Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Andika ka ujavyo, mimi pia sio mwandishi, tena niliandika kuona nakosea swa sana, nikawa nimenza kuandika kwanza , kusahihisha kisha ni post. Arfsis, akanambiausifanye hivyo, andika fanya marekebisho huku unaandika utazowea kuando-ika bila makosa. Ukifanha makosa kama mtu anataka kukusoma na kukuelewa atakuelewa tu.

Najiona nime improve. sasa napitia kila post ninapopata muda nafanya marekebisho.
Simba.
Nikipata muda nitafanya hivo
 
Shida ipo dogo sio mzima mshari mno anatongoza hovyo ukikataa basi ana dislike tu kukera mara atume picha zake za utupu 😁 nikamlamba block naona anaongoza kuwa na I'd nyingi humu na kula bann
Huyo kwel sio mzima,,kwel ana shida mahala
 
Usiseme wanaukumbi.
Sema ndugu zangu Waislamu,
Tujadili mambo yetu ya dini yetu.
لَا أَعْبُدُ مَا تَعْبُدُونَ

[ AL - KAFIRUN - 2 ]
Siabudu mnacho kiabudu;
Una bore sasa, kwani nani kakulazimisha kuwa humu? Nenda jukwaa lingine au kasome mada zingine kama hii inakukera. Kifupi unatutia aibu sisi wakristu wenzako
 
Sasa mbona inasemekana ibilisi kabla ya kuhasi alikuwa malaika.
Au yeye alikuwa malaika wa kipekee ambaye alikuwa na utashi tangu mwanzo??
Na vp kuhusu malaika ambao waliungana na ibilisi kwa ajili ya kuhasi
Huo ni mlengo wa upande wa imani nyingne tofauti na uislamu

Ibilis inasemekana alikuwa anajulikana kama baba wa kusujudu,inasemekana hakuna sehemu ambayo hakuwahi kusujudu hapa duniani,kwahiyo alikuwa mcha mungu sana.

Ndio maana inasemekana alijiona bora na mwenye hadhi,ndio maana ikawa ngumu kumsujudia adam ambaye alimuona alipoumbwa.

Kwahiyo kutokana na hadhi aliyo kuwa nayo kabla hajahasi alikuwa pamoja na malaika kutokana na tabia yake

Kwahiyo kwa mtazamo wa kiislamu ibilisi hakuwahi kuwa malaika hata kidogo,na hakuna malaika ambao walimuasi Allah

Ili nieleweke vizur ,sisi hatuwezi kuruka au kupaa kama ndege si ndio? Basi elewa hata Malaika hawawezi kuasi kwasababu hawana utashi au maamuzi kama sisi na majini tunavyofanya
 
Arsis; Hilo linasababishwa na umasikini na kutokufanya ibada. Mizimu haiwezi kukuadhibu wewe kwa kosa la baba yako au babu yako.

Rudini kwenye njia ilionyooka. Mchawi na shetani wa kwanza wa binadam ni yeye mwenyewe.
Jiulize; Kama unafanya ibada, unafata njia ilionyooka unamuomba MwenyeziMungu,m, kwanini asikulize na yeye ameahidi, nikumbukeni niwakumbuke. Nishukutruni Msinikufuru (kukufuru mmaana yake kumpinga).
Arsis.
Asante, ibada nafanya zote mbili Islam na ukristo ,kanisani naenda na msikitini pia,ila mzee wangu anasema haamini kama Mungu yupo...Anasema pepo na jehanam ipo hapa hapa duniani. Inafikirisha..
 
Simba; Unauliza elimu inabadilisha nini kwenye maisha yetu? Pole sana ndugu yangu.

Point siyo hio, point ilikua kuelimishana na Waislam waache kubishana kwa kutumia biblia. Waelimishe kwa kitabu chao ambacho ni Qur'an. Ndio niwafahamisha wamefikia kuitafsiri Qur'an kwa kutumia visa vya kwenye biblia.

Katika kupeana nasaha elimu bora, sio bora elimu. Umeelewa?

Arsis ana njia za kipekee za kufundisha. Ni mtata sana.

Mkasa wa Unguja unakuja. Baada ya sala ya alfajiri.
Simba.
Nashindwa kuelewa kitu. Inakuwaje waalimu wa kiislam kutumia biblia wakati wana kitabu chao?
 
Arsis
Nini maana, asili na faida ya mwenge wa uhuru? Je mataifa mengine hukimbiza mwenge?
Arsis; Swali zuri sana hili. Ngoja niigie ndani zaidi kidogo ili watu wengi wapate kuelewa.Hio ni ibada ya kishetani.

Kama mnakumbuka mnaoufatilia huu uzi, wakati tunafafanua kidogo huko nyuma kuhusu Subian tukaelezea kua Subian linatokana na Saba, Sheba (Abysinia) au habashia Kiarabu. Waarabu wakisema Subian wanamaanisha mtu wa kutokea Saba au mwenye asili y Saba au ana nasaba ya Saba.

Sabb ndio utawala ambao wengi wanaamini wakati fulani ulikua na mtawala mwanamke (malkia), mwanamke mwenye nguvu, hakima, busara na mali nyingi sana. Huu utawala uliabudu nhota na moto lakini baadae wengi wakaamini vingine. Miaka mingi baadae wapo ambao wamekua Wayahudi, wapo ambao wamekua wakristoo, wapo ambao wamekua Waislam. Wapo ambao wamebaki kua ni Wasabai na Wapo wanaabudu nyota na moto.

Pia kuna ambao wamebaki na mila hizo za saba kwa kupitia mizimu (jini) ya zamani. mizimu na majini wengine ni roho ambazo hazijaingia kwenye umati. Watu wanaouliwa wengi wanakua wamekufa mwili lakini roho zi hai, hazijaigia kwenye umauti. Ndio hubaki kua mizimu, kua majini na wengine huita Qareen au wengine ruhani. Majini ni wengi ni roho za watu.

Hapa ielewedke zote ni roho, hakuna roho ya kibinadam au kijini bali miili ndio ipo ya kibinadam, na viumbe wengine. Roho inaweza kukaa kwenye mwili wowote.

Kwa bahati nzuri au mbaya hii Ardhi huko ziwa victoria, chanzo cha mto nile, ndio iikua moja ya njia kuu za kwenda na kurudi kati ya kaskazini na Kusini. Kuna makabila ya kando ya ziwa, yana mizimu ya kisaba "subian" ina nguvu na inadai watu waelewe nguvu yao na uwepo wao kwa kugtumia moto. Wanaoamini hio miziu inaweza kuwalina na kuwapa mafanikio ndio waliouanzisha huo mwenge.

Mwenge sio hapa kwetu, upo mpaka wanaoita michezo ya olympics. Upo mpaka makanisani, kanisa katoliki linaongoza. kwa kuwasha nwenge wa kuwatukuza ma Subian.

Pia ieleweke hawa masaba wanaamini wana kitabu cha Yahya kwa Waislam na Wayahudi, John kwa wazungu.

Hilo suala linagusia mambo mengi sana, nimejaribi ufanya kwa ufupi sana. Ni elimu kiubwa sana ya mtu kupata PhD kwa sabu yote utaweza kuitetea kwa ushahidi au wa moja kwa moja au wa kimazingira.

Binafsi naamini Yahya ni kaka yake Isa na mama yao ni mmoja Mariam, Meritaton.

Natumai imeeleweka.
Arsis.
 
Nashindwa kuelewa kitu. Inakuwaje waalimu wa kiislam kutumia biblia wakati wana kitabu chao?
Arsis; Swali zuri sana.

Wanatumia bila kujijua, wamekua "brain washed" na hawaelewi tofauti, kwa sababu wanafata tafsiri. Hivi visa na mafundisho ya biblia yaliingizwa miaka mingi sana kwenye tafsiri za Wur'an sio Qur'an yenyewe. Ilianza baada ya kufa Mtume Muhammad.

Mtume, hakuitafsiri Qur'an, wanamzushia eti katafsiri. Mtume hakuna aya zaidi ya 10 au ishirini ndizo alielezea maana yake. Tafsiri zingine zote ni za kutunga au kutokea biblia au fantasy za waandishi wa tafsiri, kama alfu lela u lela tu.

Mkipenda kujua zaidi kuhusu historia ya hadithi na tafsiri kuna majina makubwa ya watu wa hadithi kwenye vitabu vyao wanakiri kuna visa wamevielezea kutokana na biblia, hii ni kwa kutokujua ubora na umuhimu wa Qur'an au kwa kudhani watu wataelewa zaidi wakifanya hivyo. Na wengine ni kwa makusudi kabisa ili wapotoshe ubora wa Qur'an.

Pia mkipenda kujua zaidi elimu ya Qur'an bila kutumia hadithi za kujitungia, ulizeni maswali kama hili, yenye nguvu. Kuna njia nyepesi za kila mmoja wetu kuweza kutambua hii hadithi ya kwe;i au sio hya kweli.

Kama mnakumbuka kuna mtu kaleta mstari juu huko, kaupamba kwa Kiarabu nikamuuliza aya ipi hii? Akajibu "hadithi", nikamuuliza hadithi ipi hio? Hajajibu tena, sasa ananisoma kwa kunusa nusa tu.

Namwambia usifanye hivyo, sio elimu hio. Kama yalikua ni maneno ya mshairi sema tu ni mshairi, kama hujui yametoka wapi na uliyasikia tu, sema hayo nilisikia tu lakini sina elimu nayo yametoka wapi.

Tutumie hili jukwa kujua mengi sana. Ya dini, ya sayansi, ya ulimwengu. wa dhahiri na siri za kidunia. Tusiwe na jazba kama hatujui kitu au tunas shaka nacho, sisi hatuwezi kujua kila kitu, isipokua tunasema umri huongeza maarifa na busara, na ndio elimu yenyewe hio. Pia tunayo Qur'an kama rejea ya mwisho.

Hakuna zaidi ya Allah na mafundisho yake.
Arsis.
 
Umenipa kitu cha kutafakari hapa, kwani Yesu ndiyo jina la mwana wa Mungu au Yesu ni tafsiri ya kiswahili? Wazungu wanamuita Jesus sasa sijui Wachina au Warusi wanamwitaje. Mfano mwingine ni Mungu, God na mengine mengi, kwani hakuna jina moja kwa mataifa yote? Je Allah pia anaitwa tofauti tofauti na mataifa mengine?
Arsis; Jina Allah (jina) ni Allah tu ni la kipekee, Lakini Mwenyezi Mungu (lebo) ameitwa kwa majina na sifa nyingi zilizo nzuri, yaliotajwa na ambayo hayajatwjwa kwenye vitabu vyake.

Pia ilahi ina maanisha Mungu, usichanganye ilahi na Allah ni vitu tofauti
Arsis; Swali zuri sana.

Wanatumia bila kujijua, wamekua "brain washed" na hawaelewi tofauti, kwa sababu wanafata tafsiri. Hivi visa na mafundisho ya biblia yaliingizwa miaka mingi sana kwenye tafsiri za Wur'an sio Qur'an yenyewe. Ilianza baada ya kufa Mtume Muhammad.

Mtume, hakuitafsiri Qur'an, wanamzushia eti katafsiri. Mtume hakuna aya zaidi ya 10 au ishirini ndizo alielezea maana yake. Tafsiri zingine zote ni za kutunga au kugtokea biblia au fantasy za waandishi wa tafsiri, kama alfu lela u lela tu.

Mkiependa kujua zaidi kuhusu historia ya hadithi na kuna majina makubwa ya watu wa hadithi kwenye vitabu vyao wanakiri kuna visa wamevielezea kutokana na biblia, hii ni kwa kutokujua ubora na umuhimu wa Qur'an au kwa kudhani watu wataelewa zaidi wakifanya hivyo. Na wengine ni kwa makusudi kabisa ili wapotoshe ubora wa Qur'an.

Pia mkipenda kujua zaidi elimu ya Qur'an bila kutumia hadithi za kujitungia, ulizeni maswali kama hili, yenye nguvu. Kuna njia nyepesi za kila mmoja wetu kuweza kutambua hii hadithi ya kwe;i au sio hya kweli.

Kama mnakumbuka kuna mtu kaleya mstari juu huko, kaupamba kwa Kiarabu nikamuuliza aya ipi hii? Akajibu hadithi, nikamwabia hadithi ipi hio? Hajajibu tena, sasa ananisoma kwa kunusa nusa tu. Namwambia usofanye hivyo, sio elimu hio. Kama yalikua ni maneno ya mshairi sema tu ni mshairi, kama hujui yametoka wapi na uliyasikia tu, sema hayo nilisikia tu lakini sina elimu nayo yametoka wapi.

Tuytumie hili jukwa kujua mengi sana. Ya dini, ya sayansi, ya ulimwengu. Ya dhahiri na siri za kidunia. Tusowe na jazba kama hatujui kitu au tunas shaka nacho, sisi hatuwezi kujua kila kitu, isipokua tunasema umri huongeza maarifa na busra, nadio elimu yenyewe hio.

Hakuna zaidi ya Allah na mafundisho yake.
Arsis.
 
Ngoja nikueleze kwa waislam nilichowahi kukisikia ni interesting story kama kuna makosa utarekebisha …” HAPO MWANZO Allah aliumba majini kwa moto kabla hajaumba wanadamu Haja majini yakaanza kufanya kufuru maana yalikua yanakatisha kwenye realm ambayo hawakuruhusiwa basi Mungu akaamuru malaika wakawaangamize wote , Malaika wakashuka na wakapigana vita , malaika mmoja alimuona mtoto jini badala ya kumuangamiza akaona huruma ikabidi ambebe aende naye mbinguni , Mtoto huyu akawa anaishi miongoni mwa malaika japo hakuwa malaika na alikua mtoa sifa haswaa kwa Mungu… stori ndefu lakini
Mwaga elimu tufaidike.
Simba.
 
Kwa waislam the devil sio fallen angel ni first generation of Jinn
Simba; Devil na jini ni vitu tofauti visikujengee picha moja.

Kwa mujibu wa wanaomtaja devil, ni kiumbe fulani cha kiajabu ajbiu cha kutisha kutisha, sijui walimuona wapi, naona maoisha mapicha ya devil, sijui hua wanaota au vipi?

Jini kinyume shake ni kiumbe kisichoonekana. Sijui kitu kisichoonekana una kipa picha vipi? Kumuona jini ni mpaka ajifichue. Wewe na mimi kwa sasa ni majini, mpaka ujifichue kwangu au nijifichue kwako. Somo pana hili, ndio maana tunakwenda nalo kidogo kidpogo.

Shetani ni sifa, walionayo ni binadam na majini.
Simba.
 
Natambua hilo boss, ndio maana kuna mtazamo wa biblia na qur'an,,,je upo tayar kupokea mtazamo mwingine wa malaika?
Simba; Nakushauri elezea kwa mtazamo wako bila kumuuliza hilo swali, kwani hapa tupo wengi tunafaidika. Unatunyima elimu hivyo, inamaana akikataa yeye basi na sisi ndio hatupati na huu uzi tunaupitia wengi.
Simba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom