Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Mkuu Arsis.
Mimi shida yangu kubwa huwa nikienda kwa waganga baadhi wananifukuza nikiingia kilingeni mwao na wale wanaonikubali huwa vitendeka kazi vyao vinaharibika vyenyewe.
Je nina tatizo gani au nina kitu gani mpaka waganga wananiogopa na zana zao za kazi zinaharibika?
Uache ushirikina huitaji mganga wewe ukifanya tu ibada mambo yako yatakuwa sawa.
 
Hizi Dini wengi wamezirithi tu toka kwa wazazi.
Mkristo msomi hawezi kushindwa kujibu swali la Kikristo.
Kuitwa Shehe au Mchungani sio lazima mhusika ajue kila kitu katika Dini yake.
Elimu ya Dini ni taaluma kama zilivyo taaluma nyingine.

Tatizo wewe kwa mfano:
Unamwuliza swali Mkristo, halafu unataka akujibu kama Uislamu unavyo taka.
Ukristo hujibiwa kwa Ukristo na sio kwa Uislamu
Narudia tena dini husomwa kama maarifa mengine pia,,kwahiyo acha kutafuta sababu

Waislamu wengi tunaijua biblia kiasi chake,kwahiyo acha porojo,we endelea na mistari yako pendwa tu,,Yesu ndio ndimi njia na uzima,hakuna aendaye kwa baba bila yeye,ishi nayo hiyo

Hatuna cha kujadiliana na wewe

Asante
 
Sijawahi kushiriki mambo hayo hivyo ni vyema ukiwa nao hao watu uwaulize watakupa majibu sahihi. navyojua rangi nyeupe ya Shariff Nyekundu maimuna kijani daruwesh nyeusi majini wa kiasili.
Madaruweshi na masharifu wapo mkondo mmoja rangi zao kijani na nyeupe

Nyekundu subiani, mabedui nk

Hapo kwenye majini ya kiasili pana mkanganyiko , sio lazima uwe kwenye koo hizo ndio uwe na hilo jini.

Mfano jini la kimasai sio lazima uwe mmasai ,

Jini Simba sio lazima uwe mmakonde.

Ila sijawahi kuona waswezi kwenye makabila mengine mbali na wanyamwezi, na zipo ngoma maalumu za kiswezi.
 
Wewe si unasema ulikuwa muislamu,how come hujui mafundisho ya uislamu?

Unajua kwanini huwa mnabaatizwa?

Kila kiumbe hapa duniani huzaliwa katika mila ya kiislamu, uislamu ni kunyenyekea na kujisalimisha kwa Mungu mmoja tu,sasa mnabaatizwa ili muingie katika mila nyingine tofauti na mpango wa Mungu

Asante
Baada ya kuonaHii post yako ndio nikajua wengi wetu hizi dini zinatukaririsha ......na inawezekana wewe una amini hivi na uhakika zaidi ya mkristo ambae ichi ulichokiandika Akiona anacheka!
 
Madaruweshi na masharifu wapo mkondo mmoja rangi zao kijani na nyeupe

Nyekundu subiani, mabedui nk

Hapo kwenye majini ya kiasili pana mkanganyiko , sio lazima uwe kwenye koo hizo ndio uwe na hilo jini.

Mfano jini la kimasai sio lazima uwe mmasai ,

Jini Simba sio lazima uwe mmakonde.

Ila sijawahi kuona waswezi kwenye makabila mengine mbali na wanyamwezi, na zipo ngoma maalumu za kiswezi.
Kila majini na sehemu yake waswezi utawapata bara kwa wasukuma na wanyamwezi kwakua wanaingiliana kidogo.

Na niliposema jinn la kiasili sikumaanisha kama wewe mmasai basi unakuwaje na jinn la kimasai.
 
Kwanza ni Chano sio Chane vurugu nyingi uzi wa mwenzio kumbe wataka kujifunza si ungetuliza komwe lako kuliko chai chai haya sindikiza na maandazi.

Navyojua Chano hupewa kwa makubaliano mfano unataka jambo flani unaongea na jinn akifanikisha unarudisha chano kingine.

Kuna kikubwa na kidogo vinapangwa kwenye sinia majani ya migomba halwa tende zabibu kavu hiriki mdalasini ndizi pukusa rose sherbet maji ya zamda arki rose essence maji ya zamzam mkate wa mchele hauna hamira pasipasi(manukato al oud) misk oud gulab jamn muwa asali fanta orange mirinda nyeusi(ila zipo zenyewe kwenye chupa walipewa zamani wagonjwa ukikosa basi soda) maziwa mtindi kahawa mpaka henna dhahabu kama jinn la kike kifupi ni hivyo navyokumbuka
Kisha inategemea jinn mwingine anakula anakula mwenyewe vingine anawapa mle mwingine kiwekwe kwa kufunikwa na kitambaa cheupe au chekundu inategemea siku 3/7 kisha kikatupwe baharini kwa Dar najua Salenda bridge kule chini na kurasini.
Ushirikina
 
Mpaka nime miss kudhikiri ghafla

"Maweni maweni dawa

Maweniii, maweni eeeh

Maweni

Maweni eeeeeeh

Maweniiiii

Tukachimbe mti ule dawa

Tukachimbe mti ule dawaaaa"


Hapo ni mwendo wa vishindo na kupiga makofi na kuungurumisha vifua tu

😂😂😂😂😂😂😂
We jamaa una kelele sanaaaaàaa lkn ndo kawaida ya masufi walivo
 
Kwani wewe ukiwa unaongea sauti yako huwa ina athari gani? Au ulitarajia upate athari ipi?! Aloongea binadamu kama wewe aloumbwa kwa udongo tena kaongea sio kusoma wala kuomba sasa kutakuwa na athari ipi.

Wala usifute comment wacha tuelimike kweli hauko sawa kwa mujibu wa story yako huko juu na kawaida ya majini wakiwa nawe karibu lazima upate athari ndo maana hauko sawa.
Asante kwa kunielewa🤝...... Huwa kuna muda tunakuwa nusunusu😭!!
 
Hili Arsis alikua hataki kukujibu moja kwa moja. Alinambia mimi nikasema nitakujibu. Jibu lake sio zuri sana.

Arsis alisema, Unaijua sababu.
Simba.
Naijua sababu sio ya moja kwa moja, sasa unasaidiaje Mkuu? Halafu kama majibu hayafai kuandikwa hapa labda unahofia BAN nijibu PM ? Mimi kinachoniuma ni huyo jamaa kula jasho langu kizembe. Naomba jibu PM Mkuu 🙏
 
Uyo jini ana weza kukuokoa kwa watu wabaya eg majambzi au watu wasio julikanq
 
Ukitaka kupata elim usiwe na haraka... Haya mambo yanahitaji utulivu wa hali ya juu!!

Halafu usipende kuweka vitabu mbele kwenye kila jambo,,, unakuwa umejiwekea ukuta kupata elim
(Hiyo biblia unayoiamini kupita kitu chochote kasome vizuri history yake.... Baada ya kupotea kwa miaka 600 warumi waliipeleka wapi, kasome mwenyewe uelewe haya mambo yamekaaje


Halafu nan kakwambia waislam hawako contact na malaika


Sisi tumepewa elim ambayo walotutangulia kwenye imani hawakuwa nayo...... Sisi tunaelim yenu yote ila nyie hamna elim yetu

Maana muislam anasoma Taurat , Zaburi na Injili.... Tafsiri yake yeye anajua vyote kuwahusu ila ukristo haujui chochote kuhusu Qur'an

Note: Mungu kawaumba wanaadam ili wamuabudu.....

Haya turudi kwenye structure ya ibada kwa mwezi mzima

JUDAISM Wanaswali mara 90 mwez mzima (mara 3 kwa siku)

Wakristo Wanaswali mara 4 kwa mwezi

Waislam Wanaswali mara 150 kwa mwezi

(We unadhani kwa akili tu ya kawaida ni kina nani hapo walio bora zaidi mbele za Mungu?
Maana ubora wa mtu zaidi ya mwingine unaletwa na kufanya ibada sana)


Anyway sipendelei sana kubishania mambo ya kidini hapa.... Ila tuheshimu hizi dini zetu jamani!!!
Wengine tukisikia dini yetu imetukanwa roho inakosa amani

Bwana Simba akizungumza chochote hapa, hii haina uhusiano wowote na uislam
Kwahyo unapozungumzia uislam na kuusema vibaya sababu ya maneno ya mtu unakosea Sana!!!!

Pia yeye amna sehemu kahusisha uislam kwenye uzi wake, yeye anatoa mkasa wake wenye mazingatio na elim na alhamdulillah watu wanapata elim..... Mbona mnapenda chokochoko

Wakristo wapi hao wanasali mara nne kwa mwezi?
 
Saratani inapona na uchawi unatolewa, usiwe na hofu kabisa.

Simba anajua tiba yake lakini hataki hizi kazi kabisa.
Simba ndio Corazon au Arsis? Sasa kama ni Corazon kwani unafanya kazi gani kwa elimu uliyopata?
 
Kila majini na sehemu yake waswezi utawapata bara kwa wasukuma na wanyamwezi kwakua wanaingiliana kidogo.

Na niliposema jinn la kiasili sikumaanisha kama wewe mmasai basi unakuwaje na jinn la kimasai.
Pointi yangu ya msingi ni hii.

"Jini la kiswezi linapatikanakwa wanyamwezi na wasukuma ,sijawahi kuona mtu nje ya haya makabila kuwa na jini la kiswezi.

Ila jini la kimasai limetapakaa kila mahali".
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom