Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Pole sana, Kwanza anza kubadilisha mfumo wa maisha yako kama kuna mambo unafanya hayampendezi Mungu acha kabisa, Maaswi yanampa nguvu shetani. Hii ni katika tiba za kitabia .
Pili kuna tiba za kimaumbile yaani hakikisha mazingira yako na wewe mwenyewe unakuwa msafi muda wote safisha mwili, ondoa najsi na uchafu katika mazingira yako.
Tatu, Anza kufanya ibada mimi sijui wewe ni dini gani ila nacho kuambia anza kufanya ibada mkuu hasa muombe Mungu msamaha kwa makosa unayoyajua na usiyo ya jua omba sana msamaha narudia sana kuna siri katika kuomba msamaha wa makosa yetu sisi waislamu tunasema kuleta istighfar.
Mwisho, tumia chumvi unapooga ya mawe au kawaida, tafuta majani ya mkunazi ogea , tafuta majani ya mbaazi twanga ogea na mizizi yake kausha ogea mengine kunywa.
Mwisho toa sadaka tafuta mtoto yatima mpe sadaka kisha mwambie akuombee dua.
Usichoke mkuu matatizo ni sehemu ya maisha yetu ila usikate tamaa na rehma za mola wako
Asante kwa ushauri, ningekua ni mwandishi mzuri ninge andika, ni bonge la mkasa
 
Huna adabu ya mjadala. Huitambui heshima ya mabadirishano ya hoja.



Kwamba majini wana miili ya aina gani?

Maumbile ya mwanaAdamu yanatajwa ndani ya Quran hatua kwa hatua kuanzia akiwa maji maji mpaka kupatikana kwa mishipa na nyama.

Hayo ya majini yameelezwa wapi?
Boss
Relux huu mchezo hauhitaji hasira

Kwahiyo kwakuwa majini hawajaelezewa hatua zao za ukuaji ndio evidence kwamba huenda hawana damu?

Vipi kuhusu viumbe vingine kama wanyama,je kwakuwa hawajaelezwa hatua zao za ukuaji utasema hawana damu?

Think big
 
Hakuna cha ligi wala nini.

Sisi Wakristo tunatambua kuwa hakuna Majini Wakristo.
Na Kuna Aya nyingi sana zinazo tueleza kuwa Majini ni pepo wachafu fullstop.

Na sijui ni kwa nini baadhi ya Waislamu wanashinikiza kwa nguvu zote kuwa kuna Majini Wakristo.

Kwani Majini wakiamua wenyewe kumwabudu Mungu wao kupitia Dini ya Kiislamu kuna shida gani ?

Nasema tena Wakristo wote kupitia mafundisho ya Manabii wao wanafundishwa kuwa Majini yote ni maovu.

Kama Majini waliamua kutubu na kuwa Waislamu sisi Wakristo hatuna shida na Hilo.

Ila kauli ya baadhi ya Waislamu kuwa kuna Majini Wakristo bila kuleta ushahidi wowote wa kimaandiko tunaiona ni kauli ya kupuuzwa tu.

Narudia tena, hakuna Mkristo anaye amini kuwa kuna Majini Wakristo. Ndivyo tulivyo fundishwa na Manabii wetu.

Mambo ya Walawi (Lev) 17:7 Wala hawatatoa tena sadaka zao kwa wale majini, ambao huwafuata ili wafanye uasherati nao. Sheria hii itakuwa sheria ya milele kwao, kizazi baada ya kizazi.

Huu ndi msimamo wa Wakristo wote.
Naomba ieleweke hivyo.

Majini ni Waislamu na Aya Zipo nyingi tu.
وَأَنَّا مِنَّا الْمُسْلِمُونَ وَمِنَّا الْقَاسِطُونَ ۖ فَمَنْ أَسْلَمَ فَأُولَـٰئِكَ تَحَرَّوْا رَشَدًا

(AL - JINN - 14)
Na hakika wamo katika sisi Waislamu, na wamo kati yetu wanao acha haki. Basi walio silimu, hao ndio walio tafuta uwongofu.

NB:
Kama Kuna kauli tofauti tunaomba ushahidi wa Kimaandiko na sio kuongea hewani tu.
Mkuu umesema majini ni pepo wachafu, je kuna pepo wasafi? Kama wapo ni wapi hao? Kama hawapo kuna haja gani kuwaita pepo wachafu badala ya kuwaita pepo peke yake
 
Wewe lete mkasa tusome ndo unakiweza hufurahia, elimu huna wala huyo Arsis wako, hakuna wajinga humu wa kupotoshwa na elimu sio 😀
Simba; La Adam mnadanganyana, hakuna kwenye Qur'an kua adam ni mtu wa kwanza kuumbwa.

Na Hawa vipi? mmemtoa wapi? mbona nyinyi wenye elimu mambo madogo kama hayo yanawashinda kujibu? Kamuulize na shehe wako ubwabwa yule. Anaonesha anapiga tonge huyo kwene biriani yako. Kisinia peke yake.

Hana elimu wala hajui kua majini ni watu pia kama wewe na yeye.
Simba.
 
Anapiga like kila comment nampenda Rara reree hana baya kuna mjinga mmoja yeye alikuwa anatembeza dislike alipo kuwa banned akarudi na adabu.
Lkn si anatumia haki yake jaman,sijaona shida iko wapi
Kamanda kuna malaika wako chini ya Mungu na kuna ambao wako chini ya shetani
Hivi unawajua malaika lakini,ebu tuanzie hapa kwanza
 
Asante kwa ushauri, ningekua ni mwandishi mzuri ninge andika, ni bonge la mkasa
Jitahidi hivyo hivyo andika kidogo kidogo.
Kwani kupitia kisa chako tunaweza jifunza lakini pia unaweza pata majibu ya maswali yakounayojiuliza lakini pia tutaweza jua njia gani utumie.
Kupitia kisa chako watu wanaweza figure out Ni aina gani ya uchawi umepigwa, ni njia gani zimetumika kukufanyia uchawi, kama ni ishu ya majini pia tutaweza jua ni jinn aina gani.
Wewe kwa sasa anza kuchukua hatua hizo nilizokuambia tambua kuwa uchawi ni kitu hatari lakini ni kitu dhaifu sana, udhaifu wa uchawi ni kuwa unaweza kubatilika yaani uchawi unaweza kuondolewa kama umekupata, Kitendo cha uchawi kuweza kubatilika hii ni dalili kuwa hatutakiwi kuuogopa bali tupambane nao kwa misaada wa Mola wetu.
 
Nilivyoelewa mimi kuwa Yesu siyo jina lake kabisa. bado naendelea kutafuta wakristo wamelitowa wapi jina Yesu? kwa karibu kabisa nimepata ni wagiriki na wayunani ndiyo walimuita Yesu, siyo Wayahudi na Waarabu.

Sema nimeanza kufahamu kuwa Yesu siyo Myahudi, kwa sababu nimeona kuwa mama yake ni mtu kutoka Misri na wayahudi wanafata asili na ukoo kutokea kwa mama. Wakristo wanaamini hana baba, Waislam wenfi wanaamini hana baba. mimi binafsi naamini anaye baba mzazi, code zake zinafunguliwa na Qur'an.

Hii mada nzito sana kuliko tunavyoiona kijuujuu, sijawaahi kuona mada, hapa JF, iliyonifanya nibukuwe kwa haraka haraka kama hii. Nimepata ma 'reference" kibao ya kuchimbuwa, nimepata kipya humu cha "Meritaton.".

Duh! hivi kuna ma reference kibao kila mmoja kaandika chakae kuhusu Meritaton, cha ajabu, bibilia haijaandika sana kuhusu mama yake Yesu, Qur'an imeandika sana kuhusu Mariam, na mleta mada katupa jipya kabisa kutokea kwa "Arsis".

Nayamani sana nimjuwe huyo "Arsis" n nani? naanza kuwaza isje kuwa "Khidr" kwenye maandiko ya Kiislam.

cc' Corazon Espinado
Umenipa kitu cha kutafakari hapa, kwani Yesu ndiyo jina la mwana wa Mungu au Yesu ni tafsiri ya kiswahili? Wazungu wanamuita Jesus sasa sijui Wachina au Warusi wanamwitaje. Mfano mwingine ni Mungu, God na mengine mengi, kwani hakuna jina moja kwa mataifa yote? Je Allah pia anaitwa tofauti tofauti na mataifa mengine?
 
Sawa hiyo ni kwa mafundisho yenu,,je unanipa ruhusa nikueleze kwa upande wa uelewa wa kiislamu
Ngoja nikueleze kwa waislam nilichowahi kukisikia ni interesting story kama kuna makosa utarekebisha …” HAPO MWANZO Allah aliumba majini kwa moto kabla hajaumba wanadamu Haja majini yakaanza kufanya kufuru maana yalikua yanakatisha kwenye realm ambayo hawakuruhusiwa basi Mungu akaamuru malaika wakawaangamize wote , Malaika wakashuka na wakapigana vita , malaika mmoja alimuona mtoto jini badala ya kumuangamiza akaona huruma ikabidi ambebe aende naye mbinguni , Mtoto huyu akawa anaishi miongoni mwa malaika japo hakuwa malaika na alikua mtoa sifa haswaa kwa Mungu… stori ndefu lakini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom