Theworldaswehavecreateditisaprocessofourthinking.ItcannotbeDuniani watu wabaya ni wengi kuliko wema kama ndivyo hivyo kwa majini sasa mbona uovu hautaisha duniani mpaka muumba aingilie kati.
changedwithoutchangingourthinking.
—AlbertEinstein
Theworldaswehavecreateditisaprocessofourthinking.ItcannotbeDuniani watu wabaya ni wengi kuliko wema kama ndivyo hivyo kwa majini sasa mbona uovu hautaisha duniani mpaka muumba aingilie kati.
bado hujaeleweka kuhusu huu mwenge wetu wewe umeelezea tu historia yake ila sisi tunataka kujua kuna siri gani iliyojificha kwenye mwenge huo na kwanini wanautembeza mwenge nchi nzima tendo hilo maana yake nini faida zake zipi na je,kama nchi ikiacha kuukimbiza huo mwingi kuna je,madhara yoyote kwa taifa letu na pia haiwezekani kuachana nao au ndo utaendelea kutembezwa tu milele.?Arsis; Swali zuri sana hili. Ngoja niigie ndani zaidi kidogo ili watu wengi wapate kuelewa.Hio ni ibada ya kishetani.
Kama mnakumbuka mnaoufatilia huu uzi, wakati tunafafanua kidogo huko nyuma kuhusu Subian tukaelezea kua Subian linatokana na Saba, Sheba (Abysinia) au habashia Kiarabu. Waarabu wakisema Subian wanamaanisha mtu wa kutokea Saba au mwenye asili y Saba au ana nasaba ya Saba.
Sabb ndio utawala ambao wengi wanaamini wakati fulani ulikua na mtawala mwanamke (malkia), mwanamke mwenye nguvu, hakima, busara na mali nyingi sana. Huu utawala uliabudu nhota na moto lakini baadae wengi wakaamini vingine. Miaka mingi baadae wapo ambao wamekua Wayahudi, wapo ambao wamekua wakristoo, wapo ambao wamekua Waislam. Wapo ambao wamebaki kua ni Wasabai na Wapo wanaabudu nyota na moto.
Pia kuna ambao wamebaki na mila hizo za saba kwa kupitia mizimu (jini) ya zamani. mizimu na majini wengine ni roho ambazo hazijaingia kwenye umati. Watu wanaouliwa wengi wanakua wamekufa mwili lakini roho zi hai, hazijaigia kwenye umauti. Ndio hubaki kua mizimu, kua majini na wengine huita Qareen au wengine ruhani. Majini ni wengi ni roho za watu.
Hapa ielewedke zote ni roho, hakuna roho ya kibinadam au kijini bali miili ndio ipo ya kibinadam, na viumbe wengine. Roho inaweza kukaa kwenye mwili wowote.
Kwa bahati nzuri au mbaya hii Ardhi huko ziwa victoria, chanzo cha mto nile, ndio iikua moja ya njia kuu za kwenda na kurudi kati ya kaskazini na Kusini. Kuna makabila ya kando ya ziwa, yana mizimu ya kisaba "subian" ina nguvu na inadai watu waelewe nguvu yao na uwepo wao kwa kugtumia moto. Wanaoamini hio miziu inaweza kuwalina na kuwapa mafanikio ndio waliouanzisha huo mwenge.
Mwenge sio hapa kwetu, upo mpaka wanaoita michezo ya olympics. Upo mpaka makanisani, kanisa katoliki linaongoza. kwa kuwasha nwenge wa kuwatukuza ma Subian.
Pia ieleweke hawa masaba wanaamini wana kitabu cha Yahya kwa Waislam na Wayahudi, John kwa wazungu.
Hilo suala linagusia mambo mengi sana, nimejaribi ufanya kwa ufupi sana. Ni elimu kiubwa sana ya mtu kupata PhD kwa sabu yote utaweza kuitetea kwa ushahidi au wa moja kwa moja au wa kimazingira.
Binafsi naamini Yahya ni kaka yake Isa na mama yao ni mmoja Mariam, Meritaton.
Natumai imeeleweka.
Arsis.
Hahahhaah.Wewe lete mkasa tusome ndo unakiweza hufurahia, elimu huna wala huyo Arsis wako, hakuna wajinga humu wa kupotoshwa na elimu sio 😀
Hili niliwahi kumuuliza Arsis zamani sana, mimi nitaweka kwa ufupi tu nilivyoelewa. Mkipenda kulijua zaidi chokonoeni atakuja.Mkuu Arsis Vp swala la nyota limekaaje!? Kuna uwezekano nyota yako ikazibwa na watu au ikatumiwa na watu wengne? Naomba ufaham hapo.
Kivuli kikiwa kimeibiwa na hayo mashetani njia gani unaweza tumia kukirudisha!. Je Kuna mtu anaweza kuwa amezaliwa na kivuli(nyota) chenye mikosi na mabalaa anaweza tumia njia gani kuondoa hio mikosi kama ndivyo.Hili niliwahi kumuuliza Arsis zamani sana, mimi nitaweka kwa ufupi tu nilivyoelewa. Mkipenda kulijua zaidi chokonoeni atakuja.
Alisema nyota ni mapambo kama anavyosema muumba wetu wenye Qur'an. Isipokua mashetani ili kukuaminisha wamevumbua mbinu ya kusema nyota. Wanachofanya ni kuita mashetani ya kijini kupata habari zako au za mwwengine na kuiba kishetani kivuli chako.
Hapa kuna somo lingine la nini "kivuli" chako, hili atakuja kuliezea bingwa mwenyewe mkimuuliza.
Simba.
Arsis Mimi nitakupa mitihani miwili, ukiyafanikisha basi wewe ni katika Wenye Kuadhimishwa.Anatisha, mimi kishaniita simba ushuzi, mara mbili tatu, naogopa hata ku comment.
Naamini jina lake sio FaizaFoxy, ni ID tu aliojipachika JF, lakini imemkaa kwa ujeuri wake, kina Faiza wengi niliokutana nao au kuwasoma ni jeuri sana. Huyo sio fox ni 100% lioness wa mkuranga.
Simba.
Hakuna anaezaliwa na nuksi yoyote. isipokua tunaweza kupta hasad, kijicho, toka siku ya kwanza tu tunayozaliwa, Tunaweza kufanyiwa uchawi toka siku ya kuzalima. Tumboini kwa mama hakuna awezae kukuroga hata awe mchawi vipi. Hakuna uchawwi wa kukupata tumboini kwa mama toka siku mimba inatungwa mpka unazaliwa. Ukitoka duniani, ndio kuna mengi yanaweza kukupata. Lakini kwa tabu sana, bado unakua na ulinzi wa malaika mpaka unakua. Dua ni kitu muhimu sana na zinafanyakazi kiajabu sana kuliko tunavyofikiria. Hili ni somo la siku za usoni.Kivuli kikiwa kimeibiwa na hayo mashetani njia gani unaweza tumia kukirudisha!. Je Kuna mtu anaweza kuwa amezaliwa na kivuli(nyota) chenye mikosi na mabalaa anaweza tumia njia gani kuondoa hio mikosi kama ndivyo.
Arsis Mimi nitakupa mitihani miwili, ukiyafanikisha basi wewe ni katika Wenye Kuadhimishwa.
Nataka uniletee vitabu viwili
1. Al Ghazaali (Sio Imam Al Gahazali).
2. Shams Al Maarif Al Kubraa.
Muulize huyo Arsis kuhusu khabari hizi, Kisha avilete hivi vitabu, nami nitakuja kuvichukua au kuviona ikishindikana.
Kwa imani ya kiislamu hakuna malaika ambaye amewahi kumuasi munguDogo
Malaika waliopew adhabu na kutupwa duniani baada ya kumwasi mwenyezi mungu walikuwa na tofauti gani na hao wengine...?
Nimeelewa ni ushetani tu. Hakuna ushetani wenye faida.bado hujaeleweka kuhusu huu mwenge wetu wewe umeelezea tu historia yake ila sisi tunataka kujua kuna siri gani iliyojificha kwenye mwenge huo na kwanini wanautembeza mwenge nchi nzima tendo hilo maana yake nini faida zake zipi na je,kama nchi ikiacha kuukimbiza huo mwingi kuna je,madhara yoyote kwa taifa letu na pia haiwezekani kuachana nao au ndo utaendelea kutembezwa tu milele.?
Waislamu wanatumia biblia kama sehemu ya mijadala na wakristo lkn hawatumii kwa mnasaba waa kumjua Allah,kwasababu qur'an ndio muongozo wetu na wenu piaNashindwa kuelewa kitu. Inakuwaje waalimu wa kiislam kutumia biblia wakati wana kitabu chao?
Duh! Niishie hapoWaislamu wanatumia biblia kama sehemu ya mijadala na wakristo lkn hawatumii kwa mnasaba waa kumjua Allah,kwasababu qur'an ndio muongozo wetu na wenu pia
Wewe acha kupotosha watu hapa hata kidogo,unaposema Mtume hakutafsir qur'an una maanisha nini?Arsis; Swali zuri sana.
Wanatumia bila kujijua, wamekua "brain washed" na hawaelewi tofauti, kwa sababu wanafata tafsiri. Hivi visa na mafundisho ya biblia yaliingizwa miaka mingi sana kwenye tafsiri za Wur'an sio Qur'an yenyewe. Ilianza baada ya kufa Mtume Muhammad.
Mtume, hakuitafsiri Qur'an, wanamzushia eti katafsiri. Mtume hakuna aya zaidi ya 10 au ishirini ndizo alielezea maana yake. Tafsiri zingine zote ni za kutunga au kugtokea biblia au fantasy za waandishi wa tafsiri, kama alfu lela u lela tu.
Mkiependa kujua zaidi kuhusu historia ya hadithi na kuna majina makubwa ya watu wa hadithi kwenye vitabu vyao wanakiri kuna visa wamevielezea kutokana na biblia, hii ni kwa kutokujua ubora na umuhimu wa Qur'an au kwa kudhani watu wataelewa zaidi wakifanya hivyo. Na wengine ni kwa makusudi kabisa ili wapotoshe ubora wa Qur'an.
Pia mkipenda kujua zaidi elimu ya Qur'an bila kutumia hadithi za kujitungia, ulizeni maswali kama hili, yenye nguvu. Kuna njia nyepesi za kila mmoja wetu kuweza kutambua hii hadithi ya kwe;i au sio hya kweli.
Kama mnakumbuka kuna mtu kaleya mstari juu huko, kaupamba kwa Kiarabu nikamuuliza aya ipi hii? Akajibu hadithi, nikamwabia hadithi ipi hio? Hajajibu tena, sasa ananisoma kwa kunusa nusa tu. Namwambia usofanye hivyo, sio elimu hio. Kama yalikua ni maneno ya mshairi sema tu ni mshairi, kama hujui yametoka wapi na uliyasikia tu, sema hayo nilisikia tu lakini sina elimu nayo yametoka wapi.
Tuytumie hili jukwa kujua mengi sana. Ya dini, ya sayansi, ya ulimwengu. Ya dhahiri na siri za kidunia. Tusowe na jazba kama hatujui kitu au tunas shaka nacho, sisi hatuwezi kujua kila kitu, isipokua tunasema umri huongeza maarifa na busra, nadio elimu yenyewe hio.
Hakuna zaidi ya Allah na mafundisho yake.
Arsis.
Vizur boss,mfano nilitumia biblia kuonyesha kuwa wakristo nao wanatumia mapepo kwa utambuzi,ndiyo mijadala yenyewe hiyoDuh! Niishie hapo
Nilishaweka wazi mjadala kuhusu adam nimeuacha huwa sipendi porojoSimba; Watu je? Walikuwepo au hawakuwepo? Namaanisha , mfano wewe ni Etugrul Bey, atakuwepo bin Etugrul Bey kabla yako? Lakini wakati huohuo wanaweza kuepo bin Simba kabla yako.
Naomba kuuliza swali, yeyote anaweza kulijibu; Hivi Adam toka uwepo wake kwa jinsi mnavyosoma mpaka leo imepita miaka mingapi?
Simba.
lMimi
Nimeelewa ni ushetani tu. Hakuna ushetani wenye faida.
Ungekua na faida tusingekua tunahangaika hata maji ya kunywa mpaka leo, miaka zaidi ya 60 ya kuwa nao.
Ujinga tu wa kuabudu mizimu.