Asante
Malaika ni viumbe ambao wapo tofauti kabisa na viumbe wengine,wao wameumbwa kwa nuru,hawana utashi wala matamanio,hawana jinsia na wapo kufanya majukumu wanayo pewa na Allah
Hawa hawakaidi maagizo ya Mola wao,ni watiifu sana na ndio maana wakawa wasaidizi wa Mungu
Kwahiyo hawamtii yoyote isipokuwa Mola wao
Mfano walipoambiwa wamsujudie adam wao fasta walitii kwakuwa hawana utashi wala majivuno,tofauti na iblisi ambaye ana utashi kama sisi
Nadhan kwa uchache inaeleweka
Labda kama kuna swali