Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Acha hasira
Jifunze tu na vingine.
Umeambiwa mbingu saba sasa unajua elimu ya shehe wako ni ya mbingu ipi?
Pia ya Arsis unajua ni ya mbingu ipi?
Mimi ni mkristo kiimani. Haya yanayoongelewa hapa ktk imani yetu ya kikristo hakuna hata moja. Ila nafaidika kuisikia imani ambayo sina
dada huyu niliposkia audio ya saut yake nikajua wa swahilini sana.na uelewa wake mdogo. mwanzo mwanzo alikua so interested na majini na akasema anayo alipo challengiwa na kaka yake amekua na hasira ambayo nashamgaa sana
 
Cha kujiuliza, Qur'an ambayo haina shaka ndani yake imesema ni wapi? Au imeelezea tu Majini waliisikia Qur'an wakasema hakika hii ni ajabu?

Hapo ndio tunapoata kujiulzia hizo hadithi ambazo sio Qur'an ni za nani na tuifate ipi kati ya hayo masimulizi matatu?

Mimi nasema, kama Qur'an haijasema wapi, na hadithi tatu zinataja sehemu tofauti, basi hizo hadithi sio za kufata na tuifate Qur'an tu ilivyosema, kama haijata sehemu hatuna sababu ya sisi kuiongezea kwa ubunifu wetu. ibaki kua haijatwa sehemu.
Simba.
Hapa ndipo kwenye point ya Arsis hata kwenye mjadala wa Adam hapa ndipo point yake ilipo
 
Arsis.
Kama hazina sawa, Mimi nishakupa zenye kisa cha adamu.
Muite Arsis ajibu maswali yamekuwa mengi
Kwa hio hadithi zako zinaenda tofauti na Qur'an?
Simba.
 
Nime unsubscribe na ku ignore post mpaka na Arsis wake over and out tutakutana nyuzi zingine.
Wana JF wamenishauri niombe msamaha, mimi nani nikatae? Ikiwa Allah anatusamehe makosa yote kasoro kushikisha?

Nisamehe sana kwa kosa lolote nililokufanyia, mimi ni Adam bin Adam, kuna makosa mengi nayafanya bila kujijua. Ni imani yangu kua utanisamehe bila masharti.

Kwa upande wako, nakuhahakishia sijaona kosa lolote ulilonifanyia.
Simba.
 
Hizi story si ndiyo sawa na zileeeee...

Yaani itaendelea na itaendelea alafu there's nothing au business strategic planning ya kutuita kuaguliwa!!.
Kama una matatizo tukikijua cha kukuagua tukufundishe ujiague mwenyewe na wewe uague wengine.
Simba.
 
Siyo kweli... kuna mtu mwanaume na mwanamke waliumbwa kabla ya Adam na mkewe...mwanzo 1 : 27
Mwanzo 1:26-27
[26]Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.
And God said, Let us make man in our image, after our likeness: and let them have dominion over the fish of the sea, and over the fowl of the air, and over the cattle, and over all the earth, and over every creeping thing that creepeth upon the earth.
[27]Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.
So God created man in his own image, in the image of God created he him; male and female created he them.
 
Siyo kweli... kuna mtu mwanaume na mwanamke waliumbwa kabla ya Adam na mkewe...mwanzo 1 : 27
Mwanzo 2:21-23
[21]BWANA Mungu akamletea Adamu usingizi mzito, naye akalala; kisha akatwaa ubavu wake mmoja, akafunika nyama mahali pake,
And the LORD God caused a deep sleep to fall upon Adam, and he slept: and he took one of his ribs, and closed up the flesh instead thereof;
[22]na ule ubavu alioutwaa katika Adamu BWANA Mungu akaufanya mwanamke, akamleta kwa Adamu.
And the rib, which the LORD God had taken from man, made he a woman, and brought her unto the man.
[23]Adamu akasema, Sasa huyu ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu, basi ataitwa mwanamke, kwa maana ametwaliwa katika mwanamume.
And Adam said, This is now bone of my bones, and flesh of my flesh: she shall be called Woman, because she was taken out of Man.
 
Siyo kweli... kuna mtu mwanaume na mwanamke waliumbwa kabla ya Adam na mkewe...mwanzo 1 : 27
Ukiangalia hayo maandiko hapo utagundua kulikuwa na uumbaji mara mbili.
Uumbaji wa kwanza Mungu aliumba mtu kwa mfano wake.
Wakiwa mume na mke.

Hilo andiko la pili mwanzo 2:21-23 Mungu akamuumba mwanamke kupitia ubavu wa Adam.
Hapo inaonesha Adam hakuumbwa mara mbili ila mwanamke alikumbwa mara mbili.
Mwanamke aliyeumbwa kwanza watakuja wajuvi watueleze alikwenda wapi.
 
Kisa cha Adam; Utangulizi 2

Salaamoun Alaikoum.

Ni nini mbu?

Licha ya Tafsil na Lisan, mbinu muhimu sana iliotumika ndani ya Qutr’an ni ‘dhikr”, dhikra kwa tafsiri za wengi ni ukumbusho, hapa tunalitumia neno ‘dhkr’ kumaanisha visa na hadithi za ndani ya Qur’an, kama tulivyoeleza kwa uchache juu huko, kua asilimia zaidi ya 60 ya Qur’an ni visa na hadithi mbali mbali, visa na hadith hizo ndizo dhikr zenyewe. Hili la dhikr ni somo la kipekee ambalo kila tunavooendelea na hiki kisa cha Adam tutaliona umuhimu wake.

Kwa hio mpaka sasa tuna mbinu tatu za kuifahamu Qur’an, “Tafsil, Lisan na Dhikr. Mbinu zote hizo sio za kubuni wala za kutoa kwingine kokote ni za ndani ya Qur’an. Tutaendelea kuzionesha kila zinapotumika kwa Ushahidi wa ndani ya Qur’an.

Kama kuna yeyote katika mada hii hajaelewa kitu au hajaelewa kuhusu hizo mbinu, anaruhusiwa kuuliza swali.

Hapo juu, tumeweka aya Q2:26 inayojulikana kama aya ya mbu, tarjama iliotumiwa hapo na Sheikh Muhsin Barwani haikuzingatia mbinu za ndani ya Qur’an tulizozitaja hapo juu. Yaani, Tafsil, Lisan na Dhikr. Nalo hilo limejitokea kwa wanazuoni wengi wa tarjama.

Ukizisoma tarjama maarifu za Kiswahili, ile ya zamani ya Sheikh Abdallah Farsy, utaona ina maneno kadhaa ambayo ni tofauti na alioyatumia Sheikh Muhsin Barwani. Hivyo hivyo kwa tarjama za Qur’an za Kingereza, kila alietarajama kutumia baadhi ya maneno tofauti na mwengine, hilo lnajionesha wazi kwenye hizo tarjama. Ambazi zipo nyingi zaidi ya za Kiswahili.

Katika kuzipitia hizo tarjama nilizozitaja hapo juu, nimegundua kua watarajama wengi, kama si wote, wamefata wa tafsiri wa Qur’an ambao hawajazingatia mbinu za ndnai ya Qur’an. Kwani kila mtafsiri kaleta maana zingine zinatofautiana na mgtafsiri mwengine japo kwa uchavche kama si wingi. Hio inamaanisha ujumbe kusidiwa wa Qur’an hatufikii kama ulivyo kwa lugha ya Kiarabu, kwa kusudio la kua mwongozo ambao kila mmoja anatakiwa aufikishe kama ulivyo kwa lugha yake ya asili iliotumika au ukaribiane kabisa ki maana na kusudio la kufikishwa kwetu mwongozo huo na Allah.

...
 
Hapa ndipo kwenye point ya Arsis hata kwenye mjadala wa Adam hapa ndipo point yake ilipo
Hapo mwamba amenikosha sana.

Hayo yapo nengi sana, nimessazozomokewa na Waislam hapa JF kwa kuhoji kama hayo.

Haya, waje kupambana na Mwamba, wamjibu hapo.

Kauliza kiulaini kabisa. Ndipo anaponifurshisha mimi, kaanza kutupa elimu ya Adam. Natamani aende spidi.

cc: Arsis.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom