Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

So am I one of the so called "ukoo wa Simba" and suppose I ask..if I tell you my clan name...are you be able to tell?
Nope, they'll identify you, it does not go like that. Simbas you meet will be able to tell or your mizimu know how to communicate with you best.

We are not here to identify anyone. Be whatever you can be.
Simba.
 
Nope, they'll identify you, it does not go like that. Simbas you meet will be able to tell or your mizimu know how to communicate with you best.

We are not here to identify anyone. Be whatever you can be.
Simba.
Ooh!
So if iam one of you at some point simbas will come and communicate with me...
So this means I should wait huh!
 
In my dream..
My Dad called them by doing some signs..it seemed like a ritual then he pointed somewhere..and I found myself in a room with some women and children with age Kama 16 ivi!
The reason why we went there is because I lied to my Dad and those women were the only ppl who could tell the truth
 
Kwa hiyo kwa maelezo yako wakristo wanadharaulika? Sababu ni kumfuasa Yesu mwana wa Mungu? Tunajua huna historia nzuri na Mungu. Tunajua ulifungiwa kwenye chupa. Mtu mwema hawezi kufungwa. Ni Mungu alikufungua? Ni binadamu? Ni maandishi ya Qur'an? Ni majini wakubwa zaidi?
Na ni kwa nini unauchukia ukristo?
Hapa nitakujibu mimi, jina la Yesu ni moto kwa majini na mapepo yote.

Hata waandishi wa Quran inayosomwa na majini jina la Yesu wamelikwepa wakampachika jina la Issa na wanatumia jina Masiah pia, lakini jina la Yesu ni mwiko kwa majini yote na kitabu wanachokisoma, huu ndio ukweli.

Naomba Arsis atueleze kwa nini jina la Yesu ni tatizo kwa majini?
 
H
Vionjo vya Arsis 5-5

nilivyokutanishwa na majini ya Kingazija (Comoros) na Kipemba Kojani.


Alipoondoka Jini 1 nikakaa nikajifikiria niende au nisiende kwa Arsis, nikaamua niende, linalowezekana leo lisingoje kesho.

Nikampigia kijana mshikaji nikampa dili ya kupeleka gari Upanga nikamwambia ukiningoja sehemu nitakupitia turiudi wote, aua ukirudi mwenyewe sawa. Nikamwambia akimaliza huko anipigie anicheki niko wapi, niakua mitaa sio mbali na Upanga.

Nikatoka nikaitoa gari ya Dokta nje, kijana akaja nikamkabidhi aipeleke, nikampigia Dokta, nikahisi kama alikua usingizini, nikamueleza, akanishukuru akasema alikua anafikiria asubuhi atakwendaje kwenye kazi zako. Nikamwabia usijali, akikufikishia huyo kijana nipigie hata saa ngai unijulishe, na alichelewa ikipita lisaa limoja kuaniza sasa nijulishe. Akasema sawa.

Mimi nikaondoka kuelekea kwa Arsis. Kufika langni oshen roodi, kama kawaida nikaita akaja kwa sauti tu.

Arsis: Vipi hali, Simba?
Mimi: Sio poa.
Arsis; Huku anacheka, nimeona babu yako kakupatia mchumba mpya. Unasemaje.
Mimi: Arsis sipo hapa kwa kufanyiana utani, nimekuja hapa nikuulize vitu.
Arsis: Unafikiri natania, hio ndio fikira za babu yako. haya uliza.

Mimi: Arsis, majini wako wamenielezea mengi kuhusu huyo Dokta na mazee Ali lakini kuna mengine wamenambia nikuulize wewe.
Arsis; Nafahamu, kuna vitu hawajui, uliza tu Sumba.
Mimi; Nani huyu Dokta?
Arsis: huyo ni Dokta kweli ytena Daktari bungwa amesoma Urusi, Japan, Australia na ameishi sana Uingereza, kweli ameolewa na madakatari wawili zamni, mmoja ndio mume wake wa kwanza na ni dokta mkubwa sana Tanzania. Huyo wa pili aliolewa kama hasira tu alipoachika na mumewe wa kwanza, Huyo wa pili mtu wa kwenu anga, walikutana walikua wanafanya kazi pamoja. lakini wameachana pia. Ngumu sana huyo kukaa na mume. Ana mengi sana.
Mimi ; Hilo ndio swali langu, kwanini hakai na mume?

Arsis: Huyoi ana mtu alimpoenda sana lakini huyo mtu sio kiwiliwili ni nafsi tu. Ni binadam alaieuliwa lakini nafsi yake haijaingia kwenye umauti.
Mimi: hapo unanichanganya Arsis.
Arsis: naahamu, kwa kua hauna elimu ya majini. Majini wengi sana ni nafsi za watu. Huyo kija n wa Kiarabu ni katika waliouliwa wakati wa mapinduzi Unguja, alidhulumiwa maisha yake, nafsi ipo hai lakini mwilli umekufa na umezikwa kwenye mashimo ya halaiki, Ni kijana wazazi wake walikua kwenye baraza la Sultan lakini hawakua serikalini ni washauri tu. nafsi yake ikawa inatembea tembea sana mpaka leo, huko Unguja, hususan sehemu alipomuona mara ya kwanza Dokta, na maeneo ya nyumbani kwao huyo kijana, karibu ya forishani kwenye majumba ya matajiri siku hizo. Alipomuona Dokta, siku hizo mwanafunzi sekondari, akampenda ndio akawa hatoki kwa Dokta.
Mimi: hatoki vipi?
Arsis: Yupo nae karibu na akamuoa kivuli chake, kwa sababu hawezi kumuoa mwili wake, mpaka sasa anaamini ni mkwe na aana wivu sana hataki mwili wa Dokta uolewe au utembee na mwanamme wengine, akiokewa akitemnbea na wanaume wengine, huyo kijana anatuma rafiki zaake wa kijini wahuni wanamtesa sana Dokta, mpaka imefikia hapendi kabisa wanaume. Kwa bahati mbaya sana mpka akajatribu usagaji lakini hakuupenda akaachana nao kabisa. Alifanya lajini kwa muda tu, alikua na mwanamke wa kibindam mmoja Zanzibar, akaachaa nae kwa ajili ya huyo kijana, alimtesa sana huyoi mwanamke na marafiki zake, ytule mwanamke akaamkimbia Dokta. hataki hata kusikia sauti yake, anamuogopa kabisa.

Huyu wa pili wa hapa hapa Dar, huyu muhunimuhuni sana, huytu hatraki mapenzi ya kweli anatagfuta pesa tu, ni rafiki yake Dokta, lakini hata yeye sio masagaji wa kweli ni muhuni tu, ndio akapna huyu hana mume na mzuei hivi labda msagaji, akaanza kumjribu waksagana ndio wakaanza hivyo, yule anajua jua ni juhuni sana. Dokta nae alihjifunza funza kwa yule wa Unguja, sasa mara moja wakawa wakikuta wanasgana. Lakini haikuchukua muda, Dokta akawa anajichukia kufanya huo uchafu akaacha kabisa, miaka mingi sana sasa. Alikua anaogopa binti yake anakua halafu amuone vile mamake, analala chumba kimoja narafiki yake. Dokta akajifikiria sana akamuomba Mwenyezi Mungu akamuondoshe ahyo kabisa. Akasema boira hayo majini ya ndotoni kuliko huu ushenzi.

Maana yule kijana anakuja kuingiliana nae kwa kivuli, hio ndio inakua ndoto tu. Umeelewa?

Mimi: Inaingia akailini lakini sijaelewa vizuri.
Arsis" Sio lazima uelewe kila kitu mara moja, utaelewa tru kidogo kidogo. Dunia iina siri nyingi sana.

Mimi: sasa hao majini wa kwao hawajauia hio hali ya kuingiwa na jini wa Unguja na hawa wanawake wasagaji?
Arsis: Majini ya kibuki ya ukoo wale hayaingilii kabisa mambi yake binafsi, wenyewe hao vibuki wapo wasagaji wapo mashoiga, hawaingiliaa maisha ya mtu binafsi, wao yao ni starehem kuvaa vizuri, kula vizurui, kua na pesa na kujionesha tu. Wanapenda sa harusi na misiba. Ni majini wasio na akli labda wale waliojaaliwa kutoka kizani. Wana mila za ajabu sana haoi Simba.

Hao hua wanaalikana kulewa tu ili kumkaribisha binadamu mwenye kibuki. Bila pombe hapo yule boinadam hakubaliwi. Na ukiwakubalki hao ukiwapa mapombe wanajuana wenyewe kama ile jini yenu ya Simba. Kila kitu utaona inakwenda vizuri.

Mimi: sasa yeye kwanini wanamtesa?
rsis: Wale kibuki wanaubaguzi sana, wapo ukoo wa baba yake na wapo ukoo wa mama yake, kila mmoja anataka kujionesha nani zaidi. Halafu wote koo hizo wanakubaliana kitu kimoja, kua huyu ni wa kwao halafu mpaka leo hajaolewa kwa ada yao ya harusi.

Mimi ; Ndio nini hiyo?

Arsis: Muoe wewe utajua ndio nini hiyo.
Mimi: Arsis sitaki utani, mi simtaki kumuoa kabisa.

Arsis: usikasirike ni mwanamke mzuri na ataemuoa akifanya ada yao ya Kingazija, atafaidi sana na yule nafsi ya jini haitamsumbua tena si uliambiwa wana mikataba yao?

Mimi; Siiji, hio ndio nilitaka kukuuliza.

Arsis; Nafsi wamekubaliana na hawa kibuki wasiingiliane na hiyo nafsi haiwei kumuoa huyu ibaki hukohuko imeoana na kivuli la sivyo ikimuingilia sana huyiu mwanamke maboi yake ya kibdamu inakua hio nafsi inawatia matatani hao binadam wengine. inaoatuma kupitia majini washenzi. Nfasi hizo zinaonana Arsis, kama wewe unavyonana na miili ya wengine. Hmuingilini mmbo yenu. Ni hivyo hivyo kwa nafasi na zinawea kua na mahusianoi kama nyinyi mlio na miili, hakuna togfauti.
Mimi: sasa wewe Arsis unamsaidia vipi?
Arsis: kana tunataka kuingia makubaliano na majini wakubwa wa vile viujini vya Mzee Ali viondoke x)visimfatefate kabisa. Ndio tunataka wewe umsindikiz Kojani, ipo safari karibu sana.
Mimi: kwani mimi")?

Arsis: kwa sababu wewe ukiwepo huko na yeye anakua kaona mtu mwingine anemfahamu anaiukua hana wasiwasi sana. Hawa(ezi kwenda peke yake, na mambo yaliomtokea kwa marafiki zake, sasa hivi anaogopa hata kua na rafiki wa karibu mwanamme au mwanamke, kapitia mengi sana huyo Dokta, kama isingekua majini hya kwao kumlinda na wachawi, sasa hivi huyo wehu au matrehemu.
Mimi; kwanini?
Arsis: huyo mumewe wa pili alikua na mke, huyo mwanamke akaanza kumrpga kwa kila aina ya waganga na wachawi lakini amtokeo yake huyu Dokta hajadhurika kashurika mumewe na yeye, lakini walishaacha yule mwanamke akamini iau amemshinda huyu kwa aganga wake. Hajijui masiki ya Mungu. N huyu Dokta alikua anota ota anafanyiwwa uchawi lakini alikua anaona ndoto tu hizo. Ni mamboi mengi lakini cha muhimu, sasa anahitaji aolewe, ndio njia ya kumsaidia na arudishe furaha na amani yake asiogope tena binadam wenzie. Na hio ni rahisi sana. Kwanza waondoke vijini vya Mzee Ali, muongo tu tapeli yule. Mimi nashauri kabla hujaenda Pemba nenda Unguja ukaonane na mkubwa wa vibuki vya upoanda wa babake, ukiend tu pale watajua umefata nini na hawatamvumbua tena, sisi tutakua tayari tunfanya mikataba nao. Lakini mimi nataka uende ukaione dunia, siku mbili tu inakutosha. Ukaone na sherehe yao ya pombe, lakini huyu atakua ytauari hataki hio sherehe, akiifanya huko basi kataka mwenyewe tu sio vibuki. Fanyta uende huko.

Mim: msiniinginze kwenye mamboi yenu, sitaki vita na majini.
Arsis; hakuna jini duniani anaeweza kufanya vita na wewe, akiona hio ete tu wanakimbia mbali sana na wanakuheshimu sana, Madini ya hio pete sio ya kawaida hata Mafalme wa kijini wanayatak hawayapati. Wafalme akijini wakiipayta hio peyte ulioivaa wapo tayari kukyufanya tajiri mkubwa duniani, wao wanachotaka ni hicho kito na hio chuma iliochnganywa hapo, waiyeyusha hio hawajali muhuri uliopo hapo, watan)vunja nia za mwasiliano tulizoiwekea, itakua saa watafanya mawasilano na watu wanaotaka wao, na sana ni watu hatari na wenye nguvu duniani. Simba kwa sasa inatisha, lazima uende Unguja, vipi mimi sijui, mimi nakushairi tu nenda ili urudishea maisha ya mtu huyu muhimu sanakwenye hadhi yake.
Mimi; Ana umuhimu gani?
Atsis: huyo dakatariamesoma sana na ana ubunifu sana kwenye kazi yake, ndio maana hata Wazungu wanamtaka duniani huko, huyo sasa hivu yupo Tanzania lakini amaeajiriwa na chuo kikubwa cha Wamarekani, unafikri watamuajiri mtu hovyo hovyo? Sasa kanini asiajiriwe na Srerikali ya tanzania ikawa fanida kwa Watanzania? Fikiri hilo, isiache hizo safari mbi na ya tatu itakua ngazija, ukaone ada ya harusi za wangazzija labada itakujia hamu ya kuoia mngazija.
Mimi: Arsis; kwaheri.
Arsis; kwaheri huku anacheka.

mimi nikaondoka pel kufika kwenye gari nikatazama zi,mu yangu nikakuta yule dokta alinipigia muda si mrefu kama dakika kumi nyuma na yile kijana kama nusu saa nyuma. Nikaanza na Dokta, nikampigia hata haikuita mata)ra mbili aka[pokea.
Dokta: Hello, Simba? Nilikupigia kukujulisha tari imeletwa, Ahgsante sana. Sasa hivi nipo fresh kabisa, imekua viuri nilichukua wale kuku pale hivi nawala sasa hivi, nimeipenda juisi yao.
Mimi: Okay poa, hakuna shida, si umeshapajua pale?
Dokta; Napajua pale siku nyingi lakini ndio mpaka niende na wenzangu. Lakini nilikua sijawahi kunywa hii jiuisi yake, nilikua naagiza soda tu.
Mimi: Nikahisi kama anahamu ya kuongea zaidi, nikamkatiz; Sawa Dokta, mradi gari imefika salama na wewe upo salama tuombeane dua tu.
Dokta; Kuna kitu nilitaka kukuuliza kuhusu Mzee Ali.
Mimi: Dokta naendesha sasa hivi nimesimama kuona miss call yako, tu tuongee kesho, samahani.
Dokta: Bila samahani, nitakupigia kesho, niasmehe sana.
Mimi; No problrm ahsante.

Tukaagana pale nikampigia mshikaji aliepeleka gari.

Mshikaji: Hoyaa Simba, mimi nishaondoka s)muda mregfu nimempa gari yule dada, nilitamani anikaribishe ndani, yupo bomba kishenzi. Nitum tana kwake.
Mimi; Ushafika ilala?
Mshikaji: bado natumiampesa alionipa, yule dada ana poesa ndefu sio njaa njaa kama wewe.
Mimi: Unatumia peke yako? Nambi uko wapi na mimi nije.
Mshikaji: Wewe hupawezi hapa tunapotumia sisi nipo kariakoo, wewe nenda tu tutaonana mitaani.
Mimi: kariakoo sehemu gani mimi ndio nakaribia mitaa ya Kariakoo.
Mshikaji: Unapjua Pajero bar? ndio nipoa hapa na mipashkuna ya Kariakoo inaimba taarabu.
Mimi: Mshikaji mpaka unajimwaga hivyo, itakua mshiko mrefu basi?
Mshikaji: Bia za kuzugia ninazo leo lakini za ofa ndio sina au utapiata uniachie kitu?
Mimi; Sipajui wala sipiti kwenye ma bar.
Mshgikaji: Wewe usiingie, piata nje mimi nitatoka?
Mimi: Ipo wapi kwnai, akanielekeza.
Mimi; Pole, sana hapo umeumizwa, napajua sasa. Sipiti njia hio, mimi nipo Mtaa wa Lingdi sasa naelekea nyumbani. Tuwasilane kesho unipe micha[o ya Pajero, kuna moja hili halitoki hapo linaitwa Nusura, jeupoe kama tto kla kigiriki.
Mshikaji; Yupo hapoa na mabwana zake anachuna na mashga zake kibao. Sijui kapata shamba gani la kutokea wapi sijui limaitwa haruna, linatumia hilo kama halina akili vizuri, sijui jambazi hili. Tushapigwa raundi tatu bar nzima hii na hilo jamaa.
Mimi: kwaheri utanipa michapo kesho.
Mshkaji: Hakuna noma, nitume kwa yule DSada saa yypote hata nimepekee ndizi sokini kwa pesa zangu, sitaki uasafiri wala unilipe kitu, ile ndi mi dada ya kujuana nayo si hii ya Pajero, inanuka mibia.
Mimi; kwaheri, nikakata simu, nikajua huyo kishalewa, hanyamazi.
Simba.
...5.6
Hii kiboko, nataka kujuwa zaidi hiyo ya nafsi ya mtu kuwa jinni.
 
Hapa nitakujibu mimi, jina la Yesu ni moto kwa majini na mapepo yote.

Hata waandishi wa Quran inayosomwa na majini jina la Yesu wamelikwepa wakampachika jina la Issa na wanatumia jina Masiah pia, lakini jina la Yesu ni mwiko kwa majini yote na kitabu wanachokisoma, huu ndio ukweli.

Naomba Arsis atueleze kwa nini jina la Yesu ni tatizo kwa majini?
Vipi alipokumbwa yeye Yesu na pepo/jinni kwa siku 40?

Au alikuwa bado hajaanza kuitwa Yesu?
 
Hata swala Adam kuwa binadamu wa kwanza lipo kwenye Biblia, waandishi wa Quran walisahau kucopy.
Tukija Kwa Suala la Adam kuwa wa kwanza au la.. Bado kuna utata kwa upande wangu kwa Mujibu wa Bible hiyohiyo.

Rejea.
"Mwanzo 26 mpaka 30: "

26 Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.

27 Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.

28 Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.

29 Mungu akasema, Tazama, nimewapa kila mche utoao mbegu, ulio juu ya uso wa nchi yote pia, na kila mti, ambao matunda yake yana mbegu; vitakuwa ndivyo chakula chenu;

30 na chakula cha kila mnyama wa nchi, na cha kila ndege wa angani, na cha kila kitu kitambaacho juu ya nchi, chenye uhai; majani yote ya miche, ndiyo chakula chenu; ikawa hivyo.

-Kwa hapo unaona waliumbwa watu wawili na wakapewa maagizo kwa pamoja mpaka ya kuzaliana.

-Ukirudi kwenye Habari za Adamu sasa utakuta maagizo ya Kuzaa ni kama laana kwa mwanamke (Hawa) au adhabu ya kosa walilolifanya na kula kwa jasho ikawa adabu ya Mwanaume. (Adamu)

-Bado maandiko yanasema Mungu alimuona Adamu ni mpweke. Je si kwasababu alikua anajua palikua na pea ya Binadamu wa kiume na kike kama alivyowaumba ila sasa kabaki Adam peke ake ndio kumtia usingiz ili huyu mwanamke wa sasa Atokane na yeye mwenyewe na si kumuumbia mwingine tena.

-Kwaniwazavyo mimi, kama Adamu ndie Mtu wa kwanza kuumbwa basi hakuumbwa peke ake au tayari walihaumbwa watu wengine kabla yake.

-Na kama ni yeye, basi inabidi tumfahamu aliyeumbwa nae ni nani na akaenda wapi hadi Adam akabaki mpweke?. Na Je mwanamke huyo sio ndio Shetani aliyemdanganya Hawa? Na kama ndiye je Sio ndio haya Majini tunayopata story zakua na uwezo wakua chochote kile?

Huu Uzi unaniconnectisha Dot Dot nyingi sana ambazo nabahatikaga kukutana nazo katika maandishi na story mbao mbali za kiroho na kimwili plus na tafakari za uhuru wa fikra zangu.
 
Wana ukumbi,
Kabla sijaendelea kujibu hoja na kumalizia kionjo cha Arsis cha kojani na Comoro. Naomba mnisome ka umakini yafatayo;

1) Maswali na msaada kwa watu qanaokuja Private.
ka sasa sijibu mtu private, iwe kwa msaada au maswali mengine. Sababu kubwa ni mbili; ya kwanza, tunaweza kujibu swali au msaada kwa mmoja PM lakini ikawa ikawa ni ya wengi tukilijibu jukwaa la wai, kuna wengi hata kuitumia hio PM hawajui na kuuliza wanakua wagumu, wengine hawajajiunga kabisa wao wanasoma tu na kutamani kuuliza lakini hawawezi, ni kibinadamu tu.

La pili, ni kua kuna watu wameshanijaribu mara kwa mara kuniuliza maswali ya kimtego PM kutaka kujaribu kufahamu naishi wapi na tuonane au wanione vipi, sifahamu nia zao.

Cha ajabu na kushangaza, kuna watu wananiofa pesa, wengine wanani ofa asilimia za biashara zao. Wengine wameniofa mpaka penzi. Hawa ni zaidi ya mmoja, wa kutokea Tanga, Dar, Mwanza na Unguja. Waislam kwa wasio Waisla., sijapokea ombi kam hilo nje ya mikoa hio. Au wanasema kweli kuhusu mikoa au wanasema uongo, au wanasema kweli kuhusu dini na imani zao au wanasema uongo. Sipo kuchunguza mtu, lakini nawaambia sitoi majibu Private waka sitaki kujibizana na mtu Private.

Naomba wote muelewe, mimi sio mganga wa kienyeji, sio mchawi, sio kazi yangu kufanya tiba. Hata jukwaa la wazi ninaloweza kulifanya ni kushauri tu ninachokielewa, sina zaidi ya hapo. Kama mlidhani huu ni uzi wa mganga wa kienyeji au "Shehe" au mchawi, mmekosea sana. Huu ni zui wa kuongelea niliopitia na itafikia ninaopitia mpaka leo ili wengi tuielewe dunia.

Arsis yupo kweli, kama ni jini ni mtu na wasaidizi wake wapo kweli majini wawili wa kike, Jini bakora yupo kweli na ana hekima kubwa sana na anaijua miti shamba kuliko tunavyofikiria, tumieni fura ya kuuliza tiba zenu kwa miti, mizizi, matunda, na hata chakula kii ule vipi. Mtashanagaa uwezo wake. Yote nayajibu kupitia JF kwa idhini yao.

Majini na mizimu ya Kisimba ipo kweli na ni ya jadi ya kwetu ya pande zote za baba na mama lakini mimi binafsi nimeachana nayo kabisa, haina ugomzi na mimi kwa kua sikuachana nayo kwa vibaya, mke wangu nae kaachana nayo, mamaya gu kaachana nayoi kwa kiwango kikubwa lakini bado yupo huko kwa siri, Babagu nae bado yupo huko kwa dhahiri kabisa ingawa umri hamuungi mkono lakini hajaacha vituko vya usimba kila vinapomtokea. Nawaombea wazazi wangu usiku na mchana waachane na usimba wa kishenzi. Arsis amesema usiongee nao kuhusu hilo mpaka wa kuhusishe usianze kuwauliza au kuwiangilia, anasema yeye ana dili na hao masimba wenyewe, wote ni rafiki zake na wengi wao washakaa sawa, sielewi anamaanisha nini kwa hilo, hasemi zaidi.

kama una swali, maswali, tatizo au chochote kile uliza jukwaa la wazi iwe faida kwa wengi.
Simba.
Umesema jini bakora tumuulize kuhusu mitishamba, Mimi nitaanza na maswali mawili kwake muulize kuna mti unaitwa ''MSAKA UCHAWI'' unga wake unauzwa sana kwenye maduka haya ya kiislamu maarufu kama maduka ya kisuni Je mti huo ndio unaitwa pia ''MTUNGURU NYIKA?''
Swali la pili Muulize ni kweli mti wa mbaazi una nguvu za kupambana na wachawi kuanzia mizizi yake, majani yake na maua yake na mbali na kupamabana na uchawi una matumizi gani mengine?
 
Hapo juu ni tangazo la simba, hili chini la Arsis;

Salaam.

Mimi nitaendelea kufundisha kuhusu Adam na mengineyo kidogo kidogo, nikirudi nitauliza maswali kwa niliokwisha yafundisha, unaruhusiwa kutazamia majibu au kujibu ulivyoelewa wewe. Ni elimu kubwa sana ya Kiislam.

Nafahamu wengi sana humu ni mara ya kwanza kusikia hilo na hawaielewei Qur'an lakini wanajifanya wabishi kwa kutokuelewa kwao. Nawajulisha kua, Adam kumuongelea hakututoi kwenye akida kabisa. Wasiogope, kama hawajui akida ni nini katika Uislam waulizew Masheikh zao, itakua ngumu sana kuacha kubishana kijinga ikiwa hata akida ya Kiislam ni nini, wataanza kusema kila kitu ni kufuru.

Uislam hauna mipaka ya elimu, lakini elimu Kiislam ni lazima iwe na ushahidi, ushahidi wetu wa kwanza ni Qur'an na Qur'an haina ushahidi aina mbili tofauti, ama Adam ni mtu wa kwanza ama sio mtu wa kwanza. Ama Hawa yupo kwenye Qur'an ama hayupo Wawache kuongea hewa, hata alienza kumita Hawa, Hawa analijua hilo, kwanni amuite Hawa, nyie Waislam hamjui neno hewa kwa kiarabu linaitwaje? Kama mmejua, sasa katafuteni limetokea wapi.

Nawapa tanbihi Waislam ingienii kwa gea ya elimu, mwisho wa siku bisheni au pingeni mchoke, lakini tunzeni kauli zenu. Mboa Waislam wakubwa wakubwa wa kuanzia zamani wamehitilafiana, hata madhehebu yenu milopachika majina ya watu wote wamehitilafiana au hamjui hilo?

Tuhitilafiane kielimu, sio kijinga jinga.

Mimi sina dhehebu pia wa imani zote lakini naifata Qur'an.

Waislam hamjui watu waloitwa kwanza Wakristo huko Syria ni Wafuasi wa Yesu ambae mnasema ni Muislam, mapagani waliwashngaa misimamo yao, kuwaita Wakristo ni kama leo Muislam uitwe Muhammdan. Kuitwa mkristo a Muhammadan ni kupondwa pondwa na mapagani, kua Muhammadan au kua Mristo sio sifa nzuri kabisa.

Bora hata mabaniani wanasema wao ni Brahmim tena walewa tabaka ya juu kabisa, wanaheshimiwa sana na mabaniani wote. Brahmim maana yake ni wa Ibrahim.
Arsis.
Naunga mkono hoja endelea na somo la Adamu, Binafsi nakufatilia kwenye maswali nitauliza, Uliishia kwenye mfano wa mbu na lisan endelea na somo.
 
Maandiko ya Yesu kukumbwa na Jini kwenye Biblia yanapatikana wapi? Hata sasa tunayapitia majaribu la Umche Mungu au umkufuru utoke kimaisha je hapo mtu anakua kakumbwa na Jini gan?
Huwa sikisii.

Linaitwa Ibilisi. Soma mathayo 4 kuanzia 1 na kuendelea:
 
Hao unaosema "Maulamaa wamehitilaiana" kwenye Qur'an? Tafsiri Ya Qur'an au kwenye Hadith? Au mitazamo yao binafsi tu?

Wewe mjibu kwa mujibu wa unavyoelewa wewe. Sio "ulamaa". Kama huelewi sema "sielewi".
Simba.
Ndugu Simba, Hatuwezi acha kuelezea tofauti za maulamaa kama kuna ikhtilaf ni jambo la msingi sana katika kujifunza.
Hii ni kutokaana na ukweli kwamba kila mtu ana angalia jambo kwa uelewaa tofauti hivyo kuna jambo ulamaa fulani anaweza kulitizama kwa udogo asione baadhi ya mambo na mwingine akaliangali kwa ukubwa akaona baadhi ya mambo ambayo mwenzake hajaona sasa wewe uki ignore kuwasoma hawa maulamaa huoni kuna mambo utashindwa kuyang'amua kwani huenda na wewe usione baadhi ya mambo.
Binafsi napenda kufuatialia tofauti za maulamaa kisha naangali hoja za nani zina nguvu nachanganya na uelewa wangu ndio napata hitimisho nibaki na msimamo upi.
Kikubwa zaidi ni kuwa maulamaa hawa reference kubwa yao ni Quran na hadithi utofauti utakuja katika uelewa tu kwenye baadhi ya mambo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom