Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

nzaghamba naona na wewe umepigwa na mshangao.

Usishangae, Arsis ana kichwa kinafikiria tofauti na sisi. Hujaliona hilo katika kumsoma hapa?
Simba.
Yap nililiona mapema sana ukimsoma btn the lines namfananisha na mwalimu anayefundisha kwa mfumo wa kuulizia maswali
 
Si kila ninachokifanya kipo kwenye Qur'an, ambacho hakipo ni hakipo tu, silazimishi kiwepo.
Najitahidi sana kutofanya yote ambayo yamekatazwa na Qur'an, sijaona kama sala ya kusalia maiti imekatazwa au wewe umeona imekatazwa kwenye Qur'an?

Unayo aya ya au aya za Qur'an zinazosema Adam ni mtu wa kwanza kuumbwa au hauna?
Hawa umemtoa wapi?
Simba.
Umeona sasa!, kwahiyo umekiri kuwa sio kila jambo unalolifanya lipo kwenye quran
Ikiwa hivyo ndivyo nimebaini yafuatayo kwenye maelezo yako.

1. Ulikuwa unaswalia maiti bila kuwa na ushahidi wowote kwa kuiga tu wazazi wako.
2. Baadae ukawa unaswalia maiti kwa kusoma kwa muhadithun.

Sasa nisome vizuri hapa..., Ikiwa uliweza kufanya jambo kubwa la ibada ya kumswalia maiti pasina uthibitisho wa quran na pasina uthibitisho kutoka kwa muhadithun vipi unapinga Suala la Adamu ambalo katajwa kwenye quran na wanazuoni wakubwa wenye heshima kubwa katika dini kama Ibn Kathir (Ismail ibn Umar ibn Kathir) katika fasiri yake ya quran na Ibn al-Jawzi katika kitabu chake cha "Al-Muntaẓam fi Tārīkh al-Mulūk wa al-Umam" - Kitabu cha historia ambacho kinaeleza maisha ya Mitume pamoja na historia ya Adam. Wametaja kuwa Adamu ndio mwanadamu wa kwanza kuumbwa.
Sasa nijibu maswali yangu
1. Ni kipimo gani ulitumia kuikubali sala ya maiti na haijaelezwa katika quran na ni kipimo gani umetumia kukataa kuwa Adamu sio mwanadamu wa kwanza na kaelezwa kwenye quran?
2. Ikiwa sala ya maiti umeijua kupitia muhadithun kama ulivyosema na sio qur an kwanini suala la Adamu unataka kulijua kupitia Quran na sio Muhadithuni?
 
Umeona sasa!, kwahiyo umekiri kuwa sio kila jambo unalolifanya lipo kwenye quran
Ikiwa hivyo ndivyo nimebaini yafuatayo kwenye maelezo yako.

1. Ulikuwa unaswalia maiti bila kuwa na ushahidi wowote kwa kuiga tu wazazi wako.
2. Baadae ukawa unaswalia maiti kwa kusoma kwa muhadithun.

Sasa nisome vizuri hapa..., Ikiwa uliweza kufanya jambo kubwa la ibada ya kumswalia maiti pasina uthibitisho wa quran na pasina uthibitisho kutoka kwa muhadithun vipi unapinga Suala la Adamu ambalo katajwa kwenye quran na wanazuoni wakubwa wenye heshima kubwa katika dini kama Ibn Kathir (Ismail ibn Umar ibn Kathir) katika fasiri yake ya quran na Ibn al-Jawzi katika kitabu chake cha "Al-Muntaẓam fi Tārīkh al-Mulūk wa al-Umam" - Kitabu cha historia ambacho kinaeleza maisha ya Mitume pamoja na historia ya Adam. Wametaja kuwa Adamu ndio mwanadamu wa kwanza kuumbwa.
Sasa nijibu maswali yangu
1. Ni kipimo gani ulitumia kuikubali sala ya maiti na haijaelezwa katika quran na ni kipimo gani umetumia kukataa kuwa Adamu sio mwanadamu wa kwanza na kaelezwa kwenye quran?
2. Ikiwa sala ya maiti umeijua kupitia muhadithun kama ulivyosema na sio qur an kwanini suala la Adamu unataka kulijua kupitia Quran na sio Muhadithuni?
Asipokujibu hapa asikupotezee mda wenye hekima zetu tunaelewa


Tufuatilie mada ya arsis tuone atatufikisha wapi
 
Bwana Arsis kuna kitu nimekiona kwako ambacho si kizuri katika kutafuta elimu,,unaleta ubishi badala ya kusikiliza na kisha upime kile unachoambiwa

Bwana Lidafo alikuwa anakuuliza kuhusu kuswali swala ya jeneza / Maiti,msingi wa hoja yake,je kwenye qur'an limeelezwa hilo? Jibu ni hapana je kwanini watu wanaswalia maiti wametoa wapi hayo?

Unaanza kukimbia kwa kujua kwamba tutakuja kule kule kwenye hoja yetu ya msingi,kuswali maiti kumeelezwa na Mtume,kwahiyo hata adam kuwa mwanadamu wa kwanza qur'an haijaweka wazi lkn kupitia ulimi wa Mtume Muhammad (s.a.w) ametufahamisha hivyo

Sasa kama kila kitu ambacho hakipo katika qur'an hukikubali,je hizo swala tano unaswali za nini wakati qur'an haijaelekeza namna ya kuziswali? Je unaswali swala ya jeneza ya nini wakati qur'an haijaeleza na listi itakuwa nyingi hapo

Yeyote mwenye akili huru na timamu atakubaliana na hoja zetu juu ya kuwa adam ni mwanadamu wa kwanza.

Nimechangia hili kwasababu naona unakwepa hoja za Lidafo kitoto kabisa

Mwambie Arsis aendelee na mada yake
Mkuu asante kwa kumuelewesha kwa kutumia lugha rahisi nkabisa Mimi nilikuwa nadhani labda lugha ninayotumia ni ngumu ndio maana haelewi.
Bwana Simba kubali kuwa katika historia ya uislamu zunguka utakavyozunguka Adamu katajwa kuwa mwandamu wa kwanza, Kama una hoja za kutaka kuichallenge quran na maneno ya wanazuoni ziweke si vibaya kufanya hivyo lakini ubishi usio na msingi hautasaidia badala ya kujaza server za JF kwa mambo yasiyo namsingi mwambie Arsis aendelee na darsa kwenye swali na hoja za kuchallenge maneno yake ataulizwa.
 
Kama kweli yupo basi nilishawahi muota enzi napata balehe yangu ya kwanza.

Niliota nampelekea moto mwanamke mzuri wa kizungu nilipiga bonge la Bao.

Na ndio nikajua kwamba nimeshabalehe.
Arsis muulize kuhusu Ummu Subiyan nasikia ana jinsia 2 me na ke na huyu ndo vijana humuota waki baleghe anawafanyisha mapenzi embu bwana Arsis atoe elimu kuhusu hilo.
 
Elimu niliopewa mimi ni kua chochote kama hakijakatazwa kwenye Qur'an na serikali ya unapoishi unaruhusiwa kukifanya.

Kuhusu majini imekatazwa kuwaabudu kwenye Qur'an.

Kumbuka pia majini kwenye Qur'an wametajwa kama kikundi cha watu ambao kwa sasa tunawaita "wasioonekana", ki lugha Jini ni neno linalotokana na Jan au kutokuonekana (wasioonekana). Nimetoa mfano mara kadhaa huko nyuma, "ki lugha" hata sisi hapa JF ni majini kwa kutokuonekana kwetu.

Soma hizi aya mbili za Qur'an, tarajama ya Ali Muhsin Barwani, nadhani zipo wazi kabisa, zipo kwenye Sabaa Q34; 40-41.

40.
Na siku atakayo wakusanya wote, kisha atawaambia Malaika: Je!Hawa walikuwa wakikuabuduni?40
41. Waseme: Subhanak, Umetakasika. Wewe ndiye kipenzi chetu si hao.Bali wao walikuwa wakiwaabudu majini; wengi wao wakiwaamini hao.41
Simba.
Kwaiyo mkuu hapo inaonesha imekataza kuwaabudu na kuwaamini si ndio?
 
Sorry, Uislamu wote kwangu sio dini sahihi, ni ushirikina mtupu, mmejiunganisha sana na majini kwenye mambo yenu mpaka nashindwa kuiona nguvu ya Mungu na uwezo wake kwenye kutatua shida zenu.

Matatizo yenu mengi mnatatuliwa na majini, huku jina la Mungu mkilitaja juu juu tu ili ionekane mnamuamini, nashangaa nikimsoma huyu mleta story kuna mahali mpaka inaonekana Quran inashindwa kuondoa majini kwa wagonjwa, ila jini la mgonjwa linaondolewa na jini lingine {refer. mwanamke aliyetolewa jini na jini la mleta story Shinyanga}, sasa nyie msaada wenu mnaupata kwa Mungu au majini?!

Hii story nawaambia ukweli, imekuja kuivua nguo kabisa dini yenu, na kitabu chenu, na ndio maana nikimsoma faiza foxy kwenye hii story anaonekana kuipotezea, kama kukipuuza kile mleta mada anachoandika, ni kwasababu ameshaona dini yake anayoipigania humu kila siku, ina muunganiko wa moja kwa moja na majini, anaona aibu anajaribu kuificha, lakini haifichiki!.

Pesa za jamii ya waarabu wengi ni kwa msaada wa majini, sio Mungu, kufanikiwa kwenye mambo mengine kama safarini ni kwa ulinzi wa majini, sio Mungu, wengine wenu mnayafuga majini ndani, mimi nitashangaa sana kama siku ikifika nikamuona muislamu yeyote wa hii dunia ameurithi ufalme wa Mungu, unless muwe na hiyo pepo yenu wenyewe ya mabikra 72!, lakini sio yule Mungu wa rohoni ninae mwabudu mimi na kumtumikia, kwa jina la Yesu Kristu wa Nazareth.
NAKAZIA
 
Shusha vitu mkuu mimi naamini quran ni kitabu cha mwenyezi Mungu pia.
ASILI YA MAJINI -- 1
Katika mada hii tutaanza kuangalia asili ya hawa viumbe kwa mujibu wa Quran na hadithi.
Majini ni Viumbe walioumbwa na ALLAH, Viumbe hivyo vimeumbwa kwa mwale wa moto kama quran inavyosema katika Sura Al-Hijr (15:27)

وَالْجَانَّ خَلَقْنَاهُ مِن قَبْلُ مِن نَّارِ السَّمُومِ - "And the jinn we created before from smokeless fire"
Tafsiri '' Na majini tuliwaumba kabla kutokana na moto''
Aya hii inaonesha kuwa majini wameumbwa kutokana na moto na hapa nikuelezee kidogo ikiwa majini wameumbwa kutokana na moto na tunajua kuwa moto unatoa joto ambalo ni form of energy ukirudi katika sayansi utaona kuwa Energy can be transform from one form to another kama ilivyo katika law of conversation of energy ilivyo elezwa na Robert mayor mwaka 1842 hivyo basi ikiwa jini kaumbwa na moto na moto unatupa form of energy ambayo ni Thermal energy na energy hii inaweza kubadilika kutoka form moja kwenda nyingine ndio maana Majini wanaweza kubadilika katika namna tofauti.
Lakini pia aya hii inatupa jibu kuwa ndio maana hatuwezi kuwaona majini katika umbo lao kwani wakiwa katika umbo lao wanakuwa kama form of energy ambao huwezi kuwagusa au kuwaona bali unaweza kuhisi uwepo wao kama vile ambavyo huwezi kuligusa joto ila unaweza kujua hapa kuna joto kupitia ngozi yako either utaungua au jasho litakutoka au mfano mwingine huwezi kugusa mwanga ambao tunasema ni light energy ila unaweza kuhisi mwanga kwa giza kuondoka au mwangaza kuongezeka.
Sasa swali linakuja ikiwa hatuwezi kuwagusa au kuwaona vipi baadhi ya watu wanasema mameona majini au wametokew na majini? Hapa jibu ni kuwa wamewaona katika umbo ambalo sio asili yao yaani jini amekuja katika form ya mwanadamu au mnyama au akajidhihisha kwa sauti tu.
Tuje katika hadithi Je hadithi za bwana mtume zinasemaje juu ya asili ya viumbe hivi. Nitarudi kuhusu hadithi za mtume
 
Vionjo vya Arsis 5 - 1

nilivyokutanishwa na majini ya Kingazija (Comoros) na Kipemba Kojani.

Baada ya kurudi kisa cha Unguja mengi sna yaliendelea lakini kw aufupi nilirudi kwenye maisha yangu kawaida ya kwenda kutengeza magarei na kushughulika na kiduka changa kidogo, kwa siku hizo, cha spare za umeme wa magari.

Tulipoondoka unguja, yule binti na mamake walikuja Dar na mamangu, ilifanywa siri kubwa kuondoka kwao na wakaja kwa ndege ya kukodisha na ndugu wengine ili waweze kujifich kuondoka kwao, kuepusha kujulikana kwani Unguja minong'ono ya kisa ilikua mingi.

Kwa ufupi yule mama nilikuata nae Dar na binti yake lakini hawajakaa sana Dar wakaondoka nchi za nje, walikua hawana kabisa hamu na Tanzania, bara wa Unguja. Mambo yaliwakumba si madogo.

Katika kua nao Dar, yule mama akanihadithia kua mwanamke aliemstua, alikua ni mke wa yule DSheikh wa Unguja tulikua nae siku ya kikao na wahalifu. Akanambia yule Shehe ndio tuna w))wasiliana na kamuomba namba zangiu za simu, nikampa. Tukawa na mimi tuna mawasiliano ya hapa na pale na yule Sheikh.

Siku moja akanambia kwenye simu, Simba, nafahamu ulikua kimya sana kwenye kikao cha siku ile ya hukumu pale nyumbani lakini mimi naelewa wewe ndio ulikua kiongozi wa yote yale ingawa u kijana mdogo sana. Nafahamu kwa pete yako ulioivaa, hio pete sio ya kawaida kabisa na wenyewe waliokipa hio pete wana nguvu kubwa sana. Natamani niwaelewe. Nimeshindwa mbinu zangu zote kuwafahamu.


Mimi; Unafikiria tu hivyo.

Sheikh, mimi nafahamu babu yako na namfahamu yule Sheikh wa Tanga mlikja nae tulikutana nae kwa babu yako tanga miaka si mingi sana nyuma. babu yako ndio mwenye hio pete, naona kakuachia mikoba.
Mimi; hapana, ana yake.
Sheikh: mimi nimeongea na babu yako juzi, kuna tatizo jingine kabisa limetukabili, akanambia niongee na wewe. Toka siku zile mnaondoka mimi nawasiliana na babu yako. Nilifikiri kakujulisha kua tunafahamiana.
Mimi: Nafahamu mnafahamiana, toka nilipokua Unguja.

Sheikh; Sikiliza Simba, kuna dada mmoja niDaktari wa binadam, huyu dada ni mgazija, na yupo huko huko Dar. lakini ana matatizo makubwa sana ya mambo yao ya majini ya Kingazija sijui ya hapa Unguja, maana huyo ameshaolewa mara mbili, zote na madaktari hukohuko dar, lakini zote kaachika, mmoja kazaa nae, mmoja hajawahi kuzaa nae.

Wazee wake walinifata hapa Unguja, ni watu maarufu sana, wakamleta hapa Unguja, tukamshugulikia sna, lakini hayo majini yanatulia anafanya mambo yake vizuri sema ayataki kabisa awe na mahusina na mwnamme. Binti wa Kiislam ana kisomo chake cha juu, ana mtoto wa kike mmoja anakua tena, lakini kawa mlevi, hatoki ma-klabu ya starehe huko na hata akija hapa. Wazee na ndugu zake sio watu wa hivyo kabisa, anawaibisha sana. Simba tunamsaidia vipi huyu ndugu yetu?
Mimi; Kwa jinsi unavyonieleza, huyu mkamate koo babu. Mimi siyajui kabisa mambo haya jamani. Mimi ni kama bendera, nasukumwa na upepo tu, unakovuma ndio huko huko.

Sheikh: sasa huo upepo umevumia kwa huyo binti Daktari, wacha ukupeleke utakavyo. babu yako kasema tuongee na wewe, anakijua hiki kisa chote.

Mimi: Sheikh mimi nakushauri huyo mchukueni tu mumpeleke kwa babu, mkimfikisha pale babu hachomoi, itabidi amshughulikie tu. Lakini mimi binafsi siyajui yote hayo.

Sheikh; Nimekuelewa sana Simba, wacha tuone tunafanya nini maana huyo binti ukimuona wala huwezi kujua mambo yake, anaishi vizuri tu anapoata kazi nzuri nzauri tu, lakini atishi maisha ya kihuni mpaka lini? Aliekua mumewe ni Daktari mkubwa sana na mwenye heshima sana Tanzania. Yeye mwenyewe anafahamiu tatizo lakini anashindwa kujizuia hio hali. Anajishangaa.

Tutaongea tena Simba ikiwezekana, wacha niendelee kumrai na kumsihi babu yako atusaidie. Kumwendea ghafla itakua si vizuri, na hatujui hata kama huyo binti atakubali kwenda, babu yako kasema Dar hawezi kuja kwa sasa, tuongee na wewe.

Mimi; Ongeeni nae tu, babu mtaalamu, mimi sina nilijualo.

Tukaagana kwenye simu. Siku kama tatu kupita babu yangu akanipigia siimu. Tukasalimiana, kama kawaida yetu tukataniana kidogo, mtu na wajina wake. Akalianzisha...

Babu; Simba, vipi unakataa kusaidia watu?
Mimi; Vipi tena babu? (Ingawa nilijua anamaanisha nini).
Babu; Sheikh... wa Unguja kanipigia simu, kanambia aameongea na wewe, lakini anachokwambia unamsukumia kwangu, usifanye hivyo Simba, huyo binti yupo Dar, itakua wepesi sana wewe kumuona, tena Sheikh anasema kuna bwana mmoja wa Kipemba yupo hapo Buguruni si mbali na kwenu, anajaribu kumsaidia huyo binti kimatibabu, lakini Sheikh anasema, hata huyo binti atakata tamaa maana muda unazidi kwenda, haioni ile tija anaoitarajia.

Mimi; Buguruni ya wapi hio, babu usifikiri kila buguruni ni karibu na kwetu, buguruni kubwa.
Babu: Cha msingi sio hicho Simba, hata iwe mbali vipi, nyie mna magari huko, hamtembei kwa miguu, halafu buguruni si ndio njia ya kwenda na kurudi kazini kwako Tabata?
Mimi; Babu, ukitaka lako unajidai profesa. Niache nipambane na magari huku, wewe pambana na binadamu. Hizo kazi zako zinatisha, kasheshe la Unguja halikua dogo.

Babu; Simba, kwani wewe unafanya nini zaidi, wewe wawachie wenye kazi zao, mimi nataka wewe ujifunze ya dunia, ujionee mwenyewe ndio kuna siku utaona ni heri usaidie watu kuliko kusaidia magari.

Babu; Wewe arrange siku tu na huyo Sheikh wa Buguruni ukamjue, ni vizuri, utajionea wanavyofanya tiba zao, ni elimu hio. hakikisha tu siku unayokwenda na huyo Dada awepo anashughulikiwa, wewe uwepo kama mtazamaji tu, tuanzie hapo Simba.
Mimi; babu mbona unanipa kazi ngumu?
Babu: nenda, unaweza kukuta toto la Kingazija jisomi hilo, limenona, ukajipaytia mke wa Kunguja. Muhimu wewe nenda, yule Shjheikh hatojua umeenda kufanya nini, mimi nimemwabia huyu Sheikh wa Unguja rafiki yake, asimwambia kabisa unaenda kufanya nini, yeye amwambie, wewe unaenda kwa mabo yakohuyoi Sheikh, lakini yeye mwenyewe Sheikh atanuelea, hatomueleza chochote kuhusu kazi zetu, maana hawa waganga wengi waoo wachawi tu, hatopenda kuingiliwa himaya yake.
Mimi: babu mimi sitaki, kwanza umeshanitisha hapo, yamalizeni wenyewe.
Babu; Usiwe hivyo, usikatae mwito kataa uliloitiwa.
Mimi: Si nimeshajua ninaloitiwa babu?
Babu; Simba wacha niende, tutaongea kesho, naona leo hatuelewani lugha.

Nikacheka, babu na yeye akacheka, akanichomekea, huyo mtoto ukimuona na sifa zake nilizopewa natamani nije huko Dar, toto, toto kweli, si mchezo. Unamuogopa sana mkeo?
Mimi; Njoo wewe babu.
Babu; Natamani kuja, lakini umri ushakimbia tena.
Mimi: babu kawahi kusali, wacha na mimi nikawahi. Kwa heri

Tukaagana pale. Nikaendelea na mambo yangu.
Simba.

... 5.2
Vionjo vya Arsis 5 - 2

nilivyokutanishwa na majini ya Kingazija (Comoros) na Kipemba Kojani.


Babu yangu alikua akitaka lake liwe basi hakatishwiu tamaa na "challenges", mwenyewe alikua akiita "viunzi", alikua mara kwa mara anakumbusha, h"akuna jema lisilokua na viunzi lazima ujue kuviruka, ukiona kimekushinda kukiruka, rudi nyma kitazame vizuri unaweza kuuona upenyo ambao kwanza haukuuona, au ongeza kasi ukiruke juu zaidi, utapita tu. Hakuna kiunzi kikaishinda nia jema". kwa hio akitaka lake liwe haliachi mpaka liwe. Babu alikua na misemo mingi sana ya kumhamasisha mtu asikate tamaa na awe kwenye ubora.

Siku hya pili asubuhi kabla sijaondoka nyumbani, nilikua naishi nymba ya pili ya wazazi wangu, mlango wangu na wao wa uani ni mmoja. Mzee akanipigia simu asubuhi mapema...
Baba: Simba, leo sichukui gari langu kwenda kazini, twende pamoja, usiache. joo tunywe kahawa.
Mimi; Poa nakuja kama dakika 15.

Nikajitayarisha, kibaraza chake cha kahawa ya asubuhi ni uani kwake, in fact ni kibaraza chetu cha kahawa na kukutana kama famoily kupiga story.

Nikapita uani nikamkuta anapiuga kahawa, yupo tayri kwenda kazini. Tukasalimiana pale nikamkuta na mother na mukuu wake, mwanangu wa pili tena huyo ndio kawa partner wake toka kazaliwa, hata mamake hamuiti mama, anamwita mamangu mama na babangu ndsio babake. Yule wa kwanza kwa mamake, mke wangu, ndio chanda na pete, huyu na bibi yake.

Tukawa tunapoiga kahawa, pale, mzee kimya.
Mimi: Vipi gari yako mbovu?
Baba: hapana kuna kazi kidogo ya babu yako kama itakuepo tugtatoka pamoja, haina haja kuchukua gari nzuri.
Mimi: kazi gani tena?
Baba: Babu yako kasema alishaongea na wewe lakini unaogopa kwenda kuliona daktari la kiunguja, babu yako igtakua kakutafutia mke.
Mimi: Nikacheka, sikumjibu kitu, huku moyoni najisemea, yule babu mkorofi sana, kajua hapa kwa mzee sichomoi.
Baba; Kama upo tayari, twende kazini tusichelewe.
Mimi; Kama dakika kumi hivi nikawajulishe huko kua naondoka, maana wao wanajua nipo hapa kwenye kahawa.
Baba; Hakuna nenoi hata nusu saa tutakusubiri.

Niliporudi nikapiga kikombe kiungine cha kahawa tukaondoka, kimya kimya kwenye gari. Mzee alikua akitoka nyumbani ana dua zake na nyirfadi zake anzisoma kimya kimya, saa nyingine hata ukimsemesha hakujibu. Tunaoisha nae tumemzowea.

Tukapiga kazi kama kawaida, jioni saa 11 akanambia wajulishe yumbani kwako tutachelewa, maana huko nimeambiwa niende baada ya kusali magaharibi, ndio mchumba wa babu yako atakuwepo.
Mimi; Mchumba wa babu tena?
Baba; Babu yakjianavyomsifu huyo, si mchezo.
Mimi; Si uende wewe, mimi sina sababu kwenda.
Baba; Bau yako ansema, imi na wewe tukakae tutazame tu kinachoendelea, tujuane na huyo Sheikh wa Kipemba wa Buguruni, basi. Hatuendi kufanya wala kufanyiwa uganga. Na babu yako akisema hivyo ujue ana maana yake.
Mimi; Babako ananiingiza kwenye uganga wake, mimi staki.
Baba; Babu yako hawezi kukuingiza kitu ambacho kitakua taklifa kwako. Ukiona anakulazimisha sana huko kuna kitu cha maana. Mbona mimi hajanilazimisha kumroithi uganga wake?
Mimi; Ndio nashangaa japo, warithi si watoto au wajukuu?
Baba; Kweli ni watoto, sasa wewe hurothishwi, wewe unapewa. Kama kurithi si mpaka afe? Nani ajuae nani ataondoka kwanza? Hayo mengine muulize babu yako, mimi siyajui, mimi kanambaia twende na wewe huko ukamuone Daktari wa Kiunguja, na mimi nimepata hamu ya kumuona anasema ten ni daktari bingwa wa maradhi ya ngono. Huyoi anafaa kujuana nae.
Mimi: kajuane nae wewe? Ukimjua wewe inatosha.
Baba: kasema twende woite, babu yako ana mambo kuna mabo ambayo hawezi kuongea na mimi, lakini wewe rafiki yako mnajuana. msiniingize mambo yenu. Mjadala uishe. Baada ya magharibi tunaenda. Wacha nifanye kazi zangu. Si unaona simu inaita nimeitoa sauti tu.

Mzee akapokea simu yake akaanza kuongea mambo yake, mimi nikatoka nikaenda gereji kufanya kazi zangu huku nawaza.

...5.3
Simba.
 
Kwaiyo mkuu hapo inaonesha imekataza kuwaabudu na kuwaamini si ndio?
Ipo very clear hio aya. Mkitaka ufafanuzi wake zaidi, wacha nimalize kumpigia type Arsis na kisa chake cha Adam , kaahidi atakuja kutoa somo la majini kutokana na Qur'an na uelewa wake. Anasema ni somo zuri sana kwa watu wote bila kujali dini zao. Ni kinyume kabisa na watu wanavyofikiria.

Nakumbusha tu, msikirie Jini ni kiumbe wa ajabu, sijui mafunzo hayo Waislam wanayatoa wapi, mbona mara nyingi tunasema majini kilugha ya Kiarabu na ilivyotumika sehemu zingine za Qur'an ni sisi watu. Arsis atakuja kuchambua, mtaalamu wa somo hilo.

Mimi nimejibu swali aliloulizwa mwengine kwa kua ni jukwaa la wazi na nikaona a;ieulizwa anapiga piga chenga n ahio aya ipo wazi. Kuwaabbudu haifai kabisa.
Simba.
 
Umeona sasa!, kwahiyo umekiri kuwa sio kila jambo unalolifanya lipo kwenye quran
Ikiwa hivyo ndivyo nimebaini yafuatayo kwenye maelezo yako.

1. Ulikuwa unaswalia maiti bila kuwa na ushahidi wowote kwa kuiga tu wazazi wako.
2. Baadae ukawa unaswalia maiti kwa kusoma kwa muhadithun.

Sasa nisome vizuri hapa..., Ikiwa uliweza kufanya jambo kubwa la ibada ya kumswalia maiti pasina uthibitisho wa quran na pasina uthibitisho kutoka kwa muhadithun vipi unapinga Suala la Adamu ambalo katajwa kwenye quran na wanazuoni wakubwa wenye heshima kubwa katika dini kama Ibn Kathir (Ismail ibn Umar ibn Kathir) katika fasiri yake ya quran na Ibn al-Jawzi katika kitabu chake cha "Al-Muntaẓam fi Tārīkh al-Mulūk wa al-Umam" - Kitabu cha historia ambacho kinaeleza maisha ya Mitume pamoja na historia ya Adam. Wametaja kuwa Adamu ndio mwanadamu wa kwanza kuumbwa.
Sasa nijibu maswali yangu
1. Ni kipimo gani ulitumia kuikubali sala ya maiti na haijaelezwa katika quran na ni kipimo gani umetumia kukataa kuwa Adamu sio mwanadamu wa kwanza na kaelezwa kwenye quran?
2. Ikiwa sala ya maiti umeijua kupitia muhadithun kama ulivyosema na sio qur an kwanini suala la Adamu unataka kulijua kupitia Quran na sio Muhadithuni?
Hilo mbon nimelijibu kiwepesi kabisa, nani au wapi niliwahi kusema kila ninalolifanya lipo kwenye Qur'an. Nilioyafanya mimi wewe huwezi hata ya kuyafikiria, lakini kuanza kufundishwa Qur'an kwa kina na Arsis, nashukuru nimeyaacha maovu yanayoikatazwa na Qur'an.

Mwambie @Biurhan akupe visa vyangu vya usimba, ndio utajua Mwenyezi Mungu mkubwa.

Hiyo pint unayotaka kucheza nayo kukimbia bado ipo pale pale.

Qur'an hajasema kua Adam ni mtu wa kwanza kuumbwa , umeyatoa wapi?
Hawa mmetoa wapi Waislam?

Elimu kubwa hio Waislam, msiifanyie mchezo na msitake kubishana kijinga. Wasomi wanasema "empty your cup", mamiati huo, katafuteni maana yake.
Simba.
 
Yap nililiona mapema sana ukimsoma btn the lines namfananisha na mwalimu anayefundisha kwa mfumo wa kuulizia maswali
Naamini wengi watamuelewa kidogo kidogo. Hua hachoki kufundisha, angechoka na mimi "bichwa la spana".
Simba.
 
Bwana Arsis kuna kitu nimekiona kwako ambacho si kizuri katika kutafuta elimu,,unaleta ubishi badala ya kusikiliza na kisha upime kile unachoambiwa

Bwana Lidafo alikuwa anakuuliza kuhusu kuswali swala ya jeneza / Maiti,msingi wa hoja yake,je kwenye qur'an limeelezwa hilo? Jibu ni hapana je kwanini watu wanaswalia maiti wametoa wapi hayo?

Unaanza kukimbia kwa kujua kwamba tutakuja kule kule kwenye hoja yetu ya msingi,kuswali maiti kumeelezwa na Mtume,kwahiyo hata adam kuwa mwanadamu wa kwanza qur'an haijaweka wazi lkn kupitia ulimi wa Mtume Muhammad (s.a.w) ametufahamisha hivyo

Sasa kama kila kitu ambacho hakipo katika qur'an hukikubali,je hizo swala tano unaswali za nini wakati qur'an haijaelekeza namna ya kuziswali? Je unaswali swala ya jeneza ya nini wakati qur'an haijaeleza na listi itakuwa nyingi hapo

Yeyote mwenye akili huru na timamu atakubaliana na hoja zetu juu ya kuwa adam ni mwanadamu wa kwanza.

Nimechangia hili kwasababu naona unakwepa hoja za Lidafo kitoto kabisa

Mwambie Arsis aendelee na mada yake
Sifahanu swala la sala zote zile, linahusiana vipi na Adam kutokutajwa kwenye Qur'an. Mbina nimelijibu hilo wazi kabisa? Nini hujakielewa katika majibu yangu kuhusu hili la sala ya maiti?

Wewe unasemaje kuhusu Adam kutotajwa kwenye Qur'an kuwa ni mtu wa kwanza kuumbwa?
Hawa umemtoa wapi?

Simba.
 
Ewaaaa! sasa unaanza kuelewa haya niambie wapi pameandikwa adamu si binadamu wa kwanza?
Sijakiona cha kuelewa mimi au kutokuelewa, kwani wapoi niliandika au kusema kila ninalolifanya limetoka kwenye Qur'an?

Mimi nasema sijaona alipoandikwa kua ni binadamu wa kwanza. Nyie mmelitoa wapi hilo, kama kwenye Qur'an si mlifundishe tulione? Jukwaa la wazi na huru hili.

Mimi nafahamu lipo kwenyue boiblia, lakini kwenye Qur'an sijaliona.

Somo la adam ni nini au nani linaendelezwa na Arsis.
Simba.
 
Wewe tusisemane wewe ni mtu unaweza sio huwezi walahi na wala sikupingi na nimeshawaambia watu wewe ni mganga mie ni nao tu vitu kwa watu vibaya basi nawakuagua niwewe
Mimi ni mtu lakini kwa sasa hivi kwa kua sijaonekana ni jini, kam wewe na wengine wote hapa JF, kasoro wale "verified members".
Simba.
 
Inatokea post namba 2023.

Vionjo vya Arsis 4 Kumwokoa Msukule Unguja 4.

Nikawahi bandarini faster, ile nafika nikawakuta wote wasili nje, Tukasalimiana kijana akanipa ticket.
Kijana; Tumewahi sana, gtunaweza kupata kahawa, nimeona pale kuna mkahawa.
Mimi; Poa.
Jini 3; Mimi mtanisahe, tutakutana ndani, nawatafutia viti.
Kijana: Usiingie, tusubiri tutaingia wote kama hutaki kahawa.
Jini 3; Sawa, basi nawasubiri hapo nje mkimaliza tutagfatana.
Kijana: Ahsage kamanda.
Mimi: Unampa order kamanda wako?
Kijana: kwanini kiongozi?
Mimi; Umemwambia Usiingie tusubiri. Hiyo ni amri, sio ombi.
Kijana: kawaida, hio majini hawana kuremba remba kama Watanzania.
Mimi: Dunia nzima inatakiwa uwe na lugha nyepesi kwa kamanda wako.
Kijana; Nimemuita kamanda lakini sio kamanda wangu, kumbuka mimi ni binadam kama wewe sio jini.
Mimi; Hilo mimi bado halijaniingia kichwani la kua wewe ni mtu.
Kijana: kweli kabisa, kwanini huniamini, sisemi uongo, ni mwiko.
Mimi; Inafikirisha sana.
Kijana: Simba wewe utajifunza kusafiri haraka, kujificha, yaani mambo ya kijini yote utayajua, ukitaka lakini. Arsis kanifundisha yote ni elimu, sisi binadam tuna nguvu na majini wanatuheshimu na wanatuogopa sana. Tukiwa nao pamoja hata akiwa mfalme, mimi si lolote si chochote kwa nbbinadam wenzangu lakini kwo Mfalme ataniona mimi bora na nitakua karibu nae na atanitii.
Mimi; Kwanini?
Kijana; Kuna siku utaelewa. Soma.
Mimi; Twende tusichelewe.
Kijana; kunywa kahawa usijali, hawaondoki bila sisi.
Mimi: Unalegta uchawi?
Kijana; Hapana, ugaelewa tu.

Tukaondoka tukamkuta Jini3 aanatungoja nje, tukaondoka, kugfika kwenye biti, sisi ndio wa mwisho kabisa lakini hatujaulizwa kitu kabisa. Tukaingia ndani, tukakaa kidogo Jini 3 akasema mimi nakwenda nje, kijana akasema twendeni wote nje tuone bahari. Tukatoka nje, hapo biti imeshaondoka.
JUini3: Pale ndio tulipokutana jana.
Kutazama naona ananionesha oshen rodi kwa kutokea baharini, tumepaacha nyuma kidogo, tukasima tunaongea ongea, nikawambia mimi nakwend kukaa juu ya viti, nasikia kusinzia.


Nikaingia ndani nikapitiwa na usingizi mzito, kustuka, watu wanashuka Unguja. Na mimi nikaanza kushuka. Nikawoana wenzangu wapo nyuma yangu, nikawaza kumbe waliingia ndani mimi nimelala.
Nikasikia kama sauti ya kijana inanisemesha, tazama hapo bandarini utayaona mengi. nikqjuq huyu ananisemesha kama anavyonisemsha Arsis siku zingine, huwa namsikia kwenye mawazo, mwenyewe anaita telepathy. Na mimi nikamsemesha kimawazo, ukiona kitu sio cha kawaida kibinadamu nioneshe.
Kijana: Tazama hao wanaopokea watu.

Dah, kutazama, nusu yao majini, wa kila aina kila rangi, lakini kama hukuwatazama vizuri utaona wote ni binadam. Nikamwabia au unanifanyia mazingaombwe.


Simba.
Naomba mnitag muendelezo wa hii
Inatokea post namba 2023.

Vionjo vya Arsis 4 Kumwokoa Msukule Unguja 4.

Nikawahi bandarini faster, ile nafika nikawakuta wote wasili nje, Tukasalimiana kijana akanipa ticket.
Kijana; Tumewahi sana, gtunaweza kupata kahawa, nimeona pale kuna mkahawa.
Mimi; Poa.
Jini 3; Mimi mtanisahe, tutakutana ndani, nawatafutia viti.
Kijana: Usiingie, tusubiri tutaingia wote kama hutaki kahawa.
Jini 3; Sawa, basi nawasubiri hapo nje mkimaliza tutagfatana.
Kijana: Ahsage kamanda.
Mimi: Unampa order kamanda wako?
Kijana: kwanini kiongozi?
Mimi; Umemwambia Usiingie tusubiri. Hiyo ni amri, sio ombi.
Kijana: kawaida, hio majini hawana kuremba remba kama Watanzania.
Mimi: Dunia nzima inatakiwa uwe na lugha nyepesi kwa kamanda wako.
Kijana; Nimemuita kamanda lakini sio kamanda wangu, kumbuka mimi ni binadam kama wewe sio jini.
Mimi; Hilo mimi bado halijaniingia kichwani la kua wewe ni mtu.
Kijana: kweli kabisa, kwanini huniamini, sisemi uongo, ni mwiko.
Mimi; Inafikirisha sana.
Kijana: Simba wewe utajifunza kusafiri haraka, kujificha, yaani mambo ya kijini yote utayajua, ukitaka lakini. Arsis kanifundisha yote ni elimu, sisi binadam tuna nguvu na majini wanatuheshimu na wanatuogopa sana. Tukiwa nao pamoja hata akiwa mfalme, mimi si lolote si chochote kwa nbbinadam wenzangu lakini kwo Mfalme ataniona mimi bora na nitakua karibu nae na atanitii.
Mimi; Kwanini?
Kijana; Kuna siku utaelewa. Soma.
Mimi; Twende tusichelewe.
Kijana; kunywa kahawa usijali, hawaondoki bila sisi.
Mimi: Unalegta uchawi?
Kijana; Hapana, ugaelewa tu.

Tukaondoka tukamkuta Jini3 aanatungoja nje, tukaondoka, kugfika kwenye biti, sisi ndio wa mwisho kabisa lakini hatujaulizwa kitu kabisa. Tukaingia ndani, tukakaa kidogo Jini 3 akasema mimi nakwenda nje, kijana akasema twendeni wote nje tuone bahari. Tukatoka nje, hapo biti imeshaondoka.
JUini3: Pale ndio tulipokutana jana.
Kutazama naona ananionesha oshen rodi kwa kutokea baharini, tumepaacha nyuma kidogo, tukasima tunaongea ongea, nikawambia mimi nakwend kukaa juu ya viti, nasikia kusinzia.


Nikaingia ndani nikapitiwa na usingizi mzito, kustuka, watu wanashuka Unguja. Na mimi nikaanza kushuka. Nikawoana wenzangu wapo nyuma yangu, nikawaza kumbe waliingia ndani mimi nimelala.
Nikasikia kama sauti ya kijana inanisemesha, tazama hapo bandarini utayaona mengi. nikqjuq huyu ananisemesha kama anavyonisemsha Arsis siku zingine, huwa namsikia kwenye mawazo, mwenyewe anaita telepathy. Na mimi nikamsemesha kimawazo, ukiona kitu sio cha kawaida kibinadamu nioneshe.
Kijana: Tazama hao wanaopokea watu.

Dah, kutazama, nusu yao majini, wa kila aina kila rangi, lakini kama hukuwatazama vizuri utaona wote ni binadam. Nikamwabia au unanifanyia mazingaombwe.

Kijana; Hapana, umewaambia wagtuokee bandarini?
Mimi; hapana.
Kijana; umefanya vizuri, sasa nisikilize, mimi hawanijui, waambie mimi ni mgeni rafiki yako tumetoka nae Dar. Na kamanda usijali hutamuona mpaka huko, kutaum kweli huko, hatupo.
imi: mnafanya vituko sio?
Kijana; hapana, imebidi yeye awahi.

Itaendelea.
Simba.
Naomba mnitag muendelezo wa hii
 
Safii !!! kama ni kabla ulifanya kwa ushahidi gani na umesema hujaisoma kwenye quran na ulikuwa hujawasoma muhadithin?
Mbina nimejibu nisema nimekuta wazazi wangu wanafanya hili na mimi nikawa nalifanya la kuswali maiti kwa kuiga wazazi wangu, na nilipolisoma kwenye baadhi ya muhadithin na sikuliona lilkikatazwa na Qur'an sijaliacha.

Au limekatazwa kwenye Qur'an?

Hilo halikuonedelei kujibu umesoma wapi kwenye Qur'an kua adam ni mtiu wa kwanza kuumbwa? Kama hujalisoma kwenye Qur'an -, kua mkweli tu ulipolipata hilo.

Hawa mmemtoa wapi Waislam?

Point yangu mnaielewa sana.
Simba.
 
Alafu sijabadili mada nipo kwa Adamu bado ila kwakuwa wewe unaubishi usio na hoja ngoja nikufundishe kwa mifano rahisi. Mbona Arsis kaanza kutuelezea mfano wa mbu nahatujamwambia ana badili mada? Tunajua kuna hoja anayo kupitia mfano huo na mimi kupitia swali hilo nina hoja wewe jibu utaelewa tu. Uzuri nishajua ni kwanini huelewi kwahiyo nimebadili njia ya kukufundisha hii njia itendana na ubishi wako swali lingine umesema umekuta wazazi wako wanafanya Je uliwauliza wanafanya hivyo kwa nini? na wametolea wapi?
sasa nikupe oja hewa? Ambayo haipo?

Point ayangu mnaielewa sana, kama mna maswali mengine leteni niwajibu.
Simba.
 
Jibu maswali twende taratibu hapa najua uwezi toka, Ulianza kuswalia maiti baada ya kuwasoma baadhi ya mhadithin au kabla ?
Nimeshalijibu hilo rudi juu kidogo kanisome. Nimesema kabla, nimewakuta wazazi wangu wanasalia na mimiu nikwa nasalia maiti. Sio sala hiyo tu, sala zote ni hivyohivyo.

Wapi Qur'an imeandika adam ni mtu wa kwanza kuumbwa? Mimi sijapaona.
Hawa mmemtoa wapi Waislam?
Simba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom