- Thread starter
- #2,001
Inatokea post namba 1739.
Vionjo vya Arsis 4 Kumwokoa Msukule Unguja 2 .
Tukaanza kuondoka, yule kijana akasema.
; Simba; wewe ndio kiongozi wetu kwenye masafara wote huu mpaka tumalize kazi.
Jini 3; Simba hata mimi nina uzoefu mkubwa sana lakini wewe ndio kiongozi wangu, usisite kunituma au kuniambia chochote kuania leo, na siku yoyote ile.
Mimi: Sifahamu lolote juhusu kazi zenu, mimi huwa mtazamaji tu, kwa hio msitegemee chochote kutoka kwangu.
Jini 3; Subiri nikufahamishe vitu fulani kwa kina.
Kijana; Simba kama kuna sehemu tunaweza kukaa tukapata juisi twende, tukae huku tunaongea.
Mimi: Tena haipoo mbali, ni vizuri umesema, mimi nasikia njaa.
Kijan: naomba twendeni hapo, au unasemaje?
Mimi: Sawa.
Nikaenda nao mpaka uwanja wa posta ndogo ya zamani pale ilikua stendi ya mabasi ya Arusha, mtaa wa Morogoro Road na Libya. Ule uwnja usiku wanauza kuku, chpss na vyakula vya kihindi na juice kila aina.
Tuweka gari tukaenda kukaa meza hya pembeni kidogo, kukaa tu kaja, mhudumu wa kiume; Nikaagiza kuku wa kuchoma wa masala na chips. na juisi ya kungu, Yule kijana na yeye akssema na mimi hivyo hivyo. Jini akakataa kuagiza chochhote, akasema yeye yupo vizuri. Alipoondoka mhudumu...
Mimi : Wewe mbina huongei Kiswahili vizuri, sio Mtanzania?
Kijana: Mimi sio Mtanzania, mimi ni mgeni.
Mimi: Umejuaje Kiswahili.
Kijana ndio najifundisha lakini sio kigumu, badoo matamshi tu yananipa shida, lakini nakijua chote.
Mimi; Na wewe ? Nikamuuliza yule jini.
Jini 3: Mimi naongea kiswahili alinifundisha Arsis alipotoka kifungoni. Mimi nafahamiana na Arsis kabla haajafungwa.
Mimi: Wewe si mpiganaji, kwanini haujamtoa?
Jini 3 Kifungo cha majini ni tofauti na kifungo cha kibinadam, si umesikia alifungwa kwenye chupa?
Mimi Ndio, hi;lo najua.
Jini 3: Tungeweza kumtoa kwa vita lakini ile via ingekuwepo mpaka leo na ingeendelea kwa miaka mingi sana. Tukawa tunfanya diplomasi atoke ikawa inashindikana kwa sababu aliamua amfunge aikua hataki atolewe na yeye ni mzee sana na anaheshima kubwa sana. lakini alikufa wwiki baafda ya kutolewa Arsis. Ulisikia?
Mimi: Sijasikia, nani anambie?
Jini 3; Arsis , kama hajakuelezaa ana sababu zake nzuri, lakini kuna siku atakueleza vizuri. Kufa kwake yule ndio salama ya Arsis kutofatwa sana kwa sababu hukumu yake imekwisha, majini hawarithiwaliokua nnje ya himaya yao. Lakini angekua bado yupo kwenye chupa, aliemrithi kiti yule mzee angmrithi na Arsis, angekua ndani mpaka leo.
Mimi; Amekufa kwa sababu zipi?
Jini 3; Amekufa kwa siku zake, kufika na alikua mzee sana. Hajawahi hata kuongelea habari za kutolewa Arsis, alikua hawezi kuongea. Ndio maana Arsis smekupa hio pete wewe. Kwa furaha yake.
Mimi; Kwanini hajampa babu yangu aliemuokoa?
Jini3; Babu yako ndio alitaka upewe uwewe. Ndio ukaletewa pale pangoni ulipofika, lakini aliamua siku nyoimgi upewe wewe sio yeye. Hio pete ndio inakufanya wewe kua mkubwa wetu kwa daraja sio kwa uzoefu. Uzoefu hata kama hauna, sisi hatuwezi kukuacha ukafanya maamuzi sio sawa, ni lazima tukuelekeze.
Mimi; Huyu anasema yeye binadam?
Jini3; Ndio,, huyu bndam, sema anajua mengi sana, kajifunza mengi na yupo tayari kukufundisha wewe kila kitu anachokijua. Yupo chini ya amri yako wakati wowote.Labda uwe hauna hi pete.
Mimi: kwa hio mimi naeza kuwaita nyinyi moja kwa moja?
Jini3: Unaweza ukitaka lakini hakuna sababu ya kutuita sisi, una watumishi wako wawili, wale ndio wakuwaita na wale wakishindwa kazi yoyote au wanajua hii kazi ya fulani wantuita sisi au wengine wanaifanya.
Mimi; Eapo wengine?
Jini 3 Wapo lakini wale tofauti na sisi, hawana mamlaka yoyote na hawatuhusiwi kuja uwaone, hata leoi walikuwepo wengi sana pale tulipokutana, wengine waalikua hawajawahi kukuona leo ndio mara ya kwanza.
Mimi: Nikitaka kuwaona nafanya nini?
Jini 3; Ongea na Arsis atakuonesha wote, hawezi kukukatalia hata dakika moja, sisi hatuwezi kukuonesha. Hatuna amri hio.
Mimi: Tunafanya nini kesho>
Kijana: Kesho hatuna kazi kubwa, kazi ni kuwasubiri wale waje kumchukua binti, ni lazima wamchukue wao, wamgtoe uchawi mbele yetu, waadhibiwe halafu tumemaliza kazi.
Mimi: Watakuja kumchukua wapoi?
Kijana: Pale pale kwao wlipomficha.
Mimi: Kwanini waje kumchukua halafu wawape nyinyi?
Itaendelea.
Simba.
Vionjo vya Arsis 4 Kumwokoa Msukule Unguja 2 .
Tukaanza kuondoka, yule kijana akasema.
; Simba; wewe ndio kiongozi wetu kwenye masafara wote huu mpaka tumalize kazi.
Jini 3; Simba hata mimi nina uzoefu mkubwa sana lakini wewe ndio kiongozi wangu, usisite kunituma au kuniambia chochote kuania leo, na siku yoyote ile.
Mimi: Sifahamu lolote juhusu kazi zenu, mimi huwa mtazamaji tu, kwa hio msitegemee chochote kutoka kwangu.
Jini 3; Subiri nikufahamishe vitu fulani kwa kina.
Kijana; Simba kama kuna sehemu tunaweza kukaa tukapata juisi twende, tukae huku tunaongea.
Mimi: Tena haipoo mbali, ni vizuri umesema, mimi nasikia njaa.
Kijan: naomba twendeni hapo, au unasemaje?
Mimi: Sawa.
Nikaenda nao mpaka uwanja wa posta ndogo ya zamani pale ilikua stendi ya mabasi ya Arusha, mtaa wa Morogoro Road na Libya. Ule uwnja usiku wanauza kuku, chpss na vyakula vya kihindi na juice kila aina.
Tuweka gari tukaenda kukaa meza hya pembeni kidogo, kukaa tu kaja, mhudumu wa kiume; Nikaagiza kuku wa kuchoma wa masala na chips. na juisi ya kungu, Yule kijana na yeye akssema na mimi hivyo hivyo. Jini akakataa kuagiza chochhote, akasema yeye yupo vizuri. Alipoondoka mhudumu...
Mimi : Wewe mbina huongei Kiswahili vizuri, sio Mtanzania?
Kijana: Mimi sio Mtanzania, mimi ni mgeni.
Mimi: Umejuaje Kiswahili.
Kijana ndio najifundisha lakini sio kigumu, badoo matamshi tu yananipa shida, lakini nakijua chote.
Mimi; Na wewe ? Nikamuuliza yule jini.
Jini 3: Mimi naongea kiswahili alinifundisha Arsis alipotoka kifungoni. Mimi nafahamiana na Arsis kabla haajafungwa.
Mimi: Wewe si mpiganaji, kwanini haujamtoa?
Jini 3 Kifungo cha majini ni tofauti na kifungo cha kibinadam, si umesikia alifungwa kwenye chupa?
Mimi Ndio, hi;lo najua.
Jini 3: Tungeweza kumtoa kwa vita lakini ile via ingekuwepo mpaka leo na ingeendelea kwa miaka mingi sana. Tukawa tunfanya diplomasi atoke ikawa inashindikana kwa sababu aliamua amfunge aikua hataki atolewe na yeye ni mzee sana na anaheshima kubwa sana. lakini alikufa wwiki baafda ya kutolewa Arsis. Ulisikia?
Mimi: Sijasikia, nani anambie?
Jini 3; Arsis , kama hajakuelezaa ana sababu zake nzuri, lakini kuna siku atakueleza vizuri. Kufa kwake yule ndio salama ya Arsis kutofatwa sana kwa sababu hukumu yake imekwisha, majini hawarithiwaliokua nnje ya himaya yao. Lakini angekua bado yupo kwenye chupa, aliemrithi kiti yule mzee angmrithi na Arsis, angekua ndani mpaka leo.
Mimi; Amekufa kwa sababu zipi?
Jini 3; Amekufa kwa siku zake, kufika na alikua mzee sana. Hajawahi hata kuongelea habari za kutolewa Arsis, alikua hawezi kuongea. Ndio maana Arsis smekupa hio pete wewe. Kwa furaha yake.
Mimi; Kwanini hajampa babu yangu aliemuokoa?
Jini3; Babu yako ndio alitaka upewe uwewe. Ndio ukaletewa pale pangoni ulipofika, lakini aliamua siku nyoimgi upewe wewe sio yeye. Hio pete ndio inakufanya wewe kua mkubwa wetu kwa daraja sio kwa uzoefu. Uzoefu hata kama hauna, sisi hatuwezi kukuacha ukafanya maamuzi sio sawa, ni lazima tukuelekeze.
Mimi; Huyu anasema yeye binadam?
Jini3; Ndio,, huyu bndam, sema anajua mengi sana, kajifunza mengi na yupo tayari kukufundisha wewe kila kitu anachokijua. Yupo chini ya amri yako wakati wowote.Labda uwe hauna hi pete.
Mimi: kwa hio mimi naeza kuwaita nyinyi moja kwa moja?
Jini3: Unaweza ukitaka lakini hakuna sababu ya kutuita sisi, una watumishi wako wawili, wale ndio wakuwaita na wale wakishindwa kazi yoyote au wanajua hii kazi ya fulani wantuita sisi au wengine wanaifanya.
Mimi; Eapo wengine?
Jini 3 Wapo lakini wale tofauti na sisi, hawana mamlaka yoyote na hawatuhusiwi kuja uwaone, hata leoi walikuwepo wengi sana pale tulipokutana, wengine waalikua hawajawahi kukuona leo ndio mara ya kwanza.
Mimi: Nikitaka kuwaona nafanya nini?
Jini 3; Ongea na Arsis atakuonesha wote, hawezi kukukatalia hata dakika moja, sisi hatuwezi kukuonesha. Hatuna amri hio.
Mimi: Tunafanya nini kesho>
Kijana: Kesho hatuna kazi kubwa, kazi ni kuwasubiri wale waje kumchukua binti, ni lazima wamchukue wao, wamgtoe uchawi mbele yetu, waadhibiwe halafu tumemaliza kazi.
Mimi: Watakuja kumchukua wapoi?
Kijana: Pale pale kwao wlipomficha.
Mimi: Kwanini waje kumchukua halafu wawape nyinyi?
Itaendelea.
Simba.