Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Simba; Unauliza nani anaweza, sio simba your behind? just your foot? wanapoyagfanya hayo wengi sana. Tena hayo ni madogo sana, umepata mtu mwenye ujasirf wa kuyaweka wazi, kuna watu mpaka leo wanayafanya kwa siri kabisa. Hawana ubavu wa kuyasema na kuheal. Huo ni utamaduni wa kishenzi, hata mimi nakubali nimeufanya sana na ukoo wote, nilikua kizani. Simba kama hamjalana basi hujawa simba. Usijifanye kushangaa sana, huo utamaduni wa simba, wewe kama pimbi ua utamaduni mwengine, kama hukuzikuta tamaduni hizo, Shukuru Allah kakuepusha nzao.

Tulifata mila na jadi za kishetani, Uislam umetutoa huko. Tumeomba toba.
Allahi kaahidi anasamehe dhambi zote kasoro kumshirikisha?

Na hio ndio ushahidi wako wa sheikha wako kua elimu yake sio finyu? Au Adam ndio mtu wa kwanza, au Hawa mmemtoa wapi?
Simba.
Kumbe Tuna soma mhuni mmoja aliie mla mama ake mzazi na bibi ake. uyu jini atakua ana vuta bangi
 
Arsis nna swali moja ulipokua unatoka Tanga kwa mara ya kwanza baada ya kufunguliwa macho ukiwa ndani ya gari kuna kama mijitu ilikua na miguu mirefu ikawa inafata gari kwa nyuma ila baadae, ikafanywa isiwapate nina hamu ya kuelezwa hapo hao jamaa walikua na lengo gani na ni viumbe gani.
 
Arsis nna swali moja ulipokua unatoka Tanga kwa mara ya kwanza baada ya kufunguliwa macho ukiwa ndani ya gari kuna kama mijitu ilikua na miguu mirefu ikawa inafata gari kwa nyuma ila baadae, ikafanywa isiwapate nina hamu ya kuelezwa hapo hao jamaa walikua na lengo gani na ni viumbe gani.
Hao ni Mbuzi wanaoishi majini km sijakosea
 
Arsis: Safi kabisa. Hapo umehitimisha niliyoyasema, nilisema Waislam hamuifati qur'an, mnachukua ya kwenye biblia na kuja kutafsiri kwayo.
Umeshindwa kuleta ushahidi wa kua adam ni mtu wakwanza au unao wa Qur'an? Pia Muislam umemtoa wapi Hawa? Au kwenye biblia vile vile?

Kwa mwenye uelewa, umeufanya mjadala kua mwepesi sana.
Arsis.
Boss

Unatumia ujanja wa maneno mengi kukwepa ukweli,mbona wewe hudhibitishi kuwa adam sio binadamu wa kwanza?

Nachukulia kwamba huna hoja ya kidhibitisha hilo

Asante
 
Salaam, "and when the Lord say to the angels: 'I am about to place Vicegerent in the earth"

The world VICEGERENT means the choosen person to represent the ruler
and this gives us that there where other people before Adam (as)
kwahiyo member alietumia (Surat Al baqarah ch.2: v.31) Yuko sahihi ila haisemi kama ye ndiye mtu was kwanza katika Dunia ila ni MTU WA kwanza kupewa U-kharifa Kwa binadamu wote.
Mwenyeezi Mungu ndio mjuzi na atuongoze katika njia iliyonyooka, Tupo katika kutafuta elimi🙏
Lakini tunaambiwa zilipita dahar na dahari na binadamu hakuwa wa kutajwa kwa maana hakuwepo kabisa,sasa kotendo cha Allah kumuumba adam kwa udongo wenye kutoa sauti,inaonyesha lwa dalili kuwa hiyo ndo wa kwanza

Lau asingekuwa wa kwanza basi angezaliwa kwa maji ya kuchupa kama sisi na tusiongeonyeshwa asili yake

Ni dhahir adam ndio wa kwanza na Allah anajua zaidi
 
Arsis: Kama nilivyoahidi nitarudi, nimerudi.

Hiyo aya hapo ni wapi inapoonesha Adam ni mtu wa kwanza? Halfu hioaya inakupinga sana. Ikiwa adam ndio mtu wa kwanza malaika hapo walijuaje kama Adam atafanya ufisadi humo na kumwaga damu? Humo wapi?

nakuuliza hayo upate kufiki aidi, kwanza kama adamu ndiye mtu wa kwanza hao malaika walijuaje atamwaga damu humo? Allah pekee ndoiye mwenye kujua ghai b au sivyo? Hapo mimi naona inamaanisha walikua tayari wapo adam wengine waliyoyafanya hayo kabla ya huyo aliepewa ukha;ifa kupewa ukhalifa.

Nakushauroi anza kusoma aya ya 26 utaiona raha yake mpoaka hapo ulipogfika, kama hujaelew zina husiana vipi, nitakuja kuzieleze zaidi. Hio haihusiani na uumbaji inahusiana na kupewa ukhalifa. Kwenye Qur'an khalifa ni huyo tu?

Mpaka hapo hakuna mtu wa kwanza katika dalil zako.
Arsis.
Boss

Nimejua point yako ni ipi,kumbe kigezo chako wewe ni malaika kusema kuwa bimadamu ataleta ufisadi katika ardhi?

Sasa tambua ndugu zako majini walikuwa hapa duniani kabla ya adam na ndio hao walileta umwagaji damu katika ardhi au hata kama sio majini basi kulikuwa na viumbe wengine kabisa,ndio maana malaika wakasema vile

Boss una porojo sana wewe
 
Boss

Nimejua point yako ni ipi,kumbe kigezo chako wewe ni malaika kusema kuwa bimadamu ataleta ufisadi katika ardhi?

Sasa tambua ndugu zako majini walikuwa hapa duniani kabla ya adam na ndio hao walileta umwagaji damu katika ardhi au hata kama sio majini basi kulikuwa na viumbe wengine kabisa,ndio maana malaika wakasema vile

Boss una porojo sana wewe
Arsis: Mpaka hapo hujaonesha wapi Adam ni mtu wa kwanza kwenye Qur'an, ulileta nukuu za biblia kua Adam mtu wa kwanza.

Hili la Biblia ulioleta ndio point yangu haswa. Unaitafsiri Qur'an kwa kufata biblia?

Hawa mmemtoa wapi Waislam? Nataka ushahidi (dalil).
Arsis
 
Arsis: Mpaka hapo hujaonesha wapi Adam ni mtu wa kwanza kwenye Qur'an, ulileta nukuu za biblia kua Adam mtu wa kwanza.

Hili la Biblia ulioleta ndio [poit yangu haswa. Unaitafsiri Qur'an kwa kufata biblia?

Hawa mmetoa wapi Waislam? Nataka ushahdii (dalil).
Arsis
Mkuu nijibu hili tafadhali
nna swali moja ulipokua unatoka Tanga kwa mara ya kwanza baada ya kufunguliwa macho ukiwa ndani ya gari kuna kama mijitu ilikua na miguu mirefu ikawa inafata gari kwa nyuma ila baadae, ikafanywa isiwapate nina hamu ya kuelezwa hapo hao jamaa walikua na lengo gani na ni viumbe gani.
 
Boss

Unatumia ujanja wa maneno mengi kukwepa ukweli,mbona wewe hudhibitishi kuwa adam sio binadamu wa kwanza?

Nachukulia kwamba huna hoja ya kidhibitisha hilo

Asante
Arsis; Ujanja upi wa maneno? Umeleta aya za biblia hapo au hujaleta?

Mbona mpaka sasa wewe na Waislam wengine mmeshindwa kuleta aya za Qur'an zinazoonesha Adam ni mtu wa kwanza?

Hawa mmetoa wapi? Hili la Hawa naona wote mmeshindwa hata kujitetea japo kidogo.

Ushauri wangu, semeni ukweli kua hakuna, ili niwafundishe Qur'an bila kutumia biblia kuitafsiri Qur'an.

Bapo mpaka sasa mmedhihirisha ukweli nilipowaambia Waislam mnaijua sana biblia kuko Qur'an yenu na hamuitumia Qur'an amacho ni kitabu bora kabisa, kwa kua hamuispomi Qur'a mnasoma tafasiri za waliopotosha.

Nyie mmeona jina Adam basi moja kwa moja mkajua ni kisa cha Adam wa kwenye biblia. Qur'an haiendi hivyo, lakini tutaelimishina kidogo kidogo, wenye kuelewa wataelewa.
Arsis.
 
Swali langu page 1919 hajajibiwa
Swali langu page 1919 hajajibiwa

Naomba kuuliza kuna Ukoo utakuta hauna mwenye mafanikio hasa kiuchumi, unatumia nguvu kubwa sana kutafuta ilà huendi mbele, maelewano pia hakuna ,je ni mizimu imekasirika au agano fulani la mabàbu au Mungu ndio kapanga hivyo.

Naomba nihamie ukòo wa simba kama inawezekana..
Arsis; Hilo linasababishwa na umasikini na kutokufanya ibada. Mizimu haiwezi kukuadhibu wewe kwa kosa la baba yako au babu yako.

Rudini kwenye njia ilionyooka. Mchawi na shetani wa kwanza wa binadam ni yeye mwenyewe.
Jiulize; Kama unafanya ibada, unafata njia ilionyooka unamuomba MwenyeziMungu,m, kwanini asikulize na yeye ameahidi, nikumbukeni niwakumbuke. Nishukutruni Msinikufuru (kukufuru mmaana yake kumpinga).
Arsis.
 
Lakini tunaambiwa zilipita dahar na dahari na binadamu hakuwa wa kutajwa kwa maana hakuwepo kabisa,sasa kotendo cha Allah kumuumba adam kwa udongo wenye kutoa sauti,inaonyesha lwa dalili kuwa hiyo ndo wa kwanza

Lau asingekuwa wa kwanza basi angezaliwa kwa maji ya kuchupa kama sisi na tusiongeonyeshwa asili yake

Ni dhahir adam ndio wa kwanza na Allah anajua zaidi
Arsis: Qur'an ni muujiza unaoishi. Hakuna dalil ya kukisia.

Weka hio aya tukufahamishe kilichokusudiwa. Kama huna haraka sana, baada ya kukiri kuwa huna aya naa kuleta aya biblia, sasaunatakiwa ulete Hawa, manesema ni mkewe Adam, Waislam mmemsoma wapi? ummmetowa wapi?

Tukimalizana na la Hawa, naahidi kuanza kuwa elimu kidogo kidogo ya adam ni nani. kwa mujibu wa Qur'an.

Unajua kua Adam wako wengi, sio mmoja tu?
Arsis.
 
Mkuu nijibu hili tafadhali
nna swali moja ulipokua unatoka Tanga kwa mara ya kwanza baada ya kufunguliwa macho ukiwa ndani ya gari kuna kama mijitu ilikua na miguu mirefu ikawa inafata gari kwa nyuma ila baadae, ikafanywa isiwapate nina hamu ya kuelezwa hapo hao jamaa walikua na lengo gani na ni viumbe gani.
Simba;

Ukifunguliwa macho mwanzo unayaona mambo mengi sana ya kiajabu. Nimeleta kidogo tu sehemu muhimu ambazo wengi wetu tunazitembelea.

Hao walikua ni majini, hakuna zaidi. Elewa kua jini anamuogopa sana binadam. Jini kumdhuru binadam binadam aiekua na uoga na anamgtaja Mwenyezi Mungu ni vigumu sana, kumdhuru mtu kama huyo iytabidi ashirikiane na binada, Ndio maana unaitwa ushirikina., ushirikiano wowote wa kishetani, uwe wamtu na jini au wa mtu na mtu ni ushirikina.
Arsis.
 
Simba; Kutumia maandishi makubwa kwenye kuandika ni kufanhya matangazo, kama unaniuliza au kunieleza mimi hauna haja ya kuandika kwa herufi kiubwa ka huyo uliemjibu.

Habaguliwi mtu wala jini hapa. Uliza kwa kutumia herufi ndogo, usomeke vizuri.
Simba.
Yani we umesema unajibu swali lolote lkn maswali magumu hutaki kujibu full yaeleweke unajibu kwa mkato Sasa sisi tukikwambia ukweli unajibu fyongo kama ulimvojibu huyo jamaa hapo sa sijui ndo maelekezo ya Babu Yako aliyokwachia ama nn mana alikeambia mtu akiwa na swali majibu and hamna shidakutumia herufi kubwa

Anaonesha msisitizo mtu akiuliza swali mjibu kamili na maelezo ya kueleweka sio nawe unaacha mafumbo au unajibu kwa swali
 
Boss

Nimejua point yako ni ipi,kumbe kigezo chako wewe ni malaika kusema kuwa bimadamu ataleta ufisadi katika ardhi?

Sasa tambua ndugu zako majini walikuwa hapa duniani kabla ya adam na ndio hao walileta umwagaji damu katika ardhi au hata kama sio majini basi kulikuwa na viumbe wengine kabisa,ndio maana malaika wakasema vile

Boss una porojo sana wewe
Kwani mbali na binaadam ni kiumbe gani kingine kina sifa ya “Damu” mpaka Malaikah wazungumzie umwagaji damu ?

Damu (Adamu?!)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom