Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Wewe una porojo sana boss,aya tumekuletea za qur'an lkn naona sasa tunafanyana watoto wakati sisi ni watu wazima

Tumekuletea za biblia bado unaleta porojo,sasa unataka kuhamishia mambo kwa hawa,ebu acha porojo na utoto,kwa umri wako huo wa miaka 5000 bado unakuwa kama jini mwenye miaka 100

Pili waislamu tunaamini vitabu vyote na mitume wote,kwahiyo hakuna ubaya baadhi ya mambo kuyachek katika biblia,ingawa tunajua kuna mambo mengi yamechezewa katika hiko kitabu

Kwahiyo bakia kwenye hoja na usianze kuleta maneno ambayo sio hoja iliyopo mezani hapa

Binafsi hii ishu naachana nayo kwakuwa naona tunapotezeana mda tu hapa

Tutajadiliana mambo mengine lkn si ishu ya adam tena

Asante
Simba; Kweli kabisa, umeleta aya za Qur'an lakini akuna hata moja katika nilzoziona inaonesha kua adam ni mtu wa kwanza kuumbwa.

Weka ya moja moja unazoziongelea tufundisha kwa pamoja kidpgo kidogo, kwanu tuna haraka na elimu? usirundike rundo la aya, tunayo misahafu.
Simba.
 
Jitahidi sana kusoma ili uelewe kwanza kabla ya kutafuta majibu.

Nimeandika; Damu (Adamu?!)

Unatambua lugha za uandishi?


Kingine, huo unaosema umwagaji Damu na ufisadi vyote ni tafsiri na sifa za binaadam/Bin- Adamu.

Kama majini yameumbwa kwa moto, hiyo Damu wataitoa wapi?

Damu ni nini?




Ni kweli kwamba Islams tunasoma na kutengeneza tafsiri zaidi kwenye Quran kuliko Quran yenyewe.
Boss

BInadamu tumeumbwa na udongo,damu tunatoa wapi?

Tambua kizazi ch awali cha kijini asili ni moto lkn baadae wanazaana.kwa kujahamiana

Kuna lingine nielimishe nijifunze

Hizo lugha za uandishi ni porojo tu
 
Kupotea siku mbili jukwaa hili naona kumewaka moto. Ngoja nisome posts kabla sijatiya langu, sitaki yaniungukie mapema mapema, maana kuna majinni ya JF yakiona nimeingia hapa yataanza viherehere vyao.

Yasitoke kwa muadhini yakawa ya mteka maji msikitini.
 
Uzi ulianza vizuri mpaka pale ulipojikita kwenye uislamu tu , kiufupi imekuwa kama uchambuzi wa Quran, mleta mada tuamini visa vya maajabu uliyoyaona baada ya kufunguliwa macho vimeisha? au kipi kitaendelea ,
Uislam nwema sana, usiuogope, si mnansema elimu ya majinni ni ya Waislam? Jifunze sasa.
 
Exactly, lakini mradi wasituletee zile za kisimba ushuzi.

Cc: Arsis.
Faiza nakupenda sana ila nakuogopa huchelewi kumpa mtu makavu kina muda kupitia comment zako najenga taswira ni mtu wa aina gani nafurahia uwepo wako JF Namuomba Mwenyeezi Mungu akubariki akulinde na akuongoze.

Bwana Arsis alisema wewe Simba Clan 😁 nimesoma story za koo za Simba bora ukatae Simba ushuzi 😂 wanajamiana kama wanyama baba mama watoto babu Dada kaka.
 
Jamani, ni mimi tu au wote mmeliona hilo? Kuna mtu anajiita Herman the great anafanya kazi ys RaRa reree.

. rara reree, asikushinde huyo. Tushakuzowea na shughuli yako ya likes.
Anapiga like kila comment nampenda Rara reree hana baya kuna mjinga mmoja yeye alikuwa anatembeza dislike alipo kuwa banned akarudi na adabu.
 
Boss

BInadamu tumeumbwa na udongo,damu tunatoa wapi?

Tambua kizazi ch awali cha kijini asili ni moto lkn baadae wanazaana.kwa kujahamiana

Kuna lingine nielimishe nijifunze

Hizo lugha za uandishi ni porojo tu
Huna adabu ya mjadala. Huitambui heshima ya mabadirishano ya hoja.



Kwamba majini wana miili ya aina gani?

Maumbile ya mwanaAdamu yanatajwa ndani ya Quran hatua kwa hatua kuanzia akiwa maji maji mpaka kupatikana kwa mishipa na nyama.

Hayo ya majini yameelezwa wapi?
 
Asant
Simba; haupo kwa malaika, kwa sababu malaika hajapewa matamanio na maamuzi, wanafanya walichoamrisha na muuma wao wetu.

wazuri na wabaya ni sifa za watu na majini.
Simba.
Asante sana mkuu, umenijibu mpaka nimebaki sina swali kabisa. Ila nimepata mashaka sana na uwezo wako wa kujibu haya maswali, je ni akili zako au kuna nguvu ya ziada? Maana siyo kwa ufafanuzi huu
 
Unachukulia sana kama jini ni kiumbe cha ajabu, Jini ni hata wewe na mimi pia kwa wakati wetu.
Simba.
Totoe ishu ya kiumbe cha ajabu. Sisi tupo ulimwengu unaoonekana kwa macho ya nyama na wao wapo kwenye ulimwengu usioonekana kwa macho ya nyama. Kwanini kila mmoja asikae kwake bil kuwa na muingiliano? Sisi hatuwahitaji na wao hawatuhitaji ndiyo maana Muumba akatuweka ulimwengu tofauti. Sasa huu mwingiliano ni wanin? Samahani kama maswali yanaboa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom