ila nifafanulie kidogo hapo kwenye kulifanyia kazi ni kulifanyiaje?
Maana mimi naona hata hivi kukuuliza ndio nimeanza kulifanyia kazi.
Kuhusu kulijua nia yangu ni ili niweze kuisadia jamii kwa ukubwa kama vile hilo jina lilivyo kubwa
Duh... Mambo ya Ounsigaa!
Dada hizo za kushirikiana na majini ni shirki tu ata mtetee vipiKwasabu nalipika ndo Biashara yangu ana jinn wake mmoja analipenda biryani langu nikipika anakula ana sifu sana hata akiwa na wageni naitwa nikapike 😁ndo maana nikamchomekea.
Kama kichwa kizito kifanye kiwe chepesi.Nieleweshe vizuri sisi wengine vichwa vizito
Dada hizo za kushirikiana na majini ni shirki tu ata mtetee vipi
Je! Nikwambieni nani wanawashukia Mashet'ani
Wanamshukia kila mzushi mkubwa mwingi wa dhambi.
Wanawapelekea yale wanayo yasikia; na wengi wao ni waongo.
Hivi ndo mafundisho ya quran yanavotwambia
Kwa kusoma comment zako tu seems Wewe ni mswahili Swahili wale wa kuchamba wenzao sana afu mbeaa.Nimejikuta nakucheka wajifanya wajua kumbe hujui.
Na humjui pia,na nisingependa kumuongelea hata yeye tu kujiongelea kujimwambafai kamwe huwezi kuta anaongelea, halafu mbona hata yeye amesema jinn huwa hasemi ukweli asli yake jina Ila kuna hesabu unapata umeishi nao miaka 20 mwenzio kazaliwa kalelewa nao nini yeye kuongea nao mie tu wanijia ndani kwangu naona nao japo wanakuja kwa umbo lake haswa mida ya mchana unakuta kama nalewa usingizi anyways niishie hapa sipo hapa kuongelea habari za mtu nipo kujifunza.weka elimu yako wewe tujifunze kuhusu majinn
Nimejikuta nakucheka wajifanya wajua kumbe hujui.
Na humjui pia,na nisingependa kumuongelea hata yeye tu kujiongelea kujimwambafai kamwe huwezi kuta anaongelea, halafu mbona hata yeye amesema jinn huwa hasemi ukweli asli yake jina Ila kuna hesabu unapata umeishi nao miaka 20 mwenzio kazaliwa kalelewa nao nini yeye kuongea nao mie tu wanijia ndani kwangu naona nao japo wanakuja kwa umbo lake haswa mida ya mchana unakuta kama nalewa usingizi anyways niishie hapa sipo hapa kuongelea habari za mtu nipo kujifunza.nawe elezea elimu yako kuhusu majinn tujifunze.
Naam mimi mswahili haswaaa🥰Kwa kusoma comment zako tu seems Wewe ni mswahili Swahili wale wa kuchamba wenzao sana afu mbeaa.
Twambie ww msomiNyie watu embu kasomeni kwanza maana ya Shirk aisee halafu ndo uje u comment.halafu mashetani sio majini wapo masheitwan watu na majinn.
Sawa, inatakiwa some sana na anachosoma aelewe kutofautisha ni ni cha Allah au cha binaadam?Siri hapa ni kuacha maaswi kwa ukamilifu wake.... Kuipa Dunia kisogo hapo utakuwa karibu na Allah halafu yeye ndo atakufunza usiyoyajua🤝
Mfano hapo ulipo sahv unamaradhi ya nafsi kwahyo ni ngumu kutunukwa kitu kikubwa kama hicho
Inahitaji uchamungu kumtaja sana Allah mpaka nafsi itulie
(Mitume na mawalii hutengenezwa muda mrefu... Mwisho ndio wanakuwa karibu na Allah)
Nakupa mfano mdogo unaoonekana..... Comment ni nyingi hapa zingine za kejeli kwa mleta mada, lakini umeona amepaniki wala kumjibu mtu vibaya hata sehem moja???
Watu wa dhikr hiyo tunaita ni hatua kwenye utulivu wa moyo, na kuna daraja zake..... Kwahyo kama unataka karama na kuwa karibu na Mungu lazima utengenezwe bro kunataratibu zake!!
Uyu jini ana kwepa maswali ya kiutu uzima ana taka ya kichawi chawi awaokote mazombieKwa nini amna tiba ya cancer na HIv .na ni nani ali leta haya magonjwa duniani .tupe ufafanuzi
Tayari.Shukurani mkuu, Arsis unaweza ongezea chochote
Je ulikuwepo kipindi cha mitume?Ndio najua. Simba alishauliza zamani ataleta kisa chake hapahapa.
Simba anajua mambo mengi sana.
Amin na nyinyi zaidi.Asante Arsis Mungu azidi kukujaza elimu
Huyu mleta mada ni muongo ma hana elimu yoyote kuhusu majini,Chukua na maandazi usindikize na chai.
Kuna maswali yangu sijajibiwa nimeuliza au niwe na subra ☺Sawa, inatakiwa some sana na anachosoma aelewe kutofautisha ni ni cha Allah au cha binaadam?
Duniani kuna elimu za binadam, juna elimu za majini, kuna elimu kubwa kuliko zote, ya Allah, watu wengi wametia mambo yao kwenye elimu ya Allah lazima ajue kutofautisha.
hapana, sio kazi yangu hio.Mimi nafuga pia majini.
Je unaweza kuwafahamu?
Usiwe na wasiwasi, Inshaallah kitu chako kitakua sawa. Hapa kuna watu watakusaidia sana.Nipo hapa Mkuu Arsis kupata muongozo sahihi maana hao watu siwawezi kwa lolote ila Mimi haki yangu naitaka. Najua nafuatiliwa sana mpaka mtaani. Roho inaniuma kwanini wale jasho la Mnyonge kama Mimi wakati wao wana kila kitu wanachokitaka?