Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Hahaha Du basi hata humu yamo ukiwa mmoja wao.Bana nina swali lingine hivi mtu anaweza kuliona jini asipokuwa na madawa au ndio hivyo anaweza kuliona ila asijue kama ni jini
Ndio.
Simba.
 
Asipokujibu hapa asikupotezee mda wenye hekima zetu tunaelewa


Tufuatilie mada ya arsis tuone atatufikisha wapi
Atakupa elimu kubwa sana ambayo hujawahi hata kuifikiria wala hukuitarajia kama utaipata JF.

Ulitarajia kua utaelewa kua Adam hajatajwa kua ni mtu wa kwanza kuumbwa kwenye Qur'an?

Ulitarajia kua Muislam utatafuta jibu la Hawa umemtoa wapi usilipate au uwe na kigugumizi kujibu?
Simba.
 
Thanks for this very interesting thread, please do us a favour, compile all episodes into thread starter.

Nimesoma page one nikavutiwa sana, nilipokuta kuna pages 128!, nikaishiwa nguvu!.
Please do the needful. Hii story ukiiweka kwenye kitabu kitakuwa best seller!.
P
Una point lakini labda apate editor maana hana taaluma ya uandishi ameandika kila kitu ambavyo kimsingi angeweza kuskip ajikite kwenye story ambayo watu wana shauku ya kuisikia kuliko kuingiza mpaka alipanda bajaj namba fulani akashuka chalinze akanywa soda and so on.

Katika page 10 story yake ilitosha page 4 tu halafu ndio ndio tuendelee na Q&A.
 
Bwana simba nashauri kitu kimoja,ebu kazi yako sasa iwe visa vya arsis na mada yake ya adam tu

achana na kujibu maswali unapoteza mda,nasi tutakuwa na subira kufuatilia mada,akimaliza kama tuna la kuhoji,kuchallenge na kuuliza tutafanya
 
Post namba 2623.
Simba.
Asante nimeona nitalielezea kwa undani zaidi
Bwana simba nashauri kitu kimoja,ebu kazi yako sasa iwe visa vya arsis na mada yake ya adam tu

achana na kujibu maswali unapoteza mda,nasi tutakuwa na subira kufuatilia mada,akimaliza kama tuna la kuhoji,kuchallenge na kuuliza tutafanya
Naunga mkono hoja
 
ASILI YA MAJINI -- 1
Katika mada hii tutaanza kuangalia asili ya hawa viumbe kwa mujibu wa Quran na hadithi.
Majini ni Viumbe walioumbwa na ALLAH, Viumbe hivyo vimeumbwa kwa mwale wa moto kama quran inavyosema katika Sura Al-Hijr (15:27)

وَالْجَانَّ خَلَقْنَاهُ مِن قَبْلُ مِن نَّارِ السَّمُومِ - "And the jinn we created before from smokeless fire"
Tafsiri '' Na majini tuliwaumba kabla kutokana na moto''
Aya hii inaonesha kuwa majini wameumbwa kutokana na moto na hapa nikuelezee kidogo ikiwa majini wameumbwa kutokana na moto na tunajua kuwa moto unatoa joto ambalo ni form of energy ukirudi katika sayansi utaona kuwa Energy can be transform from one form to another kama ilivyo katika law of conversation of energy ilivyo elezwa na Robert mayor mwaka 1842 hivyo basi ikiwa jini kaumbwa na moto na moto unatupa form of energy ambayo ni Thermal energy na energy hii inaweza kubadilika kutoka form moja kwenda nyingine ndio maana Majini wanaweza kubadilika katika namna tofauti.
Lakini pia aya hii inatupa jibu kuwa ndio maana hatuwezi kuwaona majini katika umbo lao kwani wakiwa katika umbo lao wanakuwa kama form of energy ambao huwezi kuwagusa au kuwaona bali unaweza kuhisi uwepo wao kama vile ambavyo huwezi kuligusa joto ila unaweza kujua hapa kuna joto kupitia ngozi yako either utaungua au jasho litakutoka au mfano mwingine huwezi kugusa mwanga ambao tunasema ni light energy ila unaweza kuhisi mwanga kwa giza kuondoka au mwangaza kuongezeka.
Sasa swali linakuja ikiwa hatuwezi kuwagusa au kuwaona vipi baadhi ya watu wanasema mameona majini au wametokew na majini? Hapa jibu ni kuwa wamewaona katika umbo ambalo sio asili yao yaani jini amekuja katika form ya mwanadamu au mnyama au akajidhihisha kwa sauti tu.
Tuje katika hadithi Je hadithi za bwana mtume zinasemaje juu ya asili ya viumbe hivi. Nitarudi kuhusu hadithi za mtume
Tupe elimu
 
Nitaendelea inshaallah, Nilibanwa kidogo na kazi kama kuna jambo hujaelewa uliza mkuu kadri nitakavyokuwa naendelea utaona swali lako linaanza pata majibu.
Lengo langu nataka uelewe sio kukupa majibu ya shortcut.
Kwa ulivyoelezea nimekuelewa hadi sasa sijapata swali bado.
 
Bwana simba nashauri kitu kimoja,ebu kazi yako sasa iwe visa vya arsis na mada yake ya adam tu

achana na kujibu maswali unapoteza mda,nasi tutakuwa na subira kufuatilia mada,akimaliza kama tuna la kuhoji,kuchallenge na kuuliza tutafanya
Nimekusoma, hujajibu maswali.

Binafsi nikiulizwa sio ustaraabu wala tabia njema kutokujibu, hicho unachonifundisha nikifanye sio Uislam unavofundisha.

Wewe kama hauna tabia ya kujibu maswali unapoiulizwa . mimi sina tabia hio.

Allah anatufundisha kuulliza na kujibu, soma Surat AlMuta'affifiin. na sehemu nyingi kwenye Qur'an. Ikiwa Allah mwenye akiombwa anajibu, mimi nani nikatae au wewe nani unifundishe kinyume na Uislam? Kwa kujua au kutokujua.

Tusome Qur'an ndio mwongozo wetu wa kuishi kila siku.
Simba.
 
ASILI YA MAJINI -- 1
Katika mada hii tutaanza kuangalia asili ya hawa viumbe kwa mujibu wa Quran na hadithi.
Majini ni Viumbe walioumbwa na ALLAH, Viumbe hivyo vimeumbwa kwa mwale wa moto kama quran inavyosema katika Sura Al-Hijr (15:27)

وَالْجَانَّ خَلَقْنَاهُ مِن قَبْلُ مِن نَّارِ السَّمُومِ - "And the jinn we created before from smokeless fire"
Tafsiri '' Na majini tuliwaumba kabla kutokana na moto''
Aya hii inaonesha kuwa majini wameumbwa kutokana na moto na hapa nikuelezee kidogo ikiwa majini wameumbwa kutokana na moto na tunajua kuwa moto unatoa joto ambalo ni form of energy ukirudi katika sayansi utaona kuwa Energy can be transform from one form to another kama ilivyo katika law of conversation of energy ilivyo elezwa na Robert mayor mwaka 1842 hivyo basi ikiwa jini kaumbwa na moto na moto unatupa form of energy ambayo ni Thermal energy na energy hii inaweza kubadilika kutoka form moja kwenda nyingine ndio maana Majini wanaweza kubadilika katika namna tofauti.
Lakini pia aya hii inatupa jibu kuwa ndio maana hatuwezi kuwaona majini katika umbo lao kwani wakiwa katika umbo lao wanakuwa kama form of energy ambao huwezi kuwagusa au kuwaona bali unaweza kuhisi uwepo wao kama vile ambavyo huwezi kuligusa joto ila unaweza kujua hapa kuna joto kupitia ngozi yako either utaungua au jasho litakutoka au mfano mwingine huwezi kugusa mwanga ambao tunasema ni light energy ila unaweza kuhisi mwanga kwa giza kuondoka au mwangaza kuongezeka.
Sasa swali linakuja ikiwa hatuwezi kuwagusa au kuwaona vipi baadhi ya watu wanasema mameona majini au wametokew na majini? Hapa jibu ni kuwa wamewaona katika umbo ambalo sio asili yao yaani jini amekuja katika form ya mwanadamu au mnyama au akajidhihisha kwa sauti tu.
Tuje katika hadithi Je hadithi za bwana mtume zinasemaje juu ya asili ya viumbe hivi. Nitarudi kuhusu hadithi za mtume
Binafsi naona suala la Majinni linaenda sambamba na suala la Adam.

Kwa mtazamo wangu zote ni lebo tu.

Naomba kuuliza swali, kwako au yeyote yule anaeweza kujibu, ikiwemo Arsis.

Hivi ni nini tofauti ya Iblis, afrit, jinni, jaan, insan, bashar, shetan, adam, Khalifa, malaika, ruh, nafs qareen, nabii, rasul?

Yote hayo yapo kwenye Qur'an.
 
Kuamini kila mtu anaweza amini, Hoja sio kuamini ni kuthibitisha kile unacho kiamini ndio maana wakristo wanaamini Yesu ni Mungu lakini waislamu hatuamini hivyo sasa inapotokea hoja kama hiyo inabidi kila mtu athibitishe, Hivyo bwana simba thibitisha kuwa kuna adamu wengi.
Maoni ya Mei 7, 2018
Sheikh Mohamed Metwally El Sharawy, msomi maarufu wa Tafseer katika zama zetu za kisasa alisema:و ما آدم في منطق العقل واحدٌ.. و لكنه عند القياس اوادم.. في اوادم كتيرة قويambayo inatafsiri kama; Adamu kimantiki inaweza kuonekana kuwa moja,ila kuoitia uchambuzi na uchunguzi wa Qur'an, furahia video na chukua muda kutafakari.



Transcript;

0:00
And why do we not take this verse in consideration?[2:30] Lo! I am about to place a viceroy in the earth,
0:04
So we are viceroys in the capability to create things thatwork for us and react to us.
0:08
Maybe that is why He said: [23:14]So blessed be Allah,the Best of creators! Maybe?
0:11
“To walk the Earth” That is easy. It is understandable.
0:13
But perhaps there was another viceroy before us?
0:16
And using this verse as evidence[2:30] they said: Wilt thou place therein one who will doharm therein and will shed blood,
0:20
while we, we hymn Thy praise and sanctify Thee ?That means the Angels knew that there was bloodshedand other things happening.
0:24
That there was harm doing. So, there must be anotherworld where this happened.
0:29
And why don’t we interpret this verse? [6:133] If He will, He can remove you
0:33
and can cause what He will to follow after you,
0:36
Even though we are valuable to God. It can happen
0:41
So don’t speak against what has happened for millionsof years, and say it contradicts with what the Quransays.
0:46
Because when they calculate how long ago was Adamcreated, they find out it was a lot less than that.
0:50
And we tell them, Adam was not the first life to becreated on Earth.
0:53
It is very possible that there were many, many creationsbefore him.
0:55
And what was said before?
0:57
Adam logically might does not seem to be one, and through observation, there are many Adams.
1:02
There might have been a lot of life before us.[6:133] even as He raised you from the seed of otherfolk What does he mean by this?
1:08
That this isn’t something God hasn’t done before. So? Itcan happen again.
1:11
Maybe there is another creation,
1:14
another world. Another creation that accepts God, butdoes not innovate with what He gave them.
1:17
And the best human trait is the ability to accept whatGod has given us, and innovate to create what is new.
1:24
To accept things as they are? To not use your brain tocreate something? That is not how we are
1:31
What do we do? We invent and create things and that iswhy He said [23:14]So blessed be Allah, the Best ofcreators!
1:37
So that means that there is life, which takes what Godgives, and does not add to it.
1:41
And we excelled because we accept what God hascreated, and we add to it.
1:45
But still there remains a huge difference.
1:48
We add what we couldn’t give life.
1:51
Whatever humans create, stays as it is, and it does not populate.
1:57
As I said, we cannot get 2 cups, put them in a room together, and tell them to make us more cups.
2:01
No. That is not possible. We do not hold the secret to life.
2:04
But it is possible that there is another creation of God.
2:08
Not just Adam So for example, if some people go to analyze some things.
2:13
And they find its age.The carbon…
2:18
The carbon radiates, and gives us the age of anything.
2:22
Carbon dating will always give us it’s age.They get some things, burn it into charcoal,
2:26
see how much carbon it radiates and they are able to give anything an age
2:29
You can plant a tree with your own hands.
2:32
2:34
Wait for it to grow until it is this big, and you’ll know how old it is.
2:37
But if you did not plant the tree, you can still cut it
2:43
and look at the rings inside the tree trunk.
2:46
All these rings… each ring is worth one year.
2:49
Each ring… one year.
2:51
Do you know any botany? Each ring is worth one year.
2:55
And that is why the tree trunk keeps expanding,
3:00
and tells us its age.
3:03
When you cut it, you will find the rings inside. These rings specify its age.
3:07
Now if you bring this same tree trunk, burn it into coal,
3:12
3:13
then look at its carbon radiation, it will also give you its age.
3:16
So we can be completely sure of carbon dating and the ability to find out the ages of things.
3:20
In the same way, we have to be completely sure of God in what He said.
3:23
And that means that Adam was not the first of God’s creations.
3:27
Let them say that the Earth is 1 million, 2 million, or however many years old
3:30
because God did not say that Adam is the first to walk this Earth.
3:33
And until next time
Arsis.
 
Asante nimeona nitalielezea kwa undani zaidi

Naunga mkono hoja
Kinyume na mafundisho ya Kiislam? Mnataka nisijibu maswali yakiulizwa? Au nisichangie mada yoyote mkiianzisha ndani ya mada ziliopo? Au sijawaelewa?
Simba.
 
Una point lakini labda apate editor maana hana taaluma ya uandishi ameandika kila kitu ambavyo kimsingi angeweza kuskio ajikite kwenye story ambayo watu wana shauku ya kuisikia kuliko kuingiza mpaka ulipanda bajaj namba fulani ukashuka chalinze ukanyaa soda and so on.

Katika page 10 story yake ilitosha page 4 tu halafu ndio ndio tuendelee na Q&A.
Wazo lako zuri sana. InshaaAllah kifikia hatua ya kuchapa kitabu nitatafuta wataaalmu wa mambo hayo.

Qur'an inatuhimiza tuulize wajuao tusilololihjua.
Simba.
 
Mkuu asante kwa kumuelewesha kwa kutumia lugha rahisi nkabisa Mimi nilikuwa nadhani labda lugha ninayotumia ni ngumu ndio maana haelewi.
Bwana Simba kubali kuwa katika historia ya uislamu zunguka utakavyozunguka Adamu katajwa kuwa mwandamu wa kwanza, Kama una hoja za kutaka kuichallenge quran na maneno ya wanazuoni ziweke si vibaya kufanya hivyo lakini ubishi usio na msingi hautasaidia badala ya kujaza server za JF kwa mambo yasiyo namsingi mwambie Arsis aendelee na darsa kwenye swali na hoja za kuchallenge maneno yake ataulizwa.
Hayo maneno yako ungeyaandika ungekua umeta aya za Qur'an zinazoonedha kua mtu wa kwanza kuumbwa ni adam, ningekuelewa. Au ungeleta wanazuoni wako wanasema nini?

Mimi nimesema hakuna hio kwenye Qur'an na pia nilisema Adam wapo wengi kwenye Qur'an.

Usifikiri nayatoa hayo kwa kukisia kisia. Hayo ni mafundisho kutoka kwa wanazuoni wakubwa wanaojulikana duniani, tena wa Kimataifa. Mmoja wapo nimeleta video clip yake hapo post namba 2652 umuone, msikilize anasema nini halafu uje kujibu kielimu.
Simba.
 
Arsis muulize kuhusu Ummu Subiyan nasikia ana jinsia 2 me na ke na huyu ndo vijana humuota waki baleghe anawafanyisha mapenzi embu bwana Arsis atoe elimu kuhusu hilo.
Ummu Zubian kwa lugha ya Kiarabu inamaanisha Kubwa la Masubiani, kama vile tuasema "ummu Al Quraa" tukimaanisha mkubwa wa majiji.

Subian linamaanishwa watu wa Saba au Sheba (Wahabashi),Umeelewa?

Kua na jinsia mbili mbona watu wengi huzaliwa hivyo? Wapo ambao zote zinafanya kazi, wapo ambao mojawapo tu inafanya kazi. Ni mambo ya kaida sana hayo wala sio muujiza.

Wazungu wanawaita "Eunuchs", Waarabu na Waswahili tunawaita "khuntha". Labda huwasikii kwa sababu hawajitokezi kujionesha au kujitangaza isipokua walio wachache.

Kama wapo watu wa namna hio basi na majini pia wapo wa namna hio.
Simba.
 
Daah! Bro ako yuko vizuri kwakweli nimependa jinsi anavyosisitiza kuwa Sunni wao hawataki kufanya kitu wasicho na uhakika nacho iyo inaonyesha ana elimu juu ya msingi wa Sunni .
Asante sister, Jazakallah khair
Waislam mmegawanywa kisiasa ili mtawaliwe na mmegawanyika kweli kweli. Kwanini mna usunni, ushia, na mengine kibao. wenye ushia nako kunagawanyika , kwenye usunni nako kunagawanyika, mmeyatoa wapi hayo kwenye Uislam?

Nashukuru mimi ni Muislam tu. Sio yote hayo na ni yote hayo.
Simba.
 
Nimekusoma, hujajibu maswali.

Binafsi nikiulizwa sio ustaraabu wala tabia njema kutokujibu, hicho unachonifundisha nikifanye sio Uislam unavofundisha.

Wewe kama hauna tabia ya kujibu maswali unapoiulizwa . mimi sina tabia hio.

Allah anatufundisha kuulliza na kujibu, soma Surat AlMuta'affifiin. na sehemu nyingi kwenye Qur'an. Ikiwa Allah mwenye akiombwa anajibu, mimi nani nikatae au wewe nani unifundishe kinyume na Uislam? Kwa kujua au kutokujua.

Tusome Qur'an ndio mwongozo wetu wa kuishi kila siku.
Simba.
Sawa boss
 
Arsis muulize kuhusu Ummu Subiyan nasikia ana jinsia 2 me na ke na huyu ndo vijana humuota waki baleghe anawafanyisha mapenzi embu bwana Arsis atoe elimu kuhusu hilo.
Ummu Subian kwa lugha ya Kiarabu inamaanisha Kubwa la Masubiani, kama vile tunasema "ummu Al Quraa" tukimaanisha mkubwa wa majiji. Sio mama wa majiji kama ilivyoandikwa "ummu". Huo ni mfano hai wa ulimi "lisan" "lexicon or locution" anaoifundisha Arsis kuhusu Adam hivi sasa.

Subian linamaanishwa watu wa Sheba (Wahabashi. Umeelewa?
Simba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom