Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

kwanza anza kusali, usiache kusali na usiache kukaa na udhu. Bila kua kwenye mwili msafi , uache uradi wa kumtaja mwenyezi Mungu kunshukuru na Takbor.

Unategemea machafu yataondoka vipi ukiwa wewe mwenyewe mchafu?
Simba.
Hilo mimi nasisitizia kwa video clip...


cc: KMkhalid
 
Naomba uzingatie hili swali

Yule farao pale misri ni mwenyew au wa kuchongwa maana kwa miaka uliyoishi hapa duniani naamini zama zake ulikuwepo
 
Kwa lugha hiyo si wepesi hata ingekuwa mimi kukuelewa.
Nimemuelewa, nafahamu mijadala imemuingia na ile bisha bisha yake anashindwa kuitetea kwa ushahidi sasa hizo ni hasira zake, kaona azipumulie kwangu.

Usijali FF, mimi nimemuelewa sana, wala lisan yake hainipi shida, Arsis ndio kabisa, anasema hao ndio wanafunzi wazuri, wana hasira na elimu.
Simba.
 
Duu, zagalo huyo si kocha wa Brazil wa zamani?
Jina tuu. Ila hiko kitabu ni kitabu Kitakatifu cha kiimani cha Wabantu.

Kwenye kdahalo wa Adam na Hawa ndio nikakikumbuka maana na chenyewe kina habari za Mungu na Uumbaji wa ardhi na Mbingu mpaka Binadamu wa kwanza.

Humo Adamu kaandikwa si kama Binadamu wa kwanza kuumbwa ila kama binadamu wa kwanza kumuasi Mungu. Binadamu wa kwanza kuumbwa kaelezewa huko hadi namna alivyoumbika kupitia vumbi la Mabara Saba.

Mi sio mwandish mzuri saana, jaribuni kukisaka maana ni kizuri sana na kina Miongozo mbalimbali ya namna yakuishi kiasili ya Ulimwengu huu. Na kina elimu nyingi zakutafakari.

Arsis Kuna mdau alikuuliza kutokana na maelezo yako ya namna hii dunia ilivyo kishape, Je wanaodanganya umbo lake wanataka kufaidika nini?
 
Sqali zuri sananhili
Naomba uzingatie hili swali

Yule farao pale misri ni mwenyew au wa kuchongwa maana kwa miaka uliyoishi hapa duniani naamini zama zake ulikuwepo
Naona kama alijielezea huko nyuma. tumwachie mwenyewe aje.
 
ionjo vya Arsis 5 -3

nilivyokutanishwa na majini ya Kingazija (Comoros) na Kipemba Kojani.


Nikapigapiga zangu, lakini nikawa naona muda hauendi, mimi nimezowea ikiisha alasiri nakua nimeshamaliza kazi zangu naondoka zangu nyumbani.

Baafda ya magharibi tukaondoka na Mzee mpaka Buguruni, tukaingia pale wanapouza mbao, ule mtaa wa mwhiso kabla hujaenda ule wa relini, tukaingia ndani huko, kufika aehemu akakuta kyna kijana kasimama barabarani, njia yenyewe ilikua nyembamba tu, anatusimamisha.
Kijana: Mnaenda kwsa mzee ali?
Baba; Ndio.
Kijana, kwake hapa, akatuonesha nyumba, lakini njoo hapa muegeshe gari, kama nyumba ya tatu kulia hivi kulikua kiwanja kitupu lakini kina uzio, hakijajegwa, akafungua geti tukaingiza gari ndani.
Kijana; wekeni tu hapa, kulikua kuna gari nyingine mule, moja tu. Vile vi pajero vidogo. Moyoni nikajisemea ndio ya hiuyo dokta nini. Tukashuka tukapelekwa ndani kwa mzee Ali.

Hilo ni jina la kweli la Mzee Ali, sio la kubuni, watu wanaokaa mitaa hio watamfahamu, ni zee wa kipemba mfupi hivi ana mwili kidogo, ukimtazama yupo kama King Majuto, na yeye ana vituko vituko lakini naona kwa kua nilijenga picha ya Majuto nilipomuona.

Tukasalimiana pale akasema...

Mzee Ali, nimeambiwa mnakuja mtu na mwanae, lakini mbona naona ni mtu na kakake? Karibuni huku kwanza halafu tutaenda hapo uani.

Akatuingiza kama sitting room.
Mzee Ali, Wewe bwana ndio utakua... na huyu atakua .... Nimeambiwa niwapokee na Sgeikh wa unguja, tunafahamiana miaka mingi sana yule bwana, na hapa kuna binti mmoja alikua anamshughulikia hiuko Unguja lakini akamjulisha kwetu hapa, mndio tunamshughulikia, akanisisitiza siku anakuja na nyie muwepo mjonee wenyewe haya mambo maana kasema watu wa kisasa nyinyi hua mnapinga kila kitu. Sasa ngojeni niende nikamjulishe kuna wageni, anajua lakini si vizuri tukamvamia woite watatu, atakuja kijana kuwaita tukiwa ytyari, sasa hivi kama dakika tano tu, sianzi chochote mpaka muepo, ndio maagizo ya Sheoikh....Yulew bwana akisema kitu najua kuna mshindoi mkubwa. Nisubrini kidogo.

Jinsi anavyoongea nikahisi kaona kaletewa wateja wengine kama Dokta. Kukaa kidogo tukaja kuitwa, tukkaingia, tukakuta wanawake wawili.

Mzee Ali; Huyu binti ni Dokta... atawajulisha zaidi yeye mwenyewe. Na huyu ni mke wangu, maana kazi hizi kama ni mwanamke lazima awepo mkeo au dadako au mamamko, huwezi kubaki na mteja tu. Mashetani wana hatari, akacheka.

Mzee Ali, Dokta, huyu ni... na huyu ni mwanae, au mdohgo wake bwana? SAkacheka.
Baba: Vyovyote tu sawa, lakini zaidi sio vyote hivyo, ni rafiki yangu.

Wote tukacheka pamoja na Dokta.

Baba; Dokta wa wapi?
Dokta: Kwa sasa mimi nipo na NGO moja ya Kimarekani inatwa Columbia inafanya tafiti hapa tanzania na nchi nyingine za Afrika.
Baba: tafiti za kutibu?
Dokta: sio hivyo, sisi tunafanya tafiti ya UKIMWI, tunachukua data hospitali zote, kujua mambo mengi tu, ni kazi kubwa, tunaifanya Tanzania nzima na nchoi nyingi za jirani.
Bava: Sawa nimekuelewa.
Mzee Ali; Dokta hawa wamejulishwa kwangu na Sheikh...kama wewe, lakini hawa sio Waunguja, au waunguja jamani, akacheka.
Baba: haoana sisi ni wa hapahapa Dar lakini tulihamia tu, kwetu ni tanga.
Mzee Ali; Alinambia Sheikh kitu kama hivyo. Katribu ni sana. Sasa tusichelewe muda ukapita wa kazi zetu, kazi zetu zinaenda kwa muda wake, watu wengi hawaelewi hilo.

Akanyanyua sauti kama kuita nje ya mlango wake pale. haya leteni hiuvyo vitu nilivyowakabisdhi hapo nje. Binti mmoja mkubwa tu, akaingia na kiteo kina moto na ubani ule kwenye mfuko akampa Mzee Ali.

Mzee Ali na ile ndoo tupu leteni na ndoo moja ya maji. Na lile fuko langu la dawa.

Wakaleta pale, ikawekwa pmbeni huko ile ndoo tupu na ya maji, na lile fuko. Mzee Ali akasema...
Mee Ali; Dokta soigea hapo elekea huko, jamani huyu Dokta leo yupo kwa dokta wa madokta hapa, leo lilikua zoezi la kumtapisha uchawi aliolishwa. Imekua vizuri na nyie mpo mtajionea wenyewe.

Mzee Ali akatia ubani kwenye moto, kwa wingi tu, moshi ukazagaa maana chumba chenyewe kilikua cha kiasi tu sio kidogo sana wala sio kikuba, hakina kitu ndni isipokua kina zilia zuri tu na saisi tumekaa chini pembeni, tunatazama show.

Aksemasema maneno yake kama Kiarabu hivi, lakini nikajua sio Qur'an hio, kwa siejiua atafikiri inasomwa Qur'a. matra kidogo yule dokta akaanza kama kutingisha kichwa hivi akaanza kunyoosha kidole, ka mee halafu kwangu...

Dokta huku kakaza macho yamekua ya ukali kweli. hawa wanakuja kufanya nini hapa, sio watu wazuri kabisa, mimi kwa unaniita wakati hawa wapo? Ka ukali kabisa.
Mzee Ali: Sisis hatukukuitra wala hatuna haja ya kukuita wewe leo, shughuli yako bado, umejileta mwenyewe. Ondoka zako tu, siku yako ikifika utakuja tu ukipenda usipende.
Dokta: Wewe mdogo sana, huniwezi mimi, wach nende zangu ubki na migeni yako hio

kama akajirusha akalala chini kama nusu dakika akakaa, ni vizuri alikua amevaa skin tight na juu kama dira hivi. Na yule mkewe mzee Ali kavaa hivyo hivyo. Mzee Ali akaendelea na maneno yake.ytule dikta akaanza kuongea, lakini kwa sauti nyingine kabisa sio ya ukali.
Dokta; Unataka nini umeniita?
Mzee Ali: Sema wewe nani?
Dokta: Akataja jina sina haja ya kulitaja.
Mzee Ali umetokea wapi?
Dokta; Mimi natokea njuani> Unapajua njuani wewe?
Mzee Ali: Mko wangapi?
Dokta; Akacheka kwa sauti nzuri tu ya kike, tupo wengi tu, unataka nini?
Mzee Ali' Siku yenu ikifika mtanoma wote, mimi nataka wote mkae pembeni leo tuna kai yetu, msitake tuanze vita isiokua na maana.
Dokta; nani anataka kukaa hapa leo?

Mara kama akajitingisha hivi akaanza y)tena kuongea, kwa sauti ya kiume.
Dokta: Wewe huwezi kitu, huyu sisi tumeshasema zamani bila ada yetu hatutulizani, sisi tunamlinda huyu, hatuna ubaya nae wowote, lakini mbisi kama nini.
Mzee Ali; Mbona mimi nawaita siku zote hamjaja, wanakuja wale walioondoka tu?
Dokta: Tumekuja kwa heshima ya hawa wageni tukwambie wewe na wao wanasikia, sisi hatuna ubaya na huyu na yeye anajua ada yetu, sasa hatupi ada yetu, tunamfanya atupe kwa nguvu akipenda asipende atatupa. Mbaya wenu nyinyi mnaemtafuta huyu hapa tukiondoka anakuja yeye. Kwaherini wacha niondoke.
Mzee Ali; Ngoja kwanza, sema wewe nani? Akataja jina, kwaheti, huyo akachomoka, akaingia mwengine anaongea kwa upole tu lakini kume.
Dokta: Mimi msingenina kuja leo lakini imabidi tu nije.
Mzee Ali: Wewe nani?
Mimi: Sina ubaya na huyu, mimi mtu tu kama wewe.
Mzee Ali; Ndio uongo wa majini huo, mengine yanssingizia wao watu. Unataka nini uko nani?
Dokta" Nipo peke yangu, sihitaji kua na mtu yeyote, haiwahusu niliofata kwa huyu.
Mzee Ali: umefata nini?
Dokta: Wacha niondoke atakwambia mwenyewe huyu anajua, muulize yeye, ananijua sana mimi.

Huyo akachomoka bila kwa heri wala kuaga. Nikahisi sasa Dokta hana jini lililompanda.
Mzee Ali; mmeona kazi hio, huyu Dokta mwili wake upo wazi majini kila namna yanamuingoia, ynagombana yenyewe kwa yenyewe, kutaka kua karibu yake. Hio shida kubwa lakini ina bidi tufanye lililotuleta leo. Leo tuntaka tumtapishe uchawi aliolishwa huyu, na yoyote yule.

Mzea Ali; Dokta hujambo mama?
Dokta; Sijambo.
Mzee Ali: leo nakupa ile ddawa unywe kama nilivyokwambia, ukimnywa ukisikia kichedfu kichefu tapika hapa kwnye hii ndoo tupu, ngoja niisogezew poambeni hii ndoo ya maji, haya ndio yatabatilisha uchawi wpwpte utakaomutapika. Akachukua fuko lake la madawa akaiata pale mlangoni nje, hebu nileteeni chupa za maji safi hap dukani nje.
Simba.
...5.4

ionjo vya Arsis 5 -4

nilivyokutanishwa na majini ya Kingazija (Comoros) na Kipemba Kojani.


maji yakunywa yakaletwa, bahati yule alietumwa ka;eta chupa sita kwenye plasiti zake.

Mzee; Fungua basi hilo fungashio, wape watu maji na mie nipe chupa moja.

Tukapewa maji wote akasema.

Mzee Ali; Dokta kunywa basi nusu hio moja nataka hayo yako ya kunywa niyatie dawa, tumaliza kazi ya leo.
Dokta: hata siwezi kuyanwa haraka haraka.

Mzee Ali; yapunguze humo kwenye ndoo ya maji.

Mke wa Mzee; Ngoja, nyie watoto leteni gilasi safi, usiyamwage bure Dokta.

Mara yule binti walikua wamekaa nje ya mlango kwa uani, akaleta gilasi.

Mzee Ali akasema hayq lete hio gilasi hapa akaiweka mbele wake akatoa kama unga unga una vijani vijani hivi vimekauka akatia kwenye gilasi kama robo gilasi akmwambia haya lete hio chupa yako uliokwisha fungua. Akaichukua akaijaza yale maji, lile vumbi la maji na vile vijani kama vingine vikapanda juu vingine vikaenea kwenye gilasi.


Mzee Ali; Dokta kunywa kidogo kidogo kwa spidi yako, ukinywa kidogo ongeza maji, hii noiliokutilia kipimo chake maji chupa moja utaiona nzito lakini usiiogope haina ladha yoyote utaona harufu ya majani tu. Dokta akaanza kuinywa kidogo anaongeza maji aksma..

Haya maji si tunaweza kuchanganya kwenye hii chupa maana naona nzito sana.
Mzee Ali: unaweza Dokta, tia humo ongeza maji mengine kwenye gilasi mpka aitapofikia, kunywa kwa raha zako, nradi umalize hayo maji ya lita moja.

Dokta akawa anakunywa taratibu sana, mimi naona Dah hii lita moja huyu Dokta itamchukua saa nzima kuimaliza.

Mimi: Naomba nikasikilize simu kidogo nje, Mzee naomba funguo za gari.
Mzee Ali, anamaliza sasa hivi huyu.
Mimi; Sikawii kabisa.

Nikachukua funguo za gari nikaenda kwenye gari kutazama kweli kuna simu zilipigwa. Nikapiga nisioijua namba. Kupokelewa kwanza ile sauti naijua, lakini kichwa kinanambia haiwezekani.
Mimi: Nani mwenzangu?
Jini1: Wewe kila siku tunaongea leo umesahau sauti yangu?
Mimi: Huu utani au vipi, toka lini tukaongea na simu?
Jini1; Sasa si nimekuhitaji mkuu na wewe uko kwenye vilinge vya uganga, ningekujaje hapo bila idhini yako?
Mimi: Hii kali hii?
Jini 1: Sasa mkuu, ikiw naweza kuja tunakua pamoja, nishindwe kuongea na simu. Tena na simu mpya hata wewe hauna hio. Nimeletewa zawadi na rafiki yako wa Kiarabu tuliekea nae Unguja.
Mimi; Acha utani, sema unataka nini ntaka kurudi ndani.
Jini 1; Arsis anakwambia hata saa ngapi ukirudi uende kule mnakokutana, anataka kuongea na wewe kule.
Mimi; Poa.
Jini 1: Na mimi nitakuja ofiusini kwako kabla hujaenda kwa Arsis, kuna vitu kanambia nimalize mimi tu kukuelezea.
Mimi; Poa, huku nikawa narudi ndani, kweli nikakuta Dokta ndio anamalizia malizia maji yake ya dawa Sijakaa sana akayamaliza.

Mzee Ali; Sasa nenda na huyo mwenzaki uani huko, ukisikia kutapika utatapika kwenye hio ndoo tupu, huyo anajua cha kufanya atakuelekeza.

Wakatoka Dokta na mkewe.

Mzee Ali; Mmeona jamani kazi zetu, hizi ndio zimenitoa kwetu Kojani kunileta mjini huku, matatizo ya majini ni mengi sana.

baba yeye kakaa kimya tu, hua hapoendi kuongelea vitu asivyoivijua au akiwa na mtazamao tofauti, yaani kwa ufupi haendi kubishana kabisa. Mimi nikawa naguna kuashiria kumsikiliza.

Mzee Ali; Sasa hiviu yyule ataanza kutapika uchawi aliomezeshwa. mimi sifahamu kitatoka nini, watu wengine wanatoka mpoka vyura tumboni.

Mimi: dah, hatari.

Mzee Ali: Si ndogo, si umeina mijini ilivyokua inakuja ile, kama sina kinga za kikwetu saa hizi patashika nguo kuchanika, ndio maana siku hizi tunawalisha zile skin taiti wakija kina mama. Bila vile kuna sinema hapa si mchezo. Nyie mmekuta huyu Dokta hivyo vojini vyake vya siku nyingi ndio maana hakua na piroka ypoypote, lakini kuna wale wa kusukumiwa halafu wanajua wanataka kutolewa, inakua earangati humu si la kawaida, wengi tunaita vijana wenye nguvu zao wawafunge kamba.

Mimi; Sasa mnajuaje kama huyo atakua na fujo na huyu hana?
Mzee Ali; uzoefu wa kazi kijana, mimi hii kazi ya ukoo na nimefundishwa na wazee wangu na majini wenyewe wanaonisaidia hizi kazi. Mika mingi sasa, toka mimi mdogo ndio mambo nayoyaona haya.

Haijapita muda yule mkewe wakarudi na ndoo zote mbili ile yenye maji kwanza ilikua imebaki kama nusu na ile tupiu ikawa na maji kiasi hivi.

Mkewe: Nimemwabia Dokta akakoge atulizane, maana anaonesha kachoka sana.
Mzee Ali; haya akimaliza aje kuona mwenyewe kinachoendelea, kazi iliobaki ndogo, huvixhma tu hayo mauchawi aliyatoa. Umelete basi.
Mkewe akatoka kaacha zile ndoo hapo pembeni.
Mzee Ali tazameni tu muone kuna nini?

Mie nikanyuka nikatazama mzee akasema inatosha nikiona mimi tu, yeye hakunyanyuka.
Mimi: naona kama kuna megu mbegu sijui za nini hizi? Na naona kama kiuna hirizi tatu, mboili nyeusi moja nyekundu.

Mzee Ali: hakuna vichupa humo? Au karatasi za tarasimu?
Mimi hakuna ziko hizo tena sijui kama ni herizi hizi au nini?

mzee akanyanyuka akatazama ndani ya ndoo.

Mzee Ali ; hizi sio herizi za kibinadamu, hizi herizi za kijini, itambaa tu hivi vimepigwa fundo, kila tangi hapo na jini wake, itakua majini yanamgoimbani ahuyu, kila mmoja awe ndio kiti chake yeye hapo.
Mara wakarudi, hapoi ndio nikamuona Dokta vizuri, maana alikua amevua lile dira na skin taiti, alikua amevaa abaya zile za ghali inaonesha, na kishakoga yupo fresh. Uong mbaya alikua bomba haswa na ana mzuto fulani na ile rangi yake, Mie moyo paa. Nikamlaani shetani pale.

Mzee Ali; Dokta tazama madude yaliotoka hayo ywambiw unaytajua?
Dokta; siiyajui.
Mzee Ali: sasa hapo tumetoa vifungo vua kijini, bila hivyo kutoka jini haondoki. haimaanishi kama majini wametoka , hawapo kwa saas lakini wanaweza kuingi an kutoka musa wowote mpaka tuwatoe kabisa. Hao kazi ya kuwatoa atakwambia Sheikh... ka leo tumemaliza iliobaki kazi yangu nitaifanyia mwenyewe hapo uani ya kutekeza hivi vifungo.
Dokta; Na hizi mbegu za nini? nazi nimeitapika mimi?
Mzee Ali; Vyote hivyo ndio vifungo vyenyewe, unaweza kukta jiniwa mbegu mwingine, jini wa hizo mwingine, lakini mimi najua hivyo vifundo vyeusi na vyekundu majini ya Kingazja hayo ya koo tpofauti, hayao yanashindana. Yalikua yanakiushndania, sasa inawezekana hizo mbegu vimbomu vyao wanavyopigania au vofungo, lakini nitapata habari zake nitakujulisha kesho kwa simu. Haya Dokta tumealiza kwa leo. Jamani tumemaliza, hio kazi ya leo imeishia hapo, kama mna swali lolote naagana na Dokta nje hapo.

Na mimi na mzee tukatoka, tukakawacha wenyewe waongee kwa mbali huko walipomaliza tukaagana na Mzee Ali tukabadilishan namba. Tukaelekea kwenye gari yetu, tukakutana na dokta na yeye kile kigari kweli kilikua chake.

Mimi: Dokta nimefurahi kukujua.
Dokta: Jinsi nilivyokua taabani hata hii gari naona tabu kuendesha. Nyie mnaendea wapi?
Mimi: Sisi sipo mbali hapa Ilala tu.
Dokta: Mimi nakaa Upanga, hivi hapo Ilala siwezi kupata chakula maana sijala kiti kabisa leo, aliponambia kuna kutapishana sikula kuanzia asubuhi.
Baba: Yupo Barafaa Ilala, chpsi kuku, pzuri kama huwezi kuendesha wacha Simba aendeshe mpaka hapo mimi tutakutana hapo, hata mimi mmenitamanisha kuku wa barafaa. Haya nneda simba kamuwndeshe Dokta. Nikacheka.

Nikashuka Dokta akshuka akakaa kwa abiria, nikaanz akundesha, mimi kimya.
Dokta; Nyinyi mnakaa Ilala na nyinyi mmekuja kwa shida zenu kw Mzzee Ali?
Mimi: Hapana, mimi najuana na Sheikh...wa Unguja ndio kanambia nije kumjua Mzee Ali na nione kazi anazofanya, imekua na wewe ndio upo hapo.


Tukafika kwa Barafaa, ile kuweka gari, barafaa kuniona.
Barfaa; Simba kama kawaida yako, nikamwabia hapan aleo nimekuletea mgeni, Dokta unachukua au unakula hapahapa?
Dokta: Bora nile hapahapa kama utanisubiria nile.
Mimi;l Poa haya twende tukakae palee, naona Mzee kishaingia itabidi anisubiri.


Nikaenda kwenye gari ya mzee nikamwambia akasema sisi tuchukulie nyumbani huyo Dokta akikataa kuendesha mxhukulie teksi wewe noo na gari yake nyumbani titampa mtu ampelekee. Mimi ukija nyumnai nichukulie iule order yetu ya kawaida. Akamuaga Dokta kwa mabli, akaondoka zake.

Mimi: Barafaa ile kawaida yangu ya kuchukua nifungie na pale tupe nusu mbili na chpsi na juisi kwa wingi, jagi moja na glasi.

Barafaa: Poa Simba, umeongeza mke? Au uko njiani?
Mimi; IshaaAllah iwe dua ya heri.

Tukala pale na dokta nikam zee alivyosema, dokta akasema hajisikii vizuri, labda kwa yale maji madawa aliopewa, lakini amaekula vizuri atapata nguvu na juisi ile akaipenda ya Barafaa, akatiliwa kwenye chupoa za takeaway, nikamchukulia taxi tukabadilishana namba nikamwabia sasa hivi kuna kijana atamepelekea gari yake, atampigia amuelkeze wapi. Dokta akasema hakuna shida akaondoka na mimi nikaondoka nazigo nikulitegemea. Nikakuta mzee kishawambia kuna kuku chipsi nakuja nazo, nikakuta nyumbani wanazingoja kwa hamu. Nikawawachia pale nikaenda na mimi kukoga kubadili kujipumzisha kidogo niende kwa arsis. Nikakumbiuka Jini1 alisema anata aongee na mimi.

Nikaingia ofisini kwangu ili niongee nae.
Simba.

...5.5
 
ionjo vya Arsis 5 -4

nilivyokutanishwa na majini ya Kingazija (Comoros) na Kipemba Kojani.


maji yakunywa yakaletwa, bahati yule alietumwa ka;eta chupa sita kwenye plasiti zake.

Mzee; Fungua basi hilo fungashio, wape watu maji na mie nipe chupa moja.

Tukapewa maji wote akasema.

Mzee Ali; Dokta kunywa basi nusu hio moja nataka hayo yako ya kunywa niyatie dawa, tumaliza kazi ya leo.
Dokta: hata siwezi kuyanwa haraka haraka.

Mzee Ali; yapunguze humo kwenye ndoo ya maji.

Mke wa Mzee; Ngoja, nyie watoto leteni gilasi safi, usiyamwage bure Dokta.

Mara yule binti walikua wamekaa nje ya mlango kwa uani, akaleta gilasi.

Mzee Ali akasema hayq lete hio gilasi hapa akaiweka mbele wake akatoa kama unga unga una vijani vijani hivi vimekauka akatia kwenye gilasi kama robo gilasi akmwambia haya lete hio chupa yako uliokwisha fungua. Akaichukua akaijaza yale maji, lile vumbi la maji na vile vijani kama vingine vikapanda juu vingine vikaenea kwenye gilasi.


Mzee Ali; Dokta kunywa kidogo kidogo kwa spidi yako, ukinywa kidogo ongeza maji, hii noiliokutilia kipimo chake maji chupa moja utaiona nzito lakini usiiogope haina ladha yoyote utaona harufu ya majani tu. Dokta akaanza kuinywa kidogo anaongeza maji aksma..

Haya maji si tunaweza kuchanganya kwenye hii chupa maana naona nzito sana.
Mzee Ali: unaweza Dokta, tia humo ongeza maji mengine kwenye gilasi mpka aitapofikia, kunywa kwa raha zako, nradi umalize hayo maji ya lita moja.

Dokta akawa anakunywa taratibu sana, mimi naona Dah hii lita moja huyu Dokta itamchukua saa nzima kuimaliza.

Mimi: Naomba nikasikilize simu kidogo nje, Mzee naomba funguo za gari.
Mzee Ali, anamaliza sasa hivi huyu.
Mimi; Sikawii kabisa.

Nikachukua funguo za gari nikaenda kwenye gari kutazama kweli kuna simu zilipigwa. Nikapiga nisioijua namba. Kupokelewa kwanza ile sauti naijua, lakini kichwa kinanambia haiwezekani.
Mimi: Nani mwenzangu?
Jini1: Wewe kila siku tunaongea leo umesahau sauti yangu?
Mimi: Huu utani au vipi, toka lini tukaongea na simu?
Jini1; Sasa si nimekuhitaji mkuu na wewe uko kwenye vilinge vya uganga, ningekujaje hapo bila idhini yako?
Mimi: Hii kali hii?
Jini 1: Sasa mkuu, ikiw naweza kuja tunakua pamoja, nishindwe kuongea na simu. Tena na simu mpya hata wewe hauna hio. Nimeletewa zawadi na rafiki yako wa Kiarabu tuliekea nae Unguja.
Mimi; Acha utani, sema unataka nini ntaka kurudi ndani.
Jini 1; Arsis anakwambia hata saa ngapi ukirudi uende kule mnakokutana, anataka kuongea na wewe kule.
Mimi; Poa.
Jini 1: Na mimi nitakuja ofiusini kwako kabla hujaenda kwa Arsis, kuna vitu kanambia nimalize mimi tu kukuelezea.
Mimi; Poa, huku nikawa narudi ndani, kweli nikakuta Dokta ndio anamalizia malizia maji yake ya dawa Sijakaa sana akayamaliza.

Mzee Ali; Sasa nenda na huyo mwenzaki uani huko, ukisikia kutapika utatapika kwenye hio ndoo tupu, huyo anajua cha kufanya atakuelekeza.

Wakatoka Dokta na mkewe.

Mzee Ali; Mmeona jamani kazi zetu, hizi ndio zimenitoa kwetu Kojani kunileta mjini huku, matatizo ya majini ni mengi sana.

baba yeye kakaa kimya tu, hua hapoendi kuongelea vitu asivyoivijua au akiwa na mtazamao tofauti, yaani kwa ufupi haendi kubishana kabisa. Mimi nikawa naguna kuashiria kumsikiliza.

Mzee Ali; Sasa hiviu yyule ataanza kutapika uchawi aliomezeshwa. mimi sifahamu kitatoka nini, watu wengine wanatoka mpoka vyura tumboni.

Mimi: dah, hatari.

Mzee Ali: Si ndogo, si umeina mijini ilivyokua inakuja ile, kama sina kinga za kikwetu saa hizi patashika nguo kuchanika, ndio maana siku hizi tunawalisha zile skin taiti wakija kina mama. Bila vile kuna sinema hapa si mchezo. Nyie mmekuta huyu Dokta hivyo vojini vyake vya siku nyingi ndio maana hakua na piroka ypoypote, lakini kuna wale wa kusukumiwa halafu wanajua wanataka kutolewa, inakua earangati humu si la kawaida, wengi tunaita vijana wenye nguvu zao wawafunge kamba.

Mimi; Sasa mnajuaje kama huyo atakua na fujo na huyu hana?
Mzee Ali; uzoefu wa kazi kijana, mimi hii kazi ya ukoo na nimefundishwa na wazee wangu na majini wenyewe wanaonisaidia hizi kazi. Mika mingi sasa, toka mimi mdogo ndio mambo nayoyaona haya.

Haijapita muda yule mkewe wakarudi na ndoo zote mbili ile yenye maji kwanza ilikua imebaki kama nusu na ile tupiu ikawa na maji kiasi hivi.

Mkewe: Nimemwabia Dokta akakoge atulizane, maana anaonesha kachoka sana.
Mzee Ali; haya akimaliza aje kuona mwenyewe kinachoendelea, kazi iliobaki ndogo, huvixhma tu hayo mauchawi aliyatoa. Umelete basi.
Mkewe akatoka kaacha zile ndoo hapo pembeni.
Mzee Ali tazameni tu muone kuna nini?

Mie nikanyuka nikatazama mzee akasema inatosha nikiona mimi tu, yeye hakunyanyuka.
Mimi: naona kama kuna megu mbegu sijui za nini hizi? Na naona kama kiuna hirizi tatu, mboili nyeusi moja nyekundu.

Mzee Ali: hakuna vichupa humo? Au karatasi za tarasimu?
Mimi hakuna ziko hizo tena sijui kama ni herizi hizi au nini?

mzee akanyanyuka akatazama ndani ya ndoo.

Mzee Ali ; hizi sio herizi za kibinadamu, hizi herizi za kijini, itambaa tu hivi vimepigwa fundo, kila tangi hapo na jini wake, itakua majini yanamgoimbani ahuyu, kila mmoja awe ndio kiti chake yeye hapo.
Mara wakarudi, hapoi ndio nikamuona Dokta vizuri, maana alikua amevua lile dira na skin taiti, alikua amevaa abaya zile za ghali inaonesha, na kishakoga yupo fresh. Uong mbaya alikua bomba haswa na ana mzuto fulani na ile rangi yake, Mie moyo paa. Nikamlaani shetani pale.

Mzee Ali; Dokta tazama madude yaliotoka hayo ywambiw unaytajua?
Dokta; siiyajui.
Mzee Ali: sasa hapo tumetoa vifungo vua kijini, bila hivyo kutoka jini haondoki. haimaanishi kama majini wametoka , hawapo kwa saas lakini wanaweza kuingi an kutoka musa wowote mpaka tuwatoe kabisa. Hao kazi ya kuwatoa atakwambia Sheikh... ka leo tumemaliza iliobaki kazi yangu nitaifanyia mwenyewe hapo uani ya kutekeza hivi vifungo.
Dokta; Na hizi mbegu za nini? nazi nimeitapika mimi?
Mzee Ali; Vyote hivyo ndio vifungo vyenyewe, unaweza kukta jiniwa mbegu mwingine, jini wa hizo mwingine, lakini mimi najua hivyo vifundo vyeusi na vyekundu majini ya Kingazja hayo ya koo tpofauti, hayao yanashindana. Yalikua yanakiushndania, sasa inawezekana hizo mbegu vimbomu vyao wanavyopigania au vofungo, lakini nitapata habari zake nitakujulisha kesho kwa simu. Haya Dokta tumealiza kwa leo. Jamani tumemaliza, hio kazi ya leo imeishia hapo, kama mna swali lolote naagana na Dokta nje hapo.

Na mimi na mzee tukatoka, tukakawacha wenyewe waongee kwa mbali huko walipomaliza tukaagana na Mzee Ali tukabadilishan namba. Tukaelekea kwenye gari yetu, tukakutana na dokta na yeye kile kigari kweli kilikua chake.

Mimi: Dokta nimefurahi kukujua.
Dokta: Jinsi nilivyokua taabani hata hii gari naona tabu kuendesha. Nyie mnaendea wapi?
Mimi: Sisi sipo mbali hapa Ilala tu.
Dokta: Mimi nakaa Upanga, hivi hapo Ilala siwezi kupata chakula maana sijala kiti kabisa leo, aliponambia kuna kutapishana sikula kuanzia asubuhi.
Baba: Yupo Barafaa Ilala, chpsi kuku, pzuri kama huwezi kuendesha wacha Simba aendeshe mpaka hapo mimi tutakutana hapo, hata mimi mmenitamanisha kuku wa barafaa. Haya nneda simba kamuwndeshe Dokta. Nikacheka.

Nikashuka Dokta akshuka akakaa kwa abiria, nikaanz akundesha, mimi kimya.
Dokta; Nyinyi mnakaa Ilala na nyinyi mmekuja kwa shida zenu kw Mzzee Ali?
Mimi: Hapana, mimi najuana na Sheikh...wa Unguja ndio kanambia nije kumjua Mzee Ali na nione kazi anazofanya, imekua na wewe ndio upo hapo.


Tukafika kwa Barafaa, ile kuweka gari, barafaa kuniona.
Barfaa; Simba kama kawaida yako, nikamwabia hapan aleo nimekuletea mgeni, Dokta unachukua au unakula hapahapa?
Dokta: Bora nile hapahapa kama utanisubiria nile.
Mimi;l Poa haya twende tukakae palee, naona Mzee kishaingia itabidi anisubiri.


Nikaenda kwenye gari ya mzee nikamwambia akasema sisi tuchukulie nyumbani huyo Dokta akikataa kuendesha mxhukulie teksi wewe noo na gari yake nyumbani titampa mtu ampelekee. Mimi ukija nyumnai nichukulie iule order yetu ya kawaida. Akamuaga Dokta kwa mabli, akaondoka zake.

Mimi: Barafaa ile kawaida yangu ya kuchukua nifungie na pale tupe nusu mbili na chpsi na juisi kwa wingi, jagi moja na glasi.

Barafaa: Poa Simba, umeongeza mke? Au uko njiani?
Mimi; IshaaAllah iwe dua ya heri.

Tukala pale na dokta nikam zee alivyosema, dokta akasema hajisikii vizuri, labda kwa yale maji madawa aliopewa, lakini amaekula vizuri atapata nguvu na juisi ile akaipenda ya Barafaa, akatiliwa kwenye chupoa za takeaway, nikamchukulia taxi tukabadilishana namba nikamwabia sasa hivi kuna kijana atamepelekea gari yake, atampigia amuelkeze wapi. Dokta akasema hakuna shida akaondoka na mimi nikaondoka nazigo nikulitegemea. Nikakuta mzee kishawambia kuna kuku chipsi nakuja nazo, nikakuta nyumbani wanazingoja kwa hamu. Nikawawachia pale nikaenda na mimi kukoga kubadili kujipumzisha kidogo niende kwa arsis. Nikakumbiuka Jini1 alisema anata aongee na mimi.

Nikaingia ofisini kwangu ili niongee nae.
Simba.

...5.5
Hapo sasa si unatoboa siri za mwenye matatizo, watu si washajua Dokta gani huyo nwenye kigari hicho na aliolewa na madokta wawili?
. Huyo Mzee Ali si unampaisha kwa makusudi?
 
Jina tuu. Ila hiko kitabu ni kitabu Kitakatifu cha kiimani cha Wabantu.

Kwenye kdahalo wa Adam na Hawa ndio nikakikumbuka maana na chenyewe kina habari za Mungu na Uumbaji wa ardhi na Mbingu mpaka Binadamu wa kwanza.

Humo Adamu kaandikwa si kama Binadamu wa kwanza kuumbwa ila kama binadamu wa kwanza kumuasi Mungu. Binadamu wa kwanza kuumbwa kaelezewa huko hadi namna alivyoumbika kupitia vumbi la Mabara Saba.

Mi sio mwandish mzuri saana, jaribuni kukisaka maana ni kizuri sana na kina Miongozo mbalimbali ya namna yakuishi kiasili ya Ulimwengu huu. Na kina elimu nyingi zakutafakari.

Arsis Kuna mdau alikuuliza kutokana na maelezo yako ya namna hii dunia ilivyo kishape, Je wanaodanganya umbo lake wanataka kufaidika nini?
hakuna anefaidika na chohocte zaidi ya elimu kihitilafiana. Labda Arsis akija atueleze fikra zake, siwahi kumuuliza hilo.
Simba.
 
Naomba uzingatie hili swali

Yule farao pale misri ni mwenyew au wa kuchongwa maana kwa miaka uliyoishi hapa duniani naamini zama zake ulikuwepo
Arsis alishawahi kuandika humu kaihshi na Ramses na Barsis, katika Mafarao. Pia aliwahi kusema mafarao wapo wengi soio mmoja na wapo kwa miaka mingi sana sio kama tunavyoambia sasa mia elfu 3 au nne au tano.

Arsis alienda mbali na kusema hata wanaedai ni Mariam mwana Yesu na kikagtika koo za Kifarao, jina lake ni ni Meritaton kwa kifarao.
Simba.
 
Hapo sasa si unatoboa siri za mwenye matatizo, watu si washajua Dokta gani huyo nwenye kigari hicho na aliolewa na madokta wawili?
. Huyo Mzee Ali si unampaisha kwa makusudi?


Ni moiaka mingi sana nyuma, "mficha maradhi kifo humuumbua".

Mzee Ali hata sifahamu kama bado mpaka sasa yupo Buguruni, sina sababu ya kumpigia debe. Wajinga ndio waliwao.
Simba.
 
Elimu niliopewa mimi ni kua chochote kama hakijakatazwa kwenye Qur'an na serikali ya unapoishi unaruhusiwa kukifanya.

Kuhusu majini imekatazwa kuwaabudu kwenye Qur'an.

Kumbuka pia majini kwenye Qur'an wametajwa kama kikundi cha watu ambao kwa sasa tunawaita "wasioonekana", ki lugha Jini ni neno linalotokana na Jan au kutokuonekana (wasioonekana). Nimetoa mfano mara kadhaa huko nyuma, "ki lugha" hata sisi hapa JF ni majini kwa kutokuonekana kwetu.

Soma hizi aya mbili za Qur'an, tarajama ya Ali Muhsin Barwani, nadhani zipo wazi kabisa, zipo kwenye Sabaa Q34; 40-41.

40.
Na siku atakayo wakusanya wote, kisha atawaambia Malaika: Je!Hawa walikuwa wakikuabuduni?40
41. Waseme: Subhanak, Umetakasika. Wewe ndiye kipenzi chetu si hao.Bali wao walikuwa wakiwaabudu majini; wengi wao wakiwaamini hao.41

Elimu niliopewa mimi ni kua chochote kama hakijakatazwa kwenye Qur'an na serikali ya unapoishi unaruhusiwa kukifanya.

Kuhusu majini imekatazwa kuwaabudu kwenye Qur'an.

Kumbuka pia majini kwenye Qur'an wametajwa kama kikundi cha watu ambao kwa sasa tunawaita "wasioonekana", ki lugha Jini ni neno linalotokana na Jan au kutokuonekana (wasioonekana). Nimetoa mfano mara kadhaa huko nyuma, "ki lugha" hata sisi hapa JF ni majini kwa kutokuonekana kwetu.

Soma hizi aya mbili za Qur'an, tarajama ya Ali Muhsin Barwani, nadhani zipo wazi kabisa, zipo kwenye Sabaa Q34; 40-41.

40.
Na siku atakayo wakusanya wote, kisha atawaambia Malaika: Je!Hawa walikuwa wakikuabuduni?40
41. Waseme: Subhanak, Umetakasika. Wewe ndiye kipenzi chetu si hao.Bali wao walikuwa wakiwaabudu majini; wengi wao wakiwaamini hao.41
Simba.
Mkuu swali jepesi sana hilo acha kupoteza muda ! Lina majibu mawili tu kabla ya ufafanuzi wowote! Ni aidha ndiyo imeruhusiwa ama hapana haijaruhusiwa . Muuliza swali hakuhitaji tafsiri ya kilugha na hii ni kulingana na jukwaa! Hatuko hapa kujifunza isimu. Muulizaji alitaka tafsiri ya kimaana.
 
Ipo very clear hio aya. Mkitaka ufafanuzi wake zaidi, wacha nimalize kumpigia type Arsis na kisa chake cha Adam , kaahidi atakuja kutoa somo la majini kutokana na Qur'an na uelewa wake. Anasema ni somo zuri sana kwa watu wote bila kujali dini zao. Ni kinyume kabisa na watu wanavyofikiria.

Nakumbusha tu, msikirie Jini ni kiumbe wa ajabu, sijui mafunzo hayo Waislam wanayatoa wapi, mbona mara nyingi tunasema majini kilugha ya Kiarabu na ilivyotumika sehemu zingine za Qur'an ni sisi watu. Arsis atakuja kuchambua, mtaalamu wa somo hilo.

Mimi nimejibu swali aliloulizwa mwengine kwa kua ni jukwaa la wazi na nikaona a;ieulizwa anapiga piga chenga n ahio aya ipo wazi. Kuwaabbudu haifai kabisa.
Ngoja nilete fujo kidogo ! sisi tusiokuwa na elimu ya dini ya kiislamu tunaielewa dini yetu kupitia fahamu za wema waliotangulia ie maswahaba, tabi, tabitabiin nk, kuhusu itikadi nyingi zilizopo hilo sio mada yetu kwa vile mtume aliliweka wazi. Abuu Dawud anasimulia kuwa alimsikia mtume akisema; 'wasomi aka wanazuoni ndio warithi wa mtume', hii inatupa nguvu sisi ya kuielewa dini kupitia fahamu za hawa wanazuoni.

Binafsi nataka kufahamu ndugu yetu Arsis yeye anataka kutufundisha kuielewa qur an hususan kwenye kisa cha mzee Adam kupitia ufahamu wa nani? au anataka tumuongeze kwenye kundi la hawa wema waliotangulia ingawaje yeye bado yupo hai? nataka Arsis atuambie amejifunza dini ya kiislamu kwa nani ili awaondolee mashaka wote wanaohisi ubatili wa mafundisho yake.

Mwambie Arsis hapa watu wanahitaji literal meaning pekee, tafsiri za kilugha haziwezi kuwa changamoto kwahio awache kupoteza muda.
 
Wana JF wamenishauri niombe msamaha, mimi nani nikatae? Ikiwa Allah anatusamehe makosa yote kasoro kushikisha?

Nisamehe sana kwa kosa lolote nililokufanyia, mimi ni Adam bin Adam, kuna makosa mengi nayafanya bila kujijua. Ni imani yangu kua utanisamehe bila masharti.

Kwa upande wako, nakuhahakishia sijaona kosa lolote ulilonifanyia.
Simba.
Ujumbe niliupata hujanikosea,wala sijakasirika kisa kumwambia kaka yangu hana elimu sababu iko hivyo hao ma Sheikh na wanasengenyana wanakashfiana kila mmoja anajiona bora hivyo sijakasirika sababu hio,nilikwazikasikupenda wewe kuanza kashfa sijui sauti yake kama ina mafua na nilikuambia ana sinusitis alisha fanyiwa oparesheni,hata hivyo mie sio mtu wa kukasirika kununa haswa muda mrefu ndo maana mume wangu anipenda 😁hunisifia sijui kununa dakika 5 nishasahau hivyo usijali sina kifundo niko poa nilikuamua tu kuendelea na nyuzi zingine ili tusije kugombana kukashfiana sababu niliupenda huu uzi kwenye visa vyako toka kwa babu Kamba🍤 ilipo ingizwa maswali na majibu kadri siku zilivyo enda hamu ya uzi huu ikapotea na kuja kusoma visa vya koo za Simba nikachoka kabisa 🙉ila pamoja sana.
 
Arsis alishawahi kuandika humu kaihshi na Ramses na Barsis, katika Mafarao. Pia aliwahi kusema mafarao wapo wengi soio mmoja na wapo kwa miaka mingi sana sio kama tunavyoambia sasa mia elfu 3 au nne au tano.

Arsis alienda mbali na kusema hata wanaedai ni Mariam mwana Yesu na kikagtika koo za Kifarao, jina lake ni ni Meritaton kwa kifarao.
Simba.
Sawa ila nataka kujua sasa yule farao wa pale makumbusho misri ni mwenyew au wakuchongwa?????
 
Mi namuuliza Arsis. Anakijua Kitabu cha ZUGRIL ZAGALO (Nguvu iliyodumu katika Jadi) ?
Sikijui, mimi naona hio ni habari mpya sana sana sio ya zamani kabisa.

Vitabu vya zamani vya Africa ni pamoja na cha Yahya, kaka yake Yesu na mtoto wa Mariam au wanakiita Sabai kedush. Wamebadili sasa wanaita Meshafa Kedush.

maandiko yote ya zamani sana ya Misri ni ya Afrika.

Zagalo Kiarabu ni Zaghloul, huyu unampata katika hadithi za kutunga za zamani za mesopotamia za Harun Rashid. Wuyo Zaghloiul nfio huyo Kiswahili wametfasiri Abunuwas.

Soma kuhusu maktaba ya zamani ya Timbuktu, utapata vitabu vingi sana. Halafu Waafrika wajinga sana, wanawawachia wazungu eti ndio wafanye tafiti na uhifadhi wa hio maktaba ya zamani sana. Wanafikiri kitabaki kitabu cha maana? Hali kadhalika kwa Maktaba ya Fatma AlFikhri.

Sina elimu na hio kitabu.
Arsis.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom